FRIJI BOVU ATEMA NYONGO YANGA HAWEZI KUCHUKUA UBINGWA / SIMBA BINGWA/ MATEBA MMOJA SAWA NA DUBE 7
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- "Is a life's and sports channel our vision is to develop and deliver world class Broadcast-based on local and international market"
#sports #footballclub #zuchu #azamfc #harmonize #harmonize #singidafountaingate #simbanation #footballclub #sports #soccerclub #footballclub #zuchu #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate #zuchu #simbanation #footballclub #sports #azamfc #middlesimba #harmonize #singidafountaingate
Nakukubali sana kiongozi, wajinga hawawezi kuelewa wanaishi kwa kukariri. Jambuzo Bora Africa.
Sa wa friji bovu
Azan umejuwa amebadilisha coach
Kama ww frij bov taj wachzaj ambao ximb watka kuwxajil dilxh dogo
Sijawahi kumwelewa huyu jamaa kweli ni friji bovu.... Hivi simba asipochukua ubingwa itakuwaje......
Itakuwa aibu kwake mana hata Ngao ya Jamii nakumbuka alisema Yanga hachukui😂😂😂
Hunishindi mimi huwa simuelewi kabsa kuna watu wanaingilia mambo au kazi za watu
😂😂😂😂😂 Huyo anaongeaga kweli before alikuwa anawasifu sana naukampenda loooh leo kikowapi game change
Sasa kwani kuna mtu wa nyuma mwiko ambae ni muelewa kwani nyie si hamna akili😂😂
Utamwelewaje naww ni yanga
Km ndo ivyo diara kachukua lini iyo tunzo tuambie
mimi naona yupo sawa😊
Kwanza uchaguzi wa jina umekuumba Mzee.Huyu jamaa kila akichambua yeye ni kusifia wachezaji hasa Simba ikicheza na utakuta hata upamde wa pili wa timu hachambui hii inaonyesha huyu ni mnazi wa Simba wa kutupwa fuatilia akichambua Simba ikishinda na ikifungwa utahundua kitu kisaikolojia.
Hili ni Tatizo kwenye mpira wetu na timu ikipoteza asiyoipenda anachnua utadhania hiyo timu haijawahi kuwa bora hata mara moja.
Hili ni TOBWESHA orijino
Kweli friji bovu Simba bingwa inshaallah kheri wewe unajuwa kuchambuwa
Hata mm nilikuwa namkubali lakini kumbe ni mchambuzi wa mchongo, hana lolote, njaa tu inamsumbua!
Asipochukuwa ubigwa basi huo ni ushabiki tu na mashabiki Wana Mambo mengi...
Yanga bingwa hayo maneno yako tu wewe ni kolo Jina lako ni sawa na wewe
We mwehuu ndio maana ukaitwa frij bovu
Asipo chukua simba itachua wewe
good nimekuelewa
Hyu fala
We kweli ni friji bovu hukukosea kujiita MBOVU YANGA NI BINGWA TENA!!! UTAKE USITAKE YANGA BINWAAAAAAA💛💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚💚💛💛💚💚
Kwa msaada wa Mungu Yanga bingwa tena kikubwa wachezaji wajitume na wajaliwe Afya ya mwili na Roho
Km Mungu shemeji yenu labda
Kwahiyo Mungu ahangaike na nyuma mwiko aache wagonjwa wateseke huko hospital
@@danielchamoto9376 Mungu ni wa wote wala hana upande na kila mmoja ana haki ya kumuomba atakacho
@@LindaMbilinyi-n3n ulisha ambiwa Mungu anaoa mpaka awe Shemeji mimi nimeomba kwa msaada wake Mola