Leo nimechelewa nawapa hi nyote tunaefatilia movie hii yenye kutufundisha mambo yaliomo humu duniani ❤movie za kiswahili ndio fahari ya mtanzani 👋kazi nzuri 💪anaeniunga mkono like kwa sama mideko😊
katika maisha wanao juwa kuwa maisha nini na hiki kipind kinatufunza nini jama tusome vizur tuwache tamaa penz lakufos kudharau mtu na uhuni Kama chakufunza Kama mmi plz nawaomba mujitokeze yoto kwa like 5 tu
Kilamba na mkeo nawapenda mno kwaukarimu wenu mbarikiwe sana hivyo ndo tapaswa kuishi kama binadam 😊😊😊furaha kwa kipenzi 🥰 changu zuu bado tuko naeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Munao omba like ndio nyie munao sumbua mtaani kuomba omba ela watu kila kukicha 😝😝 unaanzaje kuomba like kwani muna za I like zina uzwa?? Huwo ushambaaaa
Hii Series Nimeipenda.Sana kiukweli...Nime download kutoka episode 1 mpaka Nikawafikia Nyote Sasa Ivi Nipo Nanyi kusubiri Episode 30.......wapi makofi ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Naomba kuuliza hizi like zinazoombwa hapa,hua zinainua hii thamthilia au watu wanaziongezea mishahara yao Ka nimishahara bs nami nianze kuomba Akuna maoni nikuombwa likes tuuuuuu 😅
Hawa hawajui maana ya movie, coz movie hua nikama darasa unaangalia unajifunza kitu lkn ukuuuuuuuuu atha ni HOWA 🤣kumba likes bila maoni nikama kutaka kipofu akutoe mwimba 🤣
Mashallah zuu kaa ziduka mungu ni mkubwa wallha tena cend acha uwongo ww mtoto wa kike mimba ya madefu hyoo wataka umuzee Kai kuku.kweny pakacha hatarii San n Kai hatakubali tu mzigoo wa madefu huwoo wap chiko
Jmn samahan tuachane na hii tabia ya kuomba like vyema tuangalie wap wamekosea wp wamepatia tuwambie ili km kuna hitilafu wajue na sio kushikilia kuomba like tu jaman
Wow kazi nzur snaa🥰🥰🥰,yaan leo acha2 lkn waigizaji samahanini sna kwa nitakacho ongea ,,,n juu ya mda tu n mchache mno tukiendelea kusubiri de next part
Leo nimechelewa nawapa hi nyote tunaefatilia movie hii yenye kutufundisha mambo yaliomo humu duniani ❤movie za kiswahili ndio fahari ya mtanzani 👋kazi nzuri 💪anaeniunga mkono like kwa sama mideko😊
Mwenye ako na roho kama a baba kai kwa kupenda zuu like zetu 🎉
Unafanyia nn like
Mashallh tabarak Allah mungu awazidishie heri kwenye kazi nyenu❤❤❤❤🎉🎉🎉
Wakwanza jaman kutoka Saudia naombeni like zenu ❤❤ daa zuu amekuwa sawa mashaallah ❤
Aya ongera nshakupa like
Aibu itamtokea candy nipen likes
Ila candy umepanda viwango vya kuigiza, ungebaki Kwa mkojani ungefubaaa😅😅😅
katika maisha wanao juwa kuwa maisha nini na hiki kipind kinatufunza nini jama tusome vizur tuwache tamaa penz lakufos kudharau mtu na uhuni Kama chakufunza Kama mmi plz nawaomba mujitokeze yoto kwa like 5 tu
Kabisa
🙏🙏🙏
Kabisaaa tusichukuliee poaa hii house girl inatufunza
Usiŵe mwema kwa kila mtu
Kwl
Ogopa mapenzi yaaani Kai wanakula lkn Kai anafikiria zuuu naye kendi anafikiria mubaba mapenzi ww 😂😂😂 watching from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🤣🤣
Nakwabia 😅😅😅mapenzi shikamooo
Jaman zuuu amerudi Tena like kwa anaemkubali zuuu jaman
🥰🥰🙏🙏
Kilamba na mkeo nawapenda mno kwaukarimu wenu mbarikiwe sana hivyo ndo tapaswa kuishi kama binadam 😊😊😊furaha kwa kipenzi 🥰 changu zuu bado tuko naeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Anae sema cendy anamimba gong like
Hii ndio comment yenyew nilikuwa natafuta
Wangap mnanamkubali zuu gonga like hap🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Me nilisema toka mwanzo yaani hawa urafiki wao mwisho wake utakua mbaya....😂
Mama p natowa sapot tu sinaga haja ya kitu chochote toka kwanu ila mnipe mahaba ya move t
🥰🥰🥰
Yani Kuna watu Wala hawatazamiii move wKifika tuuu nkuomba like mnakera
Jamani waomba like punguzeni monkali hee hizo like mnakula ama badala mtoe maoni wapi panahitaji marekebisho nyie like tu mnaboa 😂🎉🎉🎉🎉❤
Siyo mnaomba like2 naombeni patr 30 hapa Niko vay
Hii tabia yakuomba like kilasiku muache,mwataka kuzipekeka wapi😮😮
😭
Kwakweli
😀😀 nawashangaa baada waongelee kuhusu movie wanaomba like
Labda watak watie nazi wale
@@DoreenOmmy-gw3op hawajui wengine tuko darasani
Kwani kilamtu anataka like nizanini hizolike ama ndiozinasababisha mb zisiende fasta😮
Tumeomba muwe mnatoaga vipande viwili viwili 💛💛💛
Pumbavu zenu mbwa mm hii SASA imezidi oooh mm wa kwanza naomba like , like za nyoko mnakera sasa duuh😐😾
Na ww umeomb like nimekupa😂😂😂
Jaman atimaye zuuu ameachiliwa uenda akapatana na bibi akasaindiwa😢😢❤❤🎉🎉🎉
Tunaofuatilia kazi ya busati tv gonga like
🙏🙏
@@busatitv kazi Nzuri hila jamani muwe mnatuwekea ep mbili kwa siku
@@busatitv one love from 🇦🇺🇦🇺
Kazi nzr sana❤
Fatuma❤@@busatitv
wa kwanza jamni naombeni like zenu
Jamani sijapend ndomani mi sitak wap like kak kai wap mk ameshakulog ndoman hawuchuz vizur kwasas
Busati TV hongera sana nazidi kujifunza 🔥💐
Hii busati TV naipenda sna mana awachelew wanaleta vtu on time ,mniachie japo ngp na mie ,❤❤❤❤❤
Sina baati ya kuwa wa kwanza kuomba like ❤😢
Kuomba like tu kuposti move zenu aaaaah 😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Number one tujuwane watu tunafkiaga k comments bil hatujaona 😂😂
Jaman na mmi naombeni laiki zangu
Wee nimekua wa kwanza leo sijui watu wameendapi au kurauka tu lkn ku like aaaah
Wow zuu amepona
Sasa tamthilia imefikia patamu...aise jamani msicheleweshe basiiiiii
Leo nmewai naomba like zenu jmni
Nipeni hizo likes ❤ Kwa moyo wa furaha
Woow ❤❤❤ Zuu kafufuka 🎉, sasa niko na tumaini kuwa atapona 🎉
Toka nimeanza mfwatilia zuuh kwa Mara ya kwanza nimewahi leo naomba like zangu ata 10 tuuu❤❤❤
Jamn zuu
❤❤❤
hizo like unapeleka wapii😅😂😅
Nampa zuuh😂😂😂
Zuu kwake itakuwaje Kwa baba mkwena bibi wake aash mashaka juu ya mashaka ❤wapi likes za zuu
Sjawah PATA like naomben hata kumi tu😢
Ukioata inakusaidia nn
Jamani me Leo nimewai naombeni like zenu
Na kichaa kitamrudia candy weka likes
Wakwanza mm from Kenya team strong nipeni like ❤❤
Munao omba like ndio nyie munao sumbua mtaani kuomba omba ela watu kila kukicha 😝😝 unaanzaje kuomba like kwani muna za I like zina uzwa?? Huwo ushambaaaa
😂😂😂😂😂
Hii Series Nimeipenda.Sana kiukweli...Nime download kutoka episode 1 mpaka Nikawafikia Nyote Sasa Ivi Nipo Nanyi kusubiri Episode 30.......wapi makofi ya Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umeanza kutazama lini?
Waomba like jamani duu mmezidi 😂illah hii move nitamu sana ❤❤❤
Jaman zuu kaludi❤❤❤❤aibu yao
Musiombe laki jamani ombeni tumbeni makotooo😂😂😂😂
Tulio furahia kuwa zuu hajafa tujuane hapa 🎉🎉🎉🎉🎉
Muombe like Sasa mfyuuu😅
Kabisa wanasinya
@@sifamaureen2792n like like ata MTU haezi TOA maoni😂😂😂
😂😂😂😂bahati yake Kai ameleta zuu LA sivyo tungeandamana😂😂😂
@@HidayaMbodze 🤣🤣🤣🤣mpk kieleweke
@@rukcabby2572 nakwambia
Nimewahii❤❤❤❤❤❤❤❤❤nipewe mauwa yangu🎉🎉🎉🎉
Mm ndo namba 1 leo bana
Uwiiiii wa kwanza leo from Burundi
Jamani likes naomba hta tano
Wamwish naomben like
Team zou inshallah tuta enjoying mda si mulefu like hapa❤❤❤❤
Duh ila zuuu mungu afanye wepes❤
Naomba kuuliza hizi like zinazoombwa hapa,hua zinainua hii thamthilia au watu wanaziongezea mishahara yao
Ka nimishahara bs nami nianze kuomba
Akuna maoni nikuombwa likes tuuuuuu 😅
Kuna namna wanakera wallah 😅
Hawa hawajui maana ya movie, coz movie hua nikama darasa unaangalia unajifunza kitu lkn ukuuuuuuuuu atha ni HOWA 🤣kumba likes bila maoni nikama kutaka kipofu akutoe mwimba 🤣
@@zubedamae-ro1jx 😁😁😁😁😁😁😁
Zuu hawezi kufa coz ye ndio main actor 😢❤
Apo ss
Mashallah zuu kaa ziduka mungu ni mkubwa wallha tena cend acha uwongo ww mtoto wa kike mimba ya madefu hyoo wataka umuzee Kai kuku.kweny pakacha hatarii San n Kai hatakubali tu mzigoo wa madefu huwoo wap chiko
Much love from saudi nafurahia kwa mafunzo yenu mungu awatie nguvu nyingi ❤❤❤❤
Jamani wenzangu ndo kuingia musinisahau nawapenda venye napenda wanabusati ❤❤❤
Move tamu sana hii❤❤ mngu awatie nguvu mutupe burudan zaid
Baba ake na kai analiza jamen anahurumisha sana aki
Nasoma comment nione mmekoment ushaur gani kumbe mwaomba like😮😮😮wanaosoma comments tukipta mwatutatza
Kuomba like TU kusifia move aaaah
Waah Leo sitasoma comments mob thanks so much for the update narudi n comments Wacha nilishe macho kwanza 😂😂
🙏🙏
Jamn kila mtu anaomb like yaan mumezd emb tueni maoni yenu tyu😚
Jaman kwan izo like zin faida gani
Waoooh zuuh amehamka
Kwan hzo like munafanyiag nn.
Ata mm naitaj kujaw ua nizakaz gan😂😂😂
Yaani sipendi sijui wanafanyia nn izo like kiukweli😂
Jmn samahan tuachane na hii tabia ya kuomba like vyema tuangalie wap wamekosea wp wamepatia tuwambie ili km kuna hitilafu wajue na sio kushikilia kuomba like tu jaman
Bola at we umeongea cha maan man wat wanaomb like tu la maan hakun
Mi wakwanza like zangu ❤❤pleas
Jamni sielew zuu kapona ama❤❤
Mwaga makopa na like hapa 😮😮
Wow kazi nzur snaa🥰🥰🥰,yaan leo acha2 lkn waigizaji samahanini sna kwa nitakacho ongea ,,,n juu ya mda tu n mchache mno tukiendelea kusubiri de next part
Mmmmhhh marafiki shikamo😂😂😂😂😂 niswqwabuu nikioa anizaliee watoto
Ila kiukwl candy kwny hii movie cjuw ,Mungu atamfanya nn au mtuzi wa movie
😭😭
Inabidi sahii tusifuatilie movie tuanze kupeana like
🤣🤣
😂😂😂😂 nimefurahi sana kumuona zuu mzima 😂😂
Afazali zuh kafufuka
Asante MUNGU Bora zuu kafufuka
Tulioko Kenya 🇰🇪 tuna like wapi
Hivi hizo like mnazoomba zinawaongezea pumnzi ama vip😅😅😅
Yaanii leo mapema tu nimefurahi sana 🥰🥰🥰
Tusome vizuri kweli toka hichi kipindi,may God bless u all❤❤
Wenye kuomba likes si mtupositie vida zenu tuwape likes kwa wingi 😂😂nkt...... nways hongera team roho nzuri
🙏🙏
@@busatitv be blessed 🙏
Jaman nimefurahi sana kumuona zuu bado yuko hai hata kama ni kichaaa
🥰🥰🥰
Kwn mnapata nn mkiomba izo like jmn heeeee angalau wapen ushaur au pongez lkn so kuomba like t
Jamani kai ww humfikiriii zuu😢😢😢
Angalau Zuu wetu Kawa huru kutoka Kwa jangili❤
Jamani dakika 4 tuu comment zishakia karibu 50
🤣🤣
Like mpewe zanini aya anaetaka like aje anisaidie kubeba zege kwanz kutaka tu kupewa like kulike wenzenu aaah😅
Jamani ebu nipeni Siri ya izo like na Mimi nianze kuwahomba😂😂
Jamani ni kama zuu na Kai wanaanza kurudisha kumbukumbu zao 😊😊😊, candy aibu kwako
Jaman nikajisemea nimewai lkn dah watu 3788 wameshaangalia🎉🎉🎉🎉
Naipenda hii Move sana 🙌 ❤🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana zuuu nimzima na baba ni mzima nashukuru Mungu sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nimefirahi kuona daa zuu akiokolewa mungu n mkubwa ❤❤❤
Kuomba like tu kutoa maoni Aaaaah😅
Wakenya wetu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hivi mbona mimi amnipo Iikeee