Tuache ushabiki kesi kwa mpira wa miguu ni mbaya sana na hairuhusiwi timu inaweza kufungiwa mpira hautakiwi kupelekwa mahakamani moira una mahali pake pakushitaki Tff Caf Fifa baraza la mpira Tznzania siyo mahakamani
Mwanasheria nijuavyo mimi mpira haupelekwi mahakamani hiyo imekuaje najua ibara ya 64 inasema timu ikipelekwa mahakamani haitashiriki ligi wala mechi za kimataifa sasa haya mambo yakoje
Adamu mbona huelewi nikwamba mgawanyo wa madaraka pawepo anayoshughulika kesi za kilabu, pawepo anayeshughulikia usajili na kadhalika bimaana wakati magoma anafungua kesi muhusika idara hiyo angeshughulikia hata isingefika huko. Umenielewa umemuelewa alichokisema mwanasheria wa FIFA?
Kikubwa kwenye taasisi yetu eneo la Sheria tunapokuwa na kesi tunazidiwa hivyo naomba uongozi kufanya maboresho makubwa kwa kumpata mwanasheria mwingine ambaye ataweza kukabili kesi zetu zinapojitikeza kuliko Hali hii inayoendelea sasa hata magoma anapata nguvu ya kutusumbua kisheria
Mtu kuichafua brand sio jipya ila mtu akiichafua brand na akafanikiwa ndio tatizo. Sasa unavyoona wenye yanga yao si wanaendelea na ratiba zao. Au kuna kilichobadilika.
Kama mnaona haiwezekani Yanga kutokujua kama inashitakiwa na nyie vyombo vya habari mlishindwa kuripoti kesi hiyo tangu mwaka jana, mmesubiri mtu mmoja avujishe taarifa hii ndio kila mmoja anaona mwanasheria wa Yanga hajui kazi yake, hata hivyo Magoma tangu siku ya kwanza alisema hajaishitaki Yanga na uongozi wake bali ni bodi ya wadhamini na akainisha majina yao.
YANGA WANAMWANASHERIA KILAZA SANA..HATA ALIVYOKUWA ANAONGEA NA WAANDISHI WA HABARINALIKUWA.ANAONGEA KWA MIHEMUKO NA KIMUHUKUMU MAGOMA KUWA AMEFANYA FOJARI.BILA KUWA UTHIBITISHO MAHAKAMA NDO INAWEZA.KUTHIBITISHA HILO WALA.SIYOMYY
Hata sisi mashabiki tulioko mtaani hatujuwi hiyo kesi sembuse viongozi walioko bize na kazi. Na kwenda mahakamani bila kupata wito halali sidhani kama ni utaratibu mzuri. Mnaongea nadharia tu hapo museme yaliyopo hayo mengine tutayajua baadae.
YANGA KUBWA INAHITAJI WANASHERIA WAKUBWA. UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYIKA, UNADAI KITENGO CHA SHERIA KILICHO IMARA,KIUWEZO,KIUZOEFU NA EXPOSURE PIA. Kitengo kilichopo hakiendani na ukubwa wa yanga wa sasa. Bila kuoneana aibu kwa maslahi mapana ya yanga, wanasheria waliopo hawatufai
Kama tulivyo na uhaba wa wanahabari nchi hii vivyo hivyo tuna uhaba wa wanasheria makini. Wengi wao ni makanjanja tu. Tazama tumavyopigwa kwenye mikataba. Kina Magoma wamepata publicity kitokana na mapungufu ya kisheria. Yanga ni Taasisi (Institution) inayojulokana kimataifa, inaruhusuje vilaza kama Magoma kuhatarisha Brand yake? Mimi nafikiri Katiba yao ina mapungufu makubwa. Na huyo mbobezi wetu mbona anajitafuna tafuna? Atuambie bayana Yanga wamehukumiwa kihalali? Kwa Magoma kwenda mahakamani wakati TFF ipo, ni sahihi? Hao kina Mama-Karume wame-affidave kuhusu uhalali wa signatures zao?
Nanayehoji na anayehojiwa wote wanaongelea na kuogelea kstika udhanifu. Sijapata hoja yenye mantiki. Ujinga kuonakwamba hapa kuna "one man show"! Kukalia "terminology" hazisaidii bila kuwa umefanyia utafiti wa kiutosha katika mada husika ni upuuzi mtupu!
Yanga wawe walikuwa hawajui au wanajua kesi hiyo haiwahusu Yanga. Ikionekana aliyefungua muhuni hana mamlaka hayo itafia hapo. Na hiyo itamfunga huyo mzee.
NINACHOJIULIZA ni kwamba najua MAGOMA SIO MWANASHERIA hata kwa ngazi ya cheti sasa KAWANINI AMEKUWA MAARUFU KISHERIA KULIKO MWANASHERIA WA YANGA NA KUUMIZA KICHWA SHERIA ZA KLABU YA YANGA?
Huyu mwanasheria ni kolo hivi unaweza kwenda mahakamani tu bila wito? Au ukasikia mtaani kwamba unashitakiwa,ukaamua kwenda mahakamani,ukifika pale utasema nimesikia nashitakiwa hapa? Mimi mnanichanganya
Ameelezea mahakama namna ya kumpa taarifa mtuhumiwa au tasisi ili afike mahakamani,kwa samasi na publication.hajasema vibaya acha mihemuko alichosema pia yeye kwa klabu kama yangu haamini kwamba mahakama haikuwapa taarifa ya kufika mahakaman
yeye ahamini kama yanga awajui anamahanisha hata mama karume sio mkweli ameongopa kusema ajausishwa kwatafasiliya huyo mwanashelia wako ndugu mtangazaji ifikike sehemu tukubali kinachosemwa na wausika na si kiakili zetu tuache tuone tuachekujua sana kesi inawezakua Kuna ukweli na unaweza kua na udanganyifu tusiamini kiakili yetu mpaka iuzishe pande zote
Kazi ipo
Kenya nchi ilitolewa katika mashindano ya mpira kwa muda wa mwaka basda ya kuingilia viongozi bila kushirikisha taasisi zz mpira
Amesema lazima yanga walitumiwa barua ya witoma kimahaka
Tuache ushabiki kesi kwa mpira wa miguu ni mbaya sana na hairuhusiwi timu inaweza kufungiwa mpira hautakiwi kupelekwa mahakamani moira una mahali pake pakushitaki Tff Caf Fifa baraza la mpira Tznzania siyo mahakamani
Mwanasheria nijuavyo mimi mpira haupelekwi mahakamani hiyo imekuaje najua ibara ya 64 inasema timu ikipelekwa mahakamani haitashiriki ligi wala mechi za kimataifa sasa haya mambo yakoje
Adamu mbona huelewi nikwamba mgawanyo wa madaraka pawepo anayoshughulika kesi za kilabu, pawepo anayeshughulikia usajili na kadhalika bimaana wakati magoma anafungua kesi muhusika idara hiyo angeshughulikia hata isingefika huko. Umenielewa umemuelewa alichokisema mwanasheria wa FIFA?
JE HAKI YA KUKABIDHIWA TIMU INATOKA WAPI AU MAHAKAMA INA UWEZO YA KUMPA MTU KITU INAYOMTAKA
Kikubwa kwenye taasisi yetu eneo la Sheria tunapokuwa na kesi tunazidiwa hivyo naomba uongozi kufanya maboresho makubwa kwa kumpata mwanasheria mwingine ambaye ataweza kukabili kesi zetu zinapojitikeza kuliko Hali hii inayoendelea sasa hata magoma anapata nguvu ya kutusumbua kisheria
Hivyo vibabu viwili vimetuletea nuksi kweli.
😂😂😂
Mtangazaji ni Yanga ila wakili ni msomi sana namkubali
Mtu kuichafua brand sio jipya ila mtu akiichafua brand na akafanikiwa ndio tatizo. Sasa unavyoona wenye yanga yao si wanaendelea na ratiba zao. Au kuna kilichobadilika.
Huyu sio mwanasheria
Dawa ya magoma na mwaipopo tunaijua sisi wanayanga itakua ni fundisho kwa wazee wengine waliobaki tutakata kelele zao
Kama mnaona haiwezekani Yanga kutokujua kama inashitakiwa na nyie vyombo vya habari mlishindwa kuripoti kesi hiyo tangu mwaka jana, mmesubiri mtu mmoja avujishe taarifa hii ndio kila mmoja anaona mwanasheria wa Yanga hajui kazi yake, hata hivyo Magoma tangu siku ya kwanza alisema hajaishitaki Yanga na uongozi wake bali ni bodi ya wadhamini na akainisha majina yao.
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI ANATAKIWA APIGE MARUFUKU MAMBO YA SOKA KUPELEKWA MAHAKAMANI HII NI AINA YA UJINGA WA AJABU SANA
YANGA WANAMWANASHERIA KILAZA SANA..HATA ALIVYOKUWA ANAONGEA NA WAANDISHI WA HABARINALIKUWA.ANAONGEA KWA MIHEMUKO NA KIMUHUKUMU MAGOMA KUWA AMEFANYA FOJARI.BILA KUWA UTHIBITISHO MAHAKAMA NDO INAWEZA.KUTHIBITISHA HILO WALA.SIYOMYY
Hata sisi mashabiki tulioko mtaani hatujuwi hiyo kesi sembuse viongozi walioko bize na kazi. Na kwenda mahakamani bila kupata wito halali sidhani kama ni utaratibu mzuri. Mnaongea nadharia tu hapo museme yaliyopo hayo mengine tutayajua baadae.
Herse fukuza yule mwanasheria uchwara mchukue huyu Mwamba. Kila siku tunapigwa. Kwa Morrison tulipigwa.
Huyu sasa ndio mwanasheria sio wa madeni fc
Brother huyu anaijua Sheria kweli?
Huyu yeye anabwabwaja tu haongei Sheria inasemaje
Kama ni Mwanasheria basi bila shaka anaijua Sheria.
Ingelikuwa kesi ipo TFF sawa
YANGA KUBWA
INAHITAJI WANASHERIA WAKUBWA. UWEKEZAJI MKUBWA ULIOFANYIKA, UNADAI KITENGO CHA SHERIA KILICHO IMARA,KIUWEZO,KIUZOEFU NA EXPOSURE PIA. Kitengo kilichopo hakiendani na ukubwa wa yanga wa sasa. Bila kuoneana aibu kwa maslahi mapana ya yanga, wanasheria waliopo hawatufai
UMEONGEA VIZURI SANA
Kama tulivyo na uhaba wa wanahabari nchi hii vivyo hivyo tuna uhaba wa wanasheria makini. Wengi wao ni makanjanja tu. Tazama tumavyopigwa kwenye mikataba. Kina Magoma wamepata publicity kitokana na mapungufu ya kisheria. Yanga ni Taasisi (Institution) inayojulokana kimataifa, inaruhusuje vilaza kama Magoma kuhatarisha Brand yake? Mimi nafikiri Katiba yao ina mapungufu makubwa. Na huyo mbobezi wetu mbona anajitafuna tafuna? Atuambie bayana Yanga wamehukumiwa kihalali? Kwa Magoma kwenda mahakamani wakati TFF ipo, ni sahihi? Hao kina Mama-Karume wame-affidave kuhusu uhalali wa signatures zao?
Unaongea sana kuliko mwanasheria
Nanayehoji na anayehojiwa wote wanaongelea na kuogelea kstika udhanifu. Sijapata hoja yenye mantiki. Ujinga kuonakwamba hapa kuna "one man show"! Kukalia "terminology" hazisaidii bila kuwa umefanyia utafiti wa kiutosha katika mada husika ni upuuzi mtupu!
Ana miaka 4 hajawa mwanachama siyo miaka miwili.
Yanga wawe walikuwa hawajui au wanajua kesi hiyo haiwahusu Yanga. Ikionekana aliyefungua muhuni hana mamlaka hayo itafia hapo. Na hiyo itamfunga huyo mzee.
Ivi ummuelewa mzee,yeye nachodai ni katiba hikosawaa,hana shida na watu wla hajamshtaki mtu,shid yake ni katiba iwekwe sawa tu basii
HUJUI SHERIA.POLE
NINACHOJIULIZA ni kwamba najua MAGOMA SIO MWANASHERIA hata kwa ngazi ya cheti sasa KAWANINI AMEKUWA MAARUFU KISHERIA KULIKO MWANASHERIA WA YANGA NA KUUMIZA KICHWA SHERIA ZA KLABU YA YANGA?
Wacheni dawa iwaingie nyie ngogwe
Huyu mwanasheria ni kolo hivi unaweza kwenda mahakamani tu bila wito? Au ukasikia mtaani kwamba unashitakiwa,ukaamua kwenda mahakamani,ukifika pale utasema nimesikia nashitakiwa hapa? Mimi mnanichanganya
Ameelezea mahakama namna ya kumpa taarifa mtuhumiwa au tasisi ili afike mahakamani,kwa samasi na publication.hajasema vibaya acha mihemuko alichosema pia yeye kwa klabu kama yangu haamini kwamba mahakama haikuwapa taarifa ya kufika mahakaman
yeye ahamini kama yanga awajui anamahanisha hata mama karume sio mkweli ameongopa kusema ajausishwa kwatafasiliya huyo mwanashelia wako ndugu mtangazaji ifikike sehemu tukubali kinachosemwa na wausika na si kiakili zetu tuache tuone tuachekujua sana kesi inawezakua Kuna ukweli na unaweza kua na udanganyifu tusiamini kiakili yetu mpaka iuzishe pande zote
Sasa labda nimuulize mwanasheria
Hivi kila siku mwanasheria wa Yanga awe anaenda mahakamani kujua kuwakuna kesi ya Yanga
MFUATE OFISINI KWAKE KAMA UNATAKA KWELI JIBU ZURI