Nachopenda toka kwako unapenda kubadilk Sana,,kazi nzurii nmeielewaa mashairi yanaewekaaa,,sio wengine sijui wanaimbaga nn!! Kazi kazi tuko pamoja,,naomba like yako,nmeidownload hii ngoma nikasema sitotenda haki kama sitaenda kuirudia RUclips,,bless up mzee
Belle 9 ukiachana tu kuwa wewe ni home Boy una kipaji sana na una mashabiki wako damu damu hilo halipingiki, lakini kuna namna muziki wako lazima uubadilishe kidogo kutokana na mazingira tuliyopo kwa sasa kolabo zako mbili za mwisho ulizofanya na G-Nako zilipokelewa vizuri sana sababu ilikuwa ni utofauti wa ladha. Wimbo ni mzuri Belle 9 umekaza sana na Hongera ila ukitaka kupasua Zaidi kuendana na soko la muziki kwa sasa zingatia hayo. Bado naamini wewe ni moja ya wasanii watatu Bongo wenye uwezo mkubwa sana na naamini haustahili kubaki hapo ulipo. Ahsante
belle 9 tangu nkujue sijawai jutia kazi ako,,,@@#like if you love this guy,..
Ujawai nikosea kila ukitoa ngoma kali kwangu big up ma men
Mzee baba B9 Hubaatishi always on Top buda.......
Tishaa @belle9tz Video safi @gihcue
hongera kaka belle kwa bonge la ngoma mungu akubaliki
goma kali sana ni mjinga peke ake ndo atasema ngoma mbaya salutiiiiiii kubwa belle9 mfalme wa wakali wao
kama wew nishabiki wa belle 9 from moro town tujuane bas broo katisha sanaaa
wapi hi moro
elias paulo mtoto wa morogoro town
Safi. Sana.. Kazi. Nzuri
Mwalimu huyooo fundi wa dunia unajuaaa sanaaa kaka
nakupenda bele 9 unajua kinoma mpaka nashangaaa sana kuona viewz wachache bongo bhana
Nakukubali broo
Mshauli richi mavoko.asitetemeke kama ulivyo ww mana toka unaanza hujawahi kushuka ngoma zako nazielewa
bel 9 kweli we nifundii noma sna kma unamkubali like zako tuu
Ngoma ina maneno mazuri hadi nacnzia
mauwezo xnaaaa
Welcome back bery 9 nakukubal San
Belle 9 umetisher humu mzee
Nakurespct sna mzee baba
Kaz nzuri sana bro! ! Hujawah niangusha kabisa! ! Thanks for this vitamin
Vidio Kali mzee hongera**
Bonge la Ngoma Liko 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥"Nilidhani Nimekuteka Weee Kumbe Ni Take Away " Hatari Sanaaaaaa
Haswaaa Katisha Sanaaa Jamaaaa
Jikaze tulikuaminia kitambo .muziki mzuri sana big up
Unajuaaa mwambaaaa
Belle 9 me huwa nakukubali mno kwa mashair yako
Nachopenda toka kwako unapenda kubadilk Sana,,kazi nzurii nmeielewaa mashairi yanaewekaaa,,sio wengine sijui wanaimbaga nn!! Kazi kazi tuko pamoja,,naomba like yako,nmeidownload hii ngoma nikasema sitotenda haki kama sitaenda kuirudia RUclips,,bless up mzee
Huyu jamaaa namuelewa sana ktk maish yake ya muziki
Belle agiza bia nitakuja kulipa hii nyimbo kila day narudia Mara 5
Ebwanaaa eeeeennh
Big up broo unaweza sana
ngoma kali sana brother @belle9
king bado upo juu
toka sumu ya penzi mpk take away I'm ur fan......GO 9
Uyu ndio anaujua mziki na kuimba kama unamkubal gonga like tuwe p1
❤️❤️❤️❤️❤️👏👏👏👏 Makin sana
duuuh hatari xanaaa
iyoo vocals uliyopanda mamaeeeee ntakulipa broo
Sana blood
Noma xana yaani.
GQ amenyoosha hii video
Nzurii broo
KAMA UNAMPENDA #BELLE9 WEKA LIKE YAKO HAPA.
Kali sana sapot tuu
Bonge la hit hili. Love the ssong,beat na message. Zinaflow sambamba kabisa.
Ngomaa qarrriiiiiii sanaaaa broooo 9 lakin kazaaa game ngumuuuu saivii"""""""!!!!
9 Qliiiiii brother sanaaaaa
Goma gomani..hatariiiiiiiii
Iko vízuri broo ,unachange vizuri.
ngoma haiishi utam daah
Nakukubali sana brooooo!!!?
Ngoma nzur bro
Kichupa kizur bro......
Nice dont giveup take away.....
............daaaaah huwa nakukubaliiii
Belle 9 ukiachana tu kuwa wewe ni home Boy una kipaji sana na una mashabiki wako damu damu hilo halipingiki, lakini kuna namna muziki wako lazima uubadilishe kidogo kutokana na mazingira tuliyopo kwa sasa kolabo zako mbili za mwisho ulizofanya na G-Nako zilipokelewa vizuri sana sababu ilikuwa ni utofauti wa ladha. Wimbo ni mzuri Belle 9 umekaza sana na Hongera ila ukitaka kupasua Zaidi kuendana na soko la muziki kwa sasa zingatia hayo. Bado naamini wewe ni moja ya wasanii watatu Bongo wenye uwezo mkubwa sana na naamini haustahili kubaki hapo ulipo. Ahsante
@bell9 nyimbo nzur bro binafc nmeielewa @bigupjoo
Mzee hutuangushiii mzee baba
#BELLE 9 kumbe bado unauwezo wa kutoa ngoma kali kama hii umeipenda hii nyimbo ngonga #likeeeee #plz kwa #belle tisaaaaa
Nice song humu ndo kwako belle achana na pingine huu ni mud wa mxiki mzur
#morotown stand Up
Nakukubali sana belle9 unatisha kama unamkubari belle9 gonga like yako apa
kiboko yaooiiiii
Belle tisa anatisha sana
Belle 9 wee fundi bro
KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI KALI
kazi freshi belle 9 hapa umetisha sana unazidi tu kupaa kaka go go go bro we love you all the way from 254 ...kaaazi imepita mitihani kabisa hii
🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐 wozaaa
Huyu jamaa alikua anajua alikua anaimba vtu vzur mashair mazur mwimb wak mzur wa mwish ni BMS toka hapo hakun ktuu
#maono yangu
vitamin music bab kubwa iko poa
wayaaa!!!
Ngoma Kali bele ,9.
Nakubar mzee baba
Unatisha broo
Daaaah ngoma Kali sana🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubar belle tisa
MTU mbayaaa ..kazi mzuri broo..
Dah nyimbo imenikosha sana saana 🔥🔥🔥🔥
belle 9 unatisha sana big up mzee baba ngoma zako nazielewa sana
Noma sana
Kazi nzuri
Ngoma kali sana mzee, keep it up kipaji unacho. Hunaga makiki ya kisenge kama akina nanihino.
tamuuu sana❤❤
Nmekusoma WA ukae...hili ni limotoo lingine
Hongera saana kwa Wimbo mzuri Kaka.
I don't get how this song has not reached 50m views
Nyimbo kal nimeipenda
Nice mtoto wa Morogoro
Ngoma nzuri bro pia Nakuona mbali sanaa..
my favorite artist, from Mozambique...
Umetish bro
Team Kenya 🔥✨
mziki mzuri baba
Song tamu sana
Kali sana mangi
Safiiiii
My favorite musician ever
unique belle 9... more love from Kenya
Video nzuri (mazingira) nyimbo ya kawaida.
Hii kali sana
Belle9 natamani utoe ngoma Kali like listen it was my favorite song
Wimbo mzuri
Am on the way love u brother naikubali kazi yako. Bigup
Yes nimekubali br
nakupenda kuliko hata uimbe 0 love u
Uyu jamaa hats nimsikia anahojiwa natamani aendelee tu kuongea namkubari sana
BELL 9 nakukubali mpka keshoo Like kwakee
This is big Belle9 aiseh! keep it up your musik is nice and good to listen to
Dude lamotooooo hilo
Bonge la moja ngoma tisha sana bro very appreciate ur work
Nice bro
Bell 9 nakuelewa xana