NCHI 10 ZENYE WANAWAKE WAZURI ZAIDI AFRICA 2024 Top 10 African countries with most beautiful women

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 190

  • @mmhmedia8375
    @mmhmedia8375 2 года назад +10

    Kwa kweli Africa ime jaliwa sana 😘
    I love my country

  • @gladysmaku5609
    @gladysmaku5609 2 года назад +6

    Tz wengi wanajipaka sana uzuri wao niwavipodozi

  • @zuchu-fireofficialvideo10.54
    @zuchu-fireofficialvideo10.54 2 года назад +9

    From USA natazama WAREMBO wa Africa

  • @alphaojuma3833
    @alphaojuma3833 Год назад +3

    Unadaganya Tanzania 🇹🇿 aiwezi kufikia Rwand Rwand kunawanawake wanzuri sana

    • @AFRICA_D669
      @AFRICA_D669 Год назад

      Umeonae

    • @Luscious6826
      @Luscious6826 4 месяца назад

      Umekariri Tanzania Kuna warembo wengi waliowazidi au warwanda .

  • @migoshimself3204
    @migoshimself3204 7 месяцев назад +1

    Umeisahahu Burundi 🇧🇮 they is beautiful also

  • @PreciousBhoke
    @PreciousBhoke 26 дней назад

    Si kweli. No 1 Rwanda, 2 Somalia, 3 Ethiopia, 4 Eritrea, 5 Burundi, .....

  • @williammanyalila7285
    @williammanyalila7285 Месяц назад +1

    Sikweli kwa tz haiwazidi wanyarwanda

  • @tundacappuccino
    @tundacappuccino 2 года назад +11

    Naenda Ethiopia kuoa jamani 😂😍😍💕😋

    • @surujajwie4768
      @surujajwie4768 2 года назад

      saw 2

    • @eddy4998
      @eddy4998 2 года назад +2

      Yani Kama nitapata chance ya kumpata mrembo kutoka ephiopia basi naoa maana Kuna warembo Sanaa

  • @nijimberejeanbosco4648
    @nijimberejeanbosco4648 Год назад +4

    nathani we ni kipofu,Tanzania haiwezi kuwa namba 2, namba mbili ni RWANDA na BURUNDI make nchi hizo nikama mapacha.namba 1 ni Ethiopia,na Tanzania yako inaweza kushika kama namba 6 au 7.🙏🙏🙏🙏

    • @congratulationmayunga3833
      @congratulationmayunga3833 3 месяца назад

      Kwahiyo hauniamini na nchi Yako ya Tz hivi wewe umeshawahi kutembea Tanzania hii ukajionea maajabu ya Mungu ya uumbaji? Achana na Akina Paula sijui Akina wema Akina kajala Akina nani hawaa Kuna warembo ambao sio hata maarufu ni hatarii vijijin na mijin ambao hawana umaarufu noma saana!!

  • @Lionelni257
    @Lionelni257 10 дней назад

    Uwongooooo

  • @princessesther7617
    @princessesther7617 Год назад +3

    Women are always beautiful, everywhere you go. it’s doesn’t depends on where you’re from…

  • @mwajumasaidi540
    @mwajumasaidi540 2 года назад +2

    Africa I love u

  • @AbdulHamid-gh1wt
    @AbdulHamid-gh1wt Год назад +1

    1 Egypt
    2 Ethiopia
    3 Somalia
    4 Rwanda
    5 Mali
    6 Tanzanian
    7 Kenya
    8 Uganda
    9 Nigeria
    10 Ghana.

    • @NdayisengaYves-uv6ti
      @NdayisengaYves-uv6ti 3 месяца назад

      ❤ umejaribu kumkosoa lakini number 2 ni Rwanda, Ethiopia na Somalia. Hizi nchi tatu wanafanana sana

  • @mireilleirakoze8833
    @mireilleirakoze8833 Год назад +2

    Tanzania haizidi wanya Rwanda na Burundi

  • @VicentJoshua-d5n
    @VicentJoshua-d5n Месяц назад

    hiv ulishawah kufika Burundi 🇧🇮

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Год назад +2

    Acha zako we muongo kweli wallah Kenya haiwezi kuwa no 8 buana

  • @JayJay-px6lq
    @JayJay-px6lq Год назад

    Burundi sik zote tuko wazuri🥰🇧🇮🇧🇮

  • @florenceauma3334
    @florenceauma3334 2 года назад +2

    Number one Wape wasomali maanake na 2 iko shwariii

  • @fadhilmtunha4070
    @fadhilmtunha4070 Год назад +1

    Rwanda 1💞💞

  • @ndayikezececile2762
    @ndayikezececile2762 2 года назад +24

    Siwezi kupendelia kisa nchi yangu Wewe sio muzima Tanzania haijawahi kushinda Rwanda na Burundi acha uonga ludia

  • @SimonSamweli-v6u
    @SimonSamweli-v6u 10 месяцев назад +1

    Jamani me nimtanzania duuh jamani tuache unafki rwanda na bulundi wamezionea. Tz eti no2 acheni kujiweka juu😮😮😮😢

  • @SabrinaAlly-ri7ql
    @SabrinaAlly-ri7ql Год назад +2

    Mimi ni mtanzania mkenya but tz make up,cream, filters na surgeries zatumika mno

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia 2 месяца назад

    Mimi naona Somalia ndo inastahiki kuwa namba 1❤

  • @RukiyaHakim
    @RukiyaHakim 3 месяца назад

    Congo sio Africa

  • @heroaegis2273
    @heroaegis2273 2 года назад +2

    Number 2 🇷🇼 rwanda

  • @WitonzeandreAndre
    @WitonzeandreAndre Год назад

    1Ethiopia 2 burundi &Rwanda 3 Somalia

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 5 месяцев назад

    Nomaa

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 11 месяцев назад

    Sawa lakini nyie watowa tariifa mnavikuta wapi ivyo vigezo au mnatumia utalatibu wenu

  • @SwalehOmary-n8k
    @SwalehOmary-n8k 17 дней назад

    Wechizi au kipofu tanzania warembo wa wote wanajichubuwa haizidi somalya vile vile hayzidi Rwanda wechiz kwel

  • @goodluckrutta-bm6is
    @goodluckrutta-bm6is Год назад

    Nice

  • @Rathe362
    @Rathe362 9 дней назад

    Wewe Mpuuzi kweli tanzania akuna kitu huko

  • @johncloud9140
    @johncloud9140 2 года назад +3

    unadanganya
    10 uganda
    09 nigeria
    08 kenya
    07 tanzania
    06 africa kusini
    05 mali
    04. sudan
    03 erytrea
    02 rwanda,burundi
    01. somalia.
    top 10 by john claude

  • @espritguidegamer7907
    @espritguidegamer7907 5 месяцев назад

    Namba sufuru tunaiona inchini Burundi 🇧🇮 swagga portion

  • @mumoma9498
    @mumoma9498 2 года назад +1

    Mwongo weee Tansania SI wazuri kushyinda kenya Na Wa Rwanda

  • @AaBb-q2l
    @AaBb-q2l Год назад

    Mmmh somali

  • @alitunu3086
    @alitunu3086 2 года назад +1

    Umepatia iyo Ethiopia

  • @matukioonlinetv25
    @matukioonlinetv25 2 года назад +3

    Kaka naomba zari awe no 1

    • @NDIZIMEDIA
      @NDIZIMEDIA  2 года назад

      😂😂😂🙌🙌

    • @aminahassan561
      @aminahassan561 2 года назад

      Kwa uzuri gani aliokuwa nao huyo zari wakati waziri wapo

    • @samkabayiza6212
      @samkabayiza6212 7 месяцев назад +1

      ​@@NDIZIMEDIARwanda unaichukia kiwukweli nimeona kbs Tz ikazidi Rwanda au Burundi ? Nyie Tz cha Kwanza hmana shape, 2 ulembo wa Sura wapi shingu wapi ila uzuli mnatafutia kwa kugîpodowa

    • @NDIZIMEDIA
      @NDIZIMEDIA  7 месяцев назад

      @@samkabayiza6212 hapana jamani Rwanda siwachukii nawapenda ,🥰🥰

  • @charlesmihuwa6287
    @charlesmihuwa6287 Год назад

    Mimi nimepata bahati pia ya kutembea na wanawake wa mataifa yote haya mataifa mawili hapa wanawake wao watam sana na wanajuwa mapenzi. Ila leo sitataja... shida mwanamke akiwa mzuri sana uzoefu unaonyesha anakuwa mvivu kwenye mapenzi..

  • @serenakimigho8449
    @serenakimigho8449 2 года назад +1

    Kenya tuko poua natural beauty pia shape tunazo bhanaa

  • @elysemanirakiza9956
    @elysemanirakiza9956 Год назад

    Umechemsha kweli

  • @DJAZBABOYS
    @DJAZBABOYS 7 месяцев назад +1

    Congo 🇨🇩 ninamba moja

  • @User-xl1ul4fp9b
    @User-xl1ul4fp9b 3 месяца назад +1

    Hiro nalo nikweli kenya nimaarufu kwa pesa na gorofa tu alakini vitu vingine mmmmmhhh😮😮😮

  • @sherryfuraha3076
    @sherryfuraha3076 2 года назад

    Ethiopia number 1🥰🥰

  • @FannySubira
    @FannySubira 5 месяцев назад

    Tanzania ashuke

  • @bonniedeeltah1141
    @bonniedeeltah1141 2 года назад +1

    Number one somalia

  • @JosephMutambala
    @JosephMutambala 4 месяца назад

    Umekoseya Kafanye Tena tafiti upya Tanzania iponyuma ya Uganda, Rwanda,na Burundi,wevipi?

  • @indikuzuhra8896
    @indikuzuhra8896 2 года назад +1

    Huna akili Burundi 🇧🇮🇧🇮💪

  • @ndayikezececile2762
    @ndayikezececile2762 2 года назад +3

    Kunauzuli na ulembo watu Kujipodoa sio uzuri

  • @johanesisack6761
    @johanesisack6761 8 месяцев назад

    Sio wa Rwanda sema wanyarwanda

  • @TheDreamFamily0
    @TheDreamFamily0 2 года назад +6

    Wapi watanzania hawashinde ba Nyarwanda uzili,pare mudanganya sana
    Kwa ni nikwa sababu nyie ni watizedi???!!

  • @NeemaLupagalo
    @NeemaLupagalo Месяц назад

    Ujiamini tanzania tumepewa kila kit

  • @raoulbilly852
    @raoulbilly852 2 года назад

    Yoooooo😏Tz wp

  • @fabianosinghanis5796
    @fabianosinghanis5796 Год назад

    Rwanda nakubali

  • @fellyntini9690
    @fellyntini9690 2 года назад +3

    Am from Kenya brother number 8 no😂😂😂😂😂

  • @personcriticalthinking7162
    @personcriticalthinking7162 2 года назад +2

    Mmetufinya sisi wakenya 4

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 Год назад

    Rwanda naomba 1

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 14 дней назад

    Tz wapi Rwanda the best

  • @aishatwaha7863
    @aishatwaha7863 Год назад

    No 2 ilikua yafaa ikue egpt then 3 Rwanda 4 somali

  • @nathashacolette113
    @nathashacolette113 Год назад

    Rwanda njo num 1

  • @kitimedia
    @kitimedia 2 года назад +3

    List ime kaa poa sana nimefurahia

  • @MrJogging0808
    @MrJogging0808 2 месяца назад

    Braza kiukwel Tanzania umeipendelea san namba moja ni Somalia namba mbili ni Ethiopia namba tatu ni Burundi na Rwanda kwasababu Rwanda kuna kabila mbili wahutu na watusi na Burundi hivohivo ndo maan wasichana wa Burundi wanafanana na wa Rwanda vingine usitudanganye

  • @NdayisengaYves-uv6ti
    @NdayisengaYves-uv6ti 3 месяца назад

    Warwanda ni number 2 ,umetudanganya

  • @ChasTz
    @ChasTz 2 года назад +8

    Aki wa kenya wazuri nyie

  • @adamaldo5375
    @adamaldo5375 Год назад

    Wasomali weus wapo mh

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Месяц назад

    Wewe,Tanzania itashindaje Rwanda? Wale wana uzuri wa asili acha kabisa mimi,ni mtanzania lakini Rwanda achana nao kabisa wamejaliwa na Mwenyezi Mungu

  • @mariumbonifasi7281
    @mariumbonifasi7281 2 года назад +2

    Mimi mbona myarwanda niko Tanzania mzuri sana mim

  • @quennimoquennimo
    @quennimoquennimo 4 месяца назад

    2 tanzania nisawa kabisaa kuna warembo kijijini na hapaki kitu mie2 hapa nrembo nasina matuzo ila nimesha jipema kwa wadad wengi sana najikuta nafunga mtaa wee tanzania nisawa kabisa iyio nambaa

  • @hadijaramadhani4801
    @hadijaramadhani4801 9 месяцев назад +1

    Mbona naona warembo wote tu wapo nusu uchi

    • @DativaValerian
      @DativaValerian 5 месяцев назад +1

      Haijalishi haya yalikuwepo toka zamani mabibi zetu walivaa magome ya mti unadhani yalikuwa marefu

  • @samuelvyizigiro7022
    @samuelvyizigiro7022 Год назад

    Haupendi Burundi mbona wapi warembo?manake Sisi niwabaya?naomba jibu jamani

  • @MusaJosephi
    @MusaJosephi 16 дней назад

    Huko kote umechemka ethopia ndio upo sahii Tanzania Na Kenya Hao toa make up nyingi Hamna warembo hapo.bora south africa

  • @moustaphandihokubwayo6921
    @moustaphandihokubwayo6921 2 года назад +2

    Eti tanzania weeee hamna kabisa waremba kama Burundi duuuh

  • @NimrodMokaya-tj8hv
    @NimrodMokaya-tj8hv 7 месяцев назад

    Eeeeh hizi challenge zita nipa pressure 😂😂😂😂 🇰🇪 .mbona kila wakati tz
    iko mbele jamani mna penda kuonea kenya san😂😂😂😂

  • @conymbetsa9377
    @conymbetsa9377 2 года назад +2

    Makeup znachangia

  • @nishimwechachashantal1806
    @nishimwechachashantal1806 Год назад

    Weye unaweza kusema kama tanzania inazidi Rwanda

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs Год назад

    Wa Congo mani

  • @SabrinaAlly-ri7ql
    @SabrinaAlly-ri7ql Год назад

    Ila Ethiopia ni obviously number 1

  • @devotajoseph4061
    @devotajoseph4061 2 года назад +1

    Mimi ni mtanzania lkn Tanzania sio no 2 hawezi ishinda Rwanda kuwa Na warembo au Somalia never!.

    • @user-to6up4hg2w
      @user-to6up4hg2w 2 года назад

      Devota Joseph u wrong Somalia girls are the mostly beautiful women u dont anthing

    • @WinnieZakaria
      @WinnieZakaria 7 месяцев назад

      Kweli kabsa

  • @AminaVyukusenge-b4t
    @AminaVyukusenge-b4t 8 месяцев назад

    Mimi burundi sijaisikiya wanaisem

  • @dianeirakoze778
    @dianeirakoze778 3 месяца назад

    Burundi & Rwanda number0 it s known guys😅

  • @IbrahimWycliffe
    @IbrahimWycliffe 4 месяца назад

    Huo ni uongo Kenya Ina warembo zaidi Africa nzima na hio ndo inaongoza kwa orodha ya warembo africa

  • @GaudenceGaudence-bf9mn
    @GaudenceGaudence-bf9mn 8 месяцев назад

    Kweli nima sana

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 3 месяца назад

    Acha zako Rwanda ni kabila moja watusi alafu Juan katika watusi hawa ni wayahudi ambao katika history wa ni Ethiopia

  • @FrancisNyota-c3d
    @FrancisNyota-c3d 5 месяцев назад

    We ujui unachokiongea tz izidi Rwd somaria?

  • @ZainabuMwalie
    @ZainabuMwalie 7 месяцев назад

    Ethiopian namba moja somar namba mbili rwanda namba tatu yaani tanzania inatakiwa iwe namba saba

  • @mwashiwamwashi5620
    @mwashiwamwashi5620 2 года назад

    Kwakweli Africa imejaliwa, lakini hapo kwenye Tanzania mumedanganya kuwa number 2

  • @graceomollo9782
    @graceomollo9782 2 года назад +1

    wapi nchi 10 zenye wanaume warembo zaidi Africa 2021?

  • @AFRICA_D669
    @AFRICA_D669 Год назад

    Kwakwel kwa waethiopia hujaongopea ila tu lwanda iwe namba mbili

  • @MARIAYONA-bf4xh
    @MARIAYONA-bf4xh 6 месяцев назад

    Jaman hadi zuchu mrembo wa tz hapo umefeli

  • @fabianosinghanis5796
    @fabianosinghanis5796 Год назад

    Uganda bado sana

  • @claverymelkiony4616
    @claverymelkiony4616 Год назад

    Mmmh tz 😢😢

  • @bernadechrisber4449
    @bernadechrisber4449 2 года назад +1

    Tanzania Nia 6 ama ya saba pale ku iyo list yako apanakupendelea kwenu ya pili pale ilapasha kuwa Somalia ya Tatu Rwanda ine South African tano Tanzania

  • @neemakalenga2141
    @neemakalenga2141 2 года назад

    Hi

  • @BrendaCasoa
    @BrendaCasoa Год назад

    Kenya warembo wapo tena wengi wakenya hatufai kuwekwa namba nane😏😏

  • @nkundimanaalice-es6hz
    @nkundimanaalice-es6hz 4 месяца назад +1

    Wewe sio muzima

  • @hildahmushi7524
    @hildahmushi7524 Год назад

    Pale ilitakiwa kuwatoa wakenya sio warembo ungeiweka WA Swana kutoka Botswana au Egypt

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 2 года назад +1

    Nummer 1 Tanzania inastaili.

    • @hassanmohamed3132
      @hassanmohamed3132 Год назад

      Hanna II2👇👇👇👇👇👇

    • @FrolencKaunda
      @FrolencKaunda 9 месяцев назад

      Kila mtu anasifia kwaoo weee apo sawa sisi ni walembo woteee tz

  • @mireilleirakoze8833
    @mireilleirakoze8833 Год назад

    Niuongo kabisa Tanzania haiwezi kuwa nomber 2 kwasababu wanajichubuwa sana kingine naco wa Ethiopie niwakwanza wa pili Somalie wa tatu ni Rwanda na Burundi wale niwamoja hakuna utafauti

  • @mukandekezishela4701
    @mukandekezishela4701 2 года назад

    Rwanda ndie number 2 sio tanzania

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 9 месяцев назад

    Yaani dada kwenye umisi sio sura TU ni elimi kujiamin na Kila kitu kwani si Kuna wanawake wazuri zaidi wametulia Wala hawajionyeshi waa

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Год назад

    Mi nachaguwa top 4 Nigeria Somalia Rwanda BURUNDI 😂 hawo wengine siwajuwi 😂