Tatizo LA movie za kibong uongo mwingi sana yaana mnaonyisha utangulizi mzuri wa picha inayoonekana kabla ya kuplay movie then ukiplay huoni ukichokiona mwanzo huo in ujinga mtupu bora hata mngekuwa mnawahi basi kutoa nyingine ila ndo hivyo tena mnasema SAA 6 Kumbe sio haya bakini uongo wenu
Duh katam kinoma🎉 Ila Hlo Tangazo la Mganga me Cpendiiii. Bc 2, Brow kelv inaman we humwamin Mungu adi upromote waganga asee??! Kila likitokea nasema shindwa Pepo😂
Movie nzur ira ningeomba haya matangazo muyaweke mwisho wa movie ingependeza
Movie kali sana tena sanaa tena sanaa na nimeipenda sana tu nawapenda nyote mulioshiriki kuandaa iii movie ❤
Hongera Sana wana Donta mubarikiwe kwa filamu za mafunzo nikiwa Saudi Arabia lakini ntatoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nawapenda sana❤❤❤❤❤
🤌🤌
❤❤❤❤❤
Loveness uko vzr my, kelvin nilindie loveness
Daah movie hii inanifundisha mamb meng sana
Wow,mashallah mashallah mungu atufanyie wepes
Shukran san wana donta mubarikiwe wote inshallah
Kazi nzur kaka Lakin shida nimoja badilisha watu kaka wakati mwingine dada ni huyo huyo2 katika love story zako zote
Kazi nzuri,naupenda wimbo uliotumika katika hii video
😢😂
daah movie kali sana nimewapenda wote mlio shiriki❤
😅😅😅😅 iyo too much, atakama nkupenda upofu umetanda machon kuona huezi Ona Tena,mpende akupendaye, naumpendaye huezi mjua
Ni kwer kabisa
Congratulations for everything.brother Kelvin and team nawapenda Sana move inafundisha mapenzi kizungumukute Sana.dah
oy eee😮🎉 ❤
Mr Kelvin your so creative,my brother keep it up
Kiukweli kilaniki data filam zenu yani najiisii Niko paradiso hongereni sana muendeleee ku fanya Tizi kazi njema mimi mkongo mani.👍
Walai hii movie haina mpinzani... Kevin na team yako mko mbele ❤❤❤
Naombeni namba ya loveness jamniiii nampenda sana
Calvin usimwache Victoria
Utamuweza kweri mtoto wa kishua huyo
Nakukumbali sn calvin❤❤❤❤❤❤
Aiseeeeeeh movie zenu zinafundisha vyema,❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wangapi tumeona tangazo 😀✅
😅😅😅
Niliforward 😂😂
Watutolee
Tatizo LA movie za kibong uongo mwingi sana yaana mnaonyisha utangulizi mzuri wa picha inayoonekana kabla ya kuplay movie then ukiplay huoni ukichokiona mwanzo huo in ujinga mtupu bora hata mngekuwa mnawahi basi kutoa nyingine ila ndo hivyo tena mnasema SAA 6 Kumbe sio haya bakini uongo wenu
Mbona makasiliko? Toa maoni vizuri ili palipo na makosa watu wayalekebishe
Kelvin..broo respect sana Lem say hi to your best actor lovenness ...🔥🔥🔥🔥
Nimeipenda sana tunajifunza mambo mengi sana kupitia hii hongereni sana
Mko vizur Sana ,naomba Braun abaki kwenyeeneo lake lakuteseka kimapenz anapendeza Sana kamaakivyokua kwenyeile mov ya distn
Kabisa mmeigiza vizuri sana,Nasapot sana movies zenu🙏🙏🙏🙏
Dah kaka asant sana zidi kutuletea mwendelezo nimetokea kuipenda hii muv
usichelewe basi jaman kelvin ❤❤❤🎉🎉🎉
Daah inauma san
shida mapenzi ila utapeli wa mapenzi unaye mpenda hakupendi 😢😢
mi ndio wakwanza leo nipewe likes❤️💯
We wapili
😂😂😂😂mi ndio wakwanza kaka
Kazi nzuri Kelvin and your team keep it up.
Usichelewe Kelvin
Broo unatisha Sana uko 🔥🔥, naikubali Sana love story
Movie ipo pow sana na inafundisha sana but matangazo hayo yangewekwa mwishon jaman
Matangazi yana chukua sehem kubwa kuliko hata movie 🎥🥹🥹🥹
Sijachelew like hata kma3❤❤❤ good job kelvin n team yako.
Much love 😍 love ❤❤this watching from gulf
Poleni sana wote Kelvin na vickoria LOVENNES Nelson na kend ila jamani mapenzi yanauma
kupenda sio kazi kazi kumpata akupendae,,good work my team
Duh katam kinoma🎉
Ila Hlo Tangazo la Mganga me Cpendiiii. Bc 2, Brow kelv inaman we humwamin Mungu adi upromote waganga asee??! Kila likitokea nasema shindwa Pepo😂
Watu mpo vizur mshawai jmn khaa nawapenda awa watu mm donta tv saf sana naomben like zangu
Congratulation for ever things on this movie big up
Matangazo ya mganga yana ingiaje humu nely 😅😅😅show love ila matangazo yatolewee
😂😂honey sema qweli kitumbuwa kimeingia mchanga hichoo usisingizie Malaria😢😢love u Honeeeey wangu❤😂
Imeenda hiyo,makini kweli bhna,,,ila duhhh kupendwa kazi bhna🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Yaan kwl mapenz upofu duh lkn cc wengne InshaAllah a2fikii uku 😢😢
Nakupenda sana i❤❤❤❤❤
Yooooo Kelvin Banakwambia Karibu Tuna Fura 😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤
Wimbo mzuri
Hiii movie bona kama inanihusu kabisa namsaidia mpenzi wangu kumbe na mm itakuwa ananichity eeeeeeeh😂😂😂😂😂😂😂😂
Tina nakupenda sana ❤️❤️ tunafundishika sa
Huu mchezo hauitaji hasira, haya kazi ni 🔥🔥💯
waaah hii movie iko fity yaani kuumizana tu😢😢😢😢
❤❤❤nice work ,,, watching from kenya,,,,naeza penda sana kuigiza❤
Dada nenda pugu Kwa mganga ukamloge nellr
@@protasfidel😂😂😂😂
Semeni kimeumana😂😂😂😂
Oya donta tv mko vizuri sana❤❤❤🎉🎉🎉
Kelvin movie zenu n nzuri sana c mnipee huyo dem loveness
Dah hakika unakipaji kelvin 🎉
Pongez sana kwa wote mlioshirik na pia endeleen kufundisha jamiii
Nimeipenda sana mwendelezo jamani part 4 wapi
Kali sanaaa kama movie wow. Part 4 IKO wapi??❤
The game of love ❤❤❤❤
Mnazingua kuweka matangazo katikati ya movie
Nimewayi pia😂mapenzi wewe unaumiza mno.lovely
Story❤ ❤
Good job kazi nzuri sana
Good job
Kelvin unajua sana brooh😂
Nakubari shoo zenu love
Kwann Kaka Kelvin unapenda kuigiza love story❤❤❤❤❤❤❤❤
Hajjj kavuma
❤❤❤ nimeipenda MUNGU awabalik San had mmeniliza mimi
Hapa sas jau munatuletea matangazo ya waganga wengine hatuna imani mao kabixaaa😢😢
Wakwanza naombeni likes ata kumi good job mr kelvin khan ❤❤
Asante sana
Congratulations kelvin I love you kelvin kutoka Kenya 🇰🇪❤️❤️❤️❤️🌹🌹🌹🌹🤍🤍🤍
Nakupenda sana lavunes❤❤❤
Muvi ya kecho yangu part 34 aipatikani
Halooo ni nzuriiii tena nzurii sanaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤
Advert ya mganga katkat ya movie, Hii n Gani Sasa 😏😹
Kilocho niflahisha members wote walioshiliki katika nafasi zao wamefanya vizuli zaidi good work on thes team
Jamani na Nawapenda na mambo yenu❤❤
Mnajua
Yaleo kali na tamu sana❤❤
Wanawake mbn umnatuua mapema hv
Wow❤🇰🇪
Bom trabalho visto bem em Moçambique MUEDA
Waze movi ya kesho yangu part 18 kwendelea mbona aipatikani?
Mbona ipo hadi 33
Msichana mwenye ndevu tafadhali anyoe
Dee😢😢😢😢 ❤❤❤❤❤
😊
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job brother keep it up mutafika mbali wausika wote wame paform parsentage za kutosha
Hivi mnajua kwamba tunatumia hela kupata bundle jaman movie ina dakika chache alafu mnaingiza tena litangazo
Ayo matangazo yana bowa kwa kweli tuko focus na filamu na sio matangazo , abaki na nyota zake bwana sisi tunaitaji kazi fungua kiwanda tuje 😏🇨🇩
Munipen like nyiny bwan
Unaempenda kampenda mwingine huyo mwingine nae anamwingine mwingine nae kapendwa na mwingine moyo sukuma damu so machine😅😅😅😅
Nice job ❤❤❤ from Kenya nawapenda sana
Wanawake tatzo mnapenda kuliko kumpenda mtu
Mm nawakubal San ila mnachelewasha kuaachia nyingine
Umenifanya nisicht wastp niangia tu movi zenu nimependa📢📢
sikuzote kwenye movie za kelvin napendaga wakiwa wapenzi na loveness
Much love from Kenya ❤❤
Nice one watching u from Zambia 🇿🇲🇿🇲🔥🔥🔥
Kila mtu ni msaliti hatarii sana
Kelvin from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Brown kuna vitu hakivupungunza kwenye kuigiza atakuwa mtu, ila kelvin khana nii full package