TUNAENDA KUOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Vijana kuweni maakini sana kwenye shughuli zenu sio kila mnae muona njiani ni mkosi kwenu...
    Wengine mnapoteza baraka kwa ujinga wenu......

Комментарии • 655

  • @berrymshana4686
    @berrymshana4686 2 года назад +12

    Kaka hii ya kisasa haswaaaaaaaaa ndoto yangu siku moja nifanye kazi na wewe umekua ukinishawishi tangu kitambo mnoooo kazi nzuri mnoo💥💥💥💥💥

  • @BongoZaKitambo55
    @BongoZaKitambo55 2 года назад +5

    Kuna ngoma ya insp haroun inaitwa kisa cha baba mkwe inafafana na hii ya joti big up sana

    • @mustaphagairo2266
      @mustaphagairo2266 2 года назад

      Joti ameamua kuboresha kwa huku, ile ngoma kitambo sana

    • @samwelignas2440
      @samwelignas2440 5 месяцев назад

      Joti amecopy na kupaste kwa Inspector

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 2 года назад +7

    mashabiki wa joti sema kimeumana na ugonge like

  • @levinaringoma
    @levinaringoma 2 года назад +19

    Father-in-law hatari Kwa kurusha ngumi.. Jotiiiiiiii love your comedies 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @mkatungu7457
      @mkatungu7457 2 года назад

      Duuu hizo ngumi ni Bakari. Joti unaniua

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +14

    Nimecheka kifala sana. Joti we ni legend dah😂😂😂😂😂😂🇹🇿.

  • @emmanueloinoth
    @emmanueloinoth 2 года назад +11

    The best comedians east Africa 🌍 jotti love from 🇺🇬

    • @johnsagala
      @johnsagala Год назад

      Hahahaaaaa! Kweli jot ni Noooma! Mwenyezi Mungu akuweke miaka mia.....aisiii unachekesha Sana!

    • @JacksonKanzira-wp3wt
      @JacksonKanzira-wp3wt 6 месяцев назад

      Joti is from 🇹🇿

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 2 года назад +33

    Thank you Mr Joti I like when you act like Andunji! Love from Burundi 🇧🇮

  • @khaliddadi2063
    @khaliddadi2063 2 года назад +4

    Duuuh Amazing location😍
    Joti hakika kwenye hii video umetisha sana suala la Location
    Congratulations❤

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 года назад +16

    Ubaya wa hii story mtazamaji anakuwa ameshaielewa mwisho wake kabla haijaisha!

  • @jameschengo1471
    @jameschengo1471 2 года назад +15

    from kenya watching the best comedian joti.rly like your creative your hot and great comedian bigup broo.! no one like you

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 2 года назад +1

    Good location My bro MUNGU akutunze sana

  • @stephanmpangire4741
    @stephanmpangire4741 2 года назад +16

    Katika maisha tunatakiwa kuheshimiana kila mmoja, mkubwa kwa mdogo na zaidi wale ambao tusiowajua

  • @geffreymburu4839
    @geffreymburu4839 2 года назад +1

    Mko juu tu Sana big luv from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 2 года назад +9

    Watu wapo active km tukio la kweli.location on point."wacha nikachukuwe vitendea kazi,nilikuwa sijawaona"
    Thx bro.

  • @Conshamusic
    @Conshamusic 2 года назад +73

    JOTI IS THE BEST COMEDIAN ALL THE TIME😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @suleimanngare6707
    @suleimanngare6707 2 года назад +2

    Kitumbua kimeingia mchanga🤣🤣🤣🤣🤣imeweza 🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪🤝

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 2 года назад +15

    Nilipoanza kusikia kua "Shughuli ni watu, na watu wenyew ndio sis' nikajua hapa hakuna ndoa ni mangumi tu ya baba harusi kw mkwe wake...🤣😄😆😁

    • @aronpaul2331
      @aronpaul2331 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @PabloEscobar-wt1fq
    @PabloEscobar-wt1fq 2 года назад +23

    Joti ur (Goat ) greatest of all the time comedian in Tanzania u crack my ribs even before I watch ur Videos. Salute keep entertaining Tanzanian...

  • @jacksonfocus4922
    @jacksonfocus4922 2 года назад +3

    Mwamba safi sana umemkuza jamaa yuko fresh san...👊🏻

    • @suleimanhabib7072
      @suleimanhabib7072 2 года назад

      Ah uyu mtu bhana kweli anakipaji cha kuchekesha 😁😁😁💪👌

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 2 года назад

    Mwamba unajua sana skuiz, team nzima inajua sana, Kanyinyi na Mlewa mmetisha sana.

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 2 года назад +10

    😂😂😂😂 joti kafundisha kitu kimoja kikubwa kwamba usimdharau usiyemjua wamempiga kumbe Baba mkwe😂😂😂 Big up Sana Bro👏🏼👏🏼

    • @baloz8974
      @baloz8974 Год назад +1

      True udhaniae ndie kumbe siye

  • @anordkulanga5811
    @anordkulanga5811 2 года назад +11

    Jot brother hatareee sana...you are super comedian bro...

  • @stevekasawala2315
    @stevekasawala2315 2 года назад +17

    Master of comedy in Tanzania

  • @shammxtv5608
    @shammxtv5608 2 года назад +3

    Wapi wazaramoo🤣bt cjapetaaa waowaji hamuna heshma🤣🤣💗

  • @arnhemzuid8885
    @arnhemzuid8885 2 года назад

    😃😃 Mwamba kanywea. Ati Mpambe wa Bwana harusi kaenda kuchukua fegi, 😁😁

  • @miriamkarata7495
    @miriamkarata7495 2 года назад +1

    Mnamkung'uta baba mkwe ,mtajua hamjui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 2 года назад +26

    Joti tutakusajili katika timu yetu ya familia ya mo boxing😂

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 2 года назад +1

    Baunsa yupo vzr joti kampika

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 10 месяцев назад +1

    😂😂😂, mama kapata Baba

  • @pmall8867
    @pmall8867 2 года назад +2

    Very funny...
    Kwanini gari ya harus Ina nembo ya wasafi au sioni vizur😳😳

  • @ramamsafitv1477
    @ramamsafitv1477 2 года назад +6

    Joti uko vizuri napenda kazi zako

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 2 года назад

    Jot ww ni ni mkali wa komed mzee majuto alikutambua kwa kusema hakuna komed yoyote apa bongo alie mchekesha zaid ya joty na halina ubishi kwa ilo hongera sana hongeren kwa nyot mlio shirik umo ndani

  • @hanifwari206
    @hanifwari206 2 года назад +1

    A Kenyan from Mombasa, nakuangalia nikiwa Doha-QATAR

  • @samuelntaconagize1445
    @samuelntaconagize1445 2 года назад +1

    Nakubali Mjomba Kazi Yako Nayikubali San Nikiwa 🇿🇦

  • @norbertlucas4144
    @norbertlucas4144 2 года назад

    Kitambo kidogo Inspector Haroun babu..alikua na ngoma yenye maudhui hayaaa..

  • @mansourally91
    @mansourally91 2 года назад +7

    JOTI HE IS SO TALENTED 🔥🔥🔥🙌🙌

  • @mwanamisiramadhan4773
    @mwanamisiramadhan4773 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣ukisikia kitumbua kimeingia mchanga ndiyo hii sasa

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 2 года назад +1

    Mimi natamani sana hii channel ifike 1M subscribers

  • @khakisramachandra7450
    @khakisramachandra7450 2 года назад +3

    This is a comedy lakini katika hatua ya kuoa Kuna kupeleka posa na kuwa wachumba iweje bwana harusi asimjue mkwewe wa kiume au baba mtoto ila joti upo vizuri sana

    • @sn723
      @sn723 2 года назад +3

      Kaka hyo hua ipo kwa mfano Mimi hapa nilioa kwa kufaata mpangilio wote lakin baba mkwe wangu sikumuona alikua kasafiri Mimi pia baada ya kumchumbia nikasafir nimekuja kuonana nae siku ya ndoa yangu ko hii ipo kaka

    • @khakisramachandra7450
      @khakisramachandra7450 2 года назад +1

      @@sn723 pamoja

    • @chrissjoel7752
      @chrissjoel7752 2 года назад +1

      IPO sana tu kaka Hata mimi baba mkwe nimemjua nikiwa nishaoa tayari 😂😂😂😂😂😂😂
      Kama mama mkwe yeye ndio kabisaaaaaa

    • @sn723
      @sn723 2 года назад

      @@chrissjoel7752 👍🏼👍🏼👍🏼👍🏼

  • @teacherkaligodottonjigecha3328
    @teacherkaligodottonjigecha3328 2 года назад +1

    KAZI nzuri nishai kitombangile kitwango mkazo

  • @davidmsia4322
    @davidmsia4322 2 года назад +3

    Hii ilitakiwa kua kijijini, Ila naona wamesahau maghorofa ya makumbusho dar kule nyuma kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @suzanapangani9305
      @suzanapangani9305 2 года назад +1

      Khaaaaa wabongo siwawezi khaaaaa kumbe kijitonyama hapa daaaah!! Nimeona na mie ghorofaaa!!

  • @ibrahimadam8623
    @ibrahimadam8623 2 года назад +5

    Excellent work Joti and team, all the best while you entertain and bring joy to millions across the globe!

  • @kennedyokumu
    @kennedyokumu 2 года назад +19

    Next time do Kiboga,I miss the character.

  • @philipothomas6279
    @philipothomas6279 2 года назад +3

    best comedian of all the time...!!!🙌🙌🙌

  • @Emmymajula5838
    @Emmymajula5838 2 года назад +1

    Afu baba joti😹😹 mmemtukana inafundisha bigapu joti❤️🙏🙏

  • @mosesolesilas5592
    @mosesolesilas5592 2 года назад +9

    Beautiful location I love it

  • @edeskolojelo6116
    @edeskolojelo6116 Год назад

    Umetisha Kaka Mkubwa

  • @kelvinantony1358
    @kelvinantony1358 2 года назад

    Hapo KWENYE Leo Atari nimechoka sanaaa 😂😂😂😂

  • @salimmwabundu958
    @salimmwabundu958 2 года назад

    Namuona inspkt Haroun... Kisa cha Babamkwe🔥🔥

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 2 года назад +4

    Hahaha uwii jamani malipo ni hapa hapa duniani mbinguni hesabu tu 😂😂😂

  • @katotoabdallah3878
    @katotoabdallah3878 2 года назад

    Inspecta haroon babu"kisa cha baba mkwe"

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад

    Okay,nendeni....Baraka nje nje

  • @Jkone891
    @Jkone891 2 года назад +5

    I can predict huyo mzee ndio babu ya msichana 😂😂😂😂

  • @sarahmosessanga3195
    @sarahmosessanga3195 2 года назад

    Huna Kaz mbovu kaz zako zote nzuri yaan

  • @mmassadieudonnengomoya8607
    @mmassadieudonnengomoya8607 2 года назад

    Dah sijawai kuchek Kama leo 😂😂😂

  • @aliomari5961
    @aliomari5961 2 года назад

    well done bro,,,LUCAS MHUVILE kudos,,,that a good shot.,,,love from +254

  • @seeker_music_africa1249
    @seeker_music_africa1249 2 года назад

    daah joti noma kweli

  • @adammanyendi7577
    @adammanyendi7577 2 года назад

    Nimecheka mpaka mwisho aisee daaahhhhhhhh😄😄😄😄😄😄 umetisha mwamba

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 2 года назад +1

    Nilipoona mnampiga Joti tu nikajua mmelikanyaga🤣🤣🤣🤣🤣

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 2 года назад

    Mm napenda ukiigiza babu

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 2 года назад

    Noma Saaanaaaa

  • @peterswai391
    @peterswai391 2 года назад +3

    Haaaa tuna enda kuoaa, nakuona CEO wa comedy TZ God bless more brother

  • @waluzeomar6853
    @waluzeomar6853 2 года назад

    Kizazi noma Jamani pambe siyo pambe pambeee 😅😂😅😂🫵🫡

  • @mweucorg6910
    @mweucorg6910 Год назад

    Mwisho umeidharau sana

  • @hamisidumbo1568
    @hamisidumbo1568 2 года назад

    😀😀😀😃hatari si hatariiii....hi noma sana Mr joti big up💪

  • @nsbumbelele6162
    @nsbumbelele6162 2 года назад +1

    Wew joti mama zetu unawapelekesha unavyotaka eeeh

  • @marrymenas
    @marrymenas Год назад

    Kaenda kuwavalia kabisa zile za Mandonga hahaa

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 2 года назад +1

    Best comedian ever in

  • @babawawili7802
    @babawawili7802 2 года назад

    Good idear

  • @khamismsoma8698
    @khamismsoma8698 2 года назад +1

    kuna ulazima gani wa kuvaa vazi la kanzu ambalo linaaminika kutumiwa zaid na waumini wa kiislam kulitumia kucheza ngoma. ni kuudhalilisha uislam kwa kweli.

    • @annayessa5256
      @annayessa5256 2 года назад

      Mbona wenyewe wanachezaga dufu wakiwa n mabaibui na huku wanakatika viuno

    • @nilla1657
      @nilla1657 2 года назад

      Dufu hua hamchezi au tu umeamka na kisiran bro

  • @user-ic8mc3bd8l
    @user-ic8mc3bd8l 9 месяцев назад

    Good job 😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣 Dah nihatari sana Mwanga kageuka bondia

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 2 года назад +6

    Hakuna kukuzidi ww bro joti yaan hakuna tanzania nzima hata waende mafunzoni na Mr bean wengne wabak kuwa ndugu waangaliaj tuu kama mm si lazma wawe comedian!! Big up bro joti

  • @escaladeokonkwo1048
    @escaladeokonkwo1048 2 года назад +2

    From Kenya Joti ni nomaaaa iseee

  • @Karim_tz1
    @Karim_tz1 2 года назад +2

    Unyama Sana 🔥🔥🔥

  • @BabaMzuri-x1s
    @BabaMzuri-x1s 28 дней назад

    ananiachaga hoi sana joti

  • @zuu__95
    @zuu__95 2 года назад +1

    Hyo cheza cheza ya hao waliovaa makanzu sasa 😂😂😂😂😂

  • @zubeirkhamisabdallah8090
    @zubeirkhamisabdallah8090 2 года назад

    Joti noma walahi

  • @galatonetena2449
    @galatonetena2449 2 года назад

    Nzuri ila hapo pa kwanza umefeli mtu atakupigaje bila sababu Wala kumjibu vibaya, mngetafuta kwanza sababu ya kumpiga joti ila sio kutopisha gari

  • @eveliuselizeus6902
    @eveliuselizeus6902 2 года назад

    Hii inatufundisha kwamba husimdharau mja yoyote awaye, big up Sana Joti tunaburudika na kujifunza pia😂😂😂

  • @aliabdallah4233
    @aliabdallah4233 Год назад

    Rasha rasha tu au sio😂😂😂

  • @nuruzebedayo7067
    @nuruzebedayo7067 2 года назад

    Nakukubali joti nikiwa na mawazo yanaisha

  • @adamsalim6863
    @adamsalim6863 2 года назад

    Hahaha yale yale waja leo waondoka leo

  • @babayaofamili3282
    @babayaofamili3282 2 года назад

    Hi kitu pambe big up joti umetisha bro

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +2

    Kwakweli hiyo ndio maana halisi ya kimeumana 🙆👏😃😃😃

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 2 года назад +1

    Nimecheka pale Nishai alipopewa kisago cha mbwa koko🤣🤣🤣

  • @marysaituni4584
    @marysaituni4584 2 года назад +6

    Much love from Mombasa Kenya ❤️ Joti wee noma I say..

  • @mikidadimaftah2170
    @mikidadimaftah2170 Год назад

    Noma sana

  • @kagashekimbishi9781
    @kagashekimbishi9781 2 года назад

    Du nimecheka sana aisee respect joti

  • @alexpalangyo5501
    @alexpalangyo5501 2 года назад +1

    mbona babu mgongo umenyooka fastaaa... Akatoka baruuu...😂😂😂😂

  • @YusufIshaka-hf8oh
    @YusufIshaka-hf8oh 4 месяца назад

    hii noma😊

  • @iddingola5611
    @iddingola5611 2 года назад +1

    Hii Kali sana jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂

  • @patrickmrope4995
    @patrickmrope4995 2 года назад

    Joti ww ni Kiboko....kisa cha zamani sana hiki

  • @subzeronyundopower
    @subzeronyundopower 2 года назад +1

    Joti unatuua😂🙌 mizigo iliobebwa hapo kirikuu imefkaje 😎

  • @lucasmlowezi9214
    @lucasmlowezi9214 5 месяцев назад

    Funzo zuri sana, na location imekaa poa

  • @Kisheking6
    @Kisheking6 2 года назад

    bro hii noma sanaaaaaaaaaah
    Utauwa ndg anaye taka kuowa 😂

  • @ommychicco11
    @ommychicco11 2 года назад

    Nakubaligi sna ukiigiza character ya mzee

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 2 года назад

    Na mimi ngoja nijiandae
    Kufungisha ndoa
    😆😅😂🤣😁😄😃

  • @mohamedseif1014
    @mohamedseif1014 2 года назад

    Heshima Muhimu Vijana

  • @ahmedomar6417
    @ahmedomar6417 2 года назад +1

    Kazi nzury