Ntemi_ Harusi ya Anna Official video.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • BTM AFRICA

Комментарии • 339

  • @user-lf2zr3fj9g
    @user-lf2zr3fj9g 5 месяцев назад +5

    Nyimbo nzur sana jaman kila mda nafanya tu kuirudia rudia japo imeimbwa kiluga sielew ila nimeipenda sana big up bro

  • @KhadijaKhadija-uc2uw
    @KhadijaKhadija-uc2uw 3 года назад +10

    Daah nakumbuka nyumba nikaja kusikiliza nyimbo za kwetu najivunia kuwa msukuma nipo Dubai

  • @elizabethstephano6063
    @elizabethstephano6063 3 года назад +1

    Navyokupenda wew mkaka hujui tuu

  • @PaulinaDaudi-ox3oz
    @PaulinaDaudi-ox3oz 5 месяцев назад +1

    Kuwa msukuma ni raha❤

  • @SaidJuma-ww6vd
    @SaidJuma-ww6vd 13 дней назад

    Najivuni kubwa msukuma ngwaka nakupenda sana unapiga sho zuri sana

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 года назад

    Owisee nikwambie usukumani rahaa sikuu yakuoa nikuchukue ujee uni dumbuize😁😁😂😂Niko dar salamu Ila sauti ikoo juu rahaa Ni yangu never give up

  • @EmmanuelKasambale
    @EmmanuelKasambale 22 дня назад

    Hongera ntemi umebarikiwa sana msukuma obeja gete

  • @user-zz1pu8yo4h
    @user-zz1pu8yo4h 3 месяца назад

    Kaz nzuli sana kaka mungu azidi kukupa malifa

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 9 месяцев назад +1

    Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅

  • @Sosthenesndutu
    @Sosthenesndutu 11 месяцев назад +3

    Saf Sana najivunia Sana kuwa msukuma raha❤❤❤

  • @hassansaid-b4z
    @hassansaid-b4z 2 месяца назад +1

    Kariba mpombwe tena

  • @bornyborny445
    @bornyborny445 5 месяцев назад +2

    Much love from Kenya Nairobi Kenya

  • @YohanaLenga-l5z
    @YohanaLenga-l5z 11 месяцев назад +2

    Safi. Sana kwakipaji Chako na mungu akubaliki. Nyimbo nzr sana

  • @user-cw8ju1gf1j
    @user-cw8ju1gf1j Год назад +2

    Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 4 года назад +6

    najivunia kiskuma kua lunga yangu yakuzaliwa njoo na dar utupe burudan

  • @charlesamon8873
    @charlesamon8873 5 лет назад +15

    Dah!! Nimekumbuka nyumban nikisikia hizi nyimbo Nikon gwanzuh china

  • @valeriakishiwa6029
    @valeriakishiwa6029 2 года назад +1

    Napenda kaz zako broo
    Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza at

  • @jescakitinga4393
    @jescakitinga4393 3 года назад +1

    Baba nakukubali sana kaka angu MUNGU akuinue zaid

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 8 месяцев назад

    kazi nzuri sana ntemi unaibuludisha sana hakili yangu nakuerewa ani

  • @teddydotto7137
    @teddydotto7137 7 месяцев назад +1

    Najivunia kuwa msukuma nyimbo za mafundisho sana kwenye harusi yangu lazima uje kuimba mungu atupe uzima2

  • @zuhuraabdallah155
    @zuhuraabdallah155 Год назад +1

    Mungu akuzidixhie Inxhaarlh. Endeleza Kudumixha Mila na desturi zetu. Wasukuma Oyeeee

  • @leahjoram4611
    @leahjoram4611 Год назад +1

    Napatikana dar es Salam bonge la song hahaha wasukuma yoooo naipenda

  • @fredrickmagingila3614
    @fredrickmagingila3614 Год назад +1

    Nyanda ndododo, hongera sana. Nasikiliza nyimbo hizi nikiwa 🇬🇧 UK, najikia kama nipo nyumbani kabisa

  • @horaslugaya2261
    @horaslugaya2261 2 года назад

    Horas lugaya nakuku bark xna from kigoma manyovu

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.5822 5 лет назад +3

    wanaodislike wimbo huu ni kwa sbb hawaijui lugha ya kisukuma lkn ni wimbo mmoja mzuri sana na ujumbe wake ni mzuri sana

  • @johnmatanda3834
    @johnmatanda3834 4 года назад +7

    Kutoka Chicago, USA nakupata sana kijana wa home kahama,kama Niko nyumbani vile.

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga 3 месяца назад +1

    Safi sana. Nyimbo ina maneno mazuri bila maneno ya aibu. Najikumbusha nyimbo nikiwa hapa New Delhi - India.

  • @gabrielshija7786
    @gabrielshija7786 4 года назад +1

    kutoka israel wimbo mzuri kama nipo home nitafuteeeee that why make sure that you gonna find me

  • @SamiaLove-cw6nj
    @SamiaLove-cw6nj 3 месяца назад

    Hii nyimbo kali balaa❤

  • @mabulayohana3811
    @mabulayohana3811 2 года назад +1

    noma sana sukuma song,yani kama hujuwi hii kabila jifunze,good message ❤❤

  • @vestinaaisha4515
    @vestinaaisha4515 3 года назад +1

    Big up xan waxukuma juuuuuuuuuuu

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 5 лет назад +11

    Za nyumbani ni bomba sana ,naipata nikiwa Zanzibar. Wasukuma juu!

    • @husnahasna7161
      @husnahasna7161 5 лет назад +1

      Salum Moh'd Nyiga mpaka oman tunazipata kwa raha zetu watuache wasukuma najihisi nipo nyumbani

    • @frankclemence7308
      @frankclemence7308 5 лет назад +1

      Ngwana kangwa ulepatikana hei nyanda

    • @michaelmanyilizu1393
      @michaelmanyilizu1393 5 лет назад +1

      Salum huku kwe2 ndokama hivyooo,SHINYNGA 1 mazeeeee

    • @sophiamtemi9734
      @sophiamtemi9734 3 года назад

      Iko poa sana

  • @sittaanatory2699
    @sittaanatory2699 3 года назад

    Yaan Hap nahic Kam Niko nyumbn kbc

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 10 месяцев назад +1

    Nakukubali sana ntemi omabala

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 3 года назад +1

    Mwanangu hapo ndo hua unagusa nafsi yangu kwa kujituma kwa kazi nzuri

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 10 месяцев назад +1

    Osanjiiii na ubhukulu ikeyula ilelo ❤❤❤❤❤❤❤mpaga mmakingo😂

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 5 лет назад +1

    Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.

  • @fancebtz1071
    @fancebtz1071 3 года назад

    gude gude jigunze kwa huyo chari aisee

  • @agathamathias7195
    @agathamathias7195 3 года назад +2

    Nyanda Acha Tudange Umepigilia Palepale! Unanikoshaga Saanaaaaaaaaaaa

  • @mektridamichael4035
    @mektridamichael4035 5 лет назад +6

    Wew na nyanda masome nawakubali kinoma bigap ng'wana Kang'wa

  • @petrojakcison118
    @petrojakcison118 4 года назад +4

    Kutoka dar naenjoy mziki mzur kutoka kwa mw'anakang'wa🔥🔥🔥🔥🔥yan hatar

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 2 года назад +1

    Big up bro

  • @hamismsafiri6042
    @hamismsafiri6042 3 года назад +1

    Nakumbuka nyumbn tu nikiskiliza hzi nymbo

  • @rashidbakhari9656
    @rashidbakhari9656 4 года назад +1

    Nakumba bar sana ck unamuimbia mbinamu yangu huu wimbo

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 4 года назад

    Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta

  • @ShamimuRajab
    @ShamimuRajab Месяц назад +1

    Hii nyimbo haichoshi kwakweli

  • @user-yv1zd7rz7g
    @user-yv1zd7rz7g 7 месяцев назад

    Mungu abarki ndoa yao ❤❤❤❤

  • @ramadhanmahano3498
    @ramadhanmahano3498 2 года назад

    Ntemi wewe nomaaa

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 4 года назад +7

    Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana.
    Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿

  • @ibrahimkynga3265
    @ibrahimkynga3265 4 года назад +8

    I don’t hear the language but I’m enjoying the song! From Maine USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 года назад +2

      Thanks brother!

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 года назад +2

      How can i send money 💰 to this artist just to buy a drink? Hop i’m talking to the right person. Ibrahimkynga@gmail.com

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 года назад +1

      @@ibrahimkynga3265 where are you?

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 года назад +1

      USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 года назад +2

      @@ibrahimkynga3265 +255744516663 whatsapp for more info!

  • @b_kings96
    @b_kings96 3 года назад +1

    Mimi sio msukuma ila napenda hu wimbo sana

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 года назад +1

    Hongera sana Ng'wanakang'wa unanyimbo nzuri za harus wabeja

  • @KnowledgeClass.
    @KnowledgeClass. 5 лет назад +10

    Kulaga uhangame nyanda Ng'wana Kang'wa...mimbo gako masumba

  • @jacklinekansago1833
    @jacklinekansago1833 4 года назад +4

    Najivumia kua msukuma I love it

  • @user-tc4qd1jp6p
    @user-tc4qd1jp6p 2 месяца назад

    Najivinia kuwa msukuma napenda kuzisikiliza nimepamis hom niko Dubai

  • @rosemaryjoseph2346
    @rosemaryjoseph2346 2 года назад +2

    Japo saida kaloli alituapia kuwa atazibiti nyimbo zoote za kinyamwezi na kisukuma amefeli tuko juu wasukuma

  • @manenobuluba1037
    @manenobuluba1037 4 года назад +1

    Ntemi nakupata kijana nafurahi sana nakusikiriza nyimbo zako piga kazi mafanikio nijuhudi yako

  • @happinessdanstan8877
    @happinessdanstan8877 2 года назад

    Nakubl sana nyimbo kaka ang

  • @sakijakhassim8818
    @sakijakhassim8818 4 года назад +2

    Upo vizur mkuu,Endelea kuonesha maujuz na maubunifu every day mzee baba

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 4 года назад +5

    🙆😭😗 bhusungu bho ngw, anankima

  • @KouameKoffi-u7n
    @KouameKoffi-u7n Месяц назад

    ❤ j'adore ce grand musicien merci

  • @emmakatemi4407
    @emmakatemi4407 5 лет назад +6

    nyanda uk vzr sana

    • @ndulujilala9643
      @ndulujilala9643 4 года назад

      Niko Canada nainjoy kisukuma nyumbani mwamalasa kishapu ,nakumbuka nasoma kwa shida, nimekumbuka mboga ya nzuboo, mwabuzo, mwalata Masanga ndoleleji

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 лет назад +3

    Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe

  • @MwanaidiJuma-g3z
    @MwanaidiJuma-g3z 10 месяцев назад +1

    ❤ nakumbuka Sana kwetu 🎉 ng,wana Kang,wa

  • @daudiabasi9523
    @daudiabasi9523 4 года назад

    Nipo zanzibar nikickiliza nyimbo hii najihc nipo shinyanga

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 лет назад +8

    Akupandaga poli azwalile za gharama kweli big up

  • @jacklinebabuneliku1686
    @jacklinebabuneliku1686 5 лет назад +6

    Big up kwa ku2tangaza Wasukuma

  • @LovelyTz
    @LovelyTz 3 года назад +1

    Woooh my brother ooh my God nimekupenda sana daaah

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp 5 лет назад +6

    ❤️❤️Umenikosh San na kisukuma mayo from Oman ipo sik nitafik usukumani✈️✈️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 лет назад +1

      Karibu sana mariam

    • @stumay-wx9rp
      @stumay-wx9rp 5 лет назад +1

      @@rajabuhussein4652 shukran ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 лет назад

      @@stumay-wx9rp naomba number yako unayotumia wasap plz

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 лет назад

      Maryam karbu

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 лет назад

      Jaman Mpaka nime miss Nyumban 😭😭 I love you Nyumban

  • @shanijohn3988
    @shanijohn3988 4 года назад +5

    Duh mimuha ilanapenda San nyimbo zakisukuma jamn

  • @magesejapheth8031
    @magesejapheth8031 4 года назад +1

    Ulisawa du

  • @yusterkisusi6633
    @yusterkisusi6633 2 года назад

    Mzurii

  • @gilbertwaswa131
    @gilbertwaswa131 4 года назад +1

    Hongera sana nimeipenda

  • @kulwampela3890
    @kulwampela3890 3 года назад +1

    Tujifunze vijana kupitia nyimbo hiz sio kucheza tuu kabla hatujaingia kwenye pingu za maisha

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 5 месяцев назад +1

    ♥️♥️♥️♥️ sana kaka angu

  • @michaeljoseph9903
    @michaeljoseph9903 5 лет назад +4

    Uko vzr ww ni alikiba unaimba nyimbo za asilia siyo za biashala

  • @ShijaMathias-sk1vt
    @ShijaMathias-sk1vt Месяц назад

    Nakubali.

  • @sophiamichael644
    @sophiamichael644 5 лет назад +7

    Nyimbo nzuri, jitahidi utoe video ya shinje na mchoji.!

    • @anjellaezekiel1557
      @anjellaezekiel1557 3 года назад

      Nikiwa dar nikiskiliza hizi nyimbo najiona Niko kwetu bala

  • @johnsimba7230
    @johnsimba7230 5 лет назад +3

    uko vzuur sana m shabk namba1 kwako we n diamond wakwetu usukuman unajua sana jtahdi kutoa video tunakupenda sana

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 года назад +1

    Kwakweli ng'wanakang'wa unatutamgaza vzr wasukuma, tunajivunia uwepo wako! Be blessed by the almighty God! We enjoying.

  • @damasenock4111
    @damasenock4111 5 лет назад +2

    yani nipo dar kama nipo nyumbani tu hongela sana

  • @suzanamanyilizu1305
    @suzanamanyilizu1305 2 года назад

    Sawa baba busungu wa ruma

  • @busandaking5742
    @busandaking5742 5 лет назад +4

    Dah wimbo mzur xn xo big up mn

  • @MussaMadunda
    @MussaMadunda Год назад +1

    Nakukubali Sana mzee

  • @user-ut9pd7pb2x
    @user-ut9pd7pb2x Год назад +1

    Asante Sana kakanyimbo zetu za kisukuma nilizipoteza mda mlefu ila nimezipata na kubuka nyumbani usukumani

  • @henrydonard3098
    @henrydonard3098 4 года назад +1

    Wasukumu mlihoii bhehi

  • @yusuphabdallah285
    @yusuphabdallah285 4 года назад

    Nikiwa Dodoma nakupata vzr sana ng'wana kang'wa chapa kz bro

  • @mtundaagnes5609
    @mtundaagnes5609 5 месяцев назад +1

    bwana na bibi harusi yhehye imihayo, bhaleho bhaleho bhamajungu bhangholo jabhubhi😅

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 4 года назад +1

    Hongera sana ndugu kwa nyimbo nzuri, nimezipenda sana na Mungu akubariki sana🙏🙏🇹🇿🇹🇿

  • @mudynuru4036
    @mudynuru4036 2 года назад +1

    Wasukuma safiiiiii

  • @user-rm4qr5bl9x
    @user-rm4qr5bl9x 9 месяцев назад +1

    Haka kawimbo katamu

  • @rosepeter1757
    @rosepeter1757 5 лет назад +4

    uko vizuri sana, hakika nyimbo zako ni nzuri sana

  • @shabanswebe2550
    @shabanswebe2550 5 лет назад +2

    We jamaa unaweza nitakutafuta kwenye harusi yangu

    • @mariethamkulo1983
      @mariethamkulo1983 4 года назад

      Msiwape nafasi mbhakalomo nchoncho💃💃💃💃💃

  • @neemamarine1769
    @neemamarine1769 Год назад +1

    Ukweli mungu nimwema kwa kwa kipaji tu unacho

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 лет назад +1

    Mfanikio mema video ni nzuli ila Bwana halusi alihalibu jinsi alivyoonekana video iko good 50&

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 5 лет назад +3

    Najivunia kuwa msukuma

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Год назад +1

    Yajayo yanafurahishaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @user-nf7kt6wp6s
    @user-nf7kt6wp6s 7 месяцев назад

    Mim nikubari kwa nyimbo zako

  • @marrykanti841
    @marrykanti841 5 лет назад +8

    Umenikosha kaka, naipenda sana lugha yangu na tamaduni zake.

  • @deboramsigwa5961
    @deboramsigwa5961 4 года назад

    Kama umemwona babu nakanzu nakachupa ka Eagle gonga likeee