HARMONIZE afunguka sababu ya kumpenda HAMISA, akanusha kumkomoa DIAMOND, amkwepa KAJALA *Exclusive

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 авг 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
    whatsapp.com/c...
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Комментарии • 331

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 9 месяцев назад +6

    Nimefurahi Sana kuona Harmonize kaipa SNS Big Interview🎉 Hii inadhihilisha wazi kwamba SNS imekuja kuleta mapinduzi makubwa zaidi kwenye tasnia hii ya online Tv. Hongereni sana SNS

  • @yusufibrahim7861
    @yusufibrahim7861 9 месяцев назад +58

    Napenda namna Harmonize anavyofanya bidii katika muziki wake,na kuipambania nafasi yake kama mwanamuziki.Si hapa Bongo tu bali hata nje ya Bongo;hatimaye bidii yake ndio hiyo imezaa matunda.Harmonize wa sasa ni tajiri na mwenye jina la kutajika ulimwengu mzima,ukilinganisha na maisha ya ufukara aliyokulia.Ama kweli Mungu ni Mwema.Ni mbali ulikotoka Jeshi na bado unaelekea mbali.Umeinspire vijana wengi sana huku nje.Big up Konde.Asante daima kwa mziki mzuri.

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 9 месяцев назад +1

      Ww unadhani ni juhudi zake tu kuwa hapo? Hakuna msanii wa WCB ambaye hana pesa na pesa zao zinapatikana kupitia digital platforms na ndio maana harmonize kwa mwaka anaachia kazi 30 hili akusanye mauzo mengi. Nchi hii 98% hakuna wasanii wanauza zaidi kupitia digital platforms kuwazidi wa WCB. Alaf bro ulimwenguni???? Kuwa serious ukiwataja top artist in Africa harmonize hayumo

    • @Tintaaahasirakirende
      @Tintaaahasirakirende 9 месяцев назад +6

      Mjinga hajibiwi but konde 4 every body 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ .... punguza makasiriko mchumba wewe tuko na konde 4rver

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 9 месяцев назад +1

      @@Tintaaahasirakirende ungevua miwani hiyo au kipofu ww, mngekuwa nae album yake ingekuwa inatrend ss hv ila DVoice jinni anakimbiza mtu.... au ndio huoni au ww la 7B

    • @LambertNdayizeye
      @LambertNdayizeye 9 месяцев назад +4

      Wallah harmonize unanikosha moyo Big Up bro

  • @GoodlifeSoftlife
    @GoodlifeSoftlife 9 месяцев назад +34

    Very smart,humble,cool Afu anaongea kwa utulivu Hadi raha 😂ukitoa bangi na vituko huyu jamaa ana nidhamu sana ni msanii mwenye nidhamu sana 🥰🥰

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 9 месяцев назад +1

      Ndio maana yuko hapo alipo

  • @ibrahimmaxmillan1430
    @ibrahimmaxmillan1430 9 месяцев назад +7

    Huyu ni Harmonize? This level ya maturity, calmness na humbleness ni kubwa mnoo!

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 9 месяцев назад +8

    Best Interview kwa Hamonize. Hongereninsana Fredick Bundala na Chris tunawapenda Famillia Sky na SNS salute ❤

  • @willykarandu246
    @willykarandu246 9 месяцев назад +89

    Mtaratibu, anajua kuwa interviewer mzuuuri sana na pia n msaniii mkubwa sana jamen❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥💥

    • @Boaz22
      @Boaz22 9 месяцев назад +3

      We endelea kushobokea wanaume,utakuja kuliwa, shauri yako

    • @muzafarsharif9465
      @muzafarsharif9465 9 месяцев назад +1

      ​@@Boaz22😂😂😂😂??

    • @fredambrose3118
      @fredambrose3118 9 месяцев назад +2

      Hakuna msanii mkubwa anayezunguka kwenye vyombo vya habari kila siku kufanya interviews hadi hv sasa kamaliza vyombo vyote vya habari alaf hatrend

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 9 месяцев назад +2

      Well said ❤

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 9 месяцев назад

      ​@@fredambrose3118wewe unataka a trend ili iweje acha ushamba

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 9 месяцев назад +12

    Best interview ever mtulivu anaongea vizuri anavutia kumsikiliza sauti nzuri mkarimu hivi ndio msanii anafaa kuwa ❤❤❤❤❤ hongera sana konde boy proud of you and congratulations to the best album Visitbongo iko mtaani ❤ Sky na Chris God bless you kwa hii interview

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 9 месяцев назад +28

    The best interview ever❤❤❤❤❤(Interview of the year⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️)

  • @amerucanboy5175
    @amerucanboy5175 9 месяцев назад +10

    N kweli SNS wanatoa tarafa za kweli, I love ❤this channel from Kenya, alfu nawafuatilia sana

  • @UsStepha-qd2ke
    @UsStepha-qd2ke 9 месяцев назад +11

    Napenda sana interview yenu ile swali Langu kwa harmanize kwanini aupendi ku fanya kazi na was ani wa Congo kama fally ipupa 🔥🔥❤️ 🇨🇩&🇹🇿

  • @celestin4684
    @celestin4684 9 месяцев назад +4

    Duuu niliona hii notification nikasema acha nikae niyitazame hii interview. Nimefulahi sana. Interview ya watu wazima kweli. Love you SNS love to Harmonize. From 🇿🇦

  • @Yushimelody
    @Yushimelody 9 месяцев назад +3

    Jamaa n mkali wa kujibu interview..team konde wapi likes zenu..❤❤❤

  • @DJShangwe
    @DJShangwe 9 месяцев назад +11

    Kwa kweli Harmonize yule wa jana siye huyu wa leo. Jamaa katulia sana halafu anaongea kwa kuzingatia zaidi utu uzima, heshima na busara. Ukisikia kukomaa ndio huko. Big up Jeshi. nime enjoy sana kukusikiliza,

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 9 месяцев назад +24

    Super proud of u harmonize jeshi,,SNS one love✊ 🇶🇦.

    • @nzeyimanamwavita1904
      @nzeyimanamwavita1904 9 месяцев назад +2

      Hongera sana harmonize 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌👌

  • @m___ck799
    @m___ck799 9 месяцев назад +75

    Harmonize knows how to speak in public, na kwa akili nyingi. Kweli genius🫡

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 9 месяцев назад +25

    Mashallah mungu nimkubwa sana awalinde inshaallah

  • @FromTanzaniatoNorway
    @FromTanzaniatoNorway 9 месяцев назад +42

    Being high or low is just a mentality❤this interview is crazy genius 👏 claps to Harmonize!

  • @salmambuta2359
    @salmambuta2359 9 месяцев назад +8

    Sns mzee SKY ni zaidi ya moto na Harmonize katulia tuuliii kama sie KUDOS kwenu nyie..... Lisaa lizima nime enjoy interview.... Much ❤ to KONDE BOY......

  • @princessmyoii
    @princessmyoii 9 месяцев назад +6

    This is the best interview ever .Harmonize is so matured and super Genius
    Congratulations SNS 👊🏽👊🏽👏👏

  • @Wdtv898
    @Wdtv898 9 месяцев назад +14

    Sns hongereni sana sana n harmonize hongera sana

  • @Life_of_collin
    @Life_of_collin 9 месяцев назад +20

    Harmonize has matured so much intellectualy as a person ..you can tell by the way anajibu maswali ..kudos brother harmonize 👍

  • @alisalim5010
    @alisalim5010 9 месяцев назад +18

    Best interview of the year 🙏🙏🙏

  • @sedjotshomba4867
    @sedjotshomba4867 9 месяцев назад +5

    This is very special interview with konde boy jeshiii tembo harmonize call him number one

  • @abdulmalikali9063
    @abdulmalikali9063 9 месяцев назад +3

    Mimi nimefurahi sns kupewa heshima kubwa na konde kwa kuwaalika kwake nyumbani👏👏👏sns sio wanafiq kama media zengine

  • @lapozzydone5203
    @lapozzydone5203 9 месяцев назад +31

    Finally leo Harmonize katua SNS
    Nimefurahi sana hii siku niliomba sana itokee sababu SNS munamchango mkubwa sana kwa wasanii hivyo ilitakiwa wasanii wasuport SNS..

    • @kiatu
      @kiatu 9 месяцев назад +4

      Wao ndio wametua

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 9 месяцев назад +17

    Harmonize na hamisa mtaweza kupendeza saana tena nyiwote waislam yaani hakuna kizuwizi itaweza kuwa couple nzuri saana kbs ❤❤❤

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 8 месяцев назад

      Natamani apate Binti wa Kiislam aliyetulia, mtoto wa ndani. Maisha ya familia yasiingiliwe na usanii. Abaki msanii kama kazi, usanii ubaki usanii.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 9 месяцев назад +23

    One of the best and cool interview 👍🏼👌👏🏼🧡

  • @user-pe1ze9sw4f
    @user-pe1ze9sw4f 9 месяцев назад +5

    Nimependa interview nzima natamani isingeisha bigp konde boy 💪💪 ❤

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 9 месяцев назад +8

    Hongera nyie wote jamani…one Hand washes the other 😍❤️🌸
    Hongera sana Harmonize keep the fire Lit🔥 🔥 🔥

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 9 месяцев назад +26

    BONGE LA INTERVIEW,,,USINGIZ PIA UMENIRUKA🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @baranmohamedmbashir5299
    @baranmohamedmbashir5299 9 месяцев назад +24

    Kukubali sana sana harmonize hogera sana sana harmonize

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 9 месяцев назад +2

    Konde yuko vizuri sana kwa interview. I love it all the way from Kenya. Sns kazi nzuri

  • @GloriaJohn-pc8wz
    @GloriaJohn-pc8wz 9 месяцев назад +34

    Proud of you brother 👏

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 9 месяцев назад +3

    🙏🙏✍️✍️Huyu jamaa ni Geneus🙏👏👏Bonge Moja la interviewer umetisha broo❤❤sky nawakubali sana mnajua kumfanyia mtu interview sana daaah❤❤👏👏🙏🙏

  • @geegee2211
    @geegee2211 9 месяцев назад +12

    I watch your channel all the time. Your teams is a vibe always. This interview is one of your best. Konde big up and congrats!

  • @ASAPGDWD
    @ASAPGDWD 9 месяцев назад +19

    Really respect ✊🏿 kondeboy ❤🎉🎉

  • @jeremiahmtui6822
    @jeremiahmtui6822 9 месяцев назад +5

    A very good interview hongera sana kwa SNS na Harmonize

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour2347 9 месяцев назад +16

    One and only #sns Asante sna kwakumleta mwamba Apa we love you All Brothers ❤🇧🇮

  • @uchebetz7284
    @uchebetz7284 9 месяцев назад +10

    Msanii wangu pendwa wa muda woteee....❤

  • @mwanashoogobo1785
    @mwanashoogobo1785 9 месяцев назад +6

    One love bro to the world nawapenda sms🇰🇪🔥🔥❤️💪

  • @joselynesango4430
    @joselynesango4430 9 месяцев назад +12

    harmonize mungu anataka wa kujishusha siyo mpaka mkigombana na mtu msisemeshanagi safi sana tena sana nguvu nguvu zaidi 🌍🇺🇸💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💔💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙harmonize ila hakuna kutu kiiniuzi kama kuona mkubwafela anasema maneno kama yae kitu mkubwa fela ajuwie yy siyo mungu kwani yy anagawaga ruziki

  • @togetherwecansolve
    @togetherwecansolve 9 месяцев назад +17

    Shikamoni Jamani Wana SNS wote popote tulipo, ombi langu kwa waandishi wetu wa SNS media haswa bwana sky please please I'm located in Namibia nakuomba kutusaidiya Sana kwa ajili ya wsani wetu wa africa SNS media mukiwa na siku yaku interview musani yeyote please ningeomba mufunguwe file ambayo mutakuwa munauliza Uma pia au mashabiki Je twaweza kumuuliza msani wetu nini kwakumushahuri pia ,mfano kwa hiyi fulsa harmonize ningemuuliza nakumushahuri kwamba ajifunze kuwekeza Sana kwenye vitu mbali mbali Sana wakati angaliki na pato pia fulsa wasije wakazeheka kama kina # DUDU BAYA , MR NICE , NAWENGINE WENGI Pia swali kwa nini aliamuwa kuweka cover ye single again remix ft ruger wakati picha pia inaongeza ama ku push ngoma mbali haswa kwa msani kama ruger ambaye Ana fan base kubwa so bila cover watu wengi walishindwa kujuwa kama hamo amefanya remix na ruger .thanks

  • @user-rz6de6pl6v
    @user-rz6de6pl6v 9 месяцев назад +7

    Sns nawakubali sana
    Wanatuletea habari yenye uhakika

  • @Fauqdaq
    @Fauqdaq 9 месяцев назад +2

    Best tanzanian musician of all the time ❤❤❤❤❤ may GOD be on your way forward to achieve more more as you can❤❤❤❤ big up brother

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 9 месяцев назад +11

    Finally he accepted to the interview 😊😊😊,

  • @sevystaronedancer1785
    @sevystaronedancer1785 9 месяцев назад +6

    Harmonize number one interview

  • @jacobmwadingo
    @jacobmwadingo 9 месяцев назад +5

    you guys have got amazing chemistry.... much respect.

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 9 месяцев назад +9

    The best interview ever ❤❤

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 8 месяцев назад +2

    The intelligence,brilliance and genius mind of this guy
    I truly believe he gave the media stations vision to diamond
    Diamond Platnumz also said,Harmonize was the first brains behind the famous Zoom Productions by Kenny Director
    Harmonize is on another level

  • @Dawah99
    @Dawah99 9 месяцев назад +1

    Kudos SNS & HARMO interview nzuri sana.

  • @fatmasharif3398
    @fatmasharif3398 9 месяцев назад +12

    Harmonaze ❤

  • @robertmlewa3442
    @robertmlewa3442 9 месяцев назад +16

    What a surprise ❤❤

  • @ibrahimabdallah4858
    @ibrahimabdallah4858 9 месяцев назад +5

    Jamaa sky anampenda Sana konde sijui kma konde anajua hlo

  • @willykarandu246
    @willykarandu246 9 месяцев назад +5

    Ila unajua broo sky sns maji ata hanywi kabsaa😂😂😂😊 sema nini mmetisha sana big interview @simulizinasauti

  • @jumakanteulejk5024
    @jumakanteulejk5024 9 месяцев назад +4

    Very smart❤

  • @Harmo-Mki01
    @Harmo-Mki01 9 месяцев назад +8

    Harmonize is my fav artist, namkubali nakumpenda sna big up to him ❤❤❤

  • @moneyVoiceCo-operation
    @moneyVoiceCo-operation 9 месяцев назад +8

    supper world classic artist KONDE BOY❤❤

  • @kriscristianomanhicamanhic9551
    @kriscristianomanhicamanhic9551 9 месяцев назад +4

    From Mozambique ❤ jeshii

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 9 месяцев назад +9

    Aliieona nnzi kwenye kofia agonge like

    • @user-hk9rc8fl7l
      @user-hk9rc8fl7l 9 месяцев назад +3

      Sto being hater and try to be postive wivu itakufanya kua maskini na usibarikiwe

  • @fatmasharif3398
    @fatmasharif3398 9 месяцев назад +7

    Wooooow

  • @anisaawadh1187
    @anisaawadh1187 9 месяцев назад +3

    Konde you’re freshh man🎉

  • @famoustim64
    @famoustim64 9 месяцев назад +4

    we need diamond on SNS brother Bundala

  • @fundi_feli6299
    @fundi_feli6299 9 месяцев назад +1

    Haya naimaliza mala mbili🎉 jama ni Genius sna Dah😮 Love from Burundi

  • @rachidemomademomaderachide5897
    @rachidemomademomaderachide5897 9 месяцев назад +5

    Noma kabissa ❤❤❤

  • @patient0slam920
    @patient0slam920 9 месяцев назад +5

    ❤️❤️❤️♥️😴 harmo ❤️❤️ i love you bro 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mamajumamukure5471
    @mamajumamukure5471 9 месяцев назад +5

    Sky mmetisha sanaaa ❤❤

  • @khamissuleiman3253
    @khamissuleiman3253 9 месяцев назад +4

    You good Sanka hapa Ireland

  • @dicksonwanyama1689
    @dicksonwanyama1689 9 месяцев назад +5

    Much respect harmonise

  • @MkutiNandaja-rz3nk
    @MkutiNandaja-rz3nk 9 месяцев назад +4

    Big up🎉

  • @ek7183
    @ek7183 9 месяцев назад +5

    Hongera Konde Boy ongeza speedy

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h 9 месяцев назад +2

    Jeshii kama jeshii killing it

  • @shamsanasserharith4998
    @shamsanasserharith4998 9 месяцев назад +3

    Wow Harmonize nimependa kila mara unamtaja Mungu una roho nzuri saana na unajua kuzungumza

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 9 месяцев назад +3

    Noma sana ❤

  • @joozeycraft2361
    @joozeycraft2361 9 месяцев назад +20

    Nimechelewa kazini na hizi interview zenu za asubui nyie na uyu kijana wetu konde.Nimeyatimba😊

  • @mtoobebe5778
    @mtoobebe5778 9 месяцев назад +22

    Harmonize so genius

  • @MremboLily
    @MremboLily 9 месяцев назад +5

    SNS is my favourite 🎉🎉🎉👌🏼

  • @user-sg1cg3su5g
    @user-sg1cg3su5g 9 месяцев назад +2

    Dah hongera sana bro

  • @yuslaelias953
    @yuslaelias953 9 месяцев назад +2

    Nampendaaa harmonize ❤❤❤❤❤

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 9 месяцев назад +3

    Kubwa bro

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 9 месяцев назад +15

    This is beautiful 🤌🤌

  • @sandramutabazi8666
    @sandramutabazi8666 9 месяцев назад +4

    Smart boy❤

  • @lionroot4073
    @lionroot4073 9 месяцев назад +3

    Bro wali unaweze kula many days a week but anategemea how much carbohydrate anakula i am PT from Sweden. Am your fn bro sns naikubali

  • @abdouluwimana9098
    @abdouluwimana9098 9 месяцев назад +3

    mm niseme ahsante sana sns mmenifuraisha sana konde amekomaa sana kbx😂😂😂

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 9 месяцев назад +6

    Visit bongo I'm coming next year on summer

  • @xtra100
    @xtra100 9 месяцев назад +14

    Bonge moja la interview....sky maji haunywi...acha kuzuga 😂😂😂

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 9 месяцев назад

      😂😂😂😂konde ata kuwapa vi soda jaman 😂😂😂

  • @isackwaite-uf1zy
    @isackwaite-uf1zy 9 месяцев назад +6

    Harmonize ❤

  • @aphroovevo681
    @aphroovevo681 9 месяцев назад +1

    Kama Harmonize anaku inspire kama Mimi show love

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi 9 месяцев назад +18

    Interview za wakubwa lazima ziskilizwe Kwa umakin

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 9 месяцев назад +5

    ONLY ONE KONDE THE JESHI❤

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 9 месяцев назад +3

    "Karibuni sana kwanza" hiyo ni zaidi ya heshima

  • @wilsonnzeyimana9780
    @wilsonnzeyimana9780 9 месяцев назад +5

    Was good SNS 🎉🎉🎉

  • @kassimussimachanoh6971
    @kassimussimachanoh6971 9 месяцев назад +1

    Genous, talk and answer. Hongera sana konde boy...

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 9 месяцев назад +7

    Homo tz aka good boy we are so proud of you we love you ❤ we watching you guys from 🇺🇸 I'm congolese say hi to zuuh and zuwena

  • @jaelkitwa1621
    @jaelkitwa1621 9 месяцев назад +5

    Konde boy 💣🔥🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mwaminindayishimiye3149
    @mwaminindayishimiye3149 9 месяцев назад +3

    Harmonize so nice❤❤❤❤ love from UK

    • @AllyKagozi
      @AllyKagozi 9 месяцев назад

      Karibu Tz..just waiting 4 u😜🤗

  • @beatricejeromemushi2868
    @beatricejeromemushi2868 9 месяцев назад +3

    Am so proud of sns too coZ mimi nimeanza nao since day one ❤

  • @noswingofficial9624
    @noswingofficial9624 9 месяцев назад +2

    From RWANDA we love you sana my brother Konde boi

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 9 месяцев назад +6

    Sns ndan ya konde vilage

  • @AndersonBryson-br1xv
    @AndersonBryson-br1xv 9 месяцев назад +3

    Hv mnajua harmonize kakua Yan anajibu kiutu uzima sasa

  • @boniphacefimbo5533
    @boniphacefimbo5533 9 месяцев назад +2

    💥💥💥🙌