Hongera Joel lwaga mungu awatangulie kwenye ndoa yenu ikawe ya furaha na amani, siku note, muishi mkitanguliza mungu kwa kila Jambo mnalofanya, abariki uzao wenu, hakika umepata kilicho chema
Mnaosema bi harusi mfupi ndo kashaolewa Sasa na nyie na ulefu wenu endeleeni kuanika nguo kwa wazazi wenu hongera Joel and peace mungu abariki ndoa yenu
Brother uko vizuri sana hata kwa live sauti yako sio ya kitoto Zaidi sana nikupongeze sana kupata mke mzuri mtunze mpende Mungu amakupa zawadi kwa sababu ya huduma yako njema kwake nae amekuheshimu
congratulation frere JOEL LWAGA que Dieu bénisse votre couple,je suis souvent tes chansons c'est très édifient je ne attend pas le shwahili borah mais avec le saint esprit sa passe très bien encore une foi soyez béni le couple depuis la Belgique votre sœur en christ.baba aaah umejua kunifurahisha baba taku sifu mileleeeeee jusque en 2021
Hongera sana kaka kweli ni furaha ya Kristo.. Yaonekana dhahiri..ubarikiwe..Aman na furaha ya kristo idumu kwenye ndoa yako......milele..hongera pia Mungu kukupa sauti nzuri ya kumsifu na kumwabudu yeye...usiache Alanta hiyo milele....ni Mungu atupaye na hutaka kuabudiwa yeye Mungu pekee...Mwabudu Mungu peke yake Joel ....ndoa yenu iwe Ibada ya Mungu wetu pekee...blessed Joel & Peace...
Sio heshima, mungu ni kwa miungu mingine na Mungu ni kwa Mungu, mkuu, wa Mbinguni. Kwahiyo sio heshima ni maana ndiyo kigezo hapo. Barikiweni na hii wapendwa 👇.. ruclips.net/video/KdYzhrTz6wQ/видео.html
Ikawe heri , sio mnakaa kidogo mnaanza kuzingua Mana tunajua wengine mnapiga wake zenu hadi wameenda makwao na manasimama majukwaa makubwa lakini ndani hakuna amani
Mungu awape maisha marefu na uzao wa baraka kama uzao wa ibrahim god bless you Mr& mrs Joel lwaga
Hongera Joel lwaga mungu awatangulie kwenye ndoa yenu ikawe ya furaha na amani, siku note, muishi mkitanguliza mungu kwa kila Jambo mnalofanya, abariki uzao wenu, hakika umepata kilicho chema
Hongera Joel Rwaga Mungu awe ngao ktk NDOA yenu
Mashallah navyoo pendagaa nyimboo zakoo kaka anguu munguu akawee barak milele na mileleee amin
Kanisa ambalo wamefungia harusi kweli....it shows a lot of humility.
Mnaosema bi harusi mfupi ndo kashaolewa Sasa na nyie na ulefu wenu endeleeni kuanika nguo kwa wazazi wenu hongera Joel and peace mungu abariki ndoa yenu
ilo nalo neno shogaangu
Poa Sana yaani walimwengu wamezidi Hilo neno na liwafikie khaa!!
Yaan ni furaha tupu pale Mungu anapo kufuta machozi kwa kubadiri calendar ya maisha yako. Love peace and joy from God be upon you forever
MUNGU wa mbinguni akuongoze vema kaka katika maisha yako ya ndoa na wifi yetu tunakupenda sana
looove u so much...........,
Brother uko vizuri sana hata kwa live sauti yako sio ya kitoto
Zaidi sana nikupongeze sana kupata mke mzuri mtunze mpende Mungu amakupa zawadi kwa sababu ya huduma yako njema kwake nae amekuheshimu
congratulation frere JOEL LWAGA que Dieu bénisse votre couple,je suis souvent tes chansons c'est très édifient je ne attend pas le shwahili borah mais avec le saint esprit sa passe très bien encore une foi soyez béni le couple depuis la Belgique votre sœur en christ.baba aaah umejua kunifurahisha baba taku sifu mileleeeeee jusque en 2021
I just don't know why I've dropped a tear! But hey this is so beautiful 😘😘
Mungu akafanyike baraka ktk ndoa yenu na uzao wenu pia
Amna sana
Hongera sana kaka kweli ni furaha ya Kristo.. Yaonekana dhahiri..ubarikiwe..Aman na furaha ya kristo idumu kwenye ndoa yako......milele..hongera pia Mungu kukupa sauti nzuri ya kumsifu na kumwabudu yeye...usiache Alanta hiyo milele....ni Mungu atupaye na hutaka kuabudiwa yeye Mungu pekee...Mwabudu Mungu peke yake Joel ....ndoa yenu iwe Ibada ya Mungu wetu pekee...blessed Joel & Peace...
Congratulations Joel and peace. May God bless your marriage in Jesus name
Amen
Hongeren San maharusi mungu awalindie ndoa yenu muishi kwa aman na upendo!
Congratulations my guy,may God bless this union.She is a pretty lady,love from Kenya.
I tap to this blessing Jehovah, Abba Father I partake of this marital blessing
ooh nawapenda sana. Mungu aibariki ndoa yenu
Kwa heshima ukiandika Mungu ukaanza na herufi kubwa inapendeza Sana.. Na sio mungu
Sio heshima, mungu ni kwa miungu mingine na Mungu ni kwa Mungu, mkuu, wa Mbinguni. Kwahiyo sio heshima ni maana ndiyo kigezo hapo.
Barikiweni na hii wapendwa 👇..
ruclips.net/video/KdYzhrTz6wQ/видео.html
Hongera hakika MUNGU watunze siku zote 🙏 mbalikiwe san
Mwenyez mungu awajalie kila lenye kher na barka katika ndoa yenu muishi Kwa upendo na Aman mzae na watt wema wake Kwa waume ♥️♥️♥️🙏🙏
What a lucky bride.... Whuuu..... Amefanyiwa amani kaondoa uzuni yanguu.... Congratulations 🎊
Hongera sana jaman Bwana Mungu awape maisha malefu na yafuraha🙏🙏
Hongereni sana Joel na Peace ,Mungu awatangulie Ktk ndoa yenu
Hongera sana Joel Mungu aiatamie ndoa yenu Shetani hana nafasi ndoa yenu idumu milele Baba amejuwa kukufurahisha
Ameeni Mungu awatangulie ktk maisha yenu ya ndoa.Mmependezaa sana.
Big congratulations to you both,God bless your union indeed 🙏🙏🙏🙏from 254
Paul Clement and Joel Lwaga my best 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Good Joel lwang mungu yupo pamoja na wewe ameen hongera san
Happy marriage to you guys, Love you both and once again happy marriage to you guys. May God bless you❤️❤️❤️❤️❤️
Bwana Bariki ndoa hii katika Jina La Yesu
These pipo Joel and Clement are myfavourates and theirs wives are so beautiful aise,wow!
Hongereni xna mmependeza xna mungu awape maisha maref kwenye ndoa yenu na upendo utawale ameni
Hongera sana Joel lwaga Mungu awatangulie ktk ndoa yenu
Mmependeza sana couples ya Paul na Joel hakika mnapendana sana brothers
Mungu akulinde mno Joel na mke wako akawe mke mwema kwako na watu wote maana ww umekuwa mtu wa watu
Waooh.. Mungu awatangulie ktk ndoa yenu kaka Joel Lwanga
Napenda jinsi mnavyo imba Joel na Paul MUNGU akawe kiongozi wa ndoa yenu
Mungu akawe kiongozi katika ndoa yako
Amen
Yeah they really are brothers in the ministry
Hongereni sana Mungu awe nanyi katika maisha yenu ya ndoa
Joel mm pia umejua kunifurahisha hongera sana brow
May almighty God bless your marriage in Jesus mighty name amen
Jamani kumpata anyayekupenda ni rahaaa🥰♥️🇰🇪🇰🇪
Saaana
Original voice blessed by God
Hongera mwimbaji Wangu Wa maisha
Mke mzr ... Tabasamu mashaAllah
Congratulations Mungu aisimamie ndo yenu
Naona mdad anafurahi ivi unawajua vzr hao watu utakuj kujuta Tena mwimbaji
Wow.. happy for you guys may the Lord bless your union
Congratulations. Keep God first and you shall have a successful future together.
Hongera sana Lwaga
Nawatakia baraka Tele.
Hongera nyingi kwenu Mungu awe mlinzi ktk ndoa yenu
May God bless your marriage, all the the best mr& Mrs Joel
Congratulations you both,love is beautiful
HONGERA SANA JOEL L., MUNGU AWABARIKI KTK NDOA YENU
Hongereni kufunga pingu za maisha na ndoa iheshimiwe na watu wote.Wambea,Wazushi,fungeni vinywa vyenu.
Wowww mungu awabariki sana
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
Kabisa
Woooooow hongeraaa
Maa ashallah nawatakia ndoa yenye baraka
Waoooo hongera sn mtumishi WaMungu
Woow jamani 😍😍 lakini sasa joel unatakiwa una imba ivyo uku una mwangalia mkeo loh
na we umeliona hilo😂😂😂 kwakwel mkewe anajtahd kumwangalia but ye yuko biz tuuuh kuimb...
but all in all mungu awatunze
Joel kumbe ni mtoto wa Mchungaji wangu wa zamani Moravian Segerea ,,,,,Nawapenda wazazi wake
Hongera sana kakang aman na furaha iwe chakula chenu siku zote
Mungu awape kibari kupata uzao mwema
Baraka sanaaa Joel and peace
Congratulation Joel, May God bless your marriage
Mungu awatangulie na awabariki
Ikawe heri , sio mnakaa kidogo mnaanza kuzingua Mana tunajua wengine mnapiga wake zenu hadi wameenda makwao na manasimama majukwaa makubwa lakini ndani hakuna amani
Kak hongr sana mung mwem amefany mamb mazur kwako nice muish miak ming na mzae watoto kama wote
Kumbe ndomana Muna love kakimbilia Turkey bwana ake ameoa
umejuwa kunichekesha 🤣🤣
We nawe
Here kumbe alikuwa wa Nina love?
Jamani
Aaaaa!😀😁😂😂😂
Acha umbea
Beautifully 🥰🥰well done brother I love you both 💞
Hongera sana Mr Joel
❤❤❤❤❤❤😍😍😍😍💃💃💃💃🇧🇮🇧🇮🇧🇮brother wawoooo so nice wallah llove you so much for me burundi 💃💃🙌🙏🙏🤝🥰🥰
Hongereniii ❤️❤️❤️
Barikiwaa zaidi mtumishi
Hongera lwaga mungu awatunze
Waooo!congratulations to Joel
Congradulation Bro Joel God bless your marriage.
Mungu awatangulie katka ndoa yenu
Hongeta sana mtumishi
God is good.
Mungu awape furaha ktka ndoa yenu
May God bless ur marriage!
My all time crush but ni sawa tu😅
😂😂😂pole
😂😂😂
Hongera ila ulipashwa kuimba unamwangalia bi harusi
Congratulate My model for wedding
All the best
Hongera sana bro Mungu awatunze katika maisha yenu
Wooow gari sasa 😍😍😍👌👌👌
Mung akawe Baraka kwenu
Hongera Joel..
Congratulation my brother good marriage
Hongera Sana Mtumishi
Congratulations , God bless your marriage
Hongera Sana
Hongereni saaaana
Kafupi kenyewe. Hongereni sana
So nice to him! God be with him and his new Weddng
Dahhhhh Hongereni sana Jamaniii 💖💖💖
Congratulations kaka Joel
Congratulations
Hongera sn