nathani we ni kipofu,Tanzania haiwezi kuwa namba 2, namba mbili ni RWANDA na BURUNDI make nchi hizo nikama mapacha.namba 1 ni Ethiopia,na Tanzania yako inaweza kushika kama namba 6 au 7.🙏🙏🙏🙏
Kwahiyo hauniamini na nchi Yako ya Tz hivi wewe umeshawahi kutembea Tanzania hii ukajionea maajabu ya Mungu ya uumbaji? Achana na Akina Paula sijui Akina wema Akina kajala Akina nani hawaa Kuna warembo ambao sio hata maarufu ni hatarii vijijin na mijin ambao hawana umaarufu noma saana!!
unadanganya 10 uganda 09 nigeria 08 kenya 07 tanzania 06 africa kusini 05 mali 04. sudan 03 erytrea 02 rwanda,burundi 01. somalia. top 10 by john claude
@@NDIZIMEDIARwanda unaichukia kiwukweli nimeona kbs Tz ikazidi Rwanda au Burundi ? Nyie Tz cha Kwanza hmana shape, 2 ulembo wa Sura wapi shingu wapi ila uzuli mnatafutia kwa kugîpodowa
Mimi nimepata bahati pia ya kutembea na wanawake wa mataifa yote haya mataifa mawili hapa wanawake wao watam sana na wanajuwa mapenzi. Ila leo sitataja... shida mwanamke akiwa mzuri sana uzoefu unaonyesha anakuwa mvivu kwenye mapenzi..
Braza kiukwel Tanzania umeipendelea san namba moja ni Somalia namba mbili ni Ethiopia namba tatu ni Burundi na Rwanda kwasababu Rwanda kuna kabila mbili wahutu na watusi na Burundi hivohivo ndo maan wasichana wa Burundi wanafanana na wa Rwanda vingine usitudanganye
2 tanzania nisawa kabisaa kuna warembo kijijini na hapaki kitu mie2 hapa nrembo nasina matuzo ila nimesha jipema kwa wadad wengi sana najikuta nafunga mtaa wee tanzania nisawa kabisa iyio nambaa
Tanzania Nia 6 ama ya saba pale ku iyo list yako apanakupendelea kwenu ya pili pale ilapasha kuwa Somalia ya Tatu Rwanda ine South African tano Tanzania
Niuongo kabisa Tanzania haiwezi kuwa nomber 2 kwasababu wanajichubuwa sana kingine naco wa Ethiopie niwakwanza wa pili Somalie wa tatu ni Rwanda na Burundi wale niwamoja hakuna utafauti
Kwa kweli Africa ime jaliwa sana 😘
I love my country
Tz wengi wanajipaka sana uzuri wao niwavipodozi
From USA natazama WAREMBO wa Africa
From Tanzania im here with you🎉
Unadaganya Tanzania 🇹🇿 aiwezi kufikia Rwand Rwand kunawanawake wanzuri sana
Umeonae
Umekariri Tanzania Kuna warembo wengi waliowazidi au warwanda .
Umeisahahu Burundi 🇧🇮 they is beautiful also
Si kweli. No 1 Rwanda, 2 Somalia, 3 Ethiopia, 4 Eritrea, 5 Burundi, .....
Sikweli kwa tz haiwazidi wanyarwanda
Naenda Ethiopia kuoa jamani 😂😍😍💕😋
saw 2
Yani Kama nitapata chance ya kumpata mrembo kutoka ephiopia basi naoa maana Kuna warembo Sanaa
nathani we ni kipofu,Tanzania haiwezi kuwa namba 2, namba mbili ni RWANDA na BURUNDI make nchi hizo nikama mapacha.namba 1 ni Ethiopia,na Tanzania yako inaweza kushika kama namba 6 au 7.🙏🙏🙏🙏
Kwahiyo hauniamini na nchi Yako ya Tz hivi wewe umeshawahi kutembea Tanzania hii ukajionea maajabu ya Mungu ya uumbaji? Achana na Akina Paula sijui Akina wema Akina kajala Akina nani hawaa Kuna warembo ambao sio hata maarufu ni hatarii vijijin na mijin ambao hawana umaarufu noma saana!!
Uwongooooo
Women are always beautiful, everywhere you go. it’s doesn’t depends on where you’re from…
Africa I love u
1 Egypt
2 Ethiopia
3 Somalia
4 Rwanda
5 Mali
6 Tanzanian
7 Kenya
8 Uganda
9 Nigeria
10 Ghana.
❤ umejaribu kumkosoa lakini number 2 ni Rwanda, Ethiopia na Somalia. Hizi nchi tatu wanafanana sana
Tanzania haizidi wanya Rwanda na Burundi
hiv ulishawah kufika Burundi 🇧🇮
Acha zako we muongo kweli wallah Kenya haiwezi kuwa no 8 buana
Burundi sik zote tuko wazuri🥰🇧🇮🇧🇮
Number one Wape wasomali maanake na 2 iko shwariii
Rwanda 1💞💞
Siwezi kupendelia kisa nchi yangu Wewe sio muzima Tanzania haijawahi kushinda Rwanda na Burundi acha uonga ludia
True
True
Hyu sio mzima kweli ishinde rwanda au eithiopia
BURUNDI na Rwanda ndio number one Tanzania wapi waganda hawashindi warundi Wala warwanda 😮
Arudie tu eti Kenya inashinda Tanzania sio kweri
Jamani me nimtanzania duuh jamani tuache unafki rwanda na bulundi wamezionea. Tz eti no2 acheni kujiweka juu😮😮😮😢
Mimi ni mtanzania mkenya but tz make up,cream, filters na surgeries zatumika mno
Mimi naona Somalia ndo inastahiki kuwa namba 1❤
Congo sio Africa
Number 2 🇷🇼 rwanda
1Ethiopia 2 burundi &Rwanda 3 Somalia
Nomaa
Sawa lakini nyie watowa tariifa mnavikuta wapi ivyo vigezo au mnatumia utalatibu wenu
Wechizi au kipofu tanzania warembo wa wote wanajichubuwa haizidi somalya vile vile hayzidi Rwanda wechiz kwel
Nice
Wewe Mpuuzi kweli tanzania akuna kitu huko
unadanganya
10 uganda
09 nigeria
08 kenya
07 tanzania
06 africa kusini
05 mali
04. sudan
03 erytrea
02 rwanda,burundi
01. somalia.
top 10 by john claude
Somali😂 yaani wabayaa sura hawana😂
Ethiopia huioni?
Namba sufuru tunaiona inchini Burundi 🇧🇮 swagga portion
Mwongo weee Tansania SI wazuri kushyinda kenya Na Wa Rwanda
Kwa Rwanda sawa ila Kenya no kubwa
Mmmh somali
Umepatia iyo Ethiopia
Kaka naomba zari awe no 1
😂😂😂🙌🙌
Kwa uzuri gani aliokuwa nao huyo zari wakati waziri wapo
@@NDIZIMEDIARwanda unaichukia kiwukweli nimeona kbs Tz ikazidi Rwanda au Burundi ? Nyie Tz cha Kwanza hmana shape, 2 ulembo wa Sura wapi shingu wapi ila uzuli mnatafutia kwa kugîpodowa
@@samkabayiza6212 hapana jamani Rwanda siwachukii nawapenda ,🥰🥰
Mimi nimepata bahati pia ya kutembea na wanawake wa mataifa yote haya mataifa mawili hapa wanawake wao watam sana na wanajuwa mapenzi. Ila leo sitataja... shida mwanamke akiwa mzuri sana uzoefu unaonyesha anakuwa mvivu kwenye mapenzi..
Kenya tuko poua natural beauty pia shape tunazo bhanaa
Umechemsha kweli
Congo 🇨🇩 ninamba moja
Hiro nalo nikweli kenya nimaarufu kwa pesa na gorofa tu alakini vitu vingine mmmmmhhh😮😮😮
Ethiopia number 1🥰🥰
Tanzania ashuke
Number one somalia
Umekoseya Kafanye Tena tafiti upya Tanzania iponyuma ya Uganda, Rwanda,na Burundi,wevipi?
Huna akili Burundi 🇧🇮🇧🇮💪
Kunauzuli na ulembo watu Kujipodoa sio uzuri
Sio wa Rwanda sema wanyarwanda
Wapi watanzania hawashinde ba Nyarwanda uzili,pare mudanganya sana
Kwa ni nikwa sababu nyie ni watizedi???!!
Ujiamini tanzania tumepewa kila kit
Yoooooo😏Tz wp
Rwanda nakubali
Tuko wote
Am from Kenya brother number 8 no😂😂😂😂😂
Same here Kenya tuko number moja
Mmetufinya sisi wakenya 4
Rwanda naomba 1
Tz wapi Rwanda the best
No 2 ilikua yafaa ikue egpt then 3 Rwanda 4 somali
Rwanda njo num 1
Namba 2
List ime kaa poa sana nimefurahia
Braza kiukwel Tanzania umeipendelea san namba moja ni Somalia namba mbili ni Ethiopia namba tatu ni Burundi na Rwanda kwasababu Rwanda kuna kabila mbili wahutu na watusi na Burundi hivohivo ndo maan wasichana wa Burundi wanafanana na wa Rwanda vingine usitudanganye
Warwanda ni number 2 ,umetudanganya
Aki wa kenya wazuri nyie
Asathe kaka
Wasomali weus wapo mh
Wewe,Tanzania itashindaje Rwanda? Wale wana uzuri wa asili acha kabisa mimi,ni mtanzania lakini Rwanda achana nao kabisa wamejaliwa na Mwenyezi Mungu
Mimi mbona myarwanda niko Tanzania mzuri sana mim
Tuongee kinyarwanda
2 tanzania nisawa kabisaa kuna warembo kijijini na hapaki kitu mie2 hapa nrembo nasina matuzo ila nimesha jipema kwa wadad wengi sana najikuta nafunga mtaa wee tanzania nisawa kabisa iyio nambaa
Mbona naona warembo wote tu wapo nusu uchi
Haijalishi haya yalikuwepo toka zamani mabibi zetu walivaa magome ya mti unadhani yalikuwa marefu
Haupendi Burundi mbona wapi warembo?manake Sisi niwabaya?naomba jibu jamani
Huko kote umechemka ethopia ndio upo sahii Tanzania Na Kenya Hao toa make up nyingi Hamna warembo hapo.bora south africa
Eti tanzania weeee hamna kabisa waremba kama Burundi duuuh
Eeeeh hizi challenge zita nipa pressure 😂😂😂😂 🇰🇪 .mbona kila wakati tz
iko mbele jamani mna penda kuonea kenya san😂😂😂😂
Makeup znachangia
Weye unaweza kusema kama tanzania inazidi Rwanda
Wa Congo mani
Ila Ethiopia ni obviously number 1
Mimi ni mtanzania lkn Tanzania sio no 2 hawezi ishinda Rwanda kuwa Na warembo au Somalia never!.
Devota Joseph u wrong Somalia girls are the mostly beautiful women u dont anthing
Kweli kabsa
Mimi burundi sijaisikiya wanaisem
Burundi & Rwanda number0 it s known guys😅
Huo ni uongo Kenya Ina warembo zaidi Africa nzima na hio ndo inaongoza kwa orodha ya warembo africa
Kweli nima sana
Acha zako Rwanda ni kabila moja watusi alafu Juan katika watusi hawa ni wayahudi ambao katika history wa ni Ethiopia
We ujui unachokiongea tz izidi Rwd somaria?
Ethiopian namba moja somar namba mbili rwanda namba tatu yaani tanzania inatakiwa iwe namba saba
Kwakweli Africa imejaliwa, lakini hapo kwenye Tanzania mumedanganya kuwa number 2
wapi nchi 10 zenye wanaume warembo zaidi Africa 2021?
Somali no moja wallah
Kwakwel kwa waethiopia hujaongopea ila tu lwanda iwe namba mbili
Jaman hadi zuchu mrembo wa tz hapo umefeli
Uganda bado sana
Kabisa
Mmmh tz 😢😢
Tanzania Nia 6 ama ya saba pale ku iyo list yako apanakupendelea kwenu ya pili pale ilapasha kuwa Somalia ya Tatu Rwanda ine South African tano Tanzania
Hi
Kenya warembo wapo tena wengi wakenya hatufai kuwekwa namba nane😏😏
Wewe sio muzima
Nimekufa au
Pale ilitakiwa kuwatoa wakenya sio warembo ungeiweka WA Swana kutoka Botswana au Egypt
Nummer 1 Tanzania inastaili.
Hanna II2👇👇👇👇👇👇
Kila mtu anasifia kwaoo weee apo sawa sisi ni walembo woteee tz
Niuongo kabisa Tanzania haiwezi kuwa nomber 2 kwasababu wanajichubuwa sana kingine naco wa Ethiopie niwakwanza wa pili Somalie wa tatu ni Rwanda na Burundi wale niwamoja hakuna utafauti
Rwanda ndie number 2 sio tanzania
Yaani dada kwenye umisi sio sura TU ni elimi kujiamin na Kila kitu kwani si Kuna wanawake wazuri zaidi wametulia Wala hawajionyeshi waa
Mi nachaguwa top 4 Nigeria Somalia Rwanda BURUNDI 😂 hawo wengine siwajuwi 😂
Tanzania bila filters mhh