MWINYI AINGIA IKULU,NYERERE AAGA TAIFA 1985
HTML-код
- Опубликовано: 12 апр 2020
- Safari ya kung’atuka madarakani kwa Mwalimu Julius Nyerere baada ya kuhudumu kwa miaka 24 kwa nafasi ya urais wa Tanganyika na baadaye Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ilianza Jumatatu ya Oktoba 14, 1985.
Ilikuwa ni baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 27 na mgombea pekee wa nafasi ya urais, Ali Hassan Mwinyi akaibuka mshindi.
Mungu akupe maisha marefu mzee mwinyi almaarufu mzee wa ruksa
Mungu akupe maisha marefu mzee mwinyi❤❤
Kuna watu hapa duniani hawakubalianagi na taarifa hata moja.Wao ni kutoa kasoro tu kila taarifa.Nahao watu kwenye familia,kwenye jamii inayowazunguka wanasumbua sana.
Tumetoka mbali🇹🇿
Asante mwanamke digital kwa historia hii
Hii habari haikundikwa vizuri. Safari haiwezi kuanza Oktober 14 baada ya uchaguzi uliomalizika October 27, what for
Safi sana. Tunahitaji vitu kama hivi
Mungu ni mwema sana
Powa
R.I.P mzee Njelu Kasaka
Tutakukumbuka daima baba
Mungu akuponye haraka❤❤❤mzee Rukusa.
Ebeneza
Maisha ya zamani yalikuwa mazuri sana
Hayajawahi kuwa mazuri toka sisi tukiwa wadogo kaulimbio maisha magumu hadi leo
Nchi imetoka mbali sana
@@khamisibinamu5323 kweli kabisa wewe unakumbukumbu nzuri za wapi
tulipotoka.
Yaan kununua gari..upewe kibali
Sasa ndio nini radio au TV?
Unachagua picha na kivuri enzi za mwalimu
I hope all you have is a good
3:05 historical picture