Waislamu someni acheni umbumbumbu UISLAMU na QURAN ni muujiza someni sana nawaambia kuwa uwahabi ni ulokole wa kiislamu , hatari sana mawahabi ktk DINI hii TUKUFU,
Wewe ndo moyo wako umekufa kwasbb umesikiliza sheikh moja tu ukatosheka bila kujua kuwa ufaham wa wanachuoni umetofautiana Sana kinachoangaliwa nikauli yenye nguvu ndo inachukuliwa,,
@@albassammusaalbassam7487 unaona ujahili wa mawahabi. Siyo ishu wanazuini wangapi. Ishu ni kama mba ubavu vunjeni hizo hoja za sheikh kielimu. Mimi Nina mashaka hata mfumo wa elimu wakiwahabi unamatatizo, kwanini vijana ni wazito kufikiri nakuelewa vitu rahisi tu
UNAELEWESHA VIZURIAANA SHEIKH. ILA KAMA KAWAIDA HATUTOKUELEWA WOTE . NA NI KAWAIDA. MA ELFU YAWATU WAMESILIMU KWA MAULID. ATA KAZI YA AKINA MAZINGE KUNA WATU WANAWALAANI NAKUWAAMBIA WANAFANYA BIDAA, jamaaani twendawap sijuwi ALLAH aturehem.
Huyu shekh nilichogundua nikwamba anasoma upande mmoja wa wanachuoni ndo Mana haelewi ni maana ya bidaa kisheria!! Na pia hatoi dalili za maswahaba wao walielewa vp bidaaa,,, Kingine huyu ni ghurafi hata jela alisemwa na wenzio kwasbb ya bidaa,, Huyu bado Sana ktk masaala haya bidaa,,
Hatuwashangai wamejificha ktk uislam lakini sio wenzetu hawataki kumsikia mtume akiswaliwa wala kutajwa ili kuusambaratisha uislam, haita wezekana. Ona sasa walipotaka kugusa maulidi sasa wamejikuta wana itangaza sana!!!!, haohao ndio walikua wakimuuwa gadafi kisha wanasema eti allahu akbar allah akbar huku wanauwa binaadam tena miislam huku wakitaja utukufu wa mwenyezimugu kwa kuwafurahisha wazungu je hivi niwenzetu hao?
Mtume s aw amesema al ulamaa waarithatul anbiyaa.maana yake ni maulamaa au wanazuoni ni warithi wa mitume.ndugu yanguzangu tusomeni na kutumia hikma tusirembee maneno tu hata ww pia utaulizwa kw kila ulichokiongoza ktk uhai wako.
Kweli, Iblis anamkamata mtu kisawsawa wala haoni ukweli. Kweli maulid kwa maana kama mnavyofanya leo hii Mtume mas'haba wasingefifanya jamanii kwelii isinukuliwe hataaa' Shekh Warid kuwa mkweli ktk hili Je ww ndio muelewa majambo ya kheri kher kuliko Mtume SAW?? - watu wasubir mda maalum - wakuchangishane( sasaka) - kupiga vyakula - kuimbaa kupiga ngoma kuchezaa jamaniiii kweliiii. Ingekuwa kher jambo zitonkama hili mtume asingelifundsha kweliii!!!!???
😂😂😂😂sema ukweli wako wewe uliendika upuuzi unaonekana mgumu wa kufahamu ! Je Kila unachokifanya wewe zama hizi za Leo ndicho alichokifanya mtume s.a.w na maswahaba wake ! Subhanallah yaani katika mtihani tuliopewa katka zama hizii kuletewa watu ambao Kila wanachokifanya wao ndio wanaona ni sawa na wanalazimisha na watu wengine wawafuate Kwa lazima ! Huu ni msibaaa mkubwa sana 😢😢 kufanywa na kutokufanywa kipindi Cha mtume s.a.w iyoo sio hoja ya msingi! Kwa sababu unataka mtume ajisifie mwenyewe? Mtume s.a.w husifiwa hajisifu ! Na maswahaba wao yalikuepo mambo ya lazima kuyafanya kwenye dini ndio maana hawakufanya !
Hatushangai, hata wale walio muuwa gadafi walikua wakiuwa huku wakisema allahu akbar huku wanauwa binaadam…bimaana nyie sio wenzetu ila mmejificha katika uislam
@@rashidomar2771 ya kwanza nilifuatilia mwanzo mpaka mwisho…. Dini yetu Sasa hivi ina makundi mengi kwa sababu ya hayo wanachuoni… kwanini tusiwe tunafuata Quran na sunah za mtume basi… tusiwe tunaangalia wanachuoni wamesema… kama hakiendani na sunah za mtume haifai kufuatwa… hata hayo ambao waliopitisha Xmas na sherehe nyingine za kikristo pia ni wanachuoni wa vitabu… hivi Maulid inatafauti gani na Christmas???
@@Desireyakubu kinachoitajika ni Ayah kwenye na sunah ya mtume inayosapoti maulid tu basi… tofauti na hapo inakuwa sio dini hiyo… wachuoni ndio waliopelekea wakristo kusherekea Christmas na sherehe nyingine za kikristo ambazo hizipo kwenye vitabu vyao
Maa shaa ALLAH Shekh Farid. Umefahamisha uzuri tumefaidika. MUNGU akujazi kila la kheri
Allah akuhifadhi maalim AMIRI wetu tumeelewa sana darsa yako
Waislamu someni acheni umbumbumbu UISLAMU na QURAN ni muujiza someni sana nawaambia kuwa uwahabi ni ulokole wa kiislamu , hatari sana mawahabi ktk DINI hii TUKUFU,
Duuuu ujinga ni mzigo kweli kwahyo we ufaham wako ndo umeishia kwa sheikh mmoja tu.
Wewe kumsikiliza huyu sheikh ndo umesoma Sana ?? Elim ni Bahar inatakiwa uzame Sana ndo utajua ukweli uko wap
Upo sawa Sheikh umefafanua vya kutosha, labda aliyepofua moyo ndio hawezi kukuelewa.
Wewe ndo moyo wako umekufa kwasbb umesikiliza sheikh moja tu ukatosheka bila kujua kuwa ufaham wa wanachuoni umetofautiana Sana kinachoangaliwa nikauli yenye nguvu ndo inachukuliwa,,
Mashaallah jazakallahu khayr 2po 2nakufatilia n 2nakuelewa Allah akulipe kheyr
Shekh,hata huo mnakasha wa ushindani nao wameuzusha wao.
Ahsante shekh Farid
Mashallah
A
Mashallah. Yani kama mawahabi wataendelea ususuavu wao baada ya kusikia clip hii basi tuwaombee mungu
Pole Sana ndugu yangu Ila ndo ufaham wako huo je nikuulize swali moja wanachuoni wote wamefahamu hvyo???
@@albassammusaalbassam7487 unaona ujahili wa mawahabi. Siyo ishu wanazuini wangapi. Ishu ni kama mba ubavu vunjeni hizo hoja za sheikh kielimu. Mimi Nina mashaka hata mfumo wa elimu wakiwahabi unamatatizo, kwanini vijana ni wazito kufikiri nakuelewa vitu rahisi tu
15:48 15:49 15:52
UNAELEWESHA VIZURIAANA SHEIKH. ILA KAMA KAWAIDA HATUTOKUELEWA WOTE . NA NI KAWAIDA. MA ELFU YAWATU WAMESILIMU KWA MAULID. ATA KAZI YA AKINA MAZINGE KUNA WATU WANAWALAANI NAKUWAAMBIA WANAFANYA BIDAA, jamaaani twendawap sijuwi ALLAH aturehem.
Huyu shekh nilichogundua nikwamba anasoma upande mmoja wa wanachuoni ndo Mana haelewi ni maana ya bidaa kisheria!!
Na pia hatoi dalili za maswahaba wao walielewa vp bidaaa,,,
Kingine huyu ni ghurafi hata jela alisemwa na wenzio kwasbb ya bidaa,,
Huyu bado Sana ktk masaala haya bidaa,,
Hatuwashangai wamejificha ktk uislam lakini sio wenzetu hawataki kumsikia mtume akiswaliwa wala kutajwa ili kuusambaratisha uislam, haita wezekana. Ona sasa walipotaka kugusa maulidi sasa wamejikuta wana itangaza sana!!!!, haohao ndio walikua wakimuuwa gadafi kisha wanasema eti allahu akbar allah akbar huku wanauwa binaadam tena miislam huku wakitaja utukufu wa mwenyezimugu kwa kuwafurahisha wazungu je hivi niwenzetu hao?
Mtume s aw amesema al ulamaa waarithatul anbiyaa.maana yake ni maulamaa au wanazuoni ni warithi wa mitume.ndugu yanguzangu tusomeni na kutumia hikma tusirembee maneno tu hata ww pia utaulizwa kw kila ulichokiongoza ktk uhai wako.
Kweli, Iblis anamkamata mtu kisawsawa wala haoni ukweli.
Kweli maulid kwa maana kama mnavyofanya leo hii
Mtume mas'haba wasingefifanya jamanii kwelii
isinukuliwe hataaa'
Shekh Warid kuwa mkweli ktk hili
Je ww ndio muelewa majambo ya kheri kher kuliko Mtume SAW??
- watu wasubir mda maalum
- wakuchangishane( sasaka)
- kupiga vyakula
- kuimbaa kupiga ngoma kuchezaa jamaniiii kweliiii.
Ingekuwa kher jambo zitonkama hili mtume asingelifundsha kweliii!!!!???
😂😂😂😂sema ukweli wako wewe uliendika upuuzi unaonekana mgumu wa kufahamu ! Je Kila unachokifanya wewe zama hizi za Leo ndicho alichokifanya mtume s.a.w na maswahaba wake ! Subhanallah yaani katika mtihani tuliopewa katka zama hizii kuletewa watu ambao Kila wanachokifanya wao ndio wanaona ni sawa na wanalazimisha na watu wengine wawafuate Kwa lazima ! Huu ni msibaaa mkubwa sana 😢😢 kufanywa na kutokufanywa kipindi Cha mtume s.a.w iyoo sio hoja ya msingi! Kwa sababu unataka mtume ajisifie mwenyewe? Mtume s.a.w husifiwa hajisifu ! Na maswahaba wao yalikuepo mambo ya lazima kuyafanya kwenye dini ndio maana hawakufanya !
Hatushangai, hata wale walio muuwa gadafi walikua wakiuwa huku wakisema allahu akbar huku wanauwa binaadam…bimaana nyie sio wenzetu ila mmejificha katika uislam
@@ABUUALLY-j7k kwani kazi ya wanawachuoni nini tuanzie hapo
Bro hawa watu wana wafuata wanachuoni kuliko mtume mwenyewe
jamani mm km si Wana wa chuoni SS Mtume tungemjuwaje au yupo kamfahamu Mtume bila y kupita Kwa mwana wa chuoni
Kati ya mtume na wanawachuoni nani zaidii au tumfuate nani
Kwa hiyo unataka kusema wewe hukubaliani huyu kigogo
ZAIDI ni MTUME alaihssalaatu WASSALAAM. Na KUWAFUATA WOTE tunawafuata. , BILA mwanawachuoni MTUME alaihssalaatu WASSALAAM huwezi kumfuata
Hii clips ni namba 2 ifuatilie namba moja katoa mategemezi ,,kama akili yako ipo salama utaelewa inshaallah
@@rashidomar2771 ya kwanza nilifuatilia mwanzo mpaka mwisho…. Dini yetu Sasa hivi ina makundi mengi kwa sababu ya hayo wanachuoni… kwanini tusiwe tunafuata Quran na sunah za mtume basi… tusiwe tunaangalia wanachuoni wamesema… kama hakiendani na sunah za mtume haifai kufuatwa… hata hayo ambao waliopitisha Xmas na sherehe nyingine za kikristo pia ni wanachuoni wa vitabu… hivi Maulid inatafauti gani na Christmas???
@@Desireyakubu kinachoitajika ni Ayah kwenye na sunah ya mtume inayosapoti maulid tu basi… tofauti na hapo inakuwa sio dini hiyo… wachuoni ndio waliopelekea wakristo kusherekea Christmas na sherehe nyingine za kikristo ambazo hizipo kwenye vitabu vyao
Kumbe sheikh farid ni mkhurafi mtu wa bid’a 😳