HOUSE GIRL EP 29 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 796

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b 2 месяца назад +20

    Leo nimechelewa nawapa hi nyote tunaefatilia movie hii yenye kutufundisha mambo yaliomo humu duniani ❤movie za kiswahili ndio fahari ya mtanzani 👋kazi nzuri 💪anaeniunga mkono like kwa sama mideko😊

  • @Christineedelase-vl8bi
    @Christineedelase-vl8bi 2 месяца назад +195

    Mwenye ako na roho kama a baba kai kwa kupenda zuu like zetu 🎉

    • @EunicyMass
      @EunicyMass 2 месяца назад

      Unafanyia nn like

  • @Chimamy-lv1eq
    @Chimamy-lv1eq 2 месяца назад +15

    Mashallh tabarak Allah mungu awazidishie heri kwenye kazi nyenu❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @Irine-o7m
    @Irine-o7m 2 месяца назад +31

    Wakwanza jaman kutoka Saudia naombeni like zenu ❤❤ daa zuu amekuwa sawa mashaallah ❤

  • @BibiMohamed-zg5gp
    @BibiMohamed-zg5gp 2 месяца назад +82

    Aibu itamtokea candy nipen likes

  • @zuenampandeni3347
    @zuenampandeni3347 2 месяца назад +11

    Ila candy umepanda viwango vya kuigiza, ungebaki Kwa mkojani ungefubaaa😅😅😅

  • @JacksonNgari-fs2qt
    @JacksonNgari-fs2qt 2 месяца назад +78

    katika maisha wanao juwa kuwa maisha nini na hiki kipind kinatufunza nini jama tusome vizur tuwache tamaa penz lakufos kudharau mtu na uhuni Kama chakufunza Kama mmi plz nawaomba mujitokeze yoto kwa like 5 tu

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 2 месяца назад +21

    Ogopa mapenzi yaaani Kai wanakula lkn Kai anafikiria zuuu naye kendi anafikiria mubaba mapenzi ww 😂😂😂 watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🤣🤣

    • @gracemuusi3421
      @gracemuusi3421 2 месяца назад +1

      Nakwabia 😅😅😅mapenzi shikamooo

  • @IshakaMachanoMakame-sb2xx
    @IshakaMachanoMakame-sb2xx 2 месяца назад +63

    Jaman zuuu amerudi Tena like kwa anaemkubali zuuu jaman

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰🥰🙏🙏

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 2 месяца назад +4

    Kilamba na mkeo nawapenda mno kwaukarimu wenu mbarikiwe sana hivyo ndo tapaswa kuishi kama binadam 😊😊😊furaha kwa kipenzi 🥰 changu zuu bado tuko naeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @abdulabdulally6265
    @abdulabdulally6265 2 месяца назад +11

    Anae sema cendy anamimba gong like

  • @VicentJonh-u7r
    @VicentJonh-u7r 2 месяца назад +23

    Wangap mnanamkubali zuu gonga like hap🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @barakahsylvester7911
    @barakahsylvester7911 2 месяца назад +8

    Me nilisema toka mwanzo yaani hawa urafiki wao mwisho wake utakua mbaya....😂

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +13

    Mama p natowa sapot tu sinaga haja ya kitu chochote toka kwanu ila mnipe mahaba ya move t

  • @UkhtyDeyder
    @UkhtyDeyder 2 месяца назад +8

    Yani Kuna watu Wala hawatazamiii move wKifika tuuu nkuomba like mnakera

  • @ZabibusuphianialisuphianiAlly
    @ZabibusuphianialisuphianiAlly 2 месяца назад +20

    Jamani waomba like punguzeni monkali hee hizo like mnakula ama badala mtoe maoni wapi panahitaji marekebisho nyie like tu mnaboa 😂🎉🎉🎉🎉❤

    • @siasiMaley
      @siasiMaley 2 месяца назад

      Siyo mnaomba like2 naombeni patr 30 hapa Niko vay

  • @sifamaureen2792
    @sifamaureen2792 2 месяца назад +155

    Hii tabia yakuomba like kilasiku muache,mwataka kuzipekeka wapi😮😮

  • @MariamIddy-ve8eh
    @MariamIddy-ve8eh 2 месяца назад +7

    Kwani kilamtu anataka like nizanini hizolike ama ndiozinasababisha mb zisiende fasta😮

  • @KRr-gn7fu
    @KRr-gn7fu 2 месяца назад +5

    Tumeomba muwe mnatoaga vipande viwili viwili 💛💛💛

  • @AggyGaredy
    @AggyGaredy 2 месяца назад +10

    Pumbavu zenu mbwa mm hii SASA imezidi oooh mm wa kwanza naomba like , like za nyoko mnakera sasa duuh😐😾

    • @DeeDan-sj1mr
      @DeeDan-sj1mr 2 месяца назад

      Na ww umeomb like nimekupa😂😂😂

  • @Amena-z5r
    @Amena-z5r 2 месяца назад +4

    Jaman atimaye zuuu ameachiliwa uenda akapatana na bibi akasaindiwa😢😢❤❤🎉🎉🎉

  • @HillarySendeu-ht3lj
    @HillarySendeu-ht3lj 2 месяца назад +123

    Tunaofuatilia kazi ya busati tv gonga like

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +2

      🙏🙏

    • @ReginaAli-f3d
      @ReginaAli-f3d 2 месяца назад +2

      @@busatitv kazi Nzuri hila jamani muwe mnatuwekea ep mbili kwa siku

    • @ReginaAli-f3d
      @ReginaAli-f3d 2 месяца назад

      @@busatitv one love from 🇦🇺🇦🇺

    • @rahelmhezi
      @rahelmhezi 2 месяца назад

      Kazi nzr sana❤

    • @FatmhF.15ksa199
      @FatmhF.15ksa199 2 месяца назад

      Fatuma❤​@@busatitv

  • @JohnjobMilimo-nx9kh
    @JohnjobMilimo-nx9kh 2 месяца назад +13

    wa kwanza jamni naombeni like zenu

  • @JajaJaenine
    @JajaJaenine 2 месяца назад +4

    Jamani sijapend ndomani mi sitak wap like kak kai wap mk ameshakulog ndoman hawuchuz vizur kwasas

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 2 месяца назад +3

    Busati TV hongera sana nazidi kujifunza 🔥💐

  • @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq
    @Mwanamwakaathumamwandekw-zb2fq 2 месяца назад +4

    Hii busati TV naipenda sna mana awachelew wanaleta vtu on time ,mniachie japo ngp na mie ,❤❤❤❤❤

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx 2 месяца назад +6

    Sina baati ya kuwa wa kwanza kuomba like ❤😢

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee477 2 месяца назад +12

    Kuomba like tu kuposti move zenu aaaaah 😅😅😅

  • @NellyAshley-s5w
    @NellyAshley-s5w 2 месяца назад +7

    Number one tujuwane watu tunafkiaga k comments bil hatujaona 😂😂

  • @NeemaDenja
    @NeemaDenja 2 месяца назад +4

    Jaman na mmi naombeni laiki zangu

  • @JumaAmani-uh4vq
    @JumaAmani-uh4vq 2 месяца назад +5

    Wee nimekua wa kwanza leo sijui watu wameendapi au kurauka tu lkn ku like aaaah

  • @MILDREDANDISI
    @MILDREDANDISI 2 месяца назад +4

    Wow zuu amepona

  • @MohamedMohamed-wc8im
    @MohamedMohamed-wc8im 2 месяца назад +3

    Sasa tamthilia imefikia patamu...aise jamani msicheleweshe basiiiiii

  • @MwanalimaChulo
    @MwanalimaChulo 2 месяца назад +5

    Leo nmewai naomba like zenu jmni

  • @Igra254
    @Igra254 2 месяца назад +2

    Nipeni hizo likes ❤ Kwa moyo wa furaha

  • @floramacheva5855
    @floramacheva5855 2 месяца назад +1

    Woow ❤❤❤ Zuu kafufuka 🎉, sasa niko na tumaini kuwa atapona 🎉

  • @BlessJames-p3t
    @BlessJames-p3t 2 месяца назад +56

    Toka nimeanza mfwatilia zuuh kwa Mara ya kwanza nimewahi leo naomba like zangu ata 10 tuuu❤❤❤

  • @Igra254
    @Igra254 2 месяца назад +3

    Zuu kwake itakuwaje Kwa baba mkwena bibi wake aash mashaka juu ya mashaka ❤wapi likes za zuu

  • @KeziaMdemu
    @KeziaMdemu 2 месяца назад +48

    Sjawah PATA like naomben hata kumi tu😢

  • @JerryMwandambo
    @JerryMwandambo 2 месяца назад +2

    Jamani me Leo nimewai naombeni like zenu

  • @RoseYuda
    @RoseYuda 2 месяца назад +6

    Na kichaa kitamrudia candy weka likes

  • @HildaKasiwa
    @HildaKasiwa 2 месяца назад +18

    Wakwanza mm from Kenya team strong nipeni like ❤❤

  • @mamasalhat
    @mamasalhat 2 месяца назад +8

    Munao omba like ndio nyie munao sumbua mtaani kuomba omba ela watu kila kukicha 😝😝 unaanzaje kuomba like kwani muna za I like zina uzwa?? Huwo ushambaaaa

  • @Jaymoh_MJ
    @Jaymoh_MJ 2 месяца назад +2

    Hii Series Nimeipenda.Sana kiukweli...Nime download kutoka episode 1 mpaka Nikawafikia Nyote Sasa Ivi Nipo Nanyi kusubiri Episode 30.......wapi makofi ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +1

      Umeanza kutazama lini?

  • @SalmaAlly-u1r
    @SalmaAlly-u1r 2 месяца назад +3

    Waomba like jamani duu mmezidi 😂illah hii move nitamu sana ❤❤❤

    • @PendoChazi
      @PendoChazi 2 месяца назад

      Jaman zuu kaludi❤❤❤❤aibu yao

  • @Aisha-o4v
    @Aisha-o4v 2 месяца назад +1

    Musiombe laki jamani ombeni tumbeni makotooo😂😂😂😂

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 2 месяца назад +1

    Tulio furahia kuwa zuu hajafa tujuane hapa 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Essy1492
    @Essy1492 2 месяца назад +18

    Muombe like Sasa mfyuuu😅

    • @sifamaureen2792
      @sifamaureen2792 2 месяца назад

      Kabisa wanasinya

    • @rukcabby2572
      @rukcabby2572 2 месяца назад +1

      ​@@sifamaureen2792n like like ata MTU haezi TOA maoni😂😂😂

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 2 месяца назад

      😂😂😂😂bahati yake Kai ameleta zuu LA sivyo tungeandamana😂😂😂

    • @rukcabby2572
      @rukcabby2572 2 месяца назад +1

      @@HidayaMbodze 🤣🤣🤣🤣mpk kieleweke

    • @sifamaureen2792
      @sifamaureen2792 2 месяца назад

      @@rukcabby2572 nakwambia

  • @MwanamisiSuleiman
    @MwanamisiSuleiman 2 месяца назад +4

    Nimewahii❤❤❤❤❤❤❤❤❤nipewe mauwa yangu🎉🎉🎉🎉

  • @DominicKarani-vl7cn
    @DominicKarani-vl7cn 2 месяца назад +3

    Mm ndo namba 1 leo bana

  • @Alinekwizerimana-sg1th
    @Alinekwizerimana-sg1th 2 месяца назад +2

    Uwiiiii wa kwanza leo from Burundi

  • @dorothykibet7690
    @dorothykibet7690 2 месяца назад +6

    Jamani likes naomba hta tano

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo 2 месяца назад +4

    Wamwish naomben like

  • @FATMARAHMARahma
    @FATMARAHMARahma 2 месяца назад +2

    Team zou inshallah tuta enjoying mda si mulefu like hapa❤❤❤❤

  • @IlhamShaban-vq3kx
    @IlhamShaban-vq3kx 2 месяца назад +1

    Duh ila zuuu mungu afanye wepes❤

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 2 месяца назад +10

    Naomba kuuliza hizi like zinazoombwa hapa,hua zinainua hii thamthilia au watu wanaziongezea mishahara yao
    Ka nimishahara bs nami nianze kuomba
    Akuna maoni nikuombwa likes tuuuuuu 😅

    • @HusnaHusnamohamedi
      @HusnaHusnamohamedi 2 месяца назад

      Kuna namna wanakera wallah 😅

    • @zubedamae-ro1jx
      @zubedamae-ro1jx 2 месяца назад

      Hawa hawajui maana ya movie, coz movie hua nikama darasa unaangalia unajifunza kitu lkn ukuuuuuuuuu atha ni HOWA 🤣kumba likes bila maoni nikama kutaka kipofu akutoe mwimba 🤣

    • @HusnaHusnamohamedi
      @HusnaHusnamohamedi 2 месяца назад

      @@zubedamae-ro1jx 😁😁😁😁😁😁😁

  • @mercyg9797
    @mercyg9797 2 месяца назад +1

    Zuu hawezi kufa coz ye ndio main actor 😢❤

  • @Mwana85Mwana85-wz1ol
    @Mwana85Mwana85-wz1ol 2 месяца назад

    Mashallah zuu kaa ziduka mungu ni mkubwa wallha tena cend acha uwongo ww mtoto wa kike mimba ya madefu hyoo wataka umuzee Kai kuku.kweny pakacha hatarii San n Kai hatakubali tu mzigoo wa madefu huwoo wap chiko

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 2 месяца назад

    Much love from saudi nafurahia kwa mafunzo yenu mungu awatie nguvu nyingi ❤❤❤❤

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto 2 месяца назад

    Jamani wenzangu ndo kuingia musinisahau nawapenda venye napenda wanabusati ❤❤❤

  • @Hanan-bc6ps
    @Hanan-bc6ps 2 месяца назад

    Move tamu sana hii❤❤ mngu awatie nguvu mutupe burudan zaid

  • @halimakanga-u1j
    @halimakanga-u1j 2 месяца назад

    Baba ake na kai analiza jamen anahurumisha sana aki

  • @REHEMANCHALIKA
    @REHEMANCHALIKA Месяц назад +1

    Nasoma comment nione mmekoment ushaur gani kumbe mwaomba like😮😮😮wanaosoma comments tukipta mwatutatza

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 2 месяца назад +1

    Kuomba like TU kusifia move aaaah

  • @buru1235
    @buru1235 2 месяца назад +2

    Waah Leo sitasoma comments mob thanks so much for the update narudi n comments Wacha nilishe macho kwanza 😂😂

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj 2 месяца назад +2

    Jamn kila mtu anaomb like yaan mumezd emb tueni maoni yenu tyu😚

  • @TrinityMyula
    @TrinityMyula 2 месяца назад

    Jaman kwan izo like zin faida gani

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +4

    Waoooh zuuh amehamka

  • @ShakiraNamtema
    @ShakiraNamtema 2 месяца назад +28

    Kwan hzo like munafanyiag nn.

    • @LatiffahHassan
      @LatiffahHassan 2 месяца назад

      Ata mm naitaj kujaw ua nizakaz gan😂😂😂

    • @hadijamohd6028
      @hadijamohd6028 2 месяца назад

      Yaani sipendi sijui wanafanyia nn izo like kiukweli😂

  • @MwanaBaloz-ij6es
    @MwanaBaloz-ij6es 2 месяца назад +8

    Jmn samahan tuachane na hii tabia ya kuomba like vyema tuangalie wap wamekosea wp wamepatia tuwambie ili km kuna hitilafu wajue na sio kushikilia kuomba like tu jaman

    • @TumainiSteven
      @TumainiSteven 2 месяца назад

      Bola at we umeongea cha maan man wat wanaomb like tu la maan hakun

  • @nishimweinglide4158
    @nishimweinglide4158 2 месяца назад +16

    Mi wakwanza like zangu ❤❤pleas

  • @SakinaRamadhan-s8m
    @SakinaRamadhan-s8m 2 месяца назад

    Jamni sielew zuu kapona ama❤❤

  • @AsanteMchema-nw2fk
    @AsanteMchema-nw2fk 2 месяца назад +1

    Mwaga makopa na like hapa 😮😮

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 2 месяца назад

    Wow kazi nzur snaa🥰🥰🥰,yaan leo acha2 lkn waigizaji samahanini sna kwa nitakacho ongea ,,,n juu ya mda tu n mchache mno tukiendelea kusubiri de next part

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 2 месяца назад

    Mmmmhhh marafiki shikamo😂😂😂😂😂 niswqwabuu nikioa anizaliee watoto

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 месяца назад +2

    Ila kiukwl candy kwny hii movie cjuw ,Mungu atamfanya nn au mtuzi wa movie

  • @jumamwafisi8512
    @jumamwafisi8512 2 месяца назад +1

    Inabidi sahii tusifuatilie movie tuanze kupeana like

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 2 месяца назад

    😂😂😂😂 nimefurahi sana kumuona zuu mzima 😂😂

  • @MariaMagele
    @MariaMagele 2 месяца назад +1

    Afazali zuh kafufuka

  • @elviragodfrey
    @elviragodfrey 2 месяца назад +3

    Asante MUNGU Bora zuu kafufuka

  • @ElkanaNakida
    @ElkanaNakida 2 месяца назад +2

    Tulioko Kenya 🇰🇪 tuna like wapi

  • @christinaAbell-l5s
    @christinaAbell-l5s 2 месяца назад +7

    Hivi hizo like mnazoomba zinawaongezea pumnzi ama vip😅😅😅

  • @Martha-gs3in
    @Martha-gs3in 2 месяца назад

    Yaanii leo mapema tu nimefurahi sana 🥰🥰🥰

  • @12omochildren
    @12omochildren 2 месяца назад

    Tusome vizuri kweli toka hichi kipindi,may God bless u all❤❤

  • @KemmyMercy-my9uf
    @KemmyMercy-my9uf 2 месяца назад +1

    Wenye kuomba likes si mtupositie vida zenu tuwape likes kwa wingi 😂😂nkt...... nways hongera team roho nzuri

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 2 месяца назад +1

    Jaman nimefurahi sana kumuona zuu bado yuko hai hata kama ni kichaaa

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰🥰🥰

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 2 месяца назад

    Kwn mnapata nn mkiomba izo like jmn heeeee angalau wapen ushaur au pongez lkn so kuomba like t

  • @Rizikimeali
    @Rizikimeali 2 месяца назад +1

    Jamani kai ww humfikiriii zuu😢😢😢

  • @esterester3628
    @esterester3628 2 месяца назад

    Angalau Zuu wetu Kawa huru kutoka Kwa jangili❤

  • @QueenDenise-i9u
    @QueenDenise-i9u 2 месяца назад +2

    Jamani dakika 4 tuu comment zishakia karibu 50

  • @VailethZongolo
    @VailethZongolo 2 месяца назад +6

    Like mpewe zanini aya anaetaka like aje anisaidie kubeba zege kwanz kutaka tu kupewa like kulike wenzenu aaah😅

  • @EsperanceKashindi-u4t
    @EsperanceKashindi-u4t 2 месяца назад

    Jamani ebu nipeni Siri ya izo like na Mimi nianze kuwahomba😂😂

  • @MourinenafulaRinaambani
    @MourinenafulaRinaambani 2 месяца назад

    Jamani ni kama zuu na Kai wanaanza kurudisha kumbukumbu zao 😊😊😊, candy aibu kwako

  • @SophiaMushy
    @SophiaMushy 2 месяца назад

    Jaman nikajisemea nimewai lkn dah watu 3788 wameshaangalia🎉🎉🎉🎉

  • @VailethMussa-f1w
    @VailethMussa-f1w 2 месяца назад

    Naipenda hii Move sana 🙌 ❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AtiAlsarsi
    @AtiAlsarsi 2 месяца назад

    Asante sana zuuu nimzima na baba ni mzima nashukuru Mungu sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 2 месяца назад

    Nimefirahi kuona daa zuu akiokolewa mungu n mkubwa ❤❤❤

  • @LaylaSaheeb
    @LaylaSaheeb 2 месяца назад +1

    Kuomba like tu kutoa maoni Aaaaah😅

  • @VillaviaChemutai-if2ry
    @VillaviaChemutai-if2ry 2 месяца назад +1

    Wakenya wetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 месяца назад +1

    Hivi mbona mimi amnipo Iikeee