JE MAULID NI BIDAA AU JAIZ NO.2 AMIR FARID HAD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 36

  • @suuahmed71
    @suuahmed71 Год назад

    Maa shaa ALLAH Shekh Farid. Umefahamisha uzuri tumefaidika. MUNGU akujazi kila la kheri

  • @mwalimshaib-m1u
    @mwalimshaib-m1u Год назад

    Allah akuhifadhi maalim AMIRI wetu tumeelewa sana darsa yako

  • @mohamedmasanga9134
    @mohamedmasanga9134 Год назад +2

    Waislamu someni acheni umbumbumbu UISLAMU na QURAN ni muujiza someni sana nawaambia kuwa uwahabi ni ulokole wa kiislamu , hatari sana mawahabi ktk DINI hii TUKUFU,

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад

      Duuuu ujinga ni mzigo kweli kwahyo we ufaham wako ndo umeishia kwa sheikh mmoja tu.

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад

      Wewe kumsikiliza huyu sheikh ndo umesoma Sana ?? Elim ni Bahar inatakiwa uzame Sana ndo utajua ukweli uko wap

  • @Jamalkishangu
    @Jamalkishangu Год назад +1

    Upo sawa Sheikh umefafanua vya kutosha, labda aliyepofua moyo ndio hawezi kukuelewa.

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад

      Wewe ndo moyo wako umekufa kwasbb umesikiliza sheikh moja tu ukatosheka bila kujua kuwa ufaham wa wanachuoni umetofautiana Sana kinachoangaliwa nikauli yenye nguvu ndo inachukuliwa,,

  • @saidmadai2828
    @saidmadai2828 Год назад

    Mashaallah jazakallahu khayr 2po 2nakufatilia n 2nakuelewa Allah akulipe kheyr

    • @AzizaOmar-wj3my
      @AzizaOmar-wj3my Год назад

      Shekh,hata huo mnakasha wa ushindani nao wameuzusha wao.

  • @AbdallahASK-zp4uz
    @AbdallahASK-zp4uz Год назад

    Ahsante shekh Farid

  • @Sebola-j4l
    @Sebola-j4l Год назад

    Mashallah

  • @tamojufaky1510
    @tamojufaky1510 Год назад

    A

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Год назад

    Mashallah. Yani kama mawahabi wataendelea ususuavu wao baada ya kusikia clip hii basi tuwaombee mungu

    • @albassammusaalbassam7487
      @albassammusaalbassam7487 Год назад

      Pole Sana ndugu yangu Ila ndo ufaham wako huo je nikuulize swali moja wanachuoni wote wamefahamu hvyo???

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Год назад

      @@albassammusaalbassam7487 unaona ujahili wa mawahabi. Siyo ishu wanazuini wangapi. Ishu ni kama mba ubavu vunjeni hizo hoja za sheikh kielimu. Mimi Nina mashaka hata mfumo wa elimu wakiwahabi unamatatizo, kwanini vijana ni wazito kufikiri nakuelewa vitu rahisi tu

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk Год назад

    UNAELEWESHA VIZURIAANA SHEIKH. ILA KAMA KAWAIDA HATUTOKUELEWA WOTE . NA NI KAWAIDA. MA ELFU YAWATU WAMESILIMU KWA MAULID. ATA KAZI YA AKINA MAZINGE KUNA WATU WANAWALAANI NAKUWAAMBIA WANAFANYA BIDAA, jamaaani twendawap sijuwi ALLAH aturehem.

  • @albassammusaalbassam7487
    @albassammusaalbassam7487 Год назад

    Huyu shekh nilichogundua nikwamba anasoma upande mmoja wa wanachuoni ndo Mana haelewi ni maana ya bidaa kisheria!!
    Na pia hatoi dalili za maswahaba wao walielewa vp bidaaa,,,
    Kingine huyu ni ghurafi hata jela alisemwa na wenzio kwasbb ya bidaa,,
    Huyu bado Sana ktk masaala haya bidaa,,

  • @kiumbenatural-ii5jb
    @kiumbenatural-ii5jb Год назад

    Hatuwashangai wamejificha ktk uislam lakini sio wenzetu hawataki kumsikia mtume akiswaliwa wala kutajwa ili kuusambaratisha uislam, haita wezekana. Ona sasa walipotaka kugusa maulidi sasa wamejikuta wana itangaza sana!!!!, haohao ndio walikua wakimuuwa gadafi kisha wanasema eti allahu akbar allah akbar huku wanauwa binaadam tena miislam huku wakitaja utukufu wa mwenyezimugu kwa kuwafurahisha wazungu je hivi niwenzetu hao?

  • @mohammedmfamau43
    @mohammedmfamau43 Год назад

    Mtume s aw amesema al ulamaa waarithatul anbiyaa.maana yake ni maulamaa au wanazuoni ni warithi wa mitume.ndugu yanguzangu tusomeni na kutumia hikma tusirembee maneno tu hata ww pia utaulizwa kw kila ulichokiongoza ktk uhai wako.

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Год назад

    Kweli, Iblis anamkamata mtu kisawsawa wala haoni ukweli.
    Kweli maulid kwa maana kama mnavyofanya leo hii
    Mtume mas'haba wasingefifanya jamanii kwelii
    isinukuliwe hataaa'
    Shekh Warid kuwa mkweli ktk hili
    Je ww ndio muelewa majambo ya kheri kher kuliko Mtume SAW??
    - watu wasubir mda maalum
    - wakuchangishane( sasaka)
    - kupiga vyakula
    - kuimbaa kupiga ngoma kuchezaa jamaniiii kweliiii.
    Ingekuwa kher jambo zitonkama hili mtume asingelifundsha kweliii!!!!???

    • @ABUUALLY-j7k
      @ABUUALLY-j7k Год назад

      😂😂😂😂sema ukweli wako wewe uliendika upuuzi unaonekana mgumu wa kufahamu ! Je Kila unachokifanya wewe zama hizi za Leo ndicho alichokifanya mtume s.a.w na maswahaba wake ! Subhanallah yaani katika mtihani tuliopewa katka zama hizii kuletewa watu ambao Kila wanachokifanya wao ndio wanaona ni sawa na wanalazimisha na watu wengine wawafuate Kwa lazima ! Huu ni msibaaa mkubwa sana 😢😢 kufanywa na kutokufanywa kipindi Cha mtume s.a.w iyoo sio hoja ya msingi! Kwa sababu unataka mtume ajisifie mwenyewe? Mtume s.a.w husifiwa hajisifu ! Na maswahaba wao yalikuepo mambo ya lazima kuyafanya kwenye dini ndio maana hawakufanya !

    • @kiumbenatural-ii5jb
      @kiumbenatural-ii5jb Год назад

      Hatushangai, hata wale walio muuwa gadafi walikua wakiuwa huku wakisema allahu akbar huku wanauwa binaadam…bimaana nyie sio wenzetu ila mmejificha katika uislam

    • @unknown-zz8ih
      @unknown-zz8ih Год назад

      @@ABUUALLY-j7k kwani kazi ya wanawachuoni nini tuanzie hapo

    • @unknown-zz8ih
      @unknown-zz8ih Год назад

      Bro hawa watu wana wafuata wanachuoni kuliko mtume mwenyewe

    • @makameshibli2797
      @makameshibli2797 Год назад

      jamani mm km si Wana wa chuoni SS Mtume tungemjuwaje au yupo kamfahamu Mtume bila y kupita Kwa mwana wa chuoni

  • @unknown-zz8ih
    @unknown-zz8ih Год назад

    Kati ya mtume na wanawachuoni nani zaidii au tumfuate nani

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu Год назад +1

      Kwa hiyo unataka kusema wewe hukubaliani huyu kigogo

    • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
      @CharafimalisalimoAli-qw3hk Год назад

      ZAIDI ni MTUME alaihssalaatu WASSALAAM. Na KUWAFUATA WOTE tunawafuata. , BILA mwanawachuoni MTUME alaihssalaatu WASSALAAM huwezi kumfuata

    • @rashidomar2771
      @rashidomar2771 Год назад

      Hii clips ni namba 2 ifuatilie namba moja katoa mategemezi ,,kama akili yako ipo salama utaelewa inshaallah

    • @unknown-zz8ih
      @unknown-zz8ih Год назад

      @@rashidomar2771 ya kwanza nilifuatilia mwanzo mpaka mwisho…. Dini yetu Sasa hivi ina makundi mengi kwa sababu ya hayo wanachuoni… kwanini tusiwe tunafuata Quran na sunah za mtume basi… tusiwe tunaangalia wanachuoni wamesema… kama hakiendani na sunah za mtume haifai kufuatwa… hata hayo ambao waliopitisha Xmas na sherehe nyingine za kikristo pia ni wanachuoni wa vitabu… hivi Maulid inatafauti gani na Christmas???

    • @unknown-zz8ih
      @unknown-zz8ih Год назад

      @@Desireyakubu kinachoitajika ni Ayah kwenye na sunah ya mtume inayosapoti maulid tu basi… tofauti na hapo inakuwa sio dini hiyo… wachuoni ndio waliopelekea wakristo kusherekea Christmas na sherehe nyingine za kikristo ambazo hizipo kwenye vitabu vyao

  • @AbuhajiHamza-d3w
    @AbuhajiHamza-d3w Год назад +1

    Kumbe sheikh farid ni mkhurafi mtu wa bid’a 😳