EXCLUSIVE: ALLY KAMWE ABANANISHWA PENZI NA HAMISA “ILE NI ROHO, SHE IS BEAUTIFUL, VITATU VICHACHE”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 май 2023

Комментарии • 205

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 Год назад +9

    TEAM MISA KUJENI HAPA.HAMISA UMETULETEA SHEM VERY H.B❤❤❤❤ ALLAH AWADUMISHE MFIKE KWENYE NDOA.THAT'S A GENTLEMAN.HONGERA !MY BEST FAV NEW COUPLE IN TOWN@misaaakeeeee👇like down

  • @jacksonjudicate9388
    @jacksonjudicate9388 Год назад +24

    Millard ni kama ndoano, ukikaa vibaya Anakuvuta mpaka kwenye ukwel.. BIG UP TZA

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Год назад +8

    Daah! Sauti inakata kata jmn 😢 Aisee NAAM 🎉🤸 Wanapendezana Haki Nimependa 😎👌 Inshaa'Allah Kheir 🙌

  • @hebybiba6442
    @hebybiba6442 Год назад +16

    Binafsi yangu kutoka moyoni nafurahia huu uhusiano wa aliy kamwe na hamissa

    • @jacklineikoki6653
      @jacklineikoki6653 Год назад

      Nawapenda pia MUNGU awe pamoja nao

    • @FredMaulid
      @FredMaulid Месяц назад

      Yah wanapendeza kiukweli wakiwa pamoja ila naona kama hawatadumu hamisa atamuacha Ally kamwe na kuhamia kwa azizi kii au wengineo maana sijui wanawake huwa wanahitaji Nini unaweza ukawa na pesa na Bado ukaachwa, na ukampa time , ukawa mzuri wa sura lakini Bado ukaachwa na unaweza ukawa mwaminifu sana kama kaka wa brazili na Bado ukaachwa kiufupi tuishi na Hawa viumbe kwa akili na siyo hisia

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Год назад +16

    Millard uyu jamaa ni mwamba sana unyama sana Ayo inabamba sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏 🙏🙏

  • @natamihambo8077
    @natamihambo8077 Год назад +13

    Sehemu zingine sauti sisikiiiii😢

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Год назад +8

    Very handsome man na ana attractive smile Alikamwe

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 Год назад +3

    Broo ahsante sna Mr Ali kamwee hongera Kwa unavojibu

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Год назад +8

    Ali Kamwe kaingie choo cha kike! Utachunwa hadi ubakie ngozi kudadeki nakuonea huruma mtoto wa mkulima😂

  • @esperancenathali
    @esperancenathali Год назад +5

    😂😂😂😂hii media haijawai kunihangusha hata siku zoteeeee😂😂😂😂😂love you guyz you are my favorite advertisers 😂😂😂😂

  • @jacklineikoki6653
    @jacklineikoki6653 Год назад +2

    Yan Leo ally kamwe amekua mdogo kanywea dah kwel power of love inafanya kazi., Nawaombea MUNGU mfike mbali katika mahusiano yenu ikawe kheri

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +7

    waandishi muko vizuri ktk kuuliza maswali

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +7

    ally mbona kama pressure ipo juu sana?

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Год назад +10

    🤣🤣🤣🤣Siku mkiwaleta missa na Ally sipat picha itakuwaje🤣

  • @shazceo6853
    @shazceo6853 Год назад +5

    If it iz true for my self I'm happy more than relationship with Kamwe and mobbeto #I_LIKE_THIS ❤❤❤

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 Год назад +7

    Nimecheka jamani hadi nimetoa machozi hakika, Ally Kamwe!

  • @bettybregy7361
    @bettybregy7361 Год назад

    Mashallah Mwandamizi nimependa interview Na anavyojibu Hadi raha.Mungu abariki iwe kweli ndoa iwepo In Shaa Allah

  • @carohkilonzo4688
    @carohkilonzo4688 Год назад +4

    Very handsome

  • @deboraezekiel784
    @deboraezekiel784 Год назад +6

    semaji

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Год назад +3

    They make a nice couple! Yani ikitokea ni kweli Yani ntafurahiiii

  • @manaalahmed3541
    @manaalahmed3541 Год назад +5

    Vido hakuamini alivyo ambiwa ni roho 😂😂😂😂 but he made the interview fun to watch

  • @renatuscharles2018
    @renatuscharles2018 Год назад +3

    Millard on fire

  • @gracevicent510
    @gracevicent510 Год назад +4

    Aje meena ally

  • @nassiromar3957
    @nassiromar3957 Год назад +5

    Ali kamwe broo mm yanga damu ila huyu hamisa km unadate naye bs mmm mana huyu level za juu sana kwako😢

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila292 Год назад +8

    Go Hamisa, the guy is cute.

  • @mariamjason8319
    @mariamjason8319 Год назад

    Nawapenda Misanakamwe💚💛💚💛❤️❤️❤️❤️

  • @janeschurmanns6311
    @janeschurmanns6311 Год назад +3

    Nawaombea sana wawe na mahusiano kweli na wafunge ndoa

  • @bernadetacharles2013
    @bernadetacharles2013 Год назад

    Nimeipenda hii interview ❤😂

  • @aminarashidi5649
    @aminarashidi5649 Год назад +5

    Watangazaji wanamzuka Ila anayehojiwa Yuko kawaida

  • @witnessroby1223
    @witnessroby1223 Год назад +9

    Hawa watu watatu umakini binafsi unaitajika😅😅😅😅

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Год назад

    Nampenda sana Frida Sana beautiful with intelligence

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Год назад +9

    Ally kamwe mimi simba damu ila kama unamtomba hamisa mbeto umetisha sana mwenyewe namuelewasana huyu demu aisee 8:34

    • @sniper93999
      @sniper93999 Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 Год назад

      😂😂😂😂😂

    • @mdta8161
      @mdta8161 Год назад

      😅😅😅😅

    • @dorisfabian4776
      @dorisfabian4776 Год назад

      Hahaha utakuja kuwa mzee wa hovyo sana

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Год назад

      @@dorisfabian4776 😂😂 Doris we acha niwe zee la ovyo mtoto wa mwenzako hamisa ananiumizaga. Roho sana aisee

  • @najmasaid7057
    @najmasaid7057 Год назад +1

    Hakuna ambae hajawahi kukosea hakuna ambae hatelezi ktk maisha km Allah kaandika kheir kwenu Basi nasi tunawatakia kila la kheir

  • @Zuulito
    @Zuulito Год назад +1

    Fifi❤

  • @evamlay8997
    @evamlay8997 Год назад +7

    Haya jamani Roho

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Год назад +12

    😂😂😂😂😂😂Millard is just amazing at what he does

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад

    Mko 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @KSJ6569
    @KSJ6569 Год назад +2

    Eeeh jamn leo vipi sauti😢

  • @kulwamizungumiti7878
    @kulwamizungumiti7878 Год назад +3

    Huyu kijana ana akili Sana, Hamisa shikilia huyu mtu jamani utufurahishe fans zako na ulinde heshima Yako

  • @eunicephillip5347
    @eunicephillip5347 Год назад +2

    Alikamwe mzur

  • @samsung-zb3xi
    @samsung-zb3xi Месяц назад

    Ally kamwe unayingia cakike acana namapenzi ya Mobeto uyoni kokodi hutamuweza nauyo uporewako usijikujuta badae kukakutana uripoteza mudawako uyo Mobeto yiko kwenye masilahi utajita ishishiya apo ohooooooo👁️👁️👁️👁️

  • @peterassenga2428
    @peterassenga2428 Год назад +5

    Semaji Kula mtoto huyo

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +5

    amisa alijuwa kuchomoka ktk maswali kama haya, ila ally ameingia mzima mzima, yani kawa ipole sana leo, kweli mapenzi hayajifichi.

  • @neemamollel6972
    @neemamollel6972 Год назад +1

    Sautiii jamaniii

  • @islamrashid5451
    @islamrashid5451 Год назад +3

    Jamaa kumbe hua anapoa hivi

  • @NeemaRutahiwa-is3eu
    @NeemaRutahiwa-is3eu Год назад

    Hsante umejibu vzr maswali nawaombea mahusiano mema

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +5

    watangazaji huyu msemaji mmemlisha chakula gani mbona anajibu tu kama siyo yeye.

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +4

    jamaa kaingia ktk mtego

  • @bokekaone2516
    @bokekaone2516 Год назад +2

    Frida mshenzi eti roho kimwili😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Месяц назад

    Ila kamwe hakika umeingia kwenye ajal mbaya kama kweli upo na hamisa...kama ile ya kwanza ulitaka kujiua basi ya safari hii wallah watu watakuja kwenye msiba wako...labla kama una ajenda zako zingine

  • @ahuriladaniel9849
    @ahuriladaniel9849 Год назад +2

    Daaaah kamwe kafumwaaaa😅😅😅😅😅

  • @barikingowo1052
    @barikingowo1052 Год назад

    Dah sautiiiiiiiiiiiiii

  • @fadhilsalum2143
    @fadhilsalum2143 Год назад +1

    Semaji kalowaaa😂😂

  • @hanifangassa5072
    @hanifangassa5072 Год назад

    😭😭😭👍

  • @felistafelista7088
    @felistafelista7088 Год назад +2

    Hila huyu kaka ni mjeuri kujibu maswali 😂😂😂😂😂

  • @drrecoti1455
    @drrecoti1455 Год назад +7

    Mbona Ally yupo siriazi hivo😂

  • @ahuriladaniel9849
    @ahuriladaniel9849 Год назад

    Sautiiiiiii😢😢😢😢

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 Год назад

    Siijui sana background ya kamwe kimahusiano, sema huyu Hamissa duuh anakuwa kama ma interests sana waacha tukae wananchi tuone,tusihukumu

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Год назад +2

    Ila huyu kaka sijamzoweya hivi ila vidoo mdogo wangu umembananisha kaka ako kazidi kuwa mdogo

  • @bintkhamissuleiman4380
    @bintkhamissuleiman4380 Год назад +1

    Ila vido mmbeyaa

  • @martinmadimilo8593
    @martinmadimilo8593 Год назад

    Dah nmechek kwa herufi kubwaaa

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад +1

    Ila hii team ya Millard ni kiboko.. mnambananisha Ally mpaka anashindwa kupumuaa 😂😂😂😂😂

  • @dijahmriri523
    @dijahmriri523 Год назад +12

    Ila vido mzur jamani uyu kaka nampenda sana

    • @nassirmohamed8492
      @nassirmohamed8492 Год назад

      😂😂

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 Год назад

      @@nassirmohamed8492 unacheka Ila simpendi kimahusiano napenda alivo msafi tu ivo

    • @missnaah4757
      @missnaah4757 Год назад

      @@dijahmriri523 ngoja aunt ezekiel akusikie😂😂😂

    • @dijahmriri523
      @dijahmriri523 Год назад

      Aunt SI ana kusah jamn😂😂😂Yani I wish nikawe ata mfanyakazi wake tu wa ndani😂😂

    • @missnaah4757
      @missnaah4757 Год назад

      @@dijahmriri523 hahahaha yn ww vido ndo amekuchota akili hivyo😂😂😂,je umeyaona macho yake?😂😂😂

  • @captainlevispowers
    @captainlevispowers Год назад +2

    Not Sauti hamsikii those are guidelines to protect the media rights😂na pia kupunguza scandles na maneno yanaochoma

  • @jescakiria6883
    @jescakiria6883 Год назад +2

    Mwana yanga kaingia mikononi mwa simba, ngoja ujikute unatoa siri za kazi kwa mwanasimba hahaha

  • @maryamudunga1094
    @maryamudunga1094 Год назад +2

    Ila hawa watangazaji😂😂😂😂

  • @maxcharles5436
    @maxcharles5436 Год назад +1

    Saut mbona hamna

  • @Pendo197
    @Pendo197 Год назад +5

    Mnambananisha semaji letu mpka anaona aibu jmn

  • @Jabu415
    @Jabu415 Год назад +7

    😂😂😂😂nampenda vido anajua kufanya cross examination si ungekua TU mwanasheria😅😅😅😅😅😅

    • @joanedward3277
      @joanedward3277 Год назад

      Cross kama cross in the courtroom acha kabisa 😂😂😂😂😂😂😂😂nisisahau

    • @chris-uz1ts
      @chris-uz1ts Год назад

      😅😅😅😅 ni shida

  • @leonidamsungu7208
    @leonidamsungu7208 Год назад

    Mnamchosha Ali wetuu

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Год назад

    ayo tv mbona sauti haiskiki 😢

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 Год назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Ally vp umelowaaa unaropoka tuu kama sio wewe😅😅

  • @abuuayoubayoub9260
    @abuuayoubayoub9260 Год назад +3

    Msemaji wetu kanyeshewa na mvua leo kapoaaaaa huyu sio ali kamwe ni kivuli

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 Год назад

      Hahahaaaa, au ni mzimu wake et ee

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 Год назад

      @@evertheobald1811 kabisaaaa na vile sio habari za yanga ndo maana kanyeshewa coz akiropokwa tu kesho media zote zinamuanika

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Год назад +2

    😂😂😂nyie watu kaz hii mmeimudu

  • @MaaneML
    @MaaneML Год назад +1

    Sauti imekata video

  • @hanifahanifa1010
    @hanifahanifa1010 Год назад +1

    Mbona anataka kulia

  • @wemakingdaily1462
    @wemakingdaily1462 Год назад +9

    Safari hii Hamisa hajabahatisha Boss mwenye pesa😂😂😂😂😂😂😂😂kaishia kudate na Serengeti boy

  • @eugenbaraka250
    @eugenbaraka250 Год назад

    SAUTI SAUTI SAUTI SAUTIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

  • @neemabaker3738
    @neemabaker3738 Год назад

    Kina sehemu sauti haisikiki …

  • @rouhaipher7388
    @rouhaipher7388 Год назад

    Si tunajua Ni chombo ya boss wakew baada ya iriniiii kuacha nafasiii😁😁

  • @rashidamohamed9927
    @rashidamohamed9927 Год назад +5

    ooooooyaaa kwenu studio wambeaa mna tunyima uhooodo mna katika hatuwasikii wambea tuna teseka hatuwa sikiiiiii🙄🙄🙄🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂msitu fanyiieee hiiifyooo

  • @rehemarwanda6039
    @rehemarwanda6039 Год назад

    Millard mmeezingua sauti imekata mara 2 jamaniiii

  • @nurusaid4698
    @nurusaid4698 Месяц назад

    Jameni Mrudie Mnapoziba Sauri Maana Huu Umbeya Tunauitaji Wote Cyo Nusu Nusu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +4

    MUWE SILIAS HAMISA NA KAMWE WAPI NA WAPI.

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Год назад +2

      Kwani wanasagana mpk tuseme wapi na wapi,

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 Год назад

      @@maryamtan682 LABDA ITUMIKE ILE NJIA YA KUAMUA KUMTUNUKU TU MTU..USICHEZE NA MAISHA YA WATU SISTA.

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri Год назад +2

    Ali ana akili sana

  • @NeemaRutahiwa-is3eu
    @NeemaRutahiwa-is3eu Год назад

    Kubaki msemaji wetu

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw
    @SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад

    Ali kamwe kula roho iyo yanga ni Raha na Kwa hamisa Raha

  • @burudanitiv324
    @burudanitiv324 Год назад

    Pamoja BF2047 tuko wengi

  • @nashauashumani346
    @nashauashumani346 Год назад

    Sauti inakata kata jmn mbn mnatunyima uhondo 😢

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад

    Vido nikambea , kachimbi he is my best hadi sasa 😂😂😂😂😂😂

  • @isihaqkerdehaqker1403
    @isihaqkerdehaqker1403 Год назад

    Ila Ally kamwe sio mdogo angalia usoni kwake.

  • @perpetuaselestinemazigo259
    @perpetuaselestinemazigo259 Год назад

    Naomba majina ya hizo nyimbo

  • @yusufmsaa5693
    @yusufmsaa5693 Год назад +5

    Kaka Leo umekuwa mpole kwann

  • @MelaniaSanga-kc9xc
    @MelaniaSanga-kc9xc Год назад

    😅

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Год назад +1

    Watu wamedia usipokuwa makini unajipelka tu mbona

  • @harunatengu26
    @harunatengu26 Месяц назад

    Priva amechili kwa mbaliiiii

  • @estherobrey8153
    @estherobrey8153 Год назад

    Mbona sauti imekata

  • @raybby9291
    @raybby9291 Год назад +1

    Ali kashakufa kashaoza bado kufukiwa mzima mzima tu

  • @yohannatoroka-ie5ym
    @yohannatoroka-ie5ym Год назад +1

    Oya milad mpona sauti Ina katakata

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc Год назад +6

    yani nimecheka sana,ally kaingia mzima mzima.