LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 24

  • @EmilianaMlengule
    @EmilianaMlengule 4 месяца назад

    Jamani nzuri sàna. Napataje video yenu

  • @musichealsTz
    @musichealsTz 26 дней назад

    Alto imenyooka sana

  • @lucasrwegesira127
    @lucasrwegesira127 Год назад +1

    Comment yangu naomba isiguswee kazii nzurii mnoh na yenyew viwango vya juu mungu azidii kuwainua Wana maruku Ila mpga kinanda aisee🔥🔥🔥

  • @mosesclavery2270
    @mosesclavery2270 Год назад

    Kazi nzuri

  • @EudosiaZephrine
    @EudosiaZephrine 8 месяцев назад

    Amina sana wanakwaya wenzangu Mungu awabariki

  • @adamumanyoni
    @adamumanyoni Год назад

    Hongera sana tena sana kwa wimbo huu naomba mnisaidie namna ya kuupata wimbo huu hasa copy nimeupenda sana mbarikiwe sana🎉🎉🎉

  • @tumusiimeomukama3151
    @tumusiimeomukama3151 Год назад +1

    Waitu Mayo ge ba mawe na batata Rugaba abatunge ebyo mulikwetaga. 🎉

  • @masanja1972
    @masanja1972 Год назад

    Mtunzi bora sana

  • @revyanshytitch2266
    @revyanshytitch2266 Год назад +1

    Waooooo!!!!!!!! Nzur sana nimeikumbuka kwayà yang mungu awasidie

  • @allesifunya5984
    @allesifunya5984 Год назад

    Mko vizr Mungu awabariki

  • @isaacksusuma3855
    @isaacksusuma3855 Год назад +2

    Kazi nzuri💥

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 Год назад

    Heko nyingi watumishi

  • @linaphoustine9389
    @linaphoustine9389 Год назад

    Nawapenda bure mung awabariki San kazi nzurii ♥️❤️

  • @philipokabadi3553
    @philipokabadi3553 Год назад +2

    Usafi wa picha 100%, Production audio 100%, Waimbaji 100%, Ujumbe 100% siwadai kabisa Wana maruku 🙌 wimbo Bora wa #MAY2023

    • @sylivestermchafu2891
      @sylivestermchafu2891 Год назад

      Kazi nzuri Sana Wana maruku! Mimi ni shabiki yenu tangu kitambo! Ujumbe mzuri, mpangilio wa sauti mzuri, utamkaji wa maneno mzuri, changamoto ninayo iona mimi ni moja tu na sio kwa kiasi kikubwa! Picha Alizififiz Sana kiasi kwamba sura ya mtu haionekani kwa uharisia wake! Yaani zinakua kama Zina yum a kidogo, utamtambua mtu kama amemzoom mmoja mmoja lakini wakikaa katika line wengi labda kama unawajua utawatambua kwa maumbo yao. Tofauti na hilo kazi nzuri Sana mbarikiwe sana

  • @EvalineprotassFranciss-ku9tg
    @EvalineprotassFranciss-ku9tg Год назад +1

    Hongeren sana

  • @anithaonesmo1174
    @anithaonesmo1174 Год назад

    Hongereni na endeleeni kuitangaza injili

  • @MichaelMaige-lb1vh
    @MichaelMaige-lb1vh Год назад

    Hongeren sana kazi nzr

  • @RedsonMhadisa
    @RedsonMhadisa Год назад

    Hongeleni Kwa utume mungu awabariki

  • @PavinaPancas-ip8en
    @PavinaPancas-ip8en Год назад

    Hongereni sana wanamaruku

  • @tonynyaki2779
    @tonynyaki2779 Год назад

    Kazi nzuri sana sana👏👏👏hongereni Maruku Parish

  • @francisfaustine2573
    @francisfaustine2573 Год назад

    hongera sana mr Richard naona unapiga kinanda ipasavyo

  • @FlaviaNdailechi-sx8ju
    @FlaviaNdailechi-sx8ju Год назад

    Congratulations 🎉❤️