Nandy anataka kurudi mjini - Huba | Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Nandy amuomba Yakobo arudi nae mjini. Carlos ananza kuuliza maswali kwa Aneth kuhusu kutoka kwake. Chausi bado kamteka Chibu.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: maishamagicbon...
Watch more series and movies on Showmax, start your 14 day free trial here: bit.ly/36PFSr0
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo
Huba kama hubaba ❤❤❤❤❤❤❤
Ilike it this movie iko na funz kubwa san
Je, unahitaji kuwa mfanyabiashara mkubwa kama mfanyabiashara wa Madini,magari,maduka makubwa,je unahitaji umaarufu,pesa,na Mali nyingi?? piga (0623922680) au (0628925296).kujiunga na Freemasons Kwa WhatsApp no 0745439380
Jamani Huba
Hongerakwauzuri
Thank
Chausiku wacha kijana akaoge kwanza
Hub jaman
Naomba nafasi ya kuigiza nami kwenye tamthilia hii
Shy naww
Yaani ben mie huwa nacheka kabla hujaongea
Mwenzie sijui anadili gani
Wema,sepetu
Jammani sisi tunakosea wapi?mbona tunaangaika?
Tena tunateseka mnoo
yani wanatupa tabu hasa tuekeeni full episod
Mm ataua nafanya kuchungulia kama wameeka
Chausiku ni shiidaaa.
Chibu kapatikanaaa
Linda Linda wacha ukali
Kwako vp
Nandy ameamua vyema
Asant kudupa huba
Nandi rudi kwa Roy
Chausiku kiboko
Nice nandy
muendelezo
Chibuu hhh mkalii
Hivi wanawake waajabu sana mnajipendejeza kwa mwanaume ukishapata ulichokitaka unaanza kupanic eti unaniaribia maisha nyoko, Linda nimekuona jinzi ulivyo jipereka kwa Idris sasa umepokea matokeo unaanza eti sikuuamini, 😏😏😏😏😏
Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu ni matumaini yangu utaipenda Ahsanteni sana🙏
Oky
Thanks
Cha uck unabaka chidy😂😂
wekeni za kutosha tunakosa
Mbona hamuandiku num za episode ndio nasisi twende pamoja na nyinyi
Jamani mbona sikhizi mnalinga sn hataki kttmia
Zawapi
Chibuu hujaoga 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Chauciku anataka jasho la kiume
🤣🤣🤣🤣
Serengo ahaaa Sofia yuko wapi ? Tume miss Sofia wa kanumba
Asante kwakutupostia Na uendelee plz
Mbona ivo lakini tupe yote jamani
LtV
Haha haha selengo 🤔
Duuih
😍😍😍😍
🔥🔥🔥🔥
Kuna mtu hapa anayetazama maisha magic East
Uwiiiiiii kumekuchaa sas Maskini Nandy mapenzi yanakutesa unakwend kumkomesha Roy?? Kibe 10 Wa tesa anatak kuharibu mahusiano ya watu Duhhhh chausiku anatak nn jamani??? Devi uliyatak mwenyewe sas tulia hivo
Maskini kibibi pol San kwel??
Arudi Dar kibibi Devi hana habari
@@m.mmarckus6298 nihatar hata akirudi Duhhh haitomfany kukaa kwaamani kumbuka km Mme wake alimpa talak Devi nae sas sijuw itakuwaaj Tima nae alipokwenda hajarudi tu
Ila jamani kwanini wasiongez dakika maana kuna mda hatujuw inafik wap??
Wenye kuziwek kweny Chanel zao wao wanazitafsiri haliyakuw lugha tunaisikia Ila sijuw nikwann wanafany ivo 🤨😡😡😡
@@llgg1042 sijui kwann Tima harudi,au ndobasi tena au anarudi kwa judy.Devi nyy kazidi umaraya wakubadirisha,kibibi arudi kwabibi yake bisikitu.Nandy nae anarudi nabwana mjini amkomowe Roy
@@m.mmarckus6298 hayo ndo malipo yakupenda penda sana wana wake hata mwanzo alimfanyia ivo Tima badae akamuomb msamah Tima akamsameh ivi ten amerudi Duhh wanaume mnanini lakini??🤨🤨🤔🤔 Kibibi akirudi Dar Chidy atamuuwa maana anahasira nae hatakam hasemi Ila Duhhh
@@llgg1042 Devi karidhi kwa mama kupenda penda