Hamisa Mobetto aingia kwenye Penzi zito na Alikamwe wa Yanga?/MakopaKopa yatawala

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Inadaiwa kuwa Afisa Habari wa Klabu ya #YangaSc @alikamwe na Mrembo @hamisamobetto wapo kwenye Penzi la Moto, Hii imekuja baada ya wawili hao kupostiana kwa nyakati tofauti kwenye kurasa zao za Instagram (Instastory).
    .
    Kwa upande wa #Kamwe alishare picha ya #Hamisa na kuisindikiza na neno #RAHA ,Huku #Hamisa nae alishare picha ya #Alikamwe na kuisindikiza na #KopaLaMoto .
    .
    Kwa upande wa Digital Manager wa Klabu ya #Yangasc @privaldinho Alishare ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akijiita #ShemejiYakeHamisa kitu ambacho wengi wameconnect kuwa #Hamisa na #Alikamwe ni Wapenzi
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Alikikamwe #Hamisamobetto

Комментарии • 2