FRIJI BOVU ATEMA NYONGO YANGA HAWEZI KUCHUKUA UBINGWA / SIMBA BINGWA/ MATEBA MMOJA SAWA NA DUBE 7

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
    #sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate

Комментарии • 27

  • @GeophreyShipela
    @GeophreyShipela 6 часов назад +2

    Nakukubali sana kiongozi, wajinga hawawezi kuelewa wanaishi kwa kukariri. Jambuzo Bora Africa.

  • @IsackMahenga
    @IsackMahenga 7 часов назад +3

    Sa wa friji bovu

  • @RajabkhamisRajab
    @RajabkhamisRajab 6 часов назад +2

    Azan umejuwa amebadilisha coach

  • @HussenSaid-u9g
    @HussenSaid-u9g 7 часов назад +2

    Kama ww frij bov taj wachzaj ambao ximb watka kuwxajil dilxh dogo

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 7 часов назад +4

    Sijawahi kumwelewa huyu jamaa kweli ni friji bovu.... Hivi simba asipochukua ubingwa itakuwaje......

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 7 часов назад

      Itakuwa aibu kwake mana hata Ngao ya Jamii nakumbuka alisema Yanga hachukui😂😂😂

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 6 часов назад

      Hunishindi mimi huwa simuelewi kabsa kuna watu wanaingilia mambo au kazi za watu

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 6 часов назад

      😂😂😂😂😂 Huyo anaongeaga kweli before alikuwa anawasifu sana naukampenda loooh leo kikowapi game change

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 5 часов назад

      Sasa kwani kuna mtu wa nyuma mwiko ambae ni muelewa kwani nyie si hamna akili😂😂

    • @DStarTz-if2ko
      @DStarTz-if2ko 3 часа назад

      Utamwelewaje naww ni yanga

  • @hamzakirunda4861
    @hamzakirunda4861 4 часа назад +1

    Km ndo ivyo diara kachukua lini iyo tunzo tuambie

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 7 часов назад +1

    mimi naona yupo sawa😊

  • @AbdulIsrah
    @AbdulIsrah 5 часов назад

    Kwanza uchaguzi wa jina umekuumba Mzee.Huyu jamaa kila akichambua yeye ni kusifia wachezaji hasa Simba ikicheza na utakuta hata upamde wa pili wa timu hachambui hii inaonyesha huyu ni mnazi wa Simba wa kutupwa fuatilia akichambua Simba ikishinda na ikifungwa utahundua kitu kisaikolojia.
    Hili ni Tatizo kwenye mpira wetu na timu ikipoteza asiyoipenda anachnua utadhania hiyo timu haijawahi kuwa bora hata mara moja.
    Hili ni TOBWESHA orijino

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 2 часа назад

    Kweli friji bovu Simba bingwa inshaallah kheri wewe unajuwa kuchambuwa

  • @bigbrother3196
    @bigbrother3196 3 часа назад

    Hata mm nilikuwa namkubali lakini kumbe ni mchambuzi wa mchongo, hana lolote, njaa tu inamsumbua!

  • @armandngowi789
    @armandngowi789 6 часов назад

    Asipochukuwa ubigwa basi huo ni ushabiki tu na mashabiki Wana Mambo mengi...

  • @AminoKhalif
    @AminoKhalif Час назад

    Yanga bingwa hayo maneno yako tu wewe ni kolo Jina lako ni sawa na wewe

  • @johnwanda7309
    @johnwanda7309 5 часов назад

    We mwehuu ndio maana ukaitwa frij bovu

  • @OvianKindole
    @OvianKindole 2 часа назад

    Asipo chukua simba itachua wewe

  • @IssaMohamed-mp4hj
    @IssaMohamed-mp4hj Час назад

    good nimekuelewa

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Час назад

    Hyu fala

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 7 часов назад

    We kweli ni friji bovu hukukosea kujiita MBOVU YANGA NI BINGWA TENA!!! UTAKE USITAKE YANGA BINWAAAAAAA💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💚💚

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 часов назад +1

    Kwa msaada wa Mungu Yanga bingwa tena kikubwa wachezaji wajitume na wajaliwe Afya ya mwili na Roho

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n 6 часов назад

      Km Mungu shemeji yenu labda

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 5 часов назад

      Kwahiyo Mungu ahangaike na nyuma mwiko aache wagonjwa wateseke huko hospital

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 4 часа назад

      @@danielchamoto9376 Mungu ni wa wote wala hana upande na kila mmoja ana haki ya kumuomba atakacho

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 4 часа назад

      @@LindaMbilinyi-n3n ulisha ambiwa Mungu anaoa mpaka awe Shemeji mimi nimeomba kwa msaada wake Mola