Belle 9 - DADA (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Follow me on Instagram: @belle9tz
    Follow me on Twitter @bellenine

Комментарии • 514

  • @lynneaniceth9238
    @lynneaniceth9238 6 лет назад +3

    Nilikumiss saanaa!!!! Belle9 🙋🙋🙋🙋🙋

  • @lilianmichael5568
    @lilianmichael5568 6 лет назад +4

    Balaaaaaaaa my dear unajua sikuingia kuitazama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @shadeemzawa2321
    @shadeemzawa2321 6 лет назад +1

    Umeuwaaa mzeee 9_
    Tulikumiss sana
    Kama unamkubali BELLE LIke kama zoote

  • @masalumasunga8969
    @masalumasunga8969 6 лет назад +4

    Umeuwaaa mzee,big up I like it ghafla

  • @khadijambuta4360
    @khadijambuta4360 6 лет назад +7

    jamani me namoendaga mpka naumwa #belle 9 mambo huku kwetu ni fire🔥🔥🔥🔥👌

  • @fatmajoram1631
    @fatmajoram1631 6 лет назад +1

    Dada weeeee umenifanya mi nikae machooo we noma sanaaaaa

  • @richarvalsn7944
    @richarvalsn7944 6 лет назад +5

    +254 ngoma kali sna👏👏👏👏🔥🔥🔥✔✔✅✅

  • @basheer4278
    @basheer4278 6 лет назад +4

    Huyu ndo belle tunayemtaka sasa....umetisha sana King is back

  • @isayamvungi5518
    @isayamvungi5518 6 лет назад +1

    Ngoma Kali sana hii big up bele tisa

  • @cloneltv
    @cloneltv 6 лет назад +5

    Katika watu wanaojua kuimba ambao hawajawah kuharbu Belle 9 salute, Af haupendag kiki za kiboya keep on moving forward

  • @nascoobeats
    @nascoobeats 6 лет назад +3

    Mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @prosperdeogratius4888
    @prosperdeogratius4888 6 лет назад +3

    When everyone is a diamond and Alikiba fan..uku me nipo kwa Belle9.big up mwanangu

  • @azizjuma7678
    @azizjuma7678 6 лет назад +1

    Kama unamkubali huyu jama ngonga like apa 🤦‍♂️👍
    Big up belle 9

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 6 лет назад +6

    Mimi kam fan wke sugu wa Belle 9...nakkubal sna mnyamwezi

  • @promramson80
    @promramson80 6 лет назад +4

    Wanaoujua muziki hawapewi promo wasioujua ndo kila siku wako maredioni wanapewa promo ..daaaaaaaa this track is lit🎶🎶🎶👏👏kama unakubali gonga like hapa

  • @abdurinassoro6141
    @abdurinassoro6141 5 лет назад +1

    Daaa uyu jamaa najua mbka anaboa yani kama unamkubali belle gonga like twende sawa

  • @emmanuelmajovenee8954
    @emmanuelmajovenee8954 6 лет назад +43

    ni kaliii lakin cjui tuu yaan bell9 kunakitu knamis we still need you kwa game broda,,,,kama unamkubali mwana mji kasoro maji ya blue gonga like hapa

  • @husseinkarisha
    @husseinkarisha 6 лет назад +3

    Belle 9 nakupa big up sana,hujawah kiniangusha unakaa muda hutoi ngoma mpaka kuna wasanii wana replace nafasi yako kwenye game...haiwezekani wasanii wachanga including wa WCB wakuzidi wapate mileage kwenye game alafu wewe mtu mwenye kipaji na na sauti ya kipekee wakukimbize please hebu angalia ni wapi panaenda wrong.. flava yako hua ni kali sana kaka....much respect

  • @mahamoudjacob1983
    @mahamoudjacob1983 6 лет назад +7

    Wow unanirudisha TBT Fulani hiviiiii amazing 🔥 🔥

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 лет назад +15

    Mapenzi Mbegu Ya Muwa Aisee Ni Ngumu Kuipata Dada Weeeee .....unanifanya usiku kucha Me Nachati Tuuuuuuu Dada wweeeeeeee........ BELLE 9 Umeuaaaaaaaaa

  • @hometvonline5378
    @hometvonline5378 6 лет назад +9

    The coming back ya mnyamwezi belle 9 ndio hii kama unakubaliana na mimi gonga like wanangu

  • @sekeyifabian9517
    @sekeyifabian9517 6 лет назад +3

    Wanaokosea acha wakosee,lakini huyu jamaa ni fimbo sana,Belle 9 yule yule na mziki wake mzuri ule ule.big up brother.

  • @haronboiboi3700
    @haronboiboi3700 25 дней назад

    Showing my love from Kenya....natamani belle 9 yule wa kitambo......2024 still listening

  • @chrismuchiri5756
    @chrismuchiri5756 6 лет назад +2

    bro. hujawahi niangusha tangia mwanzo, pasina yote, we need more n more hits like that.. n make it unstoppable...

  • @herlychavdy2932
    @herlychavdy2932 6 лет назад +1

    Saf sana mr unaweza

  • @youngmeku5159
    @youngmeku5159 6 лет назад +7

    Nlikuwa nasubiria hilo chungwa apewe Dada kipande kimoja, alaf apige bite kwa mapozi... Daaah!!

  • @labanijr5195
    @labanijr5195 6 лет назад +1

    nyimbo n nzur xanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @petermsongo3087
    @petermsongo3087 6 лет назад +1

    Mwenye mziki wake karudi, hongera Belle 9

  • @rehmadamian8020
    @rehmadamian8020 6 лет назад +5

    Hii ngoma ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @richardjulius8123
    @richardjulius8123 6 лет назад +1

    daaah ili ngoma kali sana la kibabe kama jamaica vileeeee

  • @frankzachariahtembo795
    @frankzachariahtembo795 6 лет назад +9

    Kama ww unamkubali Belle 9 vocal yake gonga hapa twende

  • @noahkyando8401
    @noahkyando8401 6 лет назад +1

    umeuwaaaa broo

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 6 лет назад +1

    Iko poa sana mzee baba hongera sana

  • @nawinahke710
    @nawinahke710 6 лет назад +4

    mapenzi ya ukweli ni mbegu ya muwa so rahis kuyapatA....gonga like ya 254 hpa Kama unamkubal uyu dangerous chorus maker

  • @Bijan93
    @Bijan93 6 лет назад +5

    Kubwaa.....where are my fellow Kenyans?

  • @historianyeusi9524
    @historianyeusi9524 5 лет назад +1

    unajua sana broh!👏👏

  • @ChettaFlyee
    @ChettaFlyee 6 лет назад +1

    Dada ngoma kali sema jamaa anaesukuma bike hamna uhalisia

  • @emmyliahbenson3801
    @emmyliahbenson3801 6 лет назад +1

    oyooooo ngoma Kali

  • @pilimbaruck3318
    @pilimbaruck3318 6 лет назад +1

    hongera sana video kali na nyimbo nzuri sanaaa@belle9tz

  • @silwimbasunday5485
    @silwimbasunday5485 6 лет назад +1

    i lov his movement toka long time anaweza alikuwapi uyu nyiee

  • @abubakarkidevrespect7782
    @abubakarkidevrespect7782 6 лет назад +3

    belle belle masaut gonga like twende pa1

  • @alfajrsports2089
    @alfajrsports2089 6 лет назад +1

    We jamaa ni fundi hujawahi niferisha mzee

  • @inclyrics4384
    @inclyrics4384 6 лет назад +1

    Belle mnoma sn aseee maana sio kwa verse hizapa dooooooh

  • @ashleykipuge1246
    @ashleykipuge1246 6 лет назад +1

    ngoma kali sana big up mzee

  • @kashswedi3711
    @kashswedi3711 6 лет назад +1

    Ngoma kali.
    Idea ya video nayo ni kali mno.
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @harunfamily3278
    @harunfamily3278 6 лет назад +5

    🔥🔥🔥🔥🔥bonge la nyimbo

  • @ahmardlwambo6299
    @ahmardlwambo6299 6 лет назад +1

    Umetsha Sana Mnyama nineeeeeeeeeee9999999999999999999

  • @vivapac1232
    @vivapac1232 6 лет назад +4

    Respect BROO
    Like zikuwapi za wabongo

  • @rinnionnTV
    @rinnionnTV 6 лет назад +1

    Huwa sipendi kutoa machozi ya hisia ila this one made me drop tears sick beats, sick lyrics, sick video sick swagg sick everything.

  • @mlipukaonline9361
    @mlipukaonline9361 6 лет назад +1

    Belle Tisa....noma sana

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 лет назад +23

    Daaaah bro belle unajua sana...Wimbo mzuri sana...Keep good music alive🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @saedbare8733
    @saedbare8733 6 лет назад +1

    Wee mkali wangu Nakutambua +254

  • @smartcreativejohn5616
    @smartcreativejohn5616 6 лет назад +1

    Kichupa kinangaaaaa

  • @drcma9273
    @drcma9273 6 лет назад +2

    😂😂😂😂,, kivingne kabisa belle,,, uko vzr sanaaa
    Kipaji kikubwa hiii

  • @bennympanji6121
    @bennympanji6121 6 лет назад +1

    Ngoma kali mjomba bell9

  • @queenmariana5887
    @queenmariana5887 6 лет назад +1

    Napendaa hii

  • @nguyamtwartz5413
    @nguyamtwartz5413 6 лет назад +3

    belle tisa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @lameckjohn3257
    @lameckjohn3257 6 лет назад +5

    siku watanzania wakiacha kuwa vipofu wataona uzuri,ubora na ukubwa wa mziki unaoufanya

  • @chrissjoel7752
    @chrissjoel7752 4 года назад

    *Hufanani kuumia mapenzi mbegu ya mua na sirahisi kuyapataaa*
    🔥🔥🔥🔥 *Shika moo belle 9*

  • @leonzumo2561
    @leonzumo2561 6 лет назад +1

    kengele 9 umetisha bruh

  • @rahmangajime551
    @rahmangajime551 6 лет назад +7

    safiiiiiii gonga Like Kwa Bell 9

  • @mechadakishumba9599
    @mechadakishumba9599 6 лет назад +15

    umekuja tena mkuu... chanel ya msanii niliyo subscribe..... waya motooooo

  • @mirajikinuke5336
    @mirajikinuke5336 6 лет назад +1

    kazi nzuri sana ndugu... We are together..

  • @abdallahkitwana8471
    @abdallahkitwana8471 6 лет назад +1

    wimbo mzur, video nzuri

  • @hhfamily7835
    @hhfamily7835 6 лет назад +2

    groove ni kali manze..keep it up

  • @jamesmaring9768
    @jamesmaring9768 6 лет назад +2

    Favorite R&B Bongo Artist.

  • @najida7170
    @najida7170 6 лет назад

    Belle9 huanakuelewa sana big up sana broo kwa hilisong una2lidhixha mashabiki zako

  • @mdalasinimdalasini5067
    @mdalasinimdalasini5067 6 лет назад +1

    asante mzee baba

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 Год назад

    Dada we uliyenifanya nilale macho where are you??? Leo niko kwa hii song ya moment.... Neo jmn 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @moshibakari8602
    @moshibakari8602 6 лет назад +5

    #ngoma kaliii inajielezea yenyewe sio kushinda clouds fm kupiga promo ili ngoma ikkiki lakn wapi #imepotea kwa aibu @belle9 -dada is my vitamini music sichoki kusikiliza

    • @ambokilemussa2180
      @ambokilemussa2180 5 лет назад

      Jamaa anakua ndio maana hatumii sana kiki mziki wake unaeleweka

  • @azezhgalb6069
    @azezhgalb6069 6 лет назад +1

    kazi nzur nakupnd belle9

  • @josekaminsa3630
    @josekaminsa3630 6 лет назад +1

    Bonge ya ngoma, na jiwe la musimu, coz its nice and very romantic, haichoshi kusikia, Big up brodah!!!!

  • @thesontzgabinus2440
    @thesontzgabinus2440 6 лет назад +1

    huyu jamaa Hajawah niboa

  • @michaelkastochannel8054
    @michaelkastochannel8054 6 лет назад +3

    Kiukweli hua sichoki kusikiliza nyimbo zako tangia Sumu ya Penzi, I'm your big fan! Please don't stop giving us good Music like this! Belle9, from City Without Ocean but we have an Ocean 'Mindu! 💪😁

  • @trendsnew2140
    @trendsnew2140 6 лет назад

    Wimbo huu first time nausikia niliona wakawaida du nimeusikia zaidi ya marambili aisee nimeuelewa kuliko big up Sana B9n

  • @aliandafrancis
    @aliandafrancis 6 лет назад +1

    Song kali hii... Big up Belle 9

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 6 лет назад +1

    My best of my best nakuaminia sana bro nakubali sana since day from +254 kenya nakubali belle9

  • @yasinjames556
    @yasinjames556 6 лет назад

    yap yap, kaz nzuri wenye nyumba washarudi mpangaji beba virago

  • @Pandumasoftware
    @Pandumasoftware 6 лет назад +2

    Huyu ndie yule belle ambae tulikuwa tumemmisi siku nyingi sana! Thank u kwa kutuletea mziki mzuri kutoka kwako,
    Big Up to you ma bro, bonge la ngoma Rnb! Nzuri sana!

  • @zabronlyamongo1212
    @zabronlyamongo1212 6 лет назад +1

    Melody tamu 🔥🔥

  • @youngsizale4698
    @youngsizale4698 6 лет назад +12

    Kama umekubal ujio wa bere9 gonga like

  • @erastomlimbila1765
    @erastomlimbila1765 6 лет назад

    daaaaa Belle 9 unajua na nd msanii nnae mkubal bongo hii
    kwel mapenz km. mbegu za miwa

  • @directorhodari1099
    @directorhodari1099 2 года назад

    belle9 kusemakweli wewe ndio unahisitahiri hata tuzo upewe maana wewe kazi zako zaukweli sana hauimbi matusi music uawa sani bazi haswa kwasasa matusitu nakupenda Belle'karibu geita

  • @mtoleraclassictz506
    @mtoleraclassictz506 6 лет назад

    Ngoma Kali Sana ...ujawahi kuniangusha Belle 9....

  • @paulsantanatzee8301
    @paulsantanatzee8301 6 лет назад

    Belle anajua sana good vibe umeamsha mzee napenda pale unalap kidogo

  • @rashidkashumba6858
    @rashidkashumba6858 6 лет назад

    Uyu jaama anajua Ni nomaaaaaaaaa

  • @jamesmponda444
    @jamesmponda444 6 лет назад +1

    Motoo like hapa kama umeikubali hii ngoma.℅%%√

  • @jadozktown9219
    @jadozktown9219 6 лет назад

    sign wasafi bruh,,,nenda kule ukatese,,big talent

  • @newalakwetu9737
    @newalakwetu9737 6 лет назад

    watoto wa Morogoro mji kasoro meli,,,,wanajua sana sema nyota na kubaniwa zaidi,,,,Rich Mavoko from Kimamba kilosa,,,,Belle 9 from mkoani,, Stamina,,,,Samir na wengineo,,,,kuna football mkoa wetu tumejaza kinoma,,,,hila hipo siku,,,,moro ni mkoa wa vipaji

  • @emmanuelnoel4288
    @emmanuelnoel4288 5 лет назад +2

    Hii ngoma hata 1M views haijafika😢 I'm cryingggg😥😟

  • @nickymeel986
    @nickymeel986 6 лет назад +5

    What a song🔥🔥..good Job Belle tisa

  • @kingwawi8977
    @kingwawi8977 6 лет назад

    Mtu wangu uko juu sana big up sana

  • @samorakigosi336
    @samorakigosi336 6 лет назад

    Thanks belle 9 ww ndo mfalme hapa tz sema kuna wachawi wanao kuloga mzee baba dada ni bonge la ngoma zee asante kwa nyimbo mzur

  • @abassmakoko980
    @abassmakoko980 6 лет назад

    Daaaah bonge la ngoma hivi ndo tuvipendavyo

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 6 лет назад +1

    Class haipoteagi fomu ndo hupotea

  • @issamnyamamba3297
    @issamnyamamba3297 6 лет назад

    Braza belle 9 ngoma ni qaliii vibaya mno

  • @sumatindwa2720
    @sumatindwa2720 6 лет назад

    shabik na1 pande za songea,, ****## ngoma kali sna!!!! @@belle9

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 6 лет назад +1

    Mwenye bongo yake bana

  • @andreamanaku8676
    @andreamanaku8676 6 лет назад

    BELLE9 TUNAOMBA REMIX YA NGOMA HII
    ngoma yamoto sana hii bhana kila siku naichek fanya tuletee remix

  • @abouranotz520
    @abouranotz520 6 лет назад

    Dada weeee,leo Belle nae anaiimba oouyeah.. daaada umetuleevya\we dada, ni murder.... bless sana bro..... ITS BIG!