LISSU ATAKA KUCHAFUA HALI ya HEWA - AMSHAURI MWABUKUSI na WENZAKE WAINGILIE SAKATA la NGORONGORO...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • LISSU ATAKA KUCHAFUA HALI ya HEWA - AMSHAURI MWABUKUSI na WENZAKE WAINGILIE SAKATA la NGORONGORO...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 34

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632 Месяц назад +8

    Tundulissu anaongea ukweli, TLS chukuweni hatua ili haki ipatikane kwa wananchi wa Ngorongoro na sehemu zingine Nchini. Taifa hakuna haki kwa sasa! Mungu atusaidie Watanganyika wote wazalendo.

    • @alexmatt9504
      @alexmatt9504 Месяц назад

      Inabidi wapige kura,kama waliandikishiwa Ngorongoro na serikali ikawahamisha kwenda Tanga basi serikali inabidi iubebe huo msalaba kwa kuwaandikisha upya hapo walipo kwa sababu wao hawana makosa.Kulingana na haki yao kikatiba inabidi washiriki kupiga kura kwa sababu ni WaTanzania.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      NINATAMANI SANA 2025 MUNGU ATUONGOZE TUMPATE RAIS MPENDA HAKI NA MWANASHERIA, NAYE SI MWINGINE NI MH.TUNDU LISU WAFANYE KAZI PAMOJA WAWILI HAWA MH. MWABUKUSI NA MH. LISU, NINAAMINI NCHI ITATAMALAKI HAKI NA TAIFA KUINULIWA JUU MNO, KWANI HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU!!! TUKIFANIKIWA KUWAUNGANISHA MH. LISU RAIS WA NCHI NA SASA MH. BONIFASI RAIS WA TLS. NENO UFISADI LITApUNGUA SANA KATIKA VYOMBO VYA HABARI NCHINI!!! MUNGU LISAIDIE TAIFA LAKO CCM INATUUMIZA SSNA!!!

  • @YONAKALINGA
    @YONAKALINGA Месяц назад +7

    Lisu ww nimtetezi wa wanyonge kwahaki mungu akulinde sana

  • @MukhtarBurah
    @MukhtarBurah Месяц назад +1

    MAWAKILI WOTE NI WATUMWA KWA SABABU MNAACHA KUONGEA LUGHA ZENU MNAONGEA LUGHA YA WATU WENGINE BADO UTUMWA MNAO KWA KIASI KIKUBWA WAPUMBAVU SANA....WATANZANIA TUMWELONGWA NA NANI.....

  • @illomowerner7690
    @illomowerner7690 Месяц назад +3

    Apewe ulinzi ndg Mwabukusi, majembe haya huwa yanaangaliwa namna ya kuangamizwa na dola duniani hasa mataifa ya ulimwengu wa tatu

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 29 дней назад

    Angalia sana rais wa tls usiingizwe sana kwenye siasa badala ya malengo ya chama maana kutakua na double standard kwako .angalia sana wanasiasa mawakili ushauri huo sisi wananchi tunatoa

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Месяц назад +1

    Umetudanganya ameharibiaje hali ya hewa kivipi

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 Месяц назад +2

    IPO nafasi ya kuhamisha kituo mpiga kura anaweza kufanya hivyo muda utakapofika no upotoshaji kuwaambia watu kuwa wakihama eneo hawawezi kupiga kura

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад

      Nadhani uko sahihi kabisa. Sema uzuri wa yeye kuliongelea ni kwamba sasa litafafanuliwa pasipo na shaka, kwa hiyo watu wataelewa.

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Месяц назад

      Do u why ngorongoro iko kwenye 7 if not 8 wonders of the world? Moja kati ya sbbu ni watu kuishi na wanyama na ndio maana kesi iko mahakamani. With that said u cant move kituo cha wa piga kura while kuna on going case mahakamani. Kila kitu kinaenda kwa hatua. Mpka sasa kuna watu wengi sana bdo wako kura wanapiga wapi.

  • @onelovetz7935
    @onelovetz7935 29 дней назад

    Sasa Magufuli sialiwacha waendee na maisha laumu Samia tu makonda mpina polepole jerr sraa

  • @MukhtarBurah
    @MukhtarBurah Месяц назад

    TAZAMENI WAGREMANY ,WARUSI,WACHINA ,WANAMANDELEO LAKINI AWAONGEA LUGHA ZA WATU WENGINE KAMA NYINYI MAWAKILI WETU KUCHANGANYA LUGHA NI UPUMBUVU MTUPU

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Kuna watu wako Ngorongoro kwanini wapelekwe majina ya ati wakajiandikishe huko Handeni. Mbona hamuwatakii watu wengine mema? Hivi wewe ukiamishwa kwa nguvu utafurahi?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Waandishi kama hawa nadhaini ni wachawa wakubwa. Nadhani kabla ya kuweka kichwa chwa habari anaenda kuuliza wakubwa serikali hii maana hawataki kusikia Ngorongoro kuwa na masalia wa Masai kuzuia wizi wa wanyama kupitia warabu. Na wakati ndiyo wakati pekee warabu wanaweza kuhamisha wanyama bila wasiwasi kwa sababu wamepewa kila uhuru wa kufanya hivyo kabla mtanganyika haingia kutawala. Ndiyo sababu wanatoa mapikipiki hongo ili arudi kutawala kuwanufaisha warabu wala siyo wewe mchawa mwandishi. Kama wewe utashibishwa ndugu wako wote watapewa haki ya vitu muhimi tu? Kama matibabu mazuri, maji masafi, Elimu nzuri ya kufanya watoto waelimike?Wakulima kupata mbolea na vifaa vyote vya kulimo? Wavuvi kupata viwezesha kuvua? Na mengineo utayapata kwa stahili hii ya uchawa chawa? Acheni turudishe Inchi Nyerere alitaka iende kwa watanganyika wote siyo kwa Warabu. Hongera Mwambukusi mtoto wetu tunakuombea Mungu atakupa hekima katika kuongoza hicho chombo ili kiweze kubadilisha watu kupata haki katika Inchi hii na mwisho tupate KATIBA nzuri ya wanainchi ili watu wote wawe huru tuondoshe ukoloni. Tumeanza kuishi katika ukoloni wa waziwazi.

  • @sylvestermavanza1154
    @sylvestermavanza1154 Месяц назад +2

    Sasa hapo amechafuaje hali ya hewa?👎🏾

    • @dennisishengoma2743
      @dennisishengoma2743 Месяц назад

      Yaani hawa watu wanaleta ukanjanja sana humu.. Yaani "click bait" wao wameitafsiri kua ni utapeli wetu wa kiswahili ulio-oza..

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Месяц назад

    Hivi hili jambo mwandishi unasema kuwa ni kuchafua hewa. Wewe mwandishi ni mchawa. Kama ungekuwa unakili ungesema Tundu Lisu anakumbusha hiyo Tume Huru kubadilisha na kuwapa haki yao kupiga kura kwa karibu na majimbo yao huko Ngorongoro wewe unaona ni kuchafua hali ya hewa. Waandishi kama wewe hamstahili kuwa Mtanganyika bali uahamie kwa wachawa tu.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Месяц назад +2

    LISU HUKU KWENYE SHERIA NDO PANAKUFAA KWENYE SIASA SIDHAN KAMA PANAKUFAA

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Месяц назад

      UELEWA WAKO NDIYO TATIZO!!! KUWA MWANASHERIA KUNAZUIAJE KUWA MWANASIASA!!!!

  • @AnthonyEndrick
    @AnthonyEndrick Месяц назад +1

    Lisu

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Месяц назад

    Wewe mzee Acha kuwadanganya wasiojua mambo

  • @FredrickSanga
    @FredrickSanga Месяц назад

    What do you mean

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612 Месяц назад

    WANASIASA KAMA HAWA KAZI YAO NI KUZUNGUMZIA YANAYOWAHUSU WAO TU.
    SISI WANANCHI INABIDI TUJITATHMINI UPYA KAMA HAWA WANASIASA WATATUVUSHA HADI KWENYE MAZIWA NA ASALI,NA NJIA NZURI NI MABADILIKO YA KATIBA KUFANYWA NA WATAALAMU MBALI MBALI WALIOBOBEA.

  • @blastuslukonyola3434
    @blastuslukonyola3434 Месяц назад

    Hao walioenda Msomera wanaenda kujiandikisha kulee, duu Msomi Mzima huelewi

  • @V24hrs
    @V24hrs Месяц назад

    Tundu ..huko walikopelekwa .hakuna vituo vya kupigia kuraa.??

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Месяц назад

      Panda kusikiliza mambo ya maana kwenye maongezi. Sheria inasema lazima mpiga kura kupiga kura sehemu aliyo jiandikishia..au hapo ujasikia

  • @SeifWhite
    @SeifWhite Месяц назад

    Zingine

  • @kingbkmusic
    @kingbkmusic Месяц назад

    Kubali kushindwa mkuu maana unajuwa ww kupambanishwa na mwabukusi kwa ww nikama kusukuma mulima ukiamini kwamba una sogea 😂😂😂 yaani kwa Tanzania anjulikana kama maji ya kunywa kwa ninyi ilikuwa hana mushindani ndo maana watu waliaza kutangaza kabla ya matoke walijuwa kabisa ninyi hamuwezi mkashana Naye acha kulalamika🤔

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Месяц назад

    Waandishi wa habari wengine nyie ni hopeless sana. Kutaka watu (specific Wamasai) wa Ngorongoro wapate haki yao ya kuandikishwa na kupiga kura ili kuchagua viongozi wao ni kuingilia na kuchafua hali ya hewa? Kuweni waangalifu mnapochagua main title ya taarifa/habari zenu!

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Месяц назад

      Unawasingizia unapo waita waandishi wa habari! Taaluma ya uandishi wa habari waliipata wapi? Una hakika wanekuwa vyuoni kusomema uandishi wa habari?