Belle 9 nakupa big up sana,hujawah kiniangusha unakaa muda hutoi ngoma mpaka kuna wasanii wana replace nafasi yako kwenye game...haiwezekani wasanii wachanga including wa WCB wakuzidi wapate mileage kwenye game alafu wewe mtu mwenye kipaji na na sauti ya kipekee wakukimbize please hebu angalia ni wapi panaenda wrong.. flava yako hua ni kali sana kaka....much respect
#ngoma kaliii inajielezea yenyewe sio kushinda clouds fm kupiga promo ili ngoma ikkiki lakn wapi #imepotea kwa aibu @belle9 -dada is my vitamini music sichoki kusikiliza
Kiukweli hua sichoki kusikiliza nyimbo zako tangia Sumu ya Penzi, I'm your big fan! Please don't stop giving us good Music like this! Belle9, from City Without Ocean but we have an Ocean 'Mindu! 💪😁
Huyu ndie yule belle ambae tulikuwa tumemmisi siku nyingi sana! Thank u kwa kutuletea mziki mzuri kutoka kwako, Big Up to you ma bro, bonge la ngoma Rnb! Nzuri sana!
belle9 kusemakweli wewe ndio unahisitahiri hata tuzo upewe maana wewe kazi zako zaukweli sana hauimbi matusi music uawa sani bazi haswa kwasasa matusitu nakupenda Belle'karibu geita
watoto wa Morogoro mji kasoro meli,,,,wanajua sana sema nyota na kubaniwa zaidi,,,,Rich Mavoko from Kimamba kilosa,,,,Belle 9 from mkoani,, Stamina,,,,Samir na wengineo,,,,kuna football mkoa wetu tumejaza kinoma,,,,hila hipo siku,,,,moro ni mkoa wa vipaji
Nilikumiss saanaa!!!! Belle9 🙋🙋🙋🙋🙋
Balaaaaaaaa my dear unajua sikuingia kuitazama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umeuwaaa mzeee 9_
Tulikumiss sana
Kama unamkubali BELLE LIke kama zoote
Umeuwaaa mzee,big up I like it ghafla
jamani me namoendaga mpka naumwa #belle 9 mambo huku kwetu ni fire🔥🔥🔥🔥👌
Dada weeeee umenifanya mi nikae machooo we noma sanaaaaa
+254 ngoma kali sna👏👏👏👏🔥🔥🔥✔✔✅✅
Huyu ndo belle tunayemtaka sasa....umetisha sana King is back
Ngoma Kali sana hii big up bele tisa
Katika watu wanaojua kuimba ambao hawajawah kuharbu Belle 9 salute, Af haupendag kiki za kiboya keep on moving forward
Sana
Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥
When everyone is a diamond and Alikiba fan..uku me nipo kwa Belle9.big up mwanangu
Tuko pamoja sana
Kama unamkubali huyu jama ngonga like apa 🤦♂️👍
Big up belle 9
Mimi kam fan wke sugu wa Belle 9...nakkubal sna mnyamwezi
Wanaoujua muziki hawapewi promo wasioujua ndo kila siku wako maredioni wanapewa promo ..daaaaaaaa this track is lit🎶🎶🎶👏👏kama unakubali gonga like hapa
Daaa uyu jamaa najua mbka anaboa yani kama unamkubali belle gonga like twende sawa
👍
ni kaliii lakin cjui tuu yaan bell9 kunakitu knamis we still need you kwa game broda,,,,kama unamkubali mwana mji kasoro maji ya blue gonga like hapa
Belle 9 nakupa big up sana,hujawah kiniangusha unakaa muda hutoi ngoma mpaka kuna wasanii wana replace nafasi yako kwenye game...haiwezekani wasanii wachanga including wa WCB wakuzidi wapate mileage kwenye game alafu wewe mtu mwenye kipaji na na sauti ya kipekee wakukimbize please hebu angalia ni wapi panaenda wrong.. flava yako hua ni kali sana kaka....much respect
Wow unanirudisha TBT Fulani hiviiiii amazing 🔥 🔥
Mapenzi Mbegu Ya Muwa Aisee Ni Ngumu Kuipata Dada Weeeee .....unanifanya usiku kucha Me Nachati Tuuuuuuu Dada wweeeeeeee........ BELLE 9 Umeuaaaaaaaaa
The coming back ya mnyamwezi belle 9 ndio hii kama unakubaliana na mimi gonga like wanangu
Wanaokosea acha wakosee,lakini huyu jamaa ni fimbo sana,Belle 9 yule yule na mziki wake mzuri ule ule.big up brother.
Showing my love from Kenya....natamani belle 9 yule wa kitambo......2024 still listening
bro. hujawahi niangusha tangia mwanzo, pasina yote, we need more n more hits like that.. n make it unstoppable...
Saf sana mr unaweza
Nlikuwa nasubiria hilo chungwa apewe Dada kipande kimoja, alaf apige bite kwa mapozi... Daaah!!
nyimbo n nzur xanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mwenye mziki wake karudi, hongera Belle 9
Hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥
daaah ili ngoma kali sana la kibabe kama jamaica vileeeee
Kama ww unamkubali Belle 9 vocal yake gonga hapa twende
umeuwaaaa broo
Iko poa sana mzee baba hongera sana
mapenzi ya ukweli ni mbegu ya muwa so rahis kuyapatA....gonga like ya 254 hpa Kama unamkubal uyu dangerous chorus maker
Kubwaa.....where are my fellow Kenyans?
unajua sana broh!👏👏
Dada ngoma kali sema jamaa anaesukuma bike hamna uhalisia
oyooooo ngoma Kali
hongera sana video kali na nyimbo nzuri sanaaa@belle9tz
i lov his movement toka long time anaweza alikuwapi uyu nyiee
belle belle masaut gonga like twende pa1
We jamaa ni fundi hujawahi niferisha mzee
Belle mnoma sn aseee maana sio kwa verse hizapa dooooooh
ngoma kali sana big up mzee
Ngoma kali.
Idea ya video nayo ni kali mno.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥🔥bonge la nyimbo
Umetsha Sana Mnyama nineeeeeeeeeee9999999999999999999
Respect BROO
Like zikuwapi za wabongo
Huwa sipendi kutoa machozi ya hisia ila this one made me drop tears sick beats, sick lyrics, sick video sick swagg sick everything.
Belle Tisa....noma sana
Daaaah bro belle unajua sana...Wimbo mzuri sana...Keep good music alive🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wee mkali wangu Nakutambua +254
Kichupa kinangaaaaa
😂😂😂😂,, kivingne kabisa belle,,, uko vzr sanaaa
Kipaji kikubwa hiii
Ngoma kali mjomba bell9
Napendaa hii
belle tisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
siku watanzania wakiacha kuwa vipofu wataona uzuri,ubora na ukubwa wa mziki unaoufanya
*Hufanani kuumia mapenzi mbegu ya mua na sirahisi kuyapataaa*
🔥🔥🔥🔥 *Shika moo belle 9*
kengele 9 umetisha bruh
safiiiiiii gonga Like Kwa Bell 9
umekuja tena mkuu... chanel ya msanii niliyo subscribe..... waya motooooo
kazi nzuri sana ndugu... We are together..
wimbo mzur, video nzuri
groove ni kali manze..keep it up
Favorite R&B Bongo Artist.
Belle9 huanakuelewa sana big up sana broo kwa hilisong una2lidhixha mashabiki zako
asante mzee baba
Dada we uliyenifanya nilale macho where are you??? Leo niko kwa hii song ya moment.... Neo jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
#ngoma kaliii inajielezea yenyewe sio kushinda clouds fm kupiga promo ili ngoma ikkiki lakn wapi #imepotea kwa aibu @belle9 -dada is my vitamini music sichoki kusikiliza
Jamaa anakua ndio maana hatumii sana kiki mziki wake unaeleweka
kazi nzur nakupnd belle9
Bonge ya ngoma, na jiwe la musimu, coz its nice and very romantic, haichoshi kusikia, Big up brodah!!!!
huyu jamaa Hajawah niboa
Kiukweli hua sichoki kusikiliza nyimbo zako tangia Sumu ya Penzi, I'm your big fan! Please don't stop giving us good Music like this! Belle9, from City Without Ocean but we have an Ocean 'Mindu! 💪😁
Wimbo huu first time nausikia niliona wakawaida du nimeusikia zaidi ya marambili aisee nimeuelewa kuliko big up Sana B9n
Song kali hii... Big up Belle 9
My best of my best nakuaminia sana bro nakubali sana since day from +254 kenya nakubali belle9
yap yap, kaz nzuri wenye nyumba washarudi mpangaji beba virago
Huyu ndie yule belle ambae tulikuwa tumemmisi siku nyingi sana! Thank u kwa kutuletea mziki mzuri kutoka kwako,
Big Up to you ma bro, bonge la ngoma Rnb! Nzuri sana!
Melody tamu 🔥🔥
Kama umekubal ujio wa bere9 gonga like
daaaaa Belle 9 unajua na nd msanii nnae mkubal bongo hii
kwel mapenz km. mbegu za miwa
belle9 kusemakweli wewe ndio unahisitahiri hata tuzo upewe maana wewe kazi zako zaukweli sana hauimbi matusi music uawa sani bazi haswa kwasasa matusitu nakupenda Belle'karibu geita
Ngoma Kali Sana ...ujawahi kuniangusha Belle 9....
Belle anajua sana good vibe umeamsha mzee napenda pale unalap kidogo
Uyu jaama anajua Ni nomaaaaaaaaa
Motoo like hapa kama umeikubali hii ngoma.℅%%√
sign wasafi bruh,,,nenda kule ukatese,,big talent
watoto wa Morogoro mji kasoro meli,,,,wanajua sana sema nyota na kubaniwa zaidi,,,,Rich Mavoko from Kimamba kilosa,,,,Belle 9 from mkoani,, Stamina,,,,Samir na wengineo,,,,kuna football mkoa wetu tumejaza kinoma,,,,hila hipo siku,,,,moro ni mkoa wa vipaji
Hii ngoma hata 1M views haijafika😢 I'm cryingggg😥😟
What a song🔥🔥..good Job Belle tisa
Mtu wangu uko juu sana big up sana
Thanks belle 9 ww ndo mfalme hapa tz sema kuna wachawi wanao kuloga mzee baba dada ni bonge la ngoma zee asante kwa nyimbo mzur
Daaaah bonge la ngoma hivi ndo tuvipendavyo
Class haipoteagi fomu ndo hupotea
Braza belle 9 ngoma ni qaliii vibaya mno
shabik na1 pande za songea,, ****## ngoma kali sna!!!! @@belle9
Mwenye bongo yake bana
BELLE9 TUNAOMBA REMIX YA NGOMA HII
ngoma yamoto sana hii bhana kila siku naichek fanya tuletee remix
Dada weeee,leo Belle nae anaiimba oouyeah.. daaada umetuleevya\we dada, ni murder.... bless sana bro..... ITS BIG!