Jinsi ya kutatua tatizo la REUSED CONTENT ndani ya YouTube 2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 окт 2024

Комментарии • 69

  • @Richstartz
    @Richstartz  2 года назад +3

    Unafanya nini unapojisikia vibaya? Je, unawasiliana na daktari au una google dalili zako? Muda mfupi uliopita nimepata suluhisho nadhifu na sahihi zaidi ambalo hukusaidia kudhibiti afya yako na kuelewa vyema kinachoweza kusababisha dalili zako, kwa kutumia Ada. Ada ni programu ya afya isiyolipishwa ambayo hutoa ufikiaji wa huduma bora kwa mamilioni ulimwenguni kote. Angalia programu yao na udhibiti afya yako leo. Pakua sasa ada.link/dowload

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 9 месяцев назад +1

    Noted🎉

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 2 года назад +3

    Bonge La Darasa Kaka 🙏🙏💪💪

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад +1

      Asante sana kaka. Don't forget to share

    • @Mbeyaconscious
      @Mbeyaconscious 2 года назад +1

      @@Richstartz ✊✊

  • @Craytos_Baraka
    @Craytos_Baraka 2 года назад +2

    Video nzury Rich one of my best creator Tanzania

  • @imone1730
    @imone1730 Год назад

    Nimekuelewa sana aiseeee 🤛 Hii kitu imenisumbua sana...

  • @joelmedia_
    @joelmedia_ 2 года назад +1

    Safi bro

  • @lilcruzofficial
    @lilcruzofficial Год назад

    Daah kaka video kali sana matmaini yangu itanisaidia , , , asnate , , Ubarikiwe

  • @bernardshija2621
    @bernardshija2621 2 года назад +1

    Safiii Bloangu

  • @chidymedia7051
    @chidymedia7051 2 года назад +1

    Tukopamoja brother Somo zuri sana

  • @MakulaStudios
    @MakulaStudios 2 года назад

    Naomba namba yako Kuna kaz tufanye mkuu

  • @kazimilyvoice
    @kazimilyvoice 2 года назад

    Shukran Sana Bro

  • @robymidea
    @robymidea 7 месяцев назад

    Asante kwaelimu ubarikiwe

  • @Theprimesage
    @Theprimesage 2 года назад

    nice rich star nimeelewa ngoja tufanyie ka

  • @6tvkibabe358
    @6tvkibabe358 2 года назад +1

    nakubali mzee darasa nzuri

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      Asante sana kaka. Tupo pamoja

  • @Kilango-media
    @Kilango-media 2 года назад

    Niaje richstar

  • @habarikiswahili
    @habarikiswahili 2 года назад

    Broo unaweza kufundisha JInsi ya kucovet video bila kupoteza Quality yake? Yani ukitumia camera/DSLR camera size ya video dk 5 tu unakuta ni GB 2+ JInsi ya kupunguza size bila kupoteza Quality yake.. 🙏🙏

  • @almadrasatulrahmazanzibar6183
    @almadrasatulrahmazanzibar6183 2 года назад +1

    A.alaykum, kaka nahitaji msaada wako kuhus channel yngu, kwaiy naomb tuwasiliane itakua vzur zaid in shaa Allah

  • @mbondetz
    @mbondetz 2 года назад

    Nice

  • @Official_charz17..
    @Official_charz17.. 2 года назад

    Darasa lako nimelipenda sana kaka

  • @mbigilitv180
    @mbigilitv180 2 года назад

    Nahitaji namba Yako kaka pleaz

  • @ndapwatv6600
    @ndapwatv6600 2 года назад

    najifunza mwanangu

  • @Filamuseriestv
    @Filamuseriestv Год назад

    Kama umefikisha vigezo vyao ukafuta video zote unaanza upya kutafta masaa tena au?

  • @Moviany31
    @Moviany31 2 года назад

    Teacher

  • @itshaluastyle
    @itshaluastyle 2 года назад +1

    Tunashukuru kaka

  • @faidoninyondo
    @faidoninyondo 2 года назад +1

    Naomba unifungulie yutyubu inayo ingiza kipato?

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад +1

      Kuna video ipo ipitie katika channel yangu. Ipitie utajifunza

  • @directorchasama
    @directorchasama 2 года назад

    Thanks kaka Hii Natumaini itanisaidia na nitarudi kukupa feedback hata Kama Ni siku 90 mbele 🙏🙏🙏

  • @kizimkazifamilytv8422
    @kizimkazifamilytv8422 2 года назад

    Mamb vp kaka

  • @steamtvtz
    @steamtvtz 4 месяца назад

    Ukimaliza ku apply tena na kukubaliwa monetizing je pesa ambayo uliyoiyengeneza awali unaendelea nayo au unaanza upya?

  • @kizimkazifamilytv8422
    @kizimkazifamilytv8422 2 года назад

    Vp unaweza kunisaidiaa kupata lut color

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 2 года назад

    Mimi naomba unisaidie kukamilisha zile steps ili niweze kuwa monetized please.

  • @IVOSports20
    @IVOSports20 Год назад

    Nakupataje tuongee..Maana nimehustle kutafuta 4000 hrs..Nimefanikiwa kufikia vigezo vya monetization ila nilipoapply juzi,nimeambiwa REUSED CONTENT..Nakupataje ili unisaidie

  • @sportarenatanzania1293
    @sportarenatanzania1293 2 года назад +1

    Mzee kama ulikuwa unaniandalia mm 🤦🤦🤦

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад +1

      Hii ni changamoto inayowakuta watu wengi nikaona tuifanyie Tutorial

  • @teachingtrueofgod
    @teachingtrueofgod 2 года назад +1

    Nimebarikiwa muhanga Mimi🙏🙏🙏

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      Enjoy kijana na maarifa haya

  • @Kimlaslyrics
    @Kimlaslyrics Год назад

    Kaka mimi ninaswali 1, Mm ninatengeneza Lyrics ila nashindwa kuelewa kitu kimoja, naweza tengeneza Lyrics then hyo video ina kuwa blocked lkn, nakutana na channel nyingine zimetengeneza lyrics za wimbo huo na haijablockiwa, unadhan mm nakuwa nimekwama wap? Naomba msaada plz

  • @jeiseven9935
    @jeiseven9935 2 года назад

    Kaka samahani naomba unisaidie ety kam ulkuw umeomb monetization alaf walivyokataa wakakupa siku 30 wewe ukafuta zile video alaf ukaanza upya then wakasem wanatak upate masaa elf4 vipi naweza kurud ten kweny monetization

  • @kitchenwithmanca2261
    @kitchenwithmanca2261 2 года назад +1

    Kaka ni husababisha watch hours kushuka kila siku

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      Kila siku 28 watch hours, views huwa zina badirika badirka kwa sababu analytics zinajionyesha za mwezi tu kwa hio kila mwezi unapoanza zinaanza kuheaabu upya ndiyo maana zinapanda na kushuka. Ukitaka uzione vizui kuwa zinaingezeka weka lifetime ktk kuangalia analytics

    • @kitchenwithmanca2261
      @kitchenwithmanca2261 2 года назад +1

      @@Richstartz naangalia ata ivo. Vip huwa zinarudi au zikiondoka ndo zimeondoka kaka

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      @@kitchenwithmanca2261 Ondoa shaka zitakaa sawa

  • @dailylifetz
    @dailylifetz 2 года назад +1

    Kaka channel yangu bado aijawa monetized ila kuna baadh ya video zangu zinakuwa na matangazo apo inakuaje?

  • @kigodathecreator
    @kigodathecreator 2 года назад

    Hiyo tv next time izime TU inapunguza concentration ya views. Ushauri TU brother

  • @Soja60
    @Soja60 2 года назад

    Samahani brother hivi views 10 zina shilingi ngapi ya kitanzania?

  • @Kilango-media
    @Kilango-media 2 года назад +1

    Nashida na contacts yako ya wasap kuna vitu vinanichangany vya youtube

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      Vitu gani

    • @Kilango-media
      @Kilango-media 2 года назад

      Nimetimiza vgezo vyotee ila mirabahaa aisomii

    • @Richstartz
      @Richstartz  2 года назад

      @@Kilango-media uli apply monetization na ukakubaliwa ?

    • @Kilango-media
      @Kilango-media 2 года назад

      Niliapply ila sikujibiwa mda mrefu sana