SABABU ZA MGOGORO SIMBA NA COASTAL UNION KUHUSU LAWI HIZI HAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • #simba #yanga #trending#yanga#alikiba#mgogorosimbacoastalunioni#rayvanny#chandrayaan3#wasafi#wasafitv#wasafifm#crown#claudsfm#claudstv#football#simbaaa#coastalunion#bbcnews#bbc#bbcswahilihabalileo#itvlive#sakata#sitonmyhand#wananchi#youngafricans#azamtv #azam#azamsportsfederationcup#azamiqbalrampuri

Комментарии • 21

  • @AdamRashidi-n9g
    @AdamRashidi-n9g 3 месяца назад +2

    Nyinyi mafara ni vyura wajangwani chenille kuingilia maswala ya simba lipeni made ni yanga ili ifunguliwe usajili

  • @Stephano722
    @Stephano722 3 месяца назад

    ❤❤❤


    ❤❤❤

  • @ChrisNyangoge
    @ChrisNyangoge 13 дней назад

    Simba wachezaji wamechoka naomba wajitahidi maoni yangu ni hayo

  • @LassonDominick
    @LassonDominick 3 месяца назад

    Hakuna jipya apo simba watatumiaga akiri sana! Coastal hao niwapuuzi tu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад

    Breach of contract haipo hapo?.

  • @Edithamathayo
    @Edithamathayo 2 месяца назад

    Hawa yag VP

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    hata hivyo Kama mo angetoa pesa on time agreed yasingetokea

  • @ANTHONYDCOSTA-u5p
    @ANTHONYDCOSTA-u5p 3 месяца назад

    Kuna team toka nje ilikuja kujifunza huu mchezo mchafu

  • @ThabitLuzwilo
    @ThabitLuzwilo 3 месяца назад

    Acheni marumbano tengenezeni timu

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 3 месяца назад

    Nyie ni ndugu, mnagombania nini?.

  • @drallan6879
    @drallan6879 3 месяца назад

    nyie coast hela yetu itawatokea puani

  • @mzeemambo8238
    @mzeemambo8238 3 месяца назад

    Coastal Union mnacho kiherehere. Mlikuwa na mpango tu wa kumbania Yanga harakaharaka ili muwafurahishe makolo. Kwani mlikuwa na haraka gani kumuuza mchezaji wa maana hivyo bila hata hamjasikilizia ofa zingine za nje?. Sasa mnagombana na swahiba zenu buree. Muwe na utulivu mfike mbali. Hapa mmepigwa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 месяца назад

    Mo tunaomba CHAMA NA MAYELE.

  • @benadikikoti1167
    @benadikikoti1167 3 месяца назад +2

    Hilo ndiyo soka la tanzania na Kwa stahili hii tunategemea nchi zingine zijifundishe kwetu kwa Hali hii weledi unahitajika sana sana

  • @CharlesMasorwa
    @CharlesMasorwa 3 месяца назад +1

    Coasital Union Lizikeni na Mkataba mlioufunga n Timu ya Simba, acheni kuwa na tamaa . C. Masolwa.

  • @hamidukimbunga9068
    @hamidukimbunga9068 2 месяца назад

    Cost achani tamaa

  • @kamazimamuganyizi6932
    @kamazimamuganyizi6932 3 месяца назад

    Ww unachoongea ukijui na km ww ni Yanga pls tuachie simba yetu pilipili usiyokula inakuwasha nn

  • @MakambaRashid
    @MakambaRashid 3 месяца назад

    Nendeni fifa caf watajua nani ana haki au ana makosa wanasheria wa mpira hapa Tanzania Baadhi Yao ni wababaishaji Hawamjui kanuni Sheria za usajiri wa wachezaji kama hao kina Chacha mgongoro mmeona wenyewe sakata ra morisoni mgongoro ndio Arikuwa mwanasheria warisema morisoni Mari ya yanga sawa na hao kina Chacha hata mpangaji kama hajaripa mpe notis

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 3 месяца назад

    NYIE WAHUNI TU NA UHUNI MLIOUFANYA KWA KULIPA KWA MAFUNGU HUKU MKIJINADI KUWA NA PESA WAKATI MAGUMASHI NA HICHO NDICHO KITAWAGHARIMU....KUKAA KIMYA SIO ISSUE BALI MLIPASWA KULIPA KWA WAKATI...

  • @ThabitLuzwilo
    @ThabitLuzwilo 3 месяца назад

    Simba msipende kutangaza vitu ambavyo havijakamilika

  • @HalaZanzibar
    @HalaZanzibar 3 месяца назад

    Tumeelewa , basi tumekubali