KISUGU:ATEMA NYONGO SAIDO KUPEWA ASANTE"NIWAKATI WAKUSAFISHA KIKOSI"| SIMBA INAHITAJI MABORESHO.
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Huyu Kisugu Huwa analipwa au anajitolea Ili kutoa maoni.
Muoneini Imani mnamuongezea uchizi.
Mpuuzi kisugu hana tofaut na mangung uchawa sawa upuuzi
Huyo chawa wamaaaaaaaaaaa
Manara alikua sahihi kusema wenye akiri kwenye timu ya nyuma mwiko niwawili tuu aise nimeamini
Ndo nimeamini kuwa mbumbumbu ni wote huko udundukani 🤣....
Maana alowapa iyo kauli alikuwa ana waramba kisogo .... Ila aloisema kauli ya mbumbumbu ni Adein Ismael Rage
Utopolo fc a.k.a Warushi fc, a.k.a Majini fc. Matapeli fc. Kazi yenu kubwa ni Umbea na unafiki
We mwandishi ni kolo , unaacha kumuuliza hbr za Simba unauliza hbr za yanga , we mwandishi ni KU..... M
Unamuhoj mpumbavu hy
Huyu mwamdishi anaongea sana yaan unauliza swali refu sana punguza kuongea sana ww mwandishi yaan utafikir ww ndo unahojiwa
HUWEZI kupata followers wengi wa TV yako KWA kumhoji MNAFIKI Kisugu ,anayetumia nguvu nabkusifia tu Timu hatakama kunamambo ya hovyo yanaendelea,Mtafute MZEE SAID,MIRAJI NA WENGINE UTATOBOA
Usipende sifa kira siku hata anaekukosoa anafaa zaidi kwenye maisha yako kama lakin utatambua umhimu wake kwako
Hivi DOSA ana followers wangapi vile? Maana sijafuatilia kwakweli😅😅😅
Aacha roho mbaya kwani gisugu sio mtu?
Huyu mtangazaji unamuuliza jinga lenzako lililomeza sumu ya kuiua yanga unategemea litakujibu nini,
Mtangazaji ww ni wa hovyo sana, unaanzaje kumuoji huyo kisugu mropokaji kuhusu mambo ya yanga?? Mambo ya yanga huliza mashabiki wa yanga, huyo kisugu hakuna cha maana anachoongea hata shule hajaenda na jina lake hajuwi kuandika😊😊
Kwa hiyo unataka yanga wafukuze viongozi?? Achana na yanga.
Wataanza kucheza Lin 😅😅😅😅
Huyu CHAWA wa MANGUNGU anapiga kelele TU. Mjinga mmoja
Kisugu wewe tangia mwanzo wewe unawadanganya wenzako wasiona akili ya kufikiri simba ilikuwa mbovu uliwabeza wenzako Leo unaongea nini
We kisugu umnafiki kwasababu ulishaa ahidi yanga .akichukua ubingwa utatoa shamba kumpa dodi je ulisha mpa hilo shamba
Kikosi cha kusafisha kwa maoni yangu na kisugu nae asafishwe maana anachofanya ni kupiga kelele ya kuisifia simba na viongozi kwa uwongo mtupu.
Sura yako inavoonesha kama ww mnafiki sana
Chawa wa MANGUNGU
Kisugu tatizo la wahandishi wetu nishida Simba kufika hapa tulipo awasemi ila ingekuwa niyanga wamewatangulia Simba kwamafanikio watu wasimba wangepata shida sana kwakusemwa vibaya nandio maana Kila mafanikio ktk jambo lolote linaanzia kwa Simba