POLISI YANASA MTANDAO WA MATUKIO YA MAUAJI DODOMA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Jeshi la polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne ambao wanatuhumiwa kujihusisha na mtandao wa mauaji katika maeneo tofauti mkoani hapa
Leo ijumaa septemba 27, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma George Katabazi amesema kuwa watuhumiwa hao wameshiriki kwenye matukio manne ya mauaji ambayo yametokea hivi karibuni.
Katabazi amewataja wanaoshikiliwa kuwa ni Paulo David (22), Isack Richard (24), Ernest Richard (18) na Silvanus Shotoo (21) wote hawa wakiwa ni wakazi wa kata ya Mtumba Jijini Dodoma.
(Video na Hamis Mniha)
Kwann wanawaua matukio yote hayo hao waulizwe vizuri kwann wanafanya hivyo kipo kitu hapo na yupo mtu nyuma yao wabaneneni tu pumbu hizo
Police huwa hakuna wanachoshindwa ni basi tu..
Yani hao wataje wenzao kwa sababu mnauwa bila makes. Hao ni wanyama siyo ubinadam
Hayo maelezo hapana aisee yani kibaka auwe abake na achome watu moto mpaka watoto kisa fedha ata Sauzi iyo kitu amna
Mbona ni vijana wadogo? Hao mbwa yauwawe.
Hawa wauwaji wanatumuwa na watu
Madogo wadogo kinoma
police wachunguze vzr Kuna mtandao mkubwa nyuma ya hao madogi
Tunaomba wauwawe pia jaman,kwann hiv kila mara,tunapoteza ndugu zetu😢
Hongereni sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri mlioifanya 🙏🙏🙏
Wapeni wamanchi washughulike nao ukiish kwa upanga nawe ufe kwa upanga ubaya ubwera
Kama ni kweli hao ndiyo walofanya hilotukio mtihani jamani Allah atulindie watoto wetu. Maana hiziloo zakisweitwani watoto wadogo hao bila Mungu hatuwezi wanaroho mbaya sana
Siku zote binadamu anaposhindwa kustahimili tamaa zake .. Huwa anakuwa mnyama
Pongezi jeshi la polisi kwakazi nzuri hi mitandao inaonekana ipo mingi nivema ingekumeshwa yote apa nchini
😢😢😢😢😢mungu to samehe watoto wadogo kuwaonea jamani malipo n hapa hapa
Tunalipongeza jeshi la police, ninachowaomba na wao wauwawe
Wauweni hadharani na mpost kwenye mitandao kila mtu aone wengine wenye tabia hiyo wakiona wajifunze maana hali inatisha sana tunsogopana sasa hivi.
Subhannallah hawa vijana walaaniwe uwiii kumbe vijana wadogo sanaaa aiseee. Hawakuiba wala nina au walikuwa wanawataka kinguvu hao mabinti? Maana watuhumiwa wote age zao za balehe daaaah
Vizuri kamanda ongereni atuyataki haya
Mhuuu hebu waulinzwe shida yao nn mungu anawaona
Mbona watoto wadogo wanajihusisha na mauwaji
Yaani ni vijana wadogo sana maskini
NA SABABU ZA MAUWAJI NI NINI???
Bas na wao wauawe msiwaache
Sasa hao kwanini wasipelekwe tu moja kwa moja kufunga haina haja ya uchunguzi
Kesho kutwa wapo nje unaijua mahakama kwa rushwa
Dah polen xn jamn