UTATA! VAZI LA MANARA, MMASAI AMVAA - ''AMEINGIZWA CHA KIKE, KAKOSEA NGUO, KAVAA SHANGA ZA WANAWAKE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • UTATA VAZI LA MANARA, MMASAI AMVAA - ''AMEINGIZWA CHA KIKE, KAKOSEA NGUO, KAVAA SHANGA ZA WANAWAKE"
    GLOBAL TV imepiga stori na Mmasai mmoja mkazi wa Arusha, baada ya jana msemaji wa Yanga, Haji Manara, kuonekana hadharani akiwa amevalia vazi la Kimasai ambalo limezua utata mkubwa watu wengi wakidai amevalia vazi la kike.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 358

  • @johnmwanja4476
    @johnmwanja4476 2 года назад +9

    Haji Manara almaarufu mama yeyo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elialameck9786
    @elialameck9786 2 года назад +10

    Ujue wamasai wengi wanapenda sana Simba 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 2 года назад

      Hawa wamasai mabwege mtangazaji umeingizwa choo cha kike unawahoji mashabiki wa Simba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад +1

      Kweli lazima wampende kwakuwa wao walikuwa wakijipima uimara kupitia huyo mnyama pia ni ishara nzuri ya matumaini, king lion upendwa na watu wengi duniani

  • @husseinmaula5914
    @husseinmaula5914 2 года назад +7

    Manara mama yoyooooooooooooo

  • @fatumaali4275
    @fatumaali4275 2 года назад +2

    Mungu atosha Manara kaumbuka🤣🤣🤣 yuhuhuuu😝😝😝

  • @rizikisuleiman2139
    @rizikisuleiman2139 2 года назад +6

    Kwahio ni mama yeyoo 😂😂😂

  • @yusuphukijazi6706
    @yusuphukijazi6706 2 года назад +5

    Hahahaha kavaa yakike 😁😁😁

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 года назад +15

    🤣🤣🤣 Munara wa Yanga

  • @awadhsaid5605
    @awadhsaid5605 2 года назад +1

    Asante Queen Manara.

  • @jubilatemanase9050
    @jubilatemanase9050 2 года назад +9

    Pamoja na kwamba unaona km utani vile ila ukweli m/mme wa Kimaasai havai zile shanga 'never'

  • @delapitoresavage3746
    @delapitoresavage3746 2 года назад +2

    Manara mama yoyoo😂😂😂😂

  • @saidawadh8796
    @saidawadh8796 2 года назад +3

    Hata mm nimeliona Kama lile alovaa manara na vazi la mama yeyoo:-)

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 года назад +17

    Msukule hajakosea kwani yeye ni mwanaume!

  • @hamisishabani8864
    @hamisishabani8864 2 года назад +4

    Mama yoyo😂😂😂😂😂

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free 2 года назад +6

    Napenda jinsi wa masai wanavyoongea Kiswahili daaah😜😜😜

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu3918 2 года назад +3

    Kapatikana leo

  • @dairahally5471
    @dairahally5471 2 года назад +5

    We chiz umeskia iyooo ,we chiz unadang'a dang'a mwendawazin ww ,waskie wnyew wanaume hawa
    Qeen manara au nd biashra Matangazo ..........
    Mama ngairooooo

  • @allykihiyo8414
    @allykihiyo8414 2 года назад +3

    🤣🤣🤣🤣🤣tusiingilie mavazi ya watu bila kuuliza jamani 🤣🤣🤣🤣

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 2 года назад +1

    Hahahahaha 😂 😂 msukule bhana

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 2 года назад +3

    Kweli kabisa masai

  • @mbaroukrashid6201
    @mbaroukrashid6201 2 года назад +4

    Queen Manara

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 года назад +1

    Am Muna tz mm nitacheka sana tu😝😅😅❤🥰

  • @robertdison2246
    @robertdison2246 2 года назад +8

    Nikweli kabisa kitu kama ujui uliza angalia amedhalilika😂😂😂😂

    • @edwinedward5352
      @edwinedward5352 2 года назад

      🙄😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      ANAJUWA HAJAKOSEA YEYE NI MAMA YOOYOOYOO 😂😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      @@edwinedward5352 KAPATIA 🤣🤣🤣

  • @victorianganyagwa2467
    @victorianganyagwa2467 2 года назад +3

    Et Munara ahhhhh amelamb lolooo🤣🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +4

    Yani ni sawa mwanaume uvae boksa hlf utoke na shanga njee manara wamasai hawakutaki

  • @carrolin8656
    @carrolin8656 Год назад

    Wow

  • @emmawilson1980
    @emmawilson1980 2 года назад +1

    Basi achumbiwe2
    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 2 года назад +5

    Mimi mwenyewe nilijua kabisa kavaa nguo zaakina mama kabisa na shanga zake

  • @veronikashaban5224
    @veronikashaban5224 2 года назад +1

    Dem alokosa matunzo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @godfreysamson3069
    @godfreysamson3069 2 года назад

    Mamaa nayrooo huyo🤣😂

  • @aishaathumani5045
    @aishaathumani5045 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kuna kitu anakula toka aende yanga😂😂😂😂

  • @fatumaali4275
    @fatumaali4275 2 года назад +2

    Alomvalisha kamdhalilisha👌👌👌

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад +1

      KAVAA MWENYEWE TENA ANAJUWA KAMA ZENU 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MAMA NERO OYEEEEE🤣🤣🤣🤣🤣

  • @georgemwigulu
    @georgemwigulu 2 года назад

    Queen

  • @MrArro
    @MrArro 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣 Mama Nairo.

  • @vincegelas
    @vincegelas 2 года назад

    😂😂😂😂 msiba kilo naneeee
    Kanyuana 😂😂😂

  • @fredpiter4657
    @fredpiter4657 2 года назад +4

    Ameumbuka manara kwaiyo nimwanamke

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 2 года назад +9

    Manara ana matatizo ya akili, he needs to be treated. One day people will realise this. Ni shoga sasa angevaa nini?

    • @edwinedward5352
      @edwinedward5352 2 года назад +1

      Ana msongo wa mawazo alipenda Simba Sana ndomana siku amefukuzwa alilia Sana🙄🙄

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 года назад +5

    🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😭😭

  • @zabronjacksonmsika7563
    @zabronjacksonmsika7563 2 года назад +1

    Mama yoyooo

  • @erickkaindoa8665
    @erickkaindoa8665 2 года назад

    Uyoo manara mama tu

  • @hildachacha8804
    @hildachacha8804 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣😂 kweli

  • @dismasstanslaus5985
    @dismasstanslaus5985 2 года назад

    Kama umecheka weka like

  • @onlinemateustv1925
    @onlinemateustv1925 2 года назад

    Ameng'elesa msuri
    Tong'ino
    Natamani niongee kilengesa lakini it is not allowed 😂😂😂😂😂😂😂😜

  • @adilhabib8988
    @adilhabib8988 2 года назад +1

    Ahahhahahahhahaha kama kwini

  • @castoagust7073
    @castoagust7073 2 года назад

    Toning'o 😀😀

  • @fidelymasokero1799
    @fidelymasokero1799 2 года назад

    tanzania wanaishi wanyama na wamaisi😅😅😆😆😅😂😂

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 2 года назад +5

    NAJUA TU HAPO MWISHO ULITAKA KUULIZA KWA KUNA MMASAI ALIBINO? 😂

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 2 года назад +2

    Duh! Tanzania ni nchi ya wanyama na Wamaasai

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +3

    Kiukweli Manara kaingia chakike

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 2 года назад

    Mama yoyoo😁

  • @emmanueledmund1918
    @emmanueledmund1918 2 года назад +2

    Hahahhaa balaaa na nusu

  • @hassankereph3712
    @hassankereph3712 2 года назад

    Yaani hiyo ni Kama mwanaume utoke umevaa boxsa na shanga kiunoni haya brasa munara upo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mosesmwita7906
    @mosesmwita7906 2 года назад +4

    mmasai anapokua shabiki wa simbaa😂😂

    • @chamritaabdul1592
      @chamritaabdul1592 2 года назад +1

      Umeonaaeee

    • @chamritaabdul1592
      @chamritaabdul1592 2 года назад

      😂😂😂

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 2 года назад

      Suala siyo ushabiki wa Simba tatizo Manara kukurupukia vitu asivyovijua kuvaa Mithili ya mwanamke yaani huyu Haji duuu

  • @allymajaliwa362
    @allymajaliwa362 2 года назад +2

    Kama mama nailo😂😂

  • @abdallahmanula1627
    @abdallahmanula1627 2 года назад

    Kumbe manara mama yeyo

  • @seiflugendo5043
    @seiflugendo5043 2 года назад

    Mnaraaa akili huna🤣🤣🤣🤣

  • @shebynamasenga8254
    @shebynamasenga8254 2 года назад +2

    Mbona kama wamasai wa michongo hao

    • @mathiaslyamunda2526
      @mathiaslyamunda2526 2 года назад

      Mashabiki wa Simba hao atafute wa Yanga abalance story yake

  • @florajames1890
    @florajames1890 2 года назад

    Mim kiswahil chao tyu hoi 😆😆😆🤣

  • @inocentgalinoma9544
    @inocentgalinoma9544 2 года назад

    Manara Qeen

  • @kareisindilo2776
    @kareisindilo2776 2 года назад +2

    lebabazi alitaka kusema hivi kuna Masai alibino 😂😂😂

    • @ambwenechakubanga5281
      @ambwenechakubanga5281 2 года назад

      manara amechanyakiwa akili yaani kavurugwa tangu ahame simba na hawezi kua mzima tena na usije ukashangaa kesho akaja akavaa dira na shanga au hata gauni la kike yaani sijui vipi mambo haya

  • @saidizulfa3021
    @saidizulfa3021 2 года назад

    🤣🤣eti Kuna kitu anakula

  • @abdallahajiomari9525
    @abdallahajiomari9525 2 года назад

    Manara mama yoyo

  • @greggmarshall4869
    @greggmarshall4869 2 года назад +1

    Yiiiiiruuuu masaii tafuta soko hilo sasa ili umushauri avae muzurii

  • @mohammedabdallah465
    @mohammedabdallah465 2 года назад +1

    Wamasai wanasema hivi vazi alikovaa manara hilo anavaa bint wa kimasai anaetafuta mume wa kumuoa,,sasa sijui manara nae anatafuta nini Khaa! Next time manara bora uulize kwanza kabla ya kuvaa tamaduni Za watu

  • @rehemamdoro5165
    @rehemamdoro5165 2 года назад +3

    Nikweli kabisa masai wala hujakosea manara amekuwa kama hamnazo

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 2 года назад

    Umependeza

  • @adaboychibu1659
    @adaboychibu1659 2 года назад

    Daah nimecheka kinazi😂😂😂😂😂

  • @alfaniomary2506
    @alfaniomary2506 2 года назад

    Hahahhaaha manara kaumbuka

  • @alibushiri4725
    @alibushiri4725 2 года назад

    Hajui jaman msimcheke msemaji wetu jaman 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      MWIJAKU KAPATA MKE 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @broganbig6651
    @broganbig6651 2 года назад

    Hahahaha wapewe ulinzi hawa rafiki

  • @swadahamningo1948
    @swadahamningo1948 2 года назад +3

    Jamani mwezi mchanga,manara atakuja kutoka na boxer nje Simba wamsamehe huyu mtu analaanika kawa chizi,ona sasa kamaanika baba wa watu atakuja kujiua

  • @petermushy9883
    @petermushy9883 2 года назад +1

    Mnara😂😂😂😂

  • @anesmichael4213
    @anesmichael4213 2 года назад

    Huyo ni mama yoyo

  • @rajabujohn4816
    @rajabujohn4816 2 года назад

    Kwini manala Yani Kawa mamayeyoo

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 2 года назад +1

    Minara wa Yanga 😆😆😆😆😆😆😆😆🙌🏿

  • @husseinkhaji895
    @husseinkhaji895 2 года назад +3

    Hata kama angevaa gauni hajavunja sheria ya nchi halafu manara ni mjanja kalieni kumjadili msahau ya kwenu

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 2 года назад

      Hajui nalikuwa hajui acha kumpaka mwenzio mafuta kwa mgongo wachupa😜😜

  • @michaelloishiye3977
    @michaelloishiye3977 2 года назад +2

    Amevaa kama mwanamke ushanga kichwani

  • @litimbamahmoud4791
    @litimbamahmoud4791 2 года назад +2

    Hiyo kapelo NI vazi la kimasai? Na Wanayoyafanya na wazungu kule Zanzibar mnayajuwa?

  • @nikiflavour9928
    @nikiflavour9928 2 года назад

    Asituleteeeeeh laanaaaaah hahahahahahahahaha

  • @musso238
    @musso238 2 года назад

    Amemenyereta 😁😁 tong'ing'o

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 2 года назад +1

    Pasi million kasema ni mama yaoyo

  • @hasanainkhalid5367
    @hasanainkhalid5367 2 года назад

    Leo kapata kichambo

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 2 года назад +1

    Hahahaaaaa, anaitwa munala,

  • @paulpius6566
    @paulpius6566 2 года назад +1

    Imeshakuwa story , waandishi uchwara hawaaaaaaa

    • @josephatanazi586
      @josephatanazi586 2 года назад

      Wewe ndo shabiki uchwara huyo msukule wenu mjinga

  • @dairahally5471
    @dairahally5471 2 года назад +1

    Tusmshangae qèen Haj jaman ......hu utawawaz hamuwez jua lbd nd
    Matangazo yameanz

  • @ericktimtim9983
    @ericktimtim9983 2 года назад

    Wamchunguze vzr inawezekana zingine kavaa kiunoni wamchunguze vzr

  • @bigjizee4130
    @bigjizee4130 2 года назад

    😂😂😂 Munara

  • @delapitoresavage3746
    @delapitoresavage3746 2 года назад +1

    Qeen munara😂😂

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 2 года назад

    Hao sio masai hao ni wauni ingawa pia manara alivaa nguo ya kike kweli ila hao wote sio masai

  • @joshuagolihama5390
    @joshuagolihama5390 2 года назад

    Duuuh munara mama nairo

  • @yunushamis5443
    @yunushamis5443 2 года назад +1

    masaï anavaa majira shingoni hayo ya manara ni ya Luke kuanzia kichani hadj shingoni

  • @samwelnjoke5053
    @samwelnjoke5053 2 года назад

    Mama nairo

  • @abdullahsuleimansalim2339
    @abdullahsuleimansalim2339 2 года назад +1

    Analiwa huyo

  • @phillipeinnocent8326
    @phillipeinnocent8326 2 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂, kuna kitu ya kutolea mfano, nq kuna kitu huwez kutokeaa mfano!!!

  • @Official83640
    @Official83640 2 года назад

    Huyo sio mmasai anaekt wallah dah mmasai wa bongo huyu eti koho koho konde boy🤣🤣🤣

  • @stahimilimangula1850
    @stahimilimangula1850 2 года назад

    Kilengesa🤣🤣

  • @fatumaali4275
    @fatumaali4275 2 года назад +1

    Heheeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fredikigodi4372
    @fredikigodi4372 2 года назад +2

    Masaigani mnafuga ndevu mm sijawahi kuona wamasai wanandevu nyinyi masai wamchongo,,acheniusenge

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 2 года назад +1

    Akuna Masai Apo

  • @mathewmathayo212
    @mathewmathayo212 2 года назад +1

    Kumbukeni diamond alshavaaga huko marekani kwenye kuwania tuzo na alivaaga hivohivo wala hamkuchonga iweje leo haji manara umchonge hivo huo ni wivu mbona wanaume wengi sana sasa hivi wanavaa hereni ,pete, wanajichubua, wanasuka nywele, wanapka poda wanarembua kama rayvan anarembuaga sana mpaka anapitiliza urembuaji kwa sababu hata mwanamke anatakiwa kurembua wakati wa tendo la ndoa tu siyo kila mara kulembua huo ni umalaya

    • @happinnesspius9854
      @happinnesspius9854 2 года назад

      Wamesema sio kimasai hawajakataa n diamond hakuvaa hayo mashanga bwana mskurupukie mambo ili m trend mbona Ahmed anatred bila kuvaaa midude