POLISI YANASA MTANDAO WA MATUKIO YA MAUAJI DODOMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Jeshi la polisi mkoani Dodoma linawashikilia watu wanne ambao wanatuhumiwa kujihusisha na mtandao wa mauaji katika maeneo tofauti mkoani hapa
    Leo ijumaa septemba 27, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma George Katabazi amesema kuwa watuhumiwa hao wameshiriki kwenye matukio manne ya mauaji ambayo yametokea hivi karibuni.
    Katabazi amewataja wanaoshikiliwa kuwa ni Paulo David (22), Isack Richard (24), Ernest Richard (18) na Silvanus Shotoo (21) wote hawa wakiwa ni wakazi wa kata ya Mtumba Jijini Dodoma.
    (Video na Hamis Mniha)

Комментарии • 27

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Час назад +2

    Kwann wanawaua matukio yote hayo hao waulizwe vizuri kwann wanafanya hivyo kipo kitu hapo na yupo mtu nyuma yao wabaneneni tu pumbu hizo

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Час назад +2

    Police huwa hakuna wanachoshindwa ni basi tu..

  • @JaneMkinga
    @JaneMkinga Час назад +1

    Yani hao wataje wenzao kwa sababu mnauwa bila makes. Hao ni wanyama siyo ubinadam

  • @abednego3876
    @abednego3876 2 часа назад +1

    Hayo maelezo hapana aisee yani kibaka auwe abake na achome watu moto mpaka watoto kisa fedha ata Sauzi iyo kitu amna

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Час назад +1

    Mbona ni vijana wadogo? Hao mbwa yauwawe.

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Час назад +1

    Hawa wauwaji wanatumuwa na watu

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s Час назад +1

    Madogo wadogo kinoma

  • @SamwelijonasiSamweli-sq6qf
    @SamwelijonasiSamweli-sq6qf 56 минут назад

    police wachunguze vzr Kuna mtandao mkubwa nyuma ya hao madogi

  • @suzanakweka
    @suzanakweka 35 минут назад

    Tunaomba wauwawe pia jaman,kwann hiv kila mara,tunapoteza ndugu zetu😢

  • @YusuphSeiph-t1p
    @YusuphSeiph-t1p 36 минут назад

    Hongereni sana jeshi la polisi kwa kazi nzuri mlioifanya 🙏🙏🙏

  • @CharlesMgassa
    @CharlesMgassa 15 минут назад

    Wapeni wamanchi washughulike nao ukiish kwa upanga nawe ufe kwa upanga ubaya ubwera

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Час назад

    Kama ni kweli hao ndiyo walofanya hilotukio mtihani jamani Allah atulindie watoto wetu. Maana hiziloo zakisweitwani watoto wadogo hao bila Mungu hatuwezi wanaroho mbaya sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 59 минут назад

    Siku zote binadamu anaposhindwa kustahimili tamaa zake .. Huwa anakuwa mnyama

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Час назад

    Pongezi jeshi la polisi kwakazi nzuri hi mitandao inaonekana ipo mingi nivema ingekumeshwa yote apa nchini

  • @FatmasaidhamesaHamesa
    @FatmasaidhamesaHamesa Час назад

    😢😢😢😢😢mungu to samehe watoto wadogo kuwaonea jamani malipo n hapa hapa

  • @DianaHyera
    @DianaHyera Час назад

    Tunalipongeza jeshi la police, ninachowaomba na wao wauwawe

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 10 минут назад

    Wauweni hadharani na mpost kwenye mitandao kila mtu aone wengine wenye tabia hiyo wakiona wajifunze maana hali inatisha sana tunsogopana sasa hivi.

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari Час назад

    Subhannallah hawa vijana walaaniwe uwiii kumbe vijana wadogo sanaaa aiseee. Hawakuiba wala nina au walikuwa wanawataka kinguvu hao mabinti? Maana watuhumiwa wote age zao za balehe daaaah

  • @davidlinus6940
    @davidlinus6940 Час назад

    Vizuri kamanda ongereni atuyataki haya

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 53 минуты назад

    Mhuuu hebu waulinzwe shida yao nn mungu anawaona

  • @FazilahFazilah2022
    @FazilahFazilah2022 2 часа назад

    Mbona watoto wadogo wanajihusisha na mauwaji

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 38 минут назад

    Yaani ni vijana wadogo sana maskini

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 24 минуты назад

    NA SABABU ZA MAUWAJI NI NINI???

  • @AgnesEphraim-jw6dv
    @AgnesEphraim-jw6dv 33 минуты назад

    Bas na wao wauawe msiwaache

  • @AshuuuBakari
    @AshuuuBakari Час назад

    Sasa hao kwanini wasipelekwe tu moja kwa moja kufunga haina haja ya uchunguzi

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Час назад

      Kesho kutwa wapo nje unaijua mahakama kwa rushwa

  • @omaryhamad2357
    @omaryhamad2357 2 часа назад

    Dah polen xn jamn