Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅
Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa
Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.
Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta
Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana. Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿
Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe
Nyimbo nzur sana jaman kila mda nafanya tu kuirudia rudia japo imeimbwa kiluga sielew ila nimeipenda sana big up bro
Daah nakumbuka nyumba nikaja kusikiliza nyimbo za kwetu najivunia kuwa msukuma nipo Dubai
Kijana anajitaidi mm nipo geita kiukwer namkubali sana
Dubai maeneo gn mm pia nipo Dubai
Karibu UK
Mungu atujalie sisi wasukuma wanatuzarau sana
Namkubali sana huyu mwamba
Navyokupenda wew mkaka hujui tuu
Nawapendeni woooote!!!
Kuwa msukuma ni raha❤
Najivuni kubwa msukuma ngwaka nakupenda sana unapiga sho zuri sana
Owisee nikwambie usukumani rahaa sikuu yakuoa nikuchukue ujee uni dumbuize😁😁😂😂Niko dar salamu Ila sauti ikoo juu rahaa Ni yangu never give up
Hongera ntemi umebarikiwa sana msukuma obeja gete
Kaz nzuli sana kaka mungu azidi kukupa malifa
Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅
Saf Sana najivunia Sana kuwa msukuma raha❤❤❤
Kariba mpombwe tena
Much love from Kenya Nairobi Kenya
Safi. Sana kwakipaji Chako na mungu akubaliki. Nyimbo nzr sana
Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa
najivunia kiskuma kua lunga yangu yakuzaliwa njoo na dar utupe burudan
Mamb
Dah!! Nimekumbuka nyumban nikisikia hizi nyimbo Nikon gwanzuh china
Napenda kaz zako broo
Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza at
Baba nakukubali sana kaka angu MUNGU akuinue zaid
Aminq dada
kazi nzuri sana ntemi unaibuludisha sana hakili yangu nakuerewa ani
Najivunia kuwa msukuma nyimbo za mafundisho sana kwenye harusi yangu lazima uje kuimba mungu atupe uzima2
Mungu akuzidixhie Inxhaarlh. Endeleza Kudumixha Mila na desturi zetu. Wasukuma Oyeeee
Asante @Zuhura
Napatikana dar es Salam bonge la song hahaha wasukuma yoooo naipenda
Nyanda ndododo, hongera sana. Nasikiliza nyimbo hizi nikiwa 🇬🇧 UK, najikia kama nipo nyumbani kabisa
Pamoja sana , asante 🙏
Horas lugaya nakuku bark xna from kigoma manyovu
wanaodislike wimbo huu ni kwa sbb hawaijui lugha ya kisukuma lkn ni wimbo mmoja mzuri sana na ujumbe wake ni mzuri sana
Pesa
Kwa kweli nyimbo za huyu jamaa zipo juu sana
Kutoka Chicago, USA nakupata sana kijana wa home kahama,kama Niko nyumbani vile.
Asante kutoka US
Safi sana. Nyimbo ina maneno mazuri bila maneno ya aibu. Najikumbusha nyimbo nikiwa hapa New Delhi - India.
kutoka israel wimbo mzuri kama nipo home nitafuteeeee that why make sure that you gonna find me
Hellow, check me 👉 masagamarco1@gmail.com
Ntemi ok ok nice
Hii nyimbo kali balaa❤
noma sana sukuma song,yani kama hujuwi hii kabila jifunze,good message ❤❤
Big up xan waxukuma juuuuuuuuuuu
Za nyumbani ni bomba sana ,naipata nikiwa Zanzibar. Wasukuma juu!
Salum Moh'd Nyiga mpaka oman tunazipata kwa raha zetu watuache wasukuma najihisi nipo nyumbani
Ngwana kangwa ulepatikana hei nyanda
Salum huku kwe2 ndokama hivyooo,SHINYNGA 1 mazeeeee
Iko poa sana
Yaan Hap nahic Kam Niko nyumbn kbc
Nakukubali sana ntemi omabala
Mwanangu hapo ndo hua unagusa nafsi yangu kwa kujituma kwa kazi nzuri
Osanjiiii na ubhukulu ikeyula ilelo ❤❤❤❤❤❤❤mpaga mmakingo😂
Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.
Ongerani
gude gude jigunze kwa huyo chari aisee
Nyanda Acha Tudange Umepigilia Palepale! Unanikoshaga Saanaaaaaaaaaaa
Wew na nyanda masome nawakubali kinoma bigap ng'wana Kang'wa
Wasukuma tunaweza
Kutoka dar naenjoy mziki mzur kutoka kwa mw'anakang'wa🔥🔥🔥🔥🔥yan hatar
Nalekumbuka kukaya obeja Sana ngw'ana kamwa
Big up bro
Nakumbuka nyumbn tu nikiskiliza hzi nymbo
Nakumba bar sana ck unamuimbia mbinamu yangu huu wimbo
Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta
Hii nyimbo haichoshi kwakweli
Mungu abarki ndoa yao ❤❤❤❤
Ntemi wewe nomaaa
Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana.
Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿
Asante kwa kuwafafanulia
hahahaaaa
I don’t hear the language but I’m enjoying the song! From Maine USA 🇺🇸
Thanks brother!
How can i send money 💰 to this artist just to buy a drink? Hop i’m talking to the right person. Ibrahimkynga@gmail.com
@@ibrahimkynga3265 where are you?
USA 🇺🇸
@@ibrahimkynga3265 +255744516663 whatsapp for more info!
Mimi sio msukuma ila napenda hu wimbo sana
Hongera sana Ng'wanakang'wa unanyimbo nzuri za harus wabeja
Kulaga uhangame nyanda Ng'wana Kang'wa...mimbo gako masumba
Kwema
Najivumia kua msukuma I love it
Najivinia kuwa msukuma napenda kuzisikiliza nimepamis hom niko Dubai
Japo saida kaloli alituapia kuwa atazibiti nyimbo zoote za kinyamwezi na kisukuma amefeli tuko juu wasukuma
Ntemi nakupata kijana nafurahi sana nakusikiriza nyimbo zako piga kazi mafanikio nijuhudi yako
Nakubl sana nyimbo kaka ang
Upo vizur mkuu,Endelea kuonesha maujuz na maubunifu every day mzee baba
Poa
🙆😭😗 bhusungu bho ngw, anankima
Asante kwa support
❤ j'adore ce grand musicien merci
nyanda uk vzr sana
Niko Canada nainjoy kisukuma nyumbani mwamalasa kishapu ,nakumbuka nasoma kwa shida, nimekumbuka mboga ya nzuboo, mwabuzo, mwalata Masanga ndoleleji
Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe
❤ nakumbuka Sana kwetu 🎉 ng,wana Kang,wa
Nipo zanzibar nikickiliza nyimbo hii najihc nipo shinyanga
ASANTE SANA
Akupandaga poli azwalile za gharama kweli big up
Big up kwa ku2tangaza Wasukuma
Woooh my brother ooh my God nimekupenda sana daaah
❤️❤️Umenikosh San na kisukuma mayo from Oman ipo sik nitafik usukumani✈️✈️
Karibu sana mariam
@@rajabuhussein4652 shukran ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@@stumay-wx9rp naomba number yako unayotumia wasap plz
Maryam karbu
Jaman Mpaka nime miss Nyumban 😭😭 I love you Nyumban
Duh mimuha ilanapenda San nyimbo zakisukuma jamn
Ulisawa du
Mzurii
Hongera sana nimeipenda
Tujifunze vijana kupitia nyimbo hiz sio kucheza tuu kabla hatujaingia kwenye pingu za maisha
♥️♥️♥️♥️ sana kaka angu
Uko vzr ww ni alikiba unaimba nyimbo za asilia siyo za biashala
Allikiba
Nakubali.
Nyimbo nzuri, jitahidi utoe video ya shinje na mchoji.!
Nikiwa dar nikiskiliza hizi nyimbo najiona Niko kwetu bala
uko vzuur sana m shabk namba1 kwako we n diamond wakwetu usukuman unajua sana jtahdi kutoa video tunakupenda sana
Kwakweli ng'wanakang'wa unatutamgaza vzr wasukuma, tunajivunia uwepo wako! Be blessed by the almighty God! We enjoying.
yani nipo dar kama nipo nyumbani tu hongela sana
Damas Enock sehem gan dar ww
Sawa baba busungu wa ruma
Dah wimbo mzur xn xo big up mn
Nakukubali Sana mzee
Asante Sana kakanyimbo zetu za kisukuma nilizipoteza mda mlefu ila nimezipata na kubuka nyumbani usukumani
Wasukumu mlihoii bhehi
Nikiwa Dodoma nakupata vzr sana ng'wana kang'wa chapa kz bro
bwana na bibi harusi yhehye imihayo, bhaleho bhaleho bhamajungu bhangholo jabhubhi😅
Hongera sana ndugu kwa nyimbo nzuri, nimezipenda sana na Mungu akubariki sana🙏🙏🇹🇿🇹🇿
Poa
Wasukuma safiiiiii
Haka kawimbo katamu
uko vizuri sana, hakika nyimbo zako ni nzuri sana
Lol lol I'm in to go for bc of pop pop pop pop p pop 99 lik
Please ok
We jamaa unaweza nitakutafuta kwenye harusi yangu
Msiwape nafasi mbhakalomo nchoncho💃💃💃💃💃
Ukweli mungu nimwema kwa kwa kipaji tu unacho
Mfanikio mema video ni nzuli ila Bwana halusi alihalibu jinsi alivyoonekana video iko good 50&
Tulaga milimo bhabha mimbo masoga
Najivunia kuwa msukuma
Yajayo yanafurahishaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Mim nikubari kwa nyimbo zako
Umenikosha kaka, naipenda sana lugha yangu na tamaduni zake.
Kama umemwona babu nakanzu nakachupa ka Eagle gonga likeee