Belle 9 - TAKE AWAY (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 226

  • @peterjuan3054
    @peterjuan3054 6 лет назад +4

    belle 9 tangu nkujue sijawai jutia kazi ako,,,@@#like if you love this guy,..

  • @abedikulwa9597
    @abedikulwa9597 6 лет назад +3

    Ujawai nikosea kila ukitoa ngoma kali kwangu big up ma men

  • @rastaboytz7125
    @rastaboytz7125 6 лет назад +3

    Mzee baba B9 Hubaatishi always on Top buda.......

  • @defxtro
    @defxtro 6 лет назад +2

    Tishaa @belle9tz Video safi @gihcue

  • @manothorhymes6137
    @manothorhymes6137 6 лет назад +1

    hongera kaka belle kwa bonge la ngoma mungu akubaliki

  • @bigmullahEda
    @bigmullahEda 6 лет назад +5

    goma kali sana ni mjinga peke ake ndo atasema ngoma mbaya salutiiiiiii kubwa belle9 mfalme wa wakali wao

  • @directorpizo5447
    @directorpizo5447 6 лет назад +25

    kama wew nishabiki wa belle 9 from moro town tujuane bas broo katisha sanaaa

  • @ananiahaule2175
    @ananiahaule2175 6 лет назад

    Mwalimu huyooo fundi wa dunia unajuaaa sanaaa kaka

  • @farihiayusuph6405
    @farihiayusuph6405 6 лет назад

    nakupenda bele 9 unajua kinoma mpaka nashangaaa sana kuona viewz wachache bongo bhana

  • @agussylive7512
    @agussylive7512 6 лет назад +18

    Nakukubali broo
    Mshauli richi mavoko.asitetemeke kama ulivyo ww mana toka unaanza hujawahi kushuka ngoma zako nazielewa

  • @sammichael3846
    @sammichael3846 6 лет назад +15

    bel 9 kweli we nifundii noma sna kma unamkubali like zako tuu

  • @bahatimatiku4294
    @bahatimatiku4294 6 лет назад +1

    Welcome back bery 9 nakukubal San

  • @ismailmzee4223
    @ismailmzee4223 6 лет назад

    Belle 9 umetisher humu mzee

  • @ibrahimjuma6809
    @ibrahimjuma6809 6 лет назад

    Nakurespct sna mzee baba

  • @beesmarttv3792
    @beesmarttv3792 6 лет назад +2

    Kaz nzuri sana bro! ! Hujawah niangusha kabisa! ! Thanks for this vitamin

  • @bonerosalehe4731
    @bonerosalehe4731 6 лет назад

    Vidio Kali mzee hongera**

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 лет назад +12

    Bonge la Ngoma Liko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥"Nilidhani Nimekuteka Weee Kumbe Ni Take Away " Hatari Sanaaaaaa

  • @jaykaris
    @jaykaris 6 лет назад

    Jikaze tulikuaminia kitambo .muziki mzuri sana big up

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa3518 Год назад

    Unajuaaa mwambaaaa

  • @eliasurasa4901
    @eliasurasa4901 6 лет назад

    Belle 9 me huwa nakukubali mno kwa mashair yako

  • @dionisjoseph5604
    @dionisjoseph5604 6 лет назад +9

    Nachopenda toka kwako unapenda kubadilk Sana,,kazi nzurii nmeielewaa mashairi yanaewekaaa,,sio wengine sijui wanaimbaga nn!! Kazi kazi tuko pamoja,,naomba like yako,nmeidownload hii ngoma nikasema sitotenda haki kama sitaenda kuirudia RUclips,,bless up mzee

  • @benardmanyama3415
    @benardmanyama3415 6 лет назад

    Huyu jamaaa namuelewa sana ktk maish yake ya muziki

  • @williamsamwel532
    @williamsamwel532 4 года назад

    Belle agiza bia nitakuja kulipa hii nyimbo kila day narudia Mara 5

  • @kapingageorge7635
    @kapingageorge7635 6 лет назад

    Ebwanaaa eeeeennh

  • @ngoshazedonny1720
    @ngoshazedonny1720 6 лет назад

    Big up broo unaweza sana

  • @chasamatv5782
    @chasamatv5782 6 лет назад

    ngoma kali sana brother @belle9

  • @wariobaanton3323
    @wariobaanton3323 6 лет назад

    king bado upo juu

  • @gosbertnkotanyi
    @gosbertnkotanyi 6 лет назад

    toka sumu ya penzi mpk take away I'm ur fan......GO 9

  • @johncaspaly7414
    @johncaspaly7414 4 года назад

    Uyu ndio anaujua mziki na kuimba kama unamkubal gonga like tuwe p1

  • @jafethmakoyo1082
    @jafethmakoyo1082 3 года назад

    ❤️❤️❤️❤️❤️👏👏👏👏 Makin sana

  • @pendotumaini2367
    @pendotumaini2367 6 лет назад

    duuuh hatari xanaaa

  • @violintz
    @violintz 6 лет назад +1

    iyoo vocals uliyopanda mamaeeeee ntakulipa broo

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 6 лет назад

    Sana blood

  • @bilajasho449
    @bilajasho449 6 лет назад

    Noma xana yaani.

  • @sabasshayo8414
    @sabasshayo8414 6 лет назад

    GQ amenyoosha hii video

  • @leenashob7791
    @leenashob7791 6 лет назад

    Nzurii broo

  • @officialkatanga
    @officialkatanga 6 лет назад +29

    KAMA UNAMPENDA #BELLE9 WEKA LIKE YAKO HAPA.

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 2 года назад

    Kali sana sapot tuu

  • @mr.mzikimzurijnr1336
    @mr.mzikimzurijnr1336 6 лет назад

    Bonge la hit hili. Love the ssong,beat na message. Zinaflow sambamba kabisa.

  • @levocatusgatu4295
    @levocatusgatu4295 6 лет назад

    Ngomaa qarrriiiiiii sanaaaa broooo 9 lakin kazaaa game ngumuuuu saivii"""""""!!!!

  • @JohnLauMusic
    @JohnLauMusic 6 лет назад

    9 Qliiiiii brother sanaaaaa

  • @kasaba7
    @kasaba7 6 лет назад

    Goma gomani..hatariiiiiiiii

  • @clifordedeny1493
    @clifordedeny1493 6 лет назад +1

    Iko vízuri broo ,unachange vizuri.

  • @pendotumaini2367
    @pendotumaini2367 6 лет назад

    ngoma haiishi utam daah

  • @barytz5977
    @barytz5977 6 лет назад +1

    Nakukubali sana brooooo!!!?

  • @starboytz7294
    @starboytz7294 6 лет назад

    Ngoma nzur bro

  • @kingandreemmanuel7908
    @kingandreemmanuel7908 6 лет назад

    Kichupa kizur bro......
    Nice dont giveup take away.....
    ............daaaaah huwa nakukubaliiii

  • @MgallahTV
    @MgallahTV 6 лет назад

    Belle 9 ukiachana tu kuwa wewe ni home Boy una kipaji sana na una mashabiki wako damu damu hilo halipingiki, lakini kuna namna muziki wako lazima uubadilishe kidogo kutokana na mazingira tuliyopo kwa sasa kolabo zako mbili za mwisho ulizofanya na G-Nako zilipokelewa vizuri sana sababu ilikuwa ni utofauti wa ladha. Wimbo ni mzuri Belle 9 umekaza sana na Hongera ila ukitaka kupasua Zaidi kuendana na soko la muziki kwa sasa zingatia hayo. Bado naamini wewe ni moja ya wasanii watatu Bongo wenye uwezo mkubwa sana na naamini haustahili kubaki hapo ulipo. Ahsante

  • @marrionnkungu1626
    @marrionnkungu1626 6 лет назад

    @bell9 nyimbo nzur bro binafc nmeielewa @bigupjoo

  • @daudimaswa3649
    @daudimaswa3649 6 лет назад

    Mzee hutuangushiii mzee baba

  • @alexplatnum4762
    @alexplatnum4762 6 лет назад +1

    #BELLE 9 kumbe bado unauwezo wa kutoa ngoma kali kama hii umeipenda hii nyimbo ngonga #likeeeee #plz kwa #belle tisaaaaa

  • @sengalizoochumachuma8505
    @sengalizoochumachuma8505 6 лет назад

    Nice song humu ndo kwako belle achana na pingine huu ni mud wa mxiki mzur
    #morotown stand Up

  • @mzakirumugisha6482
    @mzakirumugisha6482 6 лет назад +5

    Nakukubali sana belle9 unatisha kama unamkubari belle9 gonga like yako apa

  • @aidanaidan5517
    @aidanaidan5517 5 лет назад

    Belle tisa anatisha sana

  • @erastuskombe716
    @erastuskombe716 6 лет назад

    Belle 9 wee fundi bro

  • @antonkamonga100
    @antonkamonga100 6 лет назад

    KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI

  • @beeniebvegasboi254
    @beeniebvegasboi254 6 лет назад

    kazi freshi belle 9 hapa umetisha sana unazidi tu kupaa kaka go go go bro we love you all the way from 254 ...kaaazi imepita mitihani kabisa hii

  • @MalluP
    @MalluP 6 лет назад

    🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐 wozaaa

  • @Alegria_doPovo
    @Alegria_doPovo 6 лет назад

    Huyu jamaa alikua anajua alikua anaimba vtu vzur mashair mazur mwimb wak mzur wa mwish ni BMS toka hapo hakun ktuu
    #maono yangu

  • @samsondazit232
    @samsondazit232 6 лет назад

    wayaaa!!!

  • @deuselizeo9694
    @deuselizeo9694 6 лет назад

    Ngoma Kali bele ,9.

  • @gegomnete4199
    @gegomnete4199 6 лет назад

    Nakubar mzee baba

  • @aidanaidan5517
    @aidanaidan5517 5 лет назад

    Unatisha broo

  • @pasclmwinuka212
    @pasclmwinuka212 6 лет назад +1

    Daaaah ngoma Kali sana🔥🔥🔥🔥🔥

  • @evaristokiponda530
    @evaristokiponda530 6 лет назад

    Nakubar belle tisa

  • @wa2kusitz650
    @wa2kusitz650 6 лет назад

    MTU mbayaaa ..kazi mzuri broo..

  • @Ibramoref
    @Ibramoref 6 лет назад

    Dah nyimbo imenikosha sana saana 🔥🔥🔥🔥

  • @jumayazidu2839
    @jumayazidu2839 6 лет назад

    belle 9 unatisha sana big up mzee baba ngoma zako nazielewa sana

  • @sponcetheone5421
    @sponcetheone5421 6 лет назад

    Noma sana

  • @barakapaulo7981
    @barakapaulo7981 6 лет назад

    Kazi nzuri

  • @cainewilliam5236
    @cainewilliam5236 6 лет назад

    Ngoma kali sana mzee, keep it up kipaji unacho. Hunaga makiki ya kisenge kama akina nanihino.

  • @hamisnelsoni7747
    @hamisnelsoni7747 6 лет назад

    tamuuu sana❤❤

  • @shirahboymegpme5712
    @shirahboymegpme5712 6 лет назад

    Nmekusoma WA ukae...hili ni limotoo lingine

  • @nassphdmohamed307
    @nassphdmohamed307 6 лет назад

    Hongera saana kwa Wimbo mzuri Kaka.

  • @ericnyawira
    @ericnyawira 3 года назад +1

    I don't get how this song has not reached 50m views

  • @alexsilvan8288
    @alexsilvan8288 6 лет назад

    Nyimbo kal nimeipenda

  • @lovinomwamtambulo6629
    @lovinomwamtambulo6629 6 лет назад

    Nice mtoto wa Morogoro

  • @elvishudson6857
    @elvishudson6857 6 лет назад

    Ngoma nzuri bro pia Nakuona mbali sanaa..

  • @baquirmaulana4845
    @baquirmaulana4845 6 лет назад +2

    my favorite artist, from Mozambique...

  • @othmanbf4597
    @othmanbf4597 6 лет назад

    Umetish bro

  • @felix19
    @felix19 6 лет назад +2

    Team Kenya 🔥✨

  • @orestleon50
    @orestleon50 6 лет назад

    mziki mzuri baba

  • @brothermo9343
    @brothermo9343 6 лет назад

    Song tamu sana

  • @JohnMallyaGrandmasterRecords
    @JohnMallyaGrandmasterRecords 6 лет назад

    Kali sana mangi

  • @allyhassan3621
    @allyhassan3621 5 лет назад

    Safiiiii

  • @faresaconga5069
    @faresaconga5069 6 лет назад +1

    My favorite musician ever

  • @vickyboymfalme7856
    @vickyboymfalme7856 Год назад

    unique belle 9... more love from Kenya

  • @josephmwita832
    @josephmwita832 6 лет назад

    Video nzuri (mazingira) nyimbo ya kawaida.

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 6 лет назад

    Hii kali sana

  • @adilimbindi3543
    @adilimbindi3543 5 лет назад

    Belle9 natamani utoe ngoma Kali like listen it was my favorite song

  • @monicaandrew8292
    @monicaandrew8292 6 лет назад

    Wimbo mzuri

  • @paulino2725
    @paulino2725 6 лет назад +4

    Am on the way love u brother naikubali kazi yako. Bigup

  • @mohammedally8569
    @mohammedally8569 6 лет назад

    Yes nimekubali br

  • @danielmasunga2434
    @danielmasunga2434 6 лет назад

    nakupenda kuliko hata uimbe 0 love u

    • @ambokilemussa2180
      @ambokilemussa2180 5 лет назад

      Uyu jamaa hats nimsikia anahojiwa natamani aendelee tu kuongea namkubari sana

  • @brightonvalentino9024
    @brightonvalentino9024 6 лет назад

    BELL 9 nakukubali mpka keshoo Like kwakee

  • @sparksthedeejay
    @sparksthedeejay 6 лет назад +1

    This is big Belle9 aiseh! keep it up your musik is nice and good to listen to

  • @josephcosmas3987
    @josephcosmas3987 6 лет назад

    Dude lamotooooo hilo

  • @utamuutamu6098
    @utamuutamu6098 6 лет назад +2

    Bonge la moja ngoma tisha sana bro very appreciate ur work

  • @AlfanBless
    @AlfanBless 6 лет назад +1

    Nice bro

  • @danielkilumbi5958
    @danielkilumbi5958 6 лет назад

    Bell 9 nakuelewa xana