Tima ana mimba! - Huba |S11 | Ep 70-74| Maisha Magic Bongo
HTML-код
- Опубликовано: 7 июл 2022
- Nicole apata mwaliko mkubwa na Nelly adai kwamba Tima aseme ukweli kama ana mimba. Pia Kibibi aishiwa kupigana na Tima wakati Tima atimua kila mtu toka nyumbani kwake na Kibibi na Nelly waishia jela.
---
Endelea kutizama DStv chaneli 160
Official Website: bit.ly/3lXtAFc
Angalia tamthilia bora Tanzania kwa kutumia Showmax:
bit.ly/2KnGqyv
Pakua App ya DStv: bit.ly/36ZGjkz
Instagram: / maishamagicbongo
Twitter: / maishamagictz
Facebook: / maishamagicbongo Развлечения
Meli napenda nywere zako mm💓💓💓💓
Moyo wangu leo umeburudika kuona huba shukrani
Napenda final hiyi yahuba
Fire fire....napenda watu wakipigana
Kumbe tima anasauti yakugombana
Shukran
Mimi nataka nyimbo zote za huba
Eeeh mambo ni 🔥
Shukuraniiii 🙏🙏🔥🔥🔥
Nataka kuona Tima na Devi kwenye mahaba ndindi....mimba kitu gani😅😅
Kumekuchaa huku waa mambo ni moto atali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣npenda mukipigana walai
Mbn wanamdharirisha tima kama hvy mmmhhhhh
Toa kitu yako ndan 😃😃
Thank dj
Moto huku
Jamani tima pol jikaze hakuna kiripo cini yajua kisipo jurikan pana baki dorisi na mama yake
Nampenda sana Tina ana msimamo
Nelly bwana bt anababa kizito 🤣🤣🤣🤣huyo kibibi angeachwa seli atie adabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣jmn deve niwa tima mimba sikigezo I love it tima and deve 🥰🥰🥰❤
Tina ana mimba so what.. David nampenda ujue hivyo
Mama mtumzima hahhahahahaha balaaaaa
Nally😅🤣🤣 yani hata kama ni hiyo acting hiyo part yake me siitaki, yani kung'ang'ania mtu amba hata hamtaki
Haki tena Nelly hapendwi kabisa
Me nakerekwa hatareee
Jamani huba moto kabsa tesa Nelly kibibi wote wame ika cini nime furai Sana
🔥🔥🔥
Takataka zote nje
Jaman asante, lakini mbona fupi 🤦♀️
Wake wa devi😂😂😂👌
Hii sio ya leo
ya juzi hii
nimefurahi kumuona Ben Jamani
Ningependa kujua nitapata wapi nyimbo ya "ni safari yote sote tutaondoka wote""
Hahaha tima ati toa hii kitu yako njee
Binafsi nafurahia video zenu
Mama wa kambo
Tesa mtu mzima kuchuu wakaza wana wapigana wewe wafurahia,haya toa kitu yako devi
🤣🤣🤣jaman hubaa
Mbona fup Sasa jamani
🤣🤣🤣tima wa moto
From USA I need the background sound track huba huba I need that song name please tafadhali
Kwani kibibi alifata nini hapo😂
Tima toa kitu yako
Nelly king'ang'anizi tu mtu hakutaki ni kujilazimisha tu
Huba
😂
Nelly mapenz yatamuuwa
Km doris