LISSU ATAKA KUCHAFUA HALI ya HEWA - AMSHAURI MWABUKUSI na WENZAKE WAINGILIE SAKATA la NGORONGORO...
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- LISSU ATAKA KUCHAFUA HALI ya HEWA - AMSHAURI MWABUKUSI na WENZAKE WAINGILIE SAKATA la NGORONGORO...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Tundulissu anaongea ukweli, TLS chukuweni hatua ili haki ipatikane kwa wananchi wa Ngorongoro na sehemu zingine Nchini. Taifa hakuna haki kwa sasa! Mungu atusaidie Watanganyika wote wazalendo.
Inabidi wapige kura,kama waliandikishiwa Ngorongoro na serikali ikawahamisha kwenda Tanga basi serikali inabidi iubebe huo msalaba kwa kuwaandikisha upya hapo walipo kwa sababu wao hawana makosa.Kulingana na haki yao kikatiba inabidi washiriki kupiga kura kwa sababu ni WaTanzania.
NINATAMANI SANA 2025 MUNGU ATUONGOZE TUMPATE RAIS MPENDA HAKI NA MWANASHERIA, NAYE SI MWINGINE NI MH.TUNDU LISU WAFANYE KAZI PAMOJA WAWILI HAWA MH. MWABUKUSI NA MH. LISU, NINAAMINI NCHI ITATAMALAKI HAKI NA TAIFA KUINULIWA JUU MNO, KWANI HAKI HUINUA TAIFA BALI DHAMBI NI AIBU!!! TUKIFANIKIWA KUWAUNGANISHA MH. LISU RAIS WA NCHI NA SASA MH. BONIFASI RAIS WA TLS. NENO UFISADI LITApUNGUA SANA KATIKA VYOMBO VYA HABARI NCHINI!!! MUNGU LISAIDIE TAIFA LAKO CCM INATUUMIZA SSNA!!!
Lisu ww nimtetezi wa wanyonge kwahaki mungu akulinde sana
MAWAKILI WOTE NI WATUMWA KWA SABABU MNAACHA KUONGEA LUGHA ZENU MNAONGEA LUGHA YA WATU WENGINE BADO UTUMWA MNAO KWA KIASI KIKUBWA WAPUMBAVU SANA....WATANZANIA TUMWELONGWA NA NANI.....
Apewe ulinzi ndg Mwabukusi, majembe haya huwa yanaangaliwa namna ya kuangamizwa na dola duniani hasa mataifa ya ulimwengu wa tatu
Angalia sana rais wa tls usiingizwe sana kwenye siasa badala ya malengo ya chama maana kutakua na double standard kwako .angalia sana wanasiasa mawakili ushauri huo sisi wananchi tunatoa
Umetudanganya ameharibiaje hali ya hewa kivipi
IPO nafasi ya kuhamisha kituo mpiga kura anaweza kufanya hivyo muda utakapofika no upotoshaji kuwaambia watu kuwa wakihama eneo hawawezi kupiga kura
Nadhani uko sahihi kabisa. Sema uzuri wa yeye kuliongelea ni kwamba sasa litafafanuliwa pasipo na shaka, kwa hiyo watu wataelewa.
Do u why ngorongoro iko kwenye 7 if not 8 wonders of the world? Moja kati ya sbbu ni watu kuishi na wanyama na ndio maana kesi iko mahakamani. With that said u cant move kituo cha wa piga kura while kuna on going case mahakamani. Kila kitu kinaenda kwa hatua. Mpka sasa kuna watu wengi sana bdo wako kura wanapiga wapi.
Sasa Magufuli sialiwacha waendee na maisha laumu Samia tu makonda mpina polepole jerr sraa
TAZAMENI WAGREMANY ,WARUSI,WACHINA ,WANAMANDELEO LAKINI AWAONGEA LUGHA ZA WATU WENGINE KAMA NYINYI MAWAKILI WETU KUCHANGANYA LUGHA NI UPUMBUVU MTUPU
Kuna watu wako Ngorongoro kwanini wapelekwe majina ya ati wakajiandikishe huko Handeni. Mbona hamuwatakii watu wengine mema? Hivi wewe ukiamishwa kwa nguvu utafurahi?
Waandishi kama hawa nadhaini ni wachawa wakubwa. Nadhani kabla ya kuweka kichwa chwa habari anaenda kuuliza wakubwa serikali hii maana hawataki kusikia Ngorongoro kuwa na masalia wa Masai kuzuia wizi wa wanyama kupitia warabu. Na wakati ndiyo wakati pekee warabu wanaweza kuhamisha wanyama bila wasiwasi kwa sababu wamepewa kila uhuru wa kufanya hivyo kabla mtanganyika haingia kutawala. Ndiyo sababu wanatoa mapikipiki hongo ili arudi kutawala kuwanufaisha warabu wala siyo wewe mchawa mwandishi. Kama wewe utashibishwa ndugu wako wote watapewa haki ya vitu muhimi tu? Kama matibabu mazuri, maji masafi, Elimu nzuri ya kufanya watoto waelimike?Wakulima kupata mbolea na vifaa vyote vya kulimo? Wavuvi kupata viwezesha kuvua? Na mengineo utayapata kwa stahili hii ya uchawa chawa? Acheni turudishe Inchi Nyerere alitaka iende kwa watanganyika wote siyo kwa Warabu. Hongera Mwambukusi mtoto wetu tunakuombea Mungu atakupa hekima katika kuongoza hicho chombo ili kiweze kubadilisha watu kupata haki katika Inchi hii na mwisho tupate KATIBA nzuri ya wanainchi ili watu wote wawe huru tuondoshe ukoloni. Tumeanza kuishi katika ukoloni wa waziwazi.
Sasa hapo amechafuaje hali ya hewa?👎🏾
Yaani hawa watu wanaleta ukanjanja sana humu.. Yaani "click bait" wao wameitafsiri kua ni utapeli wetu wa kiswahili ulio-oza..
Hivi hili jambo mwandishi unasema kuwa ni kuchafua hewa. Wewe mwandishi ni mchawa. Kama ungekuwa unakili ungesema Tundu Lisu anakumbusha hiyo Tume Huru kubadilisha na kuwapa haki yao kupiga kura kwa karibu na majimbo yao huko Ngorongoro wewe unaona ni kuchafua hali ya hewa. Waandishi kama wewe hamstahili kuwa Mtanganyika bali uahamie kwa wachawa tu.
LISU HUKU KWENYE SHERIA NDO PANAKUFAA KWENYE SIASA SIDHAN KAMA PANAKUFAA
UELEWA WAKO NDIYO TATIZO!!! KUWA MWANASHERIA KUNAZUIAJE KUWA MWANASIASA!!!!
Lisu
Wewe mzee Acha kuwadanganya wasiojua mambo
What do you mean
WANASIASA KAMA HAWA KAZI YAO NI KUZUNGUMZIA YANAYOWAHUSU WAO TU.
SISI WANANCHI INABIDI TUJITATHMINI UPYA KAMA HAWA WANASIASA WATATUVUSHA HADI KWENYE MAZIWA NA ASALI,NA NJIA NZURI NI MABADILIKO YA KATIBA KUFANYWA NA WATAALAMU MBALI MBALI WALIOBOBEA.
Hao walioenda Msomera wanaenda kujiandikisha kulee, duu Msomi Mzima huelewi
Tundu ..huko walikopelekwa .hakuna vituo vya kupigia kuraa.??
Panda kusikiliza mambo ya maana kwenye maongezi. Sheria inasema lazima mpiga kura kupiga kura sehemu aliyo jiandikishia..au hapo ujasikia
Zingine
Kubali kushindwa mkuu maana unajuwa ww kupambanishwa na mwabukusi kwa ww nikama kusukuma mulima ukiamini kwamba una sogea 😂😂😂 yaani kwa Tanzania anjulikana kama maji ya kunywa kwa ninyi ilikuwa hana mushindani ndo maana watu waliaza kutangaza kabla ya matoke walijuwa kabisa ninyi hamuwezi mkashana Naye acha kulalamika🤔
Waandishi wa habari wengine nyie ni hopeless sana. Kutaka watu (specific Wamasai) wa Ngorongoro wapate haki yao ya kuandikishwa na kupiga kura ili kuchagua viongozi wao ni kuingilia na kuchafua hali ya hewa? Kuweni waangalifu mnapochagua main title ya taarifa/habari zenu!
Unawasingizia unapo waita waandishi wa habari! Taaluma ya uandishi wa habari waliipata wapi? Una hakika wanekuwa vyuoni kusomema uandishi wa habari?