Unafanya nini unapojisikia vibaya? Je, unawasiliana na daktari au una google dalili zako? Muda mfupi uliopita nimepata suluhisho nadhifu na sahihi zaidi ambalo hukusaidia kudhibiti afya yako na kuelewa vyema kinachoweza kusababisha dalili zako, kwa kutumia Ada. Ada ni programu ya afya isiyolipishwa ambayo hutoa ufikiaji wa huduma bora kwa mamilioni ulimwenguni kote. Angalia programu yao na udhibiti afya yako leo. Pakua sasa ada.link/dowload
Broo unaweza kufundisha JInsi ya kucovet video bila kupoteza Quality yake? Yani ukitumia camera/DSLR camera size ya video dk 5 tu unakuta ni GB 2+ JInsi ya kupunguza size bila kupoteza Quality yake.. 🙏🙏
Nakupataje tuongee..Maana nimehustle kutafuta 4000 hrs..Nimefanikiwa kufikia vigezo vya monetization ila nilipoapply juzi,nimeambiwa REUSED CONTENT..Nakupataje ili unisaidie
Kaka mimi ninaswali 1, Mm ninatengeneza Lyrics ila nashindwa kuelewa kitu kimoja, naweza tengeneza Lyrics then hyo video ina kuwa blocked lkn, nakutana na channel nyingine zimetengeneza lyrics za wimbo huo na haijablockiwa, unadhan mm nakuwa nimekwama wap? Naomba msaada plz
Kila siku 28 watch hours, views huwa zina badirika badirka kwa sababu analytics zinajionyesha za mwezi tu kwa hio kila mwezi unapoanza zinaanza kuheaabu upya ndiyo maana zinapanda na kushuka. Ukitaka uzione vizui kuwa zinaingezeka weka lifetime ktk kuangalia analytics
Unafanya nini unapojisikia vibaya? Je, unawasiliana na daktari au una google dalili zako? Muda mfupi uliopita nimepata suluhisho nadhifu na sahihi zaidi ambalo hukusaidia kudhibiti afya yako na kuelewa vyema kinachoweza kusababisha dalili zako, kwa kutumia Ada. Ada ni programu ya afya isiyolipishwa ambayo hutoa ufikiaji wa huduma bora kwa mamilioni ulimwenguni kote. Angalia programu yao na udhibiti afya yako leo. Pakua sasa ada.link/dowload
Noted🎉
Bonge La Darasa Kaka 🙏🙏💪💪
Asante sana kaka. Don't forget to share
@@Richstartz ✊✊
Video nzury Rich one of my best creator Tanzania
Asante sana
@@Richstartz 🔥🙌🏿
Nimekuelewa sana aiseeee 🤛 Hii kitu imenisumbua sana...
Safi bro
Nashukuru sana
Daah kaka video kali sana matmaini yangu itanisaidia , , , asnate , , Ubarikiwe
Safiii Bloangu
Asante sana
Tukopamoja brother Somo zuri sana
Asante sana
Naomba namba yako Kuna kaz tufanye mkuu
Shukran Sana Bro
Asante kwaelimu ubarikiwe
nice rich star nimeelewa ngoja tufanyie ka
nakubali mzee darasa nzuri
Asante sana kaka. Tupo pamoja
Niaje richstar
Broo unaweza kufundisha JInsi ya kucovet video bila kupoteza Quality yake? Yani ukitumia camera/DSLR camera size ya video dk 5 tu unakuta ni GB 2+ JInsi ya kupunguza size bila kupoteza Quality yake.. 🙏🙏
A.alaykum, kaka nahitaji msaada wako kuhus channel yngu, kwaiy naomb tuwasiliane itakua vzur zaid in shaa Allah
Ina changamoto gani ?
@@Richstartz tungewasiliana private ingekua vizur, naomb tufanye iyo biashara
Nice
Darasa lako nimelipenda sana kaka
Nahitaji namba Yako kaka pleaz
najifunza mwanangu
Kama umefikisha vigezo vyao ukafuta video zote unaanza upya kutafta masaa tena au?
Teacher
Tunashukuru kaka
Shukrani
Naomba unifungulie yutyubu inayo ingiza kipato?
Kuna video ipo ipitie katika channel yangu. Ipitie utajifunza
Thanks kaka Hii Natumaini itanisaidia na nitarudi kukupa feedback hata Kama Ni siku 90 mbele 🙏🙏🙏
Mamb vp kaka
Ukimaliza ku apply tena na kukubaliwa monetizing je pesa ambayo uliyoiyengeneza awali unaendelea nayo au unaanza upya?
Vp unaweza kunisaidiaa kupata lut color
Mimi naomba unisaidie kukamilisha zile steps ili niweze kuwa monetized please.
Nakupataje tuongee..Maana nimehustle kutafuta 4000 hrs..Nimefanikiwa kufikia vigezo vya monetization ila nilipoapply juzi,nimeambiwa REUSED CONTENT..Nakupataje ili unisaidie
Mzee kama ulikuwa unaniandalia mm 🤦🤦🤦
Hii ni changamoto inayowakuta watu wengi nikaona tuifanyie Tutorial
Nimebarikiwa muhanga Mimi🙏🙏🙏
Enjoy kijana na maarifa haya
Kaka mimi ninaswali 1, Mm ninatengeneza Lyrics ila nashindwa kuelewa kitu kimoja, naweza tengeneza Lyrics then hyo video ina kuwa blocked lkn, nakutana na channel nyingine zimetengeneza lyrics za wimbo huo na haijablockiwa, unadhan mm nakuwa nimekwama wap? Naomba msaada plz
Kaka samahani naomba unisaidie ety kam ulkuw umeomb monetization alaf walivyokataa wakakupa siku 30 wewe ukafuta zile video alaf ukaanza upya then wakasem wanatak upate masaa elf4 vipi naweza kurud ten kweny monetization
Kaka ni husababisha watch hours kushuka kila siku
Kila siku 28 watch hours, views huwa zina badirika badirka kwa sababu analytics zinajionyesha za mwezi tu kwa hio kila mwezi unapoanza zinaanza kuheaabu upya ndiyo maana zinapanda na kushuka. Ukitaka uzione vizui kuwa zinaingezeka weka lifetime ktk kuangalia analytics
@@Richstartz naangalia ata ivo. Vip huwa zinarudi au zikiondoka ndo zimeondoka kaka
@@kitchenwithmanca2261 Ondoa shaka zitakaa sawa
Kaka channel yangu bado aijawa monetized ila kuna baadh ya video zangu zinakuwa na matangazo apo inakuaje?
RUclips wamewyaweka
Me nalia t
Hiyo tv next time izime TU inapunguza concentration ya views. Ushauri TU brother
Asante sana kwa maoni yako
@@Richstartz naomba tuwasiline ninashida
Naomba namba yako
@@AlHilaalyOnlineTV rmaguluko@gmail.com
Samahani brother hivi views 10 zina shilingi ngapi ya kitanzania?
Nashida na contacts yako ya wasap kuna vitu vinanichangany vya youtube
Vitu gani
Nimetimiza vgezo vyotee ila mirabahaa aisomii
@@Kilango-media uli apply monetization na ukakubaliwa ?
Niliapply ila sikujibiwa mda mrefu sana