TEAM MISA KUJENI HAPA.HAMISA UMETULETEA SHEM VERY H.B❤❤❤❤ ALLAH AWADUMISHE MFIKE KWENYE NDOA.THAT'S A GENTLEMAN.HONGERA !MY BEST FAV NEW COUPLE IN TOWN@misaaakeeeee👇like down
Yah wanapendeza kiukweli wakiwa pamoja ila naona kama hawatadumu hamisa atamuacha Ally kamwe na kuhamia kwa azizi kii au wengineo maana sijui wanawake huwa wanahitaji Nini unaweza ukawa na pesa na Bado ukaachwa, na ukampa time , ukawa mzuri wa sura lakini Bado ukaachwa na unaweza ukawa mwaminifu sana kama kaka wa brazili na Bado ukaachwa kiufupi tuishi na Hawa viumbe kwa akili na siyo hisia
Ila kamwe hakika umeingia kwenye ajal mbaya kama kweli upo na hamisa...kama ile ya kwanza ulitaka kujiua basi ya safari hii wallah watu watakuja kwenye msiba wako...labla kama una ajenda zako zingine
TEAM MISA KUJENI HAPA.HAMISA UMETULETEA SHEM VERY H.B❤❤❤❤ ALLAH AWADUMISHE MFIKE KWENYE NDOA.THAT'S A GENTLEMAN.HONGERA !MY BEST FAV NEW COUPLE IN TOWN@misaaakeeeee👇like down
Millard ni kama ndoano, ukikaa vibaya Anakuvuta mpaka kwenye ukwel.. BIG UP TZA
Asante sana Jackson
Daah! Sauti inakata kata jmn 😢 Aisee NAAM 🎉🤸 Wanapendezana Haki Nimependa 😎👌 Inshaa'Allah Kheir 🙌
Binafsi yangu kutoka moyoni nafurahia huu uhusiano wa aliy kamwe na hamissa
Nawapenda pia MUNGU awe pamoja nao
Yah wanapendeza kiukweli wakiwa pamoja ila naona kama hawatadumu hamisa atamuacha Ally kamwe na kuhamia kwa azizi kii au wengineo maana sijui wanawake huwa wanahitaji Nini unaweza ukawa na pesa na Bado ukaachwa, na ukampa time , ukawa mzuri wa sura lakini Bado ukaachwa na unaweza ukawa mwaminifu sana kama kaka wa brazili na Bado ukaachwa kiufupi tuishi na Hawa viumbe kwa akili na siyo hisia
Millard uyu jamaa ni mwamba sana unyama sana Ayo inabamba sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏 🙏🙏
Asante sana Valeriano
Sehemu zingine sauti sisikiiiii😢
Very handsome man na ana attractive smile Alikamwe
Broo ahsante sna Mr Ali kamwee hongera Kwa unavojibu
Ali Kamwe kaingie choo cha kike! Utachunwa hadi ubakie ngozi kudadeki nakuonea huruma mtoto wa mkulima😂
😂😂😂😂hii media haijawai kunihangusha hata siku zoteeeee😂😂😂😂😂love you guyz you are my favorite advertisers 😂😂😂😂
Yan Leo ally kamwe amekua mdogo kanywea dah kwel power of love inafanya kazi., Nawaombea MUNGU mfike mbali katika mahusiano yenu ikawe kheri
waandishi muko vizuri ktk kuuliza maswali
ally mbona kama pressure ipo juu sana?
🤣🤣🤣🤣Siku mkiwaleta missa na Ally sipat picha itakuwaje🤣
If it iz true for my self I'm happy more than relationship with Kamwe and mobbeto #I_LIKE_THIS ❤❤❤
Nimecheka jamani hadi nimetoa machozi hakika, Ally Kamwe!
Mashallah Mwandamizi nimependa interview Na anavyojibu Hadi raha.Mungu abariki iwe kweli ndoa iwepo In Shaa Allah
Very handsome
semaji
They make a nice couple! Yani ikitokea ni kweli Yani ntafurahiiii
Vido hakuamini alivyo ambiwa ni roho 😂😂😂😂 but he made the interview fun to watch
Millard on fire
Aje meena ally
Ali kamwe broo mm yanga damu ila huyu hamisa km unadate naye bs mmm mana huyu level za juu sana kwako😢
Go Hamisa, the guy is cute.
Nawapenda Misanakamwe💚💛💚💛❤️❤️❤️❤️
Nawaombea sana wawe na mahusiano kweli na wafunge ndoa
Nimeipenda hii interview ❤😂
Watangazaji wanamzuka Ila anayehojiwa Yuko kawaida
Hawa watu watatu umakini binafsi unaitajika😅😅😅😅
Nampenda sana Frida Sana beautiful with intelligence
Ally kamwe mimi simba damu ila kama unamtomba hamisa mbeto umetisha sana mwenyewe namuelewasana huyu demu aisee 8:34
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
Hahaha utakuja kuwa mzee wa hovyo sana
@@dorisfabian4776 😂😂 Doris we acha niwe zee la ovyo mtoto wa mwenzako hamisa ananiumizaga. Roho sana aisee
Hakuna ambae hajawahi kukosea hakuna ambae hatelezi ktk maisha km Allah kaandika kheir kwenu Basi nasi tunawatakia kila la kheir
Fifi❤
Haya jamani Roho
Q
😂😂😂😂😂😂Millard is just amazing at what he does
Asante sana
Mko 🔥🔥🔥🔥🔥
Eeeh jamn leo vipi sauti😢
Huyu kijana ana akili Sana, Hamisa shikilia huyu mtu jamani utufurahishe fans zako na ulinde heshima Yako
Alikamwe mzur
Ally kamwe unayingia cakike acana namapenzi ya Mobeto uyoni kokodi hutamuweza nauyo uporewako usijikujuta badae kukakutana uripoteza mudawako uyo Mobeto yiko kwenye masilahi utajita ishishiya apo ohooooooo👁️👁️👁️👁️
Semaji Kula mtoto huyo
amisa alijuwa kuchomoka ktk maswali kama haya, ila ally ameingia mzima mzima, yani kawa ipole sana leo, kweli mapenzi hayajifichi.
Sautiii jamaniii
Jamaa kumbe hua anapoa hivi
Hsante umejibu vzr maswali nawaombea mahusiano mema
watangazaji huyu msemaji mmemlisha chakula gani mbona anajibu tu kama siyo yeye.
Power of love hatar
jamaa kaingia ktk mtego
Frida mshenzi eti roho kimwili😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ila kamwe hakika umeingia kwenye ajal mbaya kama kweli upo na hamisa...kama ile ya kwanza ulitaka kujiua basi ya safari hii wallah watu watakuja kwenye msiba wako...labla kama una ajenda zako zingine
Daaaah kamwe kafumwaaaa😅😅😅😅😅
Dah sautiiiiiiiiiiiiii
Semaji kalowaaa😂😂
😭😭😭👍
Hila huyu kaka ni mjeuri kujibu maswali 😂😂😂😂😂
Mbona Ally yupo siriazi hivo😂
unaona alivyotulia kama kamwagiwa maji
😂😂😂😂
Sautiiiiiii😢😢😢😢
Siijui sana background ya kamwe kimahusiano, sema huyu Hamissa duuh anakuwa kama ma interests sana waacha tukae wananchi tuone,tusihukumu
Ila huyu kaka sijamzoweya hivi ila vidoo mdogo wangu umembananisha kaka ako kazidi kuwa mdogo
Ila vido mmbeyaa
Dah nmechek kwa herufi kubwaaa
Ila hii team ya Millard ni kiboko.. mnambananisha Ally mpaka anashindwa kupumuaa 😂😂😂😂😂
Ila vido mzur jamani uyu kaka nampenda sana
😂😂
@@nassirmohamed8492 unacheka Ila simpendi kimahusiano napenda alivo msafi tu ivo
@@dijahmriri523 ngoja aunt ezekiel akusikie😂😂😂
Aunt SI ana kusah jamn😂😂😂Yani I wish nikawe ata mfanyakazi wake tu wa ndani😂😂
@@dijahmriri523 hahahaha yn ww vido ndo amekuchota akili hivyo😂😂😂,je umeyaona macho yake?😂😂😂
Not Sauti hamsikii those are guidelines to protect the media rights😂na pia kupunguza scandles na maneno yanaochoma
Mwana yanga kaingia mikononi mwa simba, ngoja ujikute unatoa siri za kazi kwa mwanasimba hahaha
Ila hawa watangazaji😂😂😂😂
Saut mbona hamna
Mnambananisha semaji letu mpka anaona aibu jmn
Semaji lenu kawa mdogo Leo chezea kupenda wewe
😂😂😂😂nampenda vido anajua kufanya cross examination si ungekua TU mwanasheria😅😅😅😅😅😅
Cross kama cross in the courtroom acha kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂nisisahau
😅😅😅😅 ni shida
Mnamchosha Ali wetuu
ayo tv mbona sauti haiskiki 😢
😂😂😂😂😂😂😂😂 Ally vp umelowaaa unaropoka tuu kama sio wewe😅😅
Msemaji wetu kanyeshewa na mvua leo kapoaaaaa huyu sio ali kamwe ni kivuli
Hahahaaaa, au ni mzimu wake et ee
@@evertheobald1811 kabisaaaa na vile sio habari za yanga ndo maana kanyeshewa coz akiropokwa tu kesho media zote zinamuanika
😂😂😂nyie watu kaz hii mmeimudu
Sauti imekata video
Mbona anataka kulia
Safari hii Hamisa hajabahatisha Boss mwenye pesa😂😂😂😂😂😂😂😂kaishia kudate na Serengeti boy
Nyoko we unae acha wivu
Ali kwamwe mkubwa kwa hamisa
Mmmh
@@khalidjafary1120 huamini au hamisa si lika la Aslay sasa utamfananisha na Ally kijeba kile
Shida ni wivu nn acha semaji la timu ya caf apate make
SAUTI SAUTI SAUTI SAUTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
Kina sehemu sauti haisikiki …
Si tunajua Ni chombo ya boss wakew baada ya iriniiii kuacha nafasiii😁😁
ooooooyaaa kwenu studio wambeaa mna tunyima uhooodo mna katika hatuwasikii wambea tuna teseka hatuwa sikiiiiii🙄🙄🙄🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂msitu fanyiieee hiiifyooo
Tunateseka sie 😃😃😃😃
Millard mmeezingua sauti imekata mara 2 jamaniiii
Jameni Mrudie Mnapoziba Sauri Maana Huu Umbeya Tunauitaji Wote Cyo Nusu Nusu
MUWE SILIAS HAMISA NA KAMWE WAPI NA WAPI.
Kwani wanasagana mpk tuseme wapi na wapi,
@@maryamtan682 LABDA ITUMIKE ILE NJIA YA KUAMUA KUMTUNUKU TU MTU..USICHEZE NA MAISHA YA WATU SISTA.
Ali ana akili sana
Kubaki msemaji wetu
Ali kamwe kula roho iyo yanga ni Raha na Kwa hamisa Raha
Pamoja BF2047 tuko wengi
Sauti inakata kata jmn mbn mnatunyima uhondo 😢
Vido nikambea , kachimbi he is my best hadi sasa 😂😂😂😂😂😂
Ila Ally kamwe sio mdogo angalia usoni kwake.
Naomba majina ya hizo nyimbo
Kaka Leo umekuwa mpole kwann
😅
Watu wamedia usipokuwa makini unajipelka tu mbona
Priva amechili kwa mbaliiiii
Mbona sauti imekata
Ali kashakufa kashaoza bado kufukiwa mzima mzima tu
Oya milad mpona sauti Ina katakata
yani nimecheka sana,ally kaingia mzima mzima.