Nimekuelewa! unapo wasilisha unabii kwa ujasiri! Usiogope kwa kuwa kama MUNGU, ndie amekutuma, wewe ni chombo tu, hupaswi kujishusha kwa kuhofia watu. MUNGU, akutie nguvu utoke kudhani wewe ndie unazungumza. Yohan 14:19-20. Amen.
Jaman mie nakumbuka saana lema alitoa unabii wake wenye zalau walizaliu usimzalau usie mjua mama endelea na kaz ya mungu usiogope wenye zarau na kejel mungu akubalik
Wanaosema kachizika au laah!!kuweni makini saana kwani hakuna mwenye uhakika.mambo mengine ni bora kuyaacha kama yalivyo ili kujiepusha na laana au mabalaa usiyoyajua.binafsi sielewi lakini mm ni nani mpaka nipinge?tulishaambiwa kuna mbegu zilizopo dunia ambazo vyakula vyake vitakuwa na vichocheo vya hormone za kike kwa wanaume.mm ni nani hata nipinge?
hamna mungu nyie mnaabudu mizimu tu na sisi hatuwezi kusikilza maneno ya mizimu ya kishetani maana ni roho chafu na ni dhambi, malaika ambae ni nabii mwanamke kichwa wazi hapo alipo anatembea na janaba halafu useme katokewa na mungu
Mmmh ivi Madeleka si yule.......na huyu ndiye Mke wale au? Kwaiyo watu siku hizi wanajitengenezea movie ndani.Ha ha ha ha..Mama tafuta kazi ingine..Hatuna Mungu wa Siasa.....hiyo movie mmetengenezea chumbani..
Mungu wa mbinguni anataka watu wote waokolewe, na KAZI ya Mhubiri ni kuhubiri wema na waovu ili wote wafikilie au wafikilie toba na wapate uzima wa milele. Kusema Mkuu wa Mkowa wa Arusha Makonda amekumbatia vijana
Duh! Haya bana mama nabidi niamini kuliko kutokuamini ila asije akaonekana mchonganishi kwa viongozi wengine maana kuna watu na viatu😁😁😁😁😁ila nafikiri wakati umewadia kila goti litapigwa kwake yesu kristo amen 🤔🙏🙏🙏🙏
Mama shuka chini mbele za Mungu,mwambie Mungu kama ni wewe naomba ujumbe huu ujirudie tena na ilitakiwa usiseme mpaka upate uhakika kweli ni Mungu amesema wewe?
Si kweli kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Hata wachache huweza kuwa sauti ya Mungu. Ni SAUTI YA HAKI NA UKWELI TU NDIO SAUTI YA MUNGU. Mtu mmoja mwenye haki na mkweli anaweza kuwa sauti ya Mungu kama NABII kuliko sauti millioni za wasio haki na waongo.
Wewe ulitokewa na mashetani na sii Mwenyewe Mungu usidanganye watu, halafu wakristo hammjui Mwenyenzi mungu ,wewe ni mwana siasa ana sii malaika na sii nabii.
sasa Mungu na siasa wapi na wapi jmn Mungu wa Brahanham hataki siasa wanasiasa wapo kwa ajiri yakutimiza unabii wakee !!!!!!!!!!!Alafu hakuna Malaika Mwanamke
Tungeacha sasa kumchukiza Baba wa Mbinguni hebu tuache huo ujinga mala Yesu kanitokea mala Mungu amenitokea hebu jaribuni kuwa wastarabu tumheshimu baba wa Mbinguni , ujinga huuu sitaukubali nikiwa raisi mimi hii ni dharau
Unaogopa watu wasiojulikana kuongelea siasa unasingizia umetumwa na Mungu huo ni unafki. Kwann Mungu km anataka ivyo hasimtokee Mama Samia mwenyew mpk akufuate ww😂
Hebu kaeleze hako kashida ulikokaona ktk unabii huu ambao ni sauti ya Mungu! Yamkini wewe ni miongoni mwa MASHETANI wanao mshauri Rais akubali UJEURI wa CCM dhidi ya tume huru ya uchaguzi. Sasa wananchi HAWAIBEMBELEZI tena CCM; na Mungu anasema “NI DAMU TU KUMWAGIKA NDIYO NJIA PEKEE YA WATANGANYIKA KUJIPATIA HAKI YAO.”
😅😅😅😅😅 hakuna mtanzania mjinga skuiz uongo mtupu Makonda atabaki kua makonda na Bashe na makamba watakua malaika wa mchongo acha zako Tanzania kuna wajanja kuliko malaika wa mchongo
Hata Lema alisema wakapuuza. Anachosema huyu mama, si yeye tu, ila baadhi yamesemwa na watumishi wakubwa wa Mungu, hasa eneo la mbegu, na utawala. Ujumbe usipuuzwe!!!!
😂😂😂😂😂 Nchii hii ina Mambo!!
MwenyeziMungu atunusuru na matamanio ya watu wabaya.
Hongera MamaJamira.Tumekuelewa ❤
Maneno ya Mungu huwa sipingi- Nimekuelewa mama na si wote wanaweza kukuelewa
Ni sahihu
Ni sahihi
Ni sahihi
😂😂😂
Truly
JE ULIPOMUONA MUNGU ALIKUWA AMEVAA SUTI AU KANZU? TUAMBIE BIBIE
MUNGU AKUBARIKI SANAAA.
Ubarikiwe sana mama Peter Madereka❤
Be blessed my dear🙏🙏
Nimekuelewa! unapo wasilisha unabii kwa ujasiri! Usiogope kwa kuwa kama MUNGU, ndie amekutuma, wewe ni chombo tu, hupaswi kujishusha kwa kuhofia watu. MUNGU, akutie nguvu utoke kudhani wewe ndie unazungumza. Yohan 14:19-20. Amen.
Nakubaliana nawewe saaana mungu na akubariki sana
Ubalikiwe sana mama.
Jaman mie nakumbuka saana lema alitoa unabii wake wenye zalau walizaliu usimzalau usie mjua mama endelea na kaz ya mungu usiogope wenye zarau na kejel mungu akubalik
Leo nimejua akili za Madeleka chanzo cheke ni wapi!aiseeee
😂😂😂😂 daaaah hi nchi
Lisemwalo lipo kama alipo laja
Mimi Enny nampenda yesu kwahili 😮😮😮😮😮 ngoja nifunge kwanza
Wanaosema kachizika au laah!!kuweni makini saana kwani hakuna mwenye uhakika.mambo mengine ni bora kuyaacha kama yalivyo ili kujiepusha na laana au mabalaa usiyoyajua.binafsi sielewi lakini mm ni nani mpaka nipinge?tulishaambiwa kuna mbegu zilizopo dunia ambazo vyakula vyake vitakuwa na vichocheo vya hormone za kike kwa wanaume.mm ni nani hata nipinge?
Nibora kuamini kuliko kutokuamini. Mungu atusamehe Sana.
Naomba namba ya huyu mama
Yesu alikuja kwa ajiri ya watu wenye dhambi sio wema. Kwa hiyo Makonda anafanya vizuri ila mama lala uendelee kuota ndoto mbaya
Mwenye masikio,naasikie maneno haya ambayo Mungu awaambia wanadamu,Mungu huwajulisha awapendao
hamna mungu nyie mnaabudu mizimu tu na sisi hatuwezi kusikilza maneno ya mizimu ya kishetani maana ni roho chafu na ni dhambi, malaika ambae ni nabii mwanamke kichwa wazi hapo alipo anatembea na janaba halafu useme katokewa na mungu
Wanaopaswa kudhibiti viwatilifu vyenye madhara ni TBS siyo Hussein Bashe.
Mungu hapendi uonevu Mama naamini upo sahihi
Usipo amini je akiwa ni Mungu utafanyaje
😂😂😂Tanzania sihami😅 Mambo ni Mengi muda Hautoshi, Tutaondoka tumechoka SAANA 😂😂😂😂
Nimecheka utafikili mazuri😂😂😂
Mwenye sikio na asikie. BABA utusamehe na kuturehemu. Tanzania tembea na Neema ya MUNGU. Asante mama. Iko siku watakujua na kukupa heshima yako.
mungu.tusaidie wakuelewa wataelewa hana kichaa huyu ni maono ya mungu watu kama hawa wapo wachache sana
Nauona ukweli ndani ya huyu mama.
Amini Kama unahami,na Kama hauamini Basi, Basi,ipo siku hutamini,na mawazo ya mtu yoyote yule yaheshimike,
Umeongea ukweli.wanaipinga semen wenu.yeue ajapinda mtu katazarisha watu.
Mungu tusaidie watoto wako.vyema kuomba na sio kupinga haya.
😅😅😅😅😅😅daah
Hahahajajaaaaaaaaa jamani nchi hii inamambo jamani imevamiwa
Mi dijakuelewa kabisa hatakidogo
YESU KRISTO ni Bwana na mwokozi,.
😅 kachizika mchana kweupeee anaongea mambo yanayomsumbua kichwani
Huna unalojua ndio tatizo linalikusumbua
Uwiiii
Wee siyo mzima,unamatatizo ya Akili..kama sivyo basi umeumizwa unasema yaliyo moyoni mwako nasi ya Mungu
Uwiii 😂😂😂😂 dah Mungu tusamee
Mama MUNGU Kulinde najua Kuna watu hawataelewa hujumbe huu walee waovu
eme peleka huko
Kesho utapewa unabii wa kimwacha madereka ili umtmikie MUNGU vizuri 🤔
Ivi sis waafrica alituloga nan😂😂😂😂😂Booh jaman tushakua kama machizi
Acha tu MTZ mwenzangu maana daaah
Afya ya akili ni changamoto inayoongezeka kadri siku zinavyokwenda
Wakija wataalamu watamwa access watajua shida inaanzia wapi huyu aliyekuwa Afisa w Uhamiaji
Na Hubarikiwe Amina
hujielewi wewe muabudu mizimu mungu gani anayeijua neno democrasia mungu anaemjua DJ Mbowe si hatari hii
Hiyo kweli ni MEDITATION
Mama ume Nena mungu akulinde
Yn Mungu amekuja kukufunulia kuhusu siasa t 😂😂 haka kabibi tena kanasema ni chosen one😂😂😂
Mungu atutimizie bila kuwaumiza wenye lengo jema na nchi yetu
Mmmh ivi Madeleka si yule.......na huyu ndiye Mke wale au? Kwaiyo watu siku hizi wanajitengenezea movie ndani.Ha ha ha ha..Mama tafuta kazi ingine..Hatuna Mungu wa Siasa.....hiyo movie mmetengenezea chumbani..
Watokanao na Mungu hawakubaliki na MASHETANI.
Mangu akuinue
Ibrahim TZ 😂😂😂😂 jamani. Hiv mazombi yana exist kweli? .Mwenyezi Mungu na siasa wapi na wapi? Yan huyu angekuwa enzi za Ibrahim tumpiga vitofa 😅😅😅😅
Mungu wa mbinguni anataka watu wote waokolewe, na KAZI ya Mhubiri ni kuhubiri wema na waovu ili wote wafikilie au wafikilie toba na wapate uzima wa milele. Kusema Mkuu wa Mkowa wa Arusha Makonda amekumbatia vijana
Wewe ni malaika?😂😂
Uko sawa mama nimekuelewa sana mama na mungu akubariki meaeg imefika
Zombiz 😂😂😂😂 devils mamangu umepigwaa vita Mungu amlinde amiri jeshi mkuu wa Tanzania🇹🇿
Wewe muongo sana, acha swaga
Mungu aponye Tanzania , Kenya damu imemwagika sana nahofia TZ mlindwe na Mungu
Kweli Duniani kuna mambo vituko kila uchwao Acha kuleta ramli chonganishi itabidi uhojiwe vizuri Polisi wamewataja watu kwa majina yao
Kwaupande wa lais Samia nikwer wabaya wamemzunguluka kweli na Mimi nimekuona Samia akiwa ndani ya kibaba Cha mpesa nikawazasana leo nimezibitisha
Hamna maono hapo. acha hizo swaga mama
Maneno mazito sana haya, dada Mungu akubariki sana kwa kufikisha ujumbe huu muhimu...
Mungu atusamehe Sana.
Kiki hizi zinakera Mungu wako mimi simo hilo ni pepo
Hapo kwanza nicheke. Manabii wa mchongo
Duh! Haya bana mama nabidi niamini kuliko kutokuamini ila asije akaonekana mchonganishi kwa viongozi wengine maana kuna watu na viatu😁😁😁😁😁ila nafikiri wakati umewadia kila goti litapigwa kwake yesu kristo amen 🤔🙏🙏🙏🙏
Kweli wagalatia mmechanganyikiwa 😢😢😢😢😢
Mbona mtume wenu mnasema alitokewa ?
@@zakiamseka9698 ROHO MTAKATIFU LINI ANAKUJA WAGALATIA MAPEPO YAMITOKE 🤧🤧🤧🤧🤧🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Yy ni malaika
Mama shuka chini mbele za Mungu,mwambie Mungu kama ni wewe naomba ujumbe huu ujirudie tena na ilitakiwa usiseme mpaka upate uhakika kweli ni Mungu amesema wewe?
Si kweli kuwa sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Hata wachache huweza kuwa sauti ya Mungu. Ni SAUTI YA HAKI NA UKWELI TU NDIO SAUTI YA MUNGU. Mtu mmoja mwenye haki na mkweli anaweza kuwa sauti ya Mungu kama NABII kuliko sauti millioni za wasio haki na waongo.
hivyo vitu amevitunga.tu hana.lolote huyo
Wewe ulitokewa na mashetani na sii Mwenyewe Mungu usidanganye watu, halafu wakristo hammjui Mwenyenzi mungu ,wewe ni mwana siasa ana sii malaika na sii nabii.
Mungu akubariki kuhani wa bwana❤
sasa Mungu na siasa wapi na wapi jmn Mungu wa Brahanham hataki siasa wanasiasa wapo kwa ajiri yakutimiza unabii wakee !!!!!!!!!!!Alafu hakuna Malaika Mwanamke
😂😂😂 Sisemi sana ila muulizeni mchungaji hananja nikweli mlachips anaweza kuonana na M/MNGU?
Huyu Mungu ulipiga nae story kweli... Si Mungu angekuchagua uwe Raisi
Malaika Jamila!!😅
Mungu sasa amekuwa Mwanasiasa
😂😂😂😂😂😂nakufa
Tungeacha sasa kumchukiza Baba wa Mbinguni hebu tuache huo ujinga mala Yesu kanitokea mala Mungu amenitokea hebu jaribuni kuwa wastarabu tumheshimu baba wa Mbinguni , ujinga huuu sitaukubali nikiwa raisi mimi hii ni dharau
Huyo mungu akuonyesha mwigulu na matozo yote haya wewe huyo ni pepo sio mungu😂😂😂
We we mama wapi imeandikwa kwamba sauti ya wengi ni sauti ya Mungu. Unabii wako hauko sawa na maandiko. Hiyo moja.
Tuambie ben sanane yupo wapi
Natamani kutumwa na Mungu!🤲🙏
Mtafute huyo Mungu kwa bidii kama mwenzako alivyo mtafuta, ndipo atakutuma.
Kweli kabisa sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Mimi siidharau hata siku moja
Huna akili ati, sasa utapingaje wakati we mwenyewe hujitambuwi hata unachokiamini mjomba
Bongo kunusurika 🔥🔥🔥 ni ngumu xna tunachezea Jina la Allah hovyo mno 😭😭😭 da!
Tulishaambiwa..siku za mwisho watatujia mitume..manabii teleee wa uongo...sasa ndo tuyaonayo..Allh atuepushe nao..na atujaalie mwisho mwema inshllh.
Tangu lini waislamu mmjue MUNGU na wakati ninyi ni maamuma hamna MUNGU ninyi mna ya amini majini
@@andrewkissava9184km uko vzr leta maandiko kuthibitisha unachoongea
Mungu akusamehe bure @@andrewkissava9184
@@andrewkissava9184 mimi siyo muislam ila umekosea sana kusema maneno haya
Unaogopa watu wasiojulikana kuongelea siasa unasingizia umetumwa na Mungu huo ni unafki. Kwann Mungu km anataka ivyo hasimtokee Mama Samia mwenyew mpk akufuate ww😂
Ushauri wangu kwako mtoa unabii km unabii huu hukutumwa hata na lusifa basi ni vema ukatubu
Mungu atakuchukia
Akuna mungu apo umetokewa roho za mtakakitu
Hapa kuna kashida flani ivi!
Ebu tusiongee sana
Hebu kaeleze hako kashida ulikokaona ktk unabii huu ambao ni sauti ya Mungu! Yamkini wewe ni miongoni mwa MASHETANI wanao mshauri Rais akubali UJEURI wa CCM dhidi ya tume huru ya uchaguzi. Sasa wananchi HAWAIBEMBELEZI tena CCM; na Mungu anasema “NI DAMU TU KUMWAGIKA NDIYO NJIA PEKEE YA WATANGANYIKA KUJIPATIA HAKI YAO.”
😅😅😅😅😅 hakuna mtanzania mjinga skuiz uongo mtupu Makonda atabaki kua makonda na Bashe na makamba watakua malaika wa mchongo acha zako Tanzania kuna wajanja kuliko malaika wa mchongo
Sauti ya watu ndo sauti ya mungu
Mungu yupi?na watu wepi, ndio M/Mungu huwasiliana na waja wake ila sio kila mja haswa kijitu kama hichi, kimekaa uchi apo shetani mtupu
Acha ujinga we mama, tafuta shamba ukalime uko, Malaika hanyi wala hawamuasi M/Mungu wewe malaika una breed, unakunya, unakula, unakuja kuongea upuuzi apa
Milifikiria ni unabby wa mafuriko na kimbunga hidaya kumbe ni siasa😂😂😂
Sauti yawatu nisauti ya Mungu. Tusizarau jamn maneno ya huy Mama
Kaka huyo ni mnafiki musa hakumuona itakua yeye mungu asema mwanamke yeyote asimamae kwa watu nakutoa sauti amelaaniwa huyo mungu aw
Huyo Mungu alikuwa mzungu au vipi kiki nyingine vipi zumaridi ulikutana naee
😂😂😂😂
Huyu ni muongo
Huyu mjelajela anatafuta kiki
Asante malaika kutoka kwenye familia ya kimalaika Tanzania .!!!
Hata Lema alisema wakapuuza. Anachosema huyu mama, si yeye tu, ila baadhi yamesemwa na watumishi wakubwa wa Mungu, hasa eneo la mbegu, na utawala. Ujumbe usipuuzwe!!!!
Sasa huu ni unabii? Anyway acha tusubirie. Maana shaka yangu imekuja alipoacha kuongea aliofunuliwa, kaanza kueleza ya kwake binafsi. Tusubirie
Kweli wewe umepewa unabii wa tofauti, hivi kweli upewe unabii tofauti tofauti, acha hizo tricks bado utasema Mungu amekuamru urudi uhamiaji
naona millardayo mwenyew hajataka kuiweka hii habar 😀 coz ni mawazo yako mama yanaongea na kujifunua juu yako mwenyew..
Hu ni unabii wa kweli kabisa
Waambie mama wakishupaza shingo itavunjika.
Kwahio mlikua mnapiga stor au
😂😂😂😂 mna vituko sana
Mungu ni samehe ila sina uhakika na huu unabii🏃
Falaaa wewe hauna hakili faalaaaa sana