MZEE MAGOMA: AFUNGUKA A-Z SAKATALA LA HUKUMU"NDANI YA YANGA KUNAWATU WA SIMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 140

  • @LucyRashid-v9g
    @LucyRashid-v9g Месяц назад +11

    Mzee mungu amubaliki uposajihi watanzania atujielewi

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Месяц назад +19

    UBAYA UBWELA 😂😂😂😂😂😂😂APEWE MAUA YAKE MZEE MAGOMA🎉🎉🎉🎉😅😅😅😅

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Месяц назад +1

    Mzee Magoma kichwaaa,ana Madini na hoja za msingi mpaka zinamwagika🙌🙌,wanyoosheee

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Месяц назад +2

    Ina maana Juma Alli Magoma, anawaumiza vichwa yanga wrote, akina Mwigulu, Mzee kikwete 😂😂😂😂😂

  • @ZainabSimith-ey6vm
    @ZainabSimith-ey6vm Месяц назад +6

    Asante sana tukipata watu kama Hawa nchi hii itanyooka maana magumashi mengi wezi wengo

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Месяц назад +7

    Mzee magoma oyee mzee anaejielewa 😂

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Месяц назад +9

    Jumaa magoma upo sahii komaaa Babu mwisho watajua ukweli

    • @DulaMudi
      @DulaMudi Месяц назад

      wewe chizi na uyo Kuma mweziyo

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 Месяц назад +2

    Magoma mtamuelewa tu madri muda unapozidi kwenda.

  • @mawazochaula3642
    @mawazochaula3642 Месяц назад +1

    Nimemuelewa Sana Huyu Mzee Yupo Sawa Sana tena Sana

  • @autorashautoelectrician2205
    @autorashautoelectrician2205 Месяц назад +6

    Uyu Mzee mkiachana namachiki yasiyo nakichwa Wala miguu mtamshukulu badae coz nimepitia come to nyiingi nimatusi tupu kwa uyo Mzee namuona anjaaa sip ila angekua mdos apo aaaaa unge unga mkono hoja sio ila ukweli mta kuja kuufaam na mta mshukulu kwa jitiada zake binafsi kwa clab

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Месяц назад

      Hana akili hao , wabongo wengi akili hawana

    • @SaraRobert-io8xv
      @SaraRobert-io8xv Месяц назад

      Sasa si tunatak haki yanini tunachotaka tim icheze vizur wasajili watu wamaan.vingne atutaki

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Месяц назад +2

    Nani kamuona mzee magoma akiwacheka wala mihogo nipeni likes 😂😂😂

  • @salumndumba4934
    @salumndumba4934 Месяц назад +3

    Mtu wa kunyoosha safi sana mangoma mpira uendelee

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Месяц назад +6

    wenye akili yanga ameongezeka magoma

  • @EngJosh
    @EngJosh Месяц назад +6

    Utopolo hiv mnasikiliza kweli

    • @user-vj4ip8cp5h
      @user-vj4ip8cp5h Месяц назад

      Ww jinsia gani kwani

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Месяц назад

      Ata watu hawana habari nae.
      Kwasbb kwasbb hoja zote ni dhaifu.
      Huwezi kusikilizwa mtu mmoja kati ya watu 50,000.Waachwe watu 50000 usikilizwe wewe mmoja peke yako.
      Jangili wa saini za watu.

  • @michaelmazoya9244
    @michaelmazoya9244 Месяц назад +10

    Mzee akili nyingi.

  • @lakezonekisungaa4190
    @lakezonekisungaa4190 Месяц назад +1

    Akimaliza mama Samia jiandae kua Rais maana una Uma Gufuli ndani yako

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka7199 Месяц назад +13

    Juma magoma ww ni jembe komaaa tunakuunga mkono wananchi ..komaaaaaaa

  • @HamadJuma-hr5ij
    @HamadJuma-hr5ij Месяц назад +11

    Seema baba

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 Месяц назад +1

    Wanachama wa uto ni mazwazwa magoma Yuko sawa

  • @ursulinenyandindi3051
    @ursulinenyandindi3051 Месяц назад +3

    Sema huwezi kukaza hivi kama huna manufaa flani . hata kama kweli wakina hersi wanabugi au hawabugi.

  • @user-gs2ir3bg4j
    @user-gs2ir3bg4j Месяц назад +7

    Vyula muna musikia Mzee magoma sio munalopoka kwasababu timu unafanya vzr ndani ya timu amujui nini kinaenderea ah utupolooo

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Месяц назад +1

    Mzee haelewi nani kaenda ku bush nani kabush,mmh kumbe😂injini kimbi mambo yana harbika huku hehehe huyu mzee hatr

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Месяц назад +7

    Mwandishi unajificha unaogop kutengwa 😂😂

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 Месяц назад +1

    Mzee unaacha kulea wajukuu unaangaika navitu visivyo na msingi ata kumlpa Azizi Kii kwamwez uwez

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Месяц назад +1

    Wazee wa aina hii ni wachache, hata Simba wapo kwenye Maswali km haya kuhusu Mdhamini mmoja yaani Mo Dewij,
    Angalia Simba walivyoyumba Baada ya Mo kukaa pembeni kidogo,
    Amerudi sasa unaona matumaini yamerudi, Je asingerudi? Somo ni hili hapa kuwa Timu hizi zipunguze utegemezi wa Mdhamini mmoja,
    Hata sisi Washabiki Ifike mahali tusiendelee kuwa Washabiki bali tuwe Wanachama, na tuwe na michango ya wanachama ili zile 51% za wanachama zionekane zikifanya kazi ndani ya club.
    Hili analodai Huyu Mzee Simba walishapitia wamebakiza moja tu kuhusu kuwa na wadhamini wengi.

  • @user-ec3iz6pg2i
    @user-ec3iz6pg2i Месяц назад +3

    Mzee akili kubwa kasoma na nyerere huyo akili zinamwagika

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Месяц назад +1

    Mshua kanyooka kishenzi na yuko sahihi. Kitenge ni Yanga na ni Mwimba kinoma

  • @SimonAmon-dr8xw
    @SimonAmon-dr8xw Месяц назад +1

    Nilicho Gundua Watanzania Wengi Hasa Hasa mashabiki wa Yanga Hili jambo la magoma Wamalipokea Kwa Mhemko Fc. Wanamtukana bila kujua sheria

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Месяц назад

      Hawana akili 😂😂😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Месяц назад +1

    MUDA SI MREFU TIMU MPYA INANUNULIWA , KISHA WAZEE WANABAKI NA VYURA WAO JANGWANI..

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Huyu mzee yupo sahihi tatizo bongo watu wanaishi uongo uongo tu ndio maana upigaji na baadae tunsonekana wehu utadhani hakuna wanafikili kumbe rushwa tupu kupeana hara chafu

  • @EngJosh
    @EngJosh Месяц назад +3

    Mzee mbona anaeleweka kanyooka kabisa utopolo sikilizen achen mkumbo

  • @MakameSuleiman
    @MakameSuleiman Месяц назад

    Magoma

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 9 дней назад

    Magoma umegonga mwamba

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 Месяц назад +1

    Sema baba usiogope Selikali ipo nyuma yako,

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Месяц назад +3

    yanga mnatia aibu magumashi ni mengi sana ubingwa wenu miaka mitatu ni wa mchongo

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Месяц назад

    Mh hatar sana hiyo mzee waondio wabushi

  • @salehhemed9388
    @salehhemed9388 Месяц назад

    Huyu mzee anafaa kuwa lekchara sema uto hawamwelewi 😂😅 vichwa vigumu

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 Месяц назад +1

    Wasomi wengi inchi hii hawana akili big up mzee

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Месяц назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @AironKanduru-oi7ky
    @AironKanduru-oi7ky Месяц назад

    MZEE magoma kweli yanga anafanana NA yanga macho kichwa yaani hadi KIFUA ila akili take kubwa kama mnyama sports club

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Месяц назад +3

    Sasa kama hawakusahini hao waliowakilishwa hawakusahini chochote sasa wamewakilishwa vipi bila sahini zao sasa onyesha hiyo nyaraka za ukumu ulizobaki nazo wew

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Месяц назад +1

    Uyo mzee msmpuze ayupo pekeyake tumieni akili wanayanga mbona mpo gizani msikilize ndipo muelewe ajakulupuka uyo wako wengi ata viongozi wakuu wako nyuma yake kaeni tulien

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      Andika vzr au amekuandikia magoma 😂😂😂😂

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916 Месяц назад +1

    Magoma umemsikia mama f kasema hajui lolote umegush saini yake kofia ita kaa vizuri mzee c unaweka kofia mlegezo mzee utavaa vizuri

  • @TamerisOmary
    @TamerisOmary Месяц назад

    Yaaaaaaaap

  • @lakezonekisungaa4190
    @lakezonekisungaa4190 Месяц назад

    Daka kadi ya CCM kabisa

  • @MadukwaAlphonce
    @MadukwaAlphonce Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 Месяц назад +1

    Yanga chukueni kadi yenu kumuondoa/apoteze uanachama huyu atasumbua wananchi na furaha yenu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      Mzee anajichoshaaa tu huyu anatafuta pesa

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Месяц назад +2

    yanga ni aibu ndiyo maana mmenunuwa marefa wachezaji miaka mitatu ni aibu kubwa

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Месяц назад +2

    We mzee Rita hawasajili katiba mzee utaenda kufungwa mi nipo paleee

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Elimu
    Elimu
    Elimu

  • @nsajigwamwakalinga3591
    @nsajigwamwakalinga3591 Месяц назад

    Kwanini unapinga wakati yanatokea mazuri

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv Месяц назад

    Ivi huyu mzee anatak nini kama anataka timu si afungue magoma sport klab

  • @Kingsusi
    @Kingsusi Месяц назад

    Mzee umewashika pabaya 😂

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Месяц назад

    Muuulize magoma yeye yupo Tawi gani? La Yanga

  • @mariuskahwa3346
    @mariuskahwa3346 Месяц назад

    Lengo lako nini mzee Magoma?

  • @eliudipetrokwaslema3918
    @eliudipetrokwaslema3918 Месяц назад

    Mzee amechemsha katumwa na simba ili avuruge Yanga furaha yetu mashabiki wa Yanga tunataka makombe mzee aache tamaa aende Simba akiona vipi.. Kwanza kwanini kaja kuanzisha kipindi hii kama sio mamluki wa Simba huyo mzee msituyumbishe mzee we achana na Yanga fanya mambo yako.

  • @DulaMudi
    @DulaMudi Месяц назад +1

    uyu mze kuma kweri magoma kuma yamama yako fara wewe ukipewa timu utaiweza kuwiyong-oza wewe mzee usitutafute kumawewe

    • @DulaMudi
      @DulaMudi Месяц назад +1

      ikufikie mbwege wewe maswara ayo kamwambie mama Yako fara wewe

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 Месяц назад +1

    Mzee una busara Ila utapoteza hizo busara zako
    We Rudi kimya kimya Kaa na wazee wenzako...mtamaliza

  • @MathewKaduma-ns6yv
    @MathewKaduma-ns6yv Месяц назад

    Kwhy mzee magoma unataka turudi mikononi mwa Wanachama??? Tunataka furaha wananchi ila we mzee magoma unataka kuchumia tumbo lako, umechemka timu siyo Mali yako.

  • @user-jb7of2oq7k
    @user-jb7of2oq7k Месяц назад +1

    mtoe mtoto

  • @SalumMwankemwa
    @SalumMwankemwa Месяц назад

    Sasa wewe Mzee unachotaka Nini zaidi

  • @muunganopetermtemi1535
    @muunganopetermtemi1535 Месяц назад

    Wewe mzee haki yako ni mali za wazazi wako na siyo mali za yanga ,jichunguze vizuli mzee wangu,

  • @user-xv2zm5ec9y
    @user-xv2zm5ec9y Месяц назад

    Kwasasa wapo3

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Месяц назад

    Utopolo ni mbumbumbu 😂

  • @user-xo7zg4hm7l
    @user-xo7zg4hm7l Месяц назад

    Supu mbaya walitaka wakudumaze

  • @user-gl2jd4wb5p
    @user-gl2jd4wb5p Месяц назад +1

    Njaa njaaa njaaa mbaya magoma nilichogunduwa polojo zote za magoma ni njaaa tupu

  • @swahibumaliki1547
    @swahibumaliki1547 Месяц назад

    Sasa kama huna hela unataka uwachuwe timu wemzee tafuta kz yakufanya acha njaa

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Месяц назад

    Mzee komaa achana na mashabiki maandazi wanaofuta upepo wewe umejitambua

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 Месяц назад

    Aibu kumbe hata katiba niyamchongo

  • @mtalemwadenis1500
    @mtalemwadenis1500 Месяц назад

    Hana jipya huyu
    Anahangaika na Timu ya Mpira baada akae ajitafakari maisha yake yote kafanya Nini na hapa anazeeka na U....ma wake

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад

    Mzee nimemuelewa pia yeye anataka meza tu apate chochote kitu

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад

    Pia alipie kadi gharama ya hiyo Miaka minne

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Месяц назад +1

    we acha unafiki, hakuna anayehitaji shukurani zako. we subiri majibu ya ubuuzi wako. inawezekana una hoja lakini mchakato unahusisha kughushi ili upate mseleleko wa kisheria subiri.

  • @MatiasAndrea-m6i
    @MatiasAndrea-m6i Месяц назад

    Huyu mzee Hana akri kabisa anamatope kwenye mafanikio yeye analeta njaa huko ni kujizaririsha

  • @HakimuMaliki
    @HakimuMaliki Месяц назад

    Njaa mbaya inamsumbua Rais wetu huyo Mzee usisubutu kakanae kuongelea yanga dawa yake Iko jikoni

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 Месяц назад

    Msgoma kama magoma 😂

  • @natamihambo8077
    @natamihambo8077 Месяц назад

    Ana hela kumbeee, katoa milioni kabisa 😂😂

    • @MathewKaduma-ns6yv
      @MathewKaduma-ns6yv Месяц назад

      Nyie madunduka hamnazoooo, yaanii litimu lenu bovuuuuu, mpo nafasi ya 3 aibuuuu timu uongozi haueleweki leo mmekazana ujinga tuuu hamnazoooo!! Tunajua mmeleta mhadara Hy njaa tu .

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Месяц назад

    Haji manara msikilize kwa makini usikulupuke utajidhalilisha bure utaonekana nonsense

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Месяц назад +1

    huyu mzee ni kiboko GSM MPE B.1 ATULIE

  • @prince783
    @prince783 Месяц назад

    Wapigaji baada ya kugeukana 😂

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 Месяц назад

    mpeni kichwa badae mtamuacha atabaki pekeyake

  • @linahjackson5515
    @linahjackson5515 Месяц назад +1

    Wewe mzee ni muda wa kupumzika unakoelekea ni shida

  • @Ntishibimwajanga
    @Ntishibimwajanga Месяц назад

    Mzee kachoka kuishi huyo atembee tu ahelaaaa

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw Месяц назад +1

    Magoma kuma mako magoma kuma mako magoma kuma mako! Narudia mara 3 namaanisha

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 Месяц назад

    Fala mkubwa kafie mbali

  • @graysonkhamsin6325
    @graysonkhamsin6325 Месяц назад +1

    mzee tuliza akili uumalize mwendo salama ya nzengo iachie nzengo

  • @ramadhanihot1945
    @ramadhanihot1945 Месяц назад

    Wewe mzee kweli nichizii wana yanga wanasema hawakutambuwi wewe sio mwana chamaa wewe unazungumzia yanga gani iyoo au unayanga yako binafsi tifauti na yanga Africa 🌍

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Месяц назад

    Japhet una IQ sana ya kufanya Mahojiano esee uko vizuri mno...umeiva siyo kama wale vilaza..
    Kwa Maelezo ya huyu mzee Saimon kajitia kidole..asipokuwa Makini kitawaka.

  • @HakimuMaliki
    @HakimuMaliki Месяц назад

    Tuviachie vyombo vyasheria

  • @KhamisHamad-ts8pp
    @KhamisHamad-ts8pp Месяц назад +1

    Tengeneza katiba ya kwako uongoze familia yk siyo yanga

  • @daudikamage9055
    @daudikamage9055 Месяц назад

    Huyu mzee ninahamu nae maana sijala mshikak muda mrefu ntaanza nayeye ebu nambie nyumban kwake

    • @DulaMudi
      @DulaMudi Месяц назад +1

      Yani mimi namtamani uyufara magoma daaa Yani anakera uyu fara Yani Aya maneno siakamwambie mama yake uko

  • @NelbatKasekwa
    @NelbatKasekwa Месяц назад +1

    Mzee unatukosea saana Wana yanga wewe nani?

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Месяц назад

      Akili huna unakwenda kwenda kama mdudu na ndio shida ya watu weusi wapuuzi

  • @Selendabachahe
    @Selendabachahe Месяц назад

    Safisana magoma

  • @SAKINAJUMA-ey8qd
    @SAKINAJUMA-ey8qd Месяц назад

    Kitu ambacho nimeelewa huyu mzeee anapata Cha kuongea kupitia mazungumzo ambayo anayasikia Kwa watu mfano alichoozungumza baba alikamwe huyu mzee kimemsevu kujitetea

  • @user-gn6ko8tr2o
    @user-gn6ko8tr2o Месяц назад

    Una mali gani wewe mzee huku yanga

  • @MohammedMzimba
    @MohammedMzimba Месяц назад

    Poa upo vinzuri

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Месяц назад +1

    Hilii lizeee ni zwazwa kwel

  • @wasiahashim7913
    @wasiahashim7913 Месяц назад

    Yaan nilidhani una hoja za msingi kumbe upuuzi mtupu

  • @etufaniakahemela5879
    @etufaniakahemela5879 9 дней назад

    Wanakujua wewe ni mkorofi

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Месяц назад

    Eleweni nyie

  • @nawafpugi
    @nawafpugi Месяц назад

    Huyu mzee sijuwi kama fafiri huyu