HOUSE GIRL EP 30 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 654

  • @AlylenShitamu-tc2ng
    @AlylenShitamu-tc2ng 2 месяца назад +25

    Waaaauuu leo imekuwa tamu najuwa zuuu anaenda kupatikana..team zuu jamani mnipee like ata kumi tuu kutoka kenya jamani

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 2 месяца назад +36

    Kuigiza chizi kipaji hongera zuu god

  • @DaisyNyabuto
    @DaisyNyabuto 2 месяца назад +31

    Angalau nimeingia mapema nipeeni 10 tu❤❤❤❤

  • @AgnesDavdi-rz9hg
    @AgnesDavdi-rz9hg 2 месяца назад +12

    Napenda muvi zenu jamn naomben like hata kumi

  • @jacklineshayo3962
    @jacklineshayo3962 2 месяца назад +46

    Naomben likes za wachelewaj 😂😂😂

  • @Norah-dee
    @Norah-dee 2 месяца назад +191

    Nahitaji nijue wng tupo kwny maombi zuu na kai wawe sawa pamoja na baba kai 🎉

    • @kazibure5274
      @kazibure5274 2 месяца назад +3

      Sanatu

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 2 месяца назад +3

      Zuu atapona next episode juu kuna moja tulionyeshwa wako wote kwa ep 29 halafu candy ataachana na Kai na candy na Sonia pia urafiki utaisha Ila kwa chiko na Bibi ndio siezi imagine kutakuaje😂😂😂

    • @maysaghjii5058
      @maysaghjii5058 2 месяца назад +4

      Chiko unalana wahaika namakahaba mkeo mzr ivo

    • @HidayaMbodze
      @HidayaMbodze 2 месяца назад

      @@maysaghjii5058 wallai

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 2 месяца назад +3

      Tupo kama woteeee

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 2 месяца назад +85

    Ipo siku busati tv itashika namba moja kama unakubaliana nami gonga like ❤❤❤❤❤

    • @Josephnyinge
      @Josephnyinge 2 месяца назад

      No way, they! have got a long way to go. They have got a lot of poor characters but the idea of storyline they're trying.

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 2 месяца назад +205

    Wale mnapitia mkisoma comments gonga like wakuu❤❤

  • @murungi909
    @murungi909 2 месяца назад +35

    Zuu jamani 😢, msipite bila likes guys please pinga like ukipita

  • @Ramacomedian
    @Ramacomedian 2 месяца назад +13

    Nipo ndani kabisa amazing episode from busati tv 🐔

  • @JenifaAnthony
    @JenifaAnthony 2 месяца назад +84

    Jaman wakwanza naombeni ata like moja tu

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 2 месяца назад +4

    Jaman atakae omba like asipewe teeh mwatak kuzila badal yaku enjoy nakuombe kaband kasiishe 😂😂😂

  • @NajaribuZamaradi
    @NajaribuZamaradi 2 месяца назад +25

    Wakwanza mimi nipen like zangu ❤❤

  • @RoseAkamala
    @RoseAkamala 2 месяца назад +15

    Wa kwanza kutoka Kenya wapi likes zangu jamani

  • @janatmapenzi5264
    @janatmapenzi5264 2 месяца назад +20

    Jaman nihurumien bc ata kamoja like mmmmh

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 2 месяца назад +12

    aki mnarauka kwel mm nachelewa tu.kila siku🎉🎉

  • @BlessingsHalisi-im9zx
    @BlessingsHalisi-im9zx 2 месяца назад +80

    Nina hakika zuu atapona wewe je? Nipe like nione

  • @JoshuaMbeyela-o2p
    @JoshuaMbeyela-o2p 2 месяца назад +183

    Cjawah kupata like mbili mm😢😢😢 nipeni ata tatu tu

  • @BINTJUMAIbrahimu
    @BINTJUMAIbrahimu 2 месяца назад +8

    I love this movie so much 🎉❤😊

  • @brendanawanga
    @brendanawanga 2 месяца назад +5

    Jamani mungu mlinde zuu mahali popote alipo🙏🙏❤️

  • @FadhilyChanay-ly4yi
    @FadhilyChanay-ly4yi 2 месяца назад +9

    First i

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 2 месяца назад +6

    😂😂😂 watu mnawai dakika ngapi

  • @VeronicaIbrahim-wv4dg
    @VeronicaIbrahim-wv4dg 2 месяца назад +3

    Naombeni like jamani

  • @FitinaWilondja-m7c
    @FitinaWilondja-m7c 2 месяца назад +7

    ❤❤❤

  • @SallwaAbdallah
    @SallwaAbdallah 2 месяца назад +2

    Jmn cjachelewa sana cety eeeh gong likes hapo kipenz nawapendaaa❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰❤❤❤

  • @VeronicaDamas-in9yx
    @VeronicaDamas-in9yx 2 месяца назад +9

    Wakwanza wapendwa naombeni hata like 5 ttu jomn🎉🎉🎉🎉

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 месяца назад +1

    Nipen lak namimi jaman kutoka south Africa zingine mupen zuuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MariahJuliuss
    @MariahJuliuss 2 месяца назад +2

    Jamani jamani naipenda hii movie mwendelezo tafazali 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @Mr.franckayo
    @Mr.franckayo 2 месяца назад +9

    Yan jawa lik kbs

  • @Phoenix-o1o2s
    @Phoenix-o1o2s 2 месяца назад +5

    Mimi ni mekuwa wakwanza kwenye coments

  • @hlimaa5182
    @hlimaa5182 2 месяца назад +2

    Busati TV mko good 👍 kabisaa yaani hana MBA mba mba much love 💕 kwenu nyote mnao shiriki Allah awaongezee mfike mbali zaidi na Zaidi ❤❤❤❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰🥰🥰🥰

  • @HanifaHabibo
    @HanifaHabibo 2 месяца назад +1

    Tupo team Zuu twasunili akae sawa ndoa ipite😂😂😂

  • @SharifsomariNyangusi
    @SharifsomariNyangusi 2 месяца назад +1

    Yani nyoooooote like like chefu

  • @NipherRubia
    @NipherRubia 2 месяца назад +19

    watu hata hamuwezi ni ngoja mmefuka 2k 😂😂😂😂 hebu nipeni like zenu hata kumi tu

  • @Babygirl-s3h
    @Babygirl-s3h 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤ from Kenya like bas ata moja😢😢

  • @ExvaryMwakibete
    @ExvaryMwakibete 2 месяца назад +6

    Leo wakwanza

  • @BiswahiAthumani
    @BiswahiAthumani 2 месяца назад +2

    Naombeni namim hat kumi tu

  • @AminaChile-bx8hv
    @AminaChile-bx8hv 2 месяца назад +2

    Kwn watu mnalal hku waaah

  • @mariajohn4247
    @mariajohn4247 2 месяца назад +2

    Naombeni na mm like zangu

  • @JosephinaBrahtoni
    @JosephinaBrahtoni 2 месяца назад +2

    Watu mnalala huku😂😂😂

    • @SaumuSophyline
      @SaumuSophyline 2 месяца назад

      Tunalala uku kama chiku

    • @JosephinaBrahtoni
      @JosephinaBrahtoni 2 месяца назад

      😂😂😂😂 weeeeeeee nimechelewa dakika 5 nimekuta like 70

  • @leeminho3653
    @leeminho3653 2 месяца назад +2

    Hawa watu bhna wanajua mpka wanajua tena 🔥🔥

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 2 месяца назад +1

    Sjacherea
    Sana

  • @LesianJuma
    @LesianJuma 2 месяца назад +2

    ❤ nawapenda sana vipenzi tunaoendelea kusaport kazi za wenzetu Sina mengi tu nawashukuru Sana umwaaaaaah ❤❤❤❤ be

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад +1

      🥰🥰🥰🥰🥰

    • @LesianJuma
      @LesianJuma 2 месяца назад +1

      @@busatitv waooo thanks

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 2 месяца назад +2

    Mapema ndo best nipeni likes za zuuu, she knows how to act❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰🥰🥰

  • @BestFabrics
    @BestFabrics 2 месяца назад +4

    Jaman nimewahi wa102😂😂

  • @omarmohd5800
    @omarmohd5800 2 месяца назад +1

    Dakika kai tuzidishei una tuzonga mashabiki akoo

  • @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj
    @HusnaaAbdul-rahmaan-lu8uj 2 месяца назад +2

    Jamani mwaaaaa nawapenda ila naombeni like 👏

  • @PudensianaVisenti-wr8pc
    @PudensianaVisenti-wr8pc 2 месяца назад +1

    Nawapenda busati hamjawah kuzingua ❤❤

  • @Fayzer-yb4ic
    @Fayzer-yb4ic 2 месяца назад +1

    Jamni nipeni n mm like zangu ,,,,,,,ila candy yuko karb kumramba

  • @12omochildren
    @12omochildren 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri kweli na naona ndoa wiki hii ❤❤❤❤

  • @HildahOduor
    @HildahOduor 2 месяца назад +1

    Adi mimi leo nawaombeni like kwani nitakuwa 2 nikiwalike kila siku na nyinyi hamnilike

  • @Kwetutendo-nu7qq
    @Kwetutendo-nu7qq 2 месяца назад +5

    Ila huyu mke walii ana wivu atarii

  • @reginaIssa-m2j
    @reginaIssa-m2j 2 месяца назад +1

    ❤❤❤nawaombea zuu na Kai wawe sawa alafu candy nahiyo mimba yake awe kichaaa ateseke Hadi akomee 😢😢

  • @fakhariyarazak2945
    @fakhariyarazak2945 2 месяца назад +2

    🏃🏃🏃🏃

  • @VailethZongolo
    @VailethZongolo 2 месяца назад +2

    Mkuje mabestie mlike mana nawalike sana

  • @jedenecosta
    @jedenecosta 2 месяца назад +3

    Busati
    Tv
    Tukonyuma
    Yako

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      Asante sana 🥰🥰🥰

  • @PhilipoSulle-zc6rt
    @PhilipoSulle-zc6rt 2 месяца назад +5

    Mmekosa la kuandika mmaomba like

  • @KassimKhalaid
    @KassimKhalaid 2 месяца назад

    Beb malaika toto liko sawa kila secta wow I like her

  • @GetrudeChengula
    @GetrudeChengula 2 месяца назад +1

    Nawapenda sanaaaa ❤❤ mashabiki

  • @philipomkinga4708
    @philipomkinga4708 2 месяца назад +1

    Waomba like mnakeraaaaa

  • @IreenAgustino
    @IreenAgustino 2 месяца назад +1

    Watu mnalala uku uku mnaamkia uku uku mwashind uku uku jmn daaaa

  • @umaima1178
    @umaima1178 2 месяца назад +1

    Busati anakimbiza yuo tube mau yako busati 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @Tikrit66Tik
    @Tikrit66Tik 2 месяца назад +6

    Emungu sai watoto wako🎉🎉

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo 2 месяца назад +3

    toeni maon Acheni mambo ya like nyie kunguruuu😂😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🥰🥰🥰

    • @PaulCecyl-jz4mr
      @PaulCecyl-jz4mr 2 месяца назад

      😂😂😂😂😂wanakera sana😂

  • @tammyjackson1958
    @tammyjackson1958 2 месяца назад +1

    Candy limemkuta la kumkuta Leo na shogaake😂😂😂😂😂

  • @everlyneouma-ss5zc
    @everlyneouma-ss5zc 2 месяца назад +1

    Movie ishaanza kunoga hino 🔥🔥

  • @LydiaKerubo-hk8vb
    @LydiaKerubo-hk8vb 2 месяца назад +1

    Ndio kufika

  • @moreenfelluzy3243
    @moreenfelluzy3243 2 месяца назад +1

    Wow nimewh Leo jmn

  • @thedyjovine4211
    @thedyjovine4211 2 месяца назад +2

    Jamn zuu apone inatosha sas kuwa chiz🤣🤣🤣

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🤣🤣🤣

  • @estermgoma7451
    @estermgoma7451 2 месяца назад +1

    Bibi nakupenda sana bas tyu❤

  • @KhadijaRajabu-d7h
    @KhadijaRajabu-d7h 2 месяца назад +1

    Wakwanza jamani

  • @NausarySallum
    @NausarySallum 2 месяца назад +1

    kwa wale tunaoangalia ep 30 saa4 usk gonga like hapa😂😂

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 2 месяца назад +1

    🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️busati tv mpoo juu

  • @SalmaSaid-io1ip
    @SalmaSaid-io1ip 2 месяца назад +1

    Nkumoto❤❤❤

  • @thomasfuluto1393
    @thomasfuluto1393 2 месяца назад +1

    Hivi like huwa zina faida gan mbna kila mtu anaomba like tyuu

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s 2 месяца назад +1

    Daa mh dakika tano tu msha kua miloni humu ndani mmmmh hhhhhh sawa tuna kubatiya busaty yetu haya team zuu tujuane hapa

  • @ZaicuteZaicute
    @ZaicuteZaicute 2 месяца назад +4

    Like zangu🎉🎉🎉

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o 2 месяца назад +1

    Kwang VIP mbon mnatuchangany mafaili yenu hatuelewi IPO ndo house girl

  • @MammyMeju
    @MammyMeju 2 месяца назад +1

    Kazi nzur san🎉🎉🎉

  • @bayubaheallydelly-rn2zv
    @bayubaheallydelly-rn2zv 2 месяца назад +1

    Awa watoto WA 2000 noma sana

  • @bintiabdallahmwakulani6350
    @bintiabdallahmwakulani6350 2 месяца назад +1

    Yeah kwa sababu dawa aliyo fanya candy zina mwisho azitafanya kaz

  • @Aik-d2x
    @Aik-d2x 2 месяца назад +1

    Mwenzi Mungu awapony zuuh na kay

  • @TeddyNasibu
    @TeddyNasibu 2 месяца назад +1

    Ninahakika zuu na kai eataoana kama naww unaamin weka like hpo

  • @RehemaJarudi
    @RehemaJarudi 2 месяца назад +1

    Zuu anateseka sana jaman

  • @MwanakomboAli-p5e
    @MwanakomboAli-p5e 2 месяца назад +2

    😂😂😂😂Baba amelala

  • @asiamohamed824
    @asiamohamed824 2 месяца назад +1

    Naomba like zenu Leo Mimi wakwanza

  • @MohamedBakari-fv3us
    @MohamedBakari-fv3us 2 месяца назад +1

    Wangap wanasema zuu katisha kweny uchiz gonga like ap

  • @AsiaHassani-kf8ww
    @AsiaHassani-kf8ww 2 месяца назад +1

    W kwanza Leo Kuna watu humu ndani watok 😂😂😂😂kazi mzur 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @PaulOjiambo-p1f
    @PaulOjiambo-p1f 2 месяца назад +1

    mungu mwenye nguvu naomba uponyaji kwa zuu

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 2 месяца назад +1

    Utapoa zuu habbty wangu😢😢😢😢❤❤❤🎉

  • @WiniMsemwa
    @WiniMsemwa 2 месяца назад +2

    Mke wa chiko mzur

  • @furahamichael6047
    @furahamichael6047 2 месяца назад +1

    Halafu nyie waomba like hebu tutoleen mambo ya ajabu huku fyuuuu

  • @neemamnyazi
    @neemamnyazi 2 месяца назад

    Gwagu gwaguzi wamegona ,,,kule mke nae achachawa kupigia bwana hee yanaitwa mapenzi hayo😂😂😂

  • @KhalidaUridu
    @KhalidaUridu 2 месяца назад

    Nice

  • @eliudkibet4738
    @eliudkibet4738 2 месяца назад +1

    Waiting 31 plz❤❤❤

  • @AneylisaAnthonyChoaji
    @AneylisaAnthonyChoaji 2 месяца назад +2

    Wahooo

  • @3dd_entertainer
    @3dd_entertainer 2 месяца назад

    I like it. Naomba like za tz na Kenya tu. Wengine sitaki

  • @OneniMahenge-wm8ji
    @OneniMahenge-wm8ji 2 месяца назад +1

    Waomba like hamujambo

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 2 месяца назад +1

    😂😂😂mumeo hawezi kukusakiti mwanamke muadilifu ww kwa mumeo unamuamini kweli

  • @swaumadam6967
    @swaumadam6967 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana