Tuna viongozi wenye nguvu zaidi kuliko taasisi zetu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 июл 2018
  • Akizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Prof Mussa Juma Assad amesema, kuwa utekelezaji wa malengo ya maendeleo andelevu SDG's nchini Tanzania utategemea uimarishwaji wa taasisi katika taifa kuliko kuwa viongozi wenye nguvu.

Комментарии • 129

  • @ttec9431
    @ttec9431 5 лет назад +15

    Nimesoma kitu hapa tayari .... Best proffesor

  • @antonykashube2065
    @antonykashube2065 5 лет назад +10

    One of the best leaders in the world, Prof. Mussa Juma Assad.

  • @hakika_tz1564
    @hakika_tz1564 5 лет назад +2

    Umemaliza baba
    Mungu akulinde Prof. Assad

  • @salimdoctor691
    @salimdoctor691 5 лет назад +1

    Up salute Mzee masha Allah uko vizuri picha linaanza hufagili mbofumbofu you are konk master!!!

  • @kalebujacob8323
    @kalebujacob8323 5 лет назад +13

    Hongera CAG uko vzr sana

  • @cosmassquintine1320
    @cosmassquintine1320 5 лет назад +1

    Best and strong speech!! Respect to you Asad!

  • @abdalahngilisho7433
    @abdalahngilisho7433 5 лет назад +4

    Kaburu P.W Botha aliwahi kusema kwamba Karunguyeye si sawa na Nungungu hata kama wote wanamishale mwilini. Kwa statement safi kama hiyo yenye mashiko, anaweza asieleweke na baadhi yatu hadi aitwe kwenye mahojiano.!

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 5 лет назад +10

    Mtu kama huyu ndio anafaa hata nafasi ya Uraisi

  • @pastorytitus5189
    @pastorytitus5189 4 года назад

    Prof. Assad nikupongeze sana kwa maneno yako yanayoakisi usomi na hekima ambayo Mungu kakupa, ni kweli Taifa letu halina strong Institution tukubali tusikubali, bali tuna strong Individuals ambao wanapita tu katika nyadhifa na baada ya hapo anakuja kiongozi mwingine naye anakuwa na falsafa yake.

  • @davidchambulila3028
    @davidchambulila3028 4 года назад

    Ubarikiwe , watu smart tunashindwa kuwapata sababu ya siasa za hovyo

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 5 лет назад +14

    Huyu ndie professa pekee kwa tz anapoongea unajua ni profesa, sio wale maprofesa wa uwongo kilna Lipumbumba

    • @azizawadh5973
      @azizawadh5973 4 года назад

      Prof kapuya prof kabudi prof lipumba

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 5 лет назад +47

    Watoto wa huyu baba wanaraha sio kifedha lahasha busara na akili nying

    • @frolencyphilipo8366
      @frolencyphilipo8366 5 лет назад +3

      Johnson Marick mimi nakaa nao mtaammoja huwezi amini alimuozesha mwanae kwamtu hohehahe yaani achaniishie hapa

    • @hassankuchunga5016
      @hassankuchunga5016 4 года назад

      Johnson Marick mkuu tatzo uyu anabusara Sana nais hata din anajua

  • @andrewkimambo1581
    @andrewkimambo1581 4 года назад

    Ni kweli Prof. anachosema na ninamuunga mkono. Lakini nimejaribu kufikiria kwa kina impacts ya strong institutions kipindi cha mzee jakaya sijaona faida zake zaidi ya uwizi ufisadi na nk, Me naona mfumo wa strong personalities ni mzuri zaidi. Tunaheshimiana zaidi. Mawazo yangu tu.

  • @devotakapwepwe363
    @devotakapwepwe363 5 лет назад

    Mshukuru Mungu kwa kila jambo

  • @michaelsylvestre8475
    @michaelsylvestre8475 5 лет назад +1

    Ama kweli we msomi huna muda wa kubishana na mjinga, hongera sana na wanampango wakukuweka kando achana nao maana hawataki kukutumia kea manufaa ya taifa.

  • @iddibale5665
    @iddibale5665 5 лет назад +19

    kama kunamtu hamuelewi pro asadi anahitaji maombi

  • @hajiathumani1532
    @hajiathumani1532 5 лет назад +1

    jamani Nchi hii kuna watu wanashule hadi aibu Hongera cag

  • @rammyrichtv6913
    @rammyrichtv6913 4 года назад +1

    Huyu mzee anafaa sana kuwa raisi wa nchi

  • @alijuma7204
    @alijuma7204 3 года назад

    Great

  • @skillz802003
    @skillz802003 5 лет назад +2

    Huyu Jamaa ana Akili na ufahamu Mingi sanaa....

  • @flowinmkechi4500
    @flowinmkechi4500 5 лет назад +3

    Daaah unaniispire sana

  • @isayandabila7812
    @isayandabila7812 5 лет назад +1

    Akili kama zote
    Yan hata yy Mwenye yupo vzuri sana

  • @mgazakidugalo8051
    @mgazakidugalo8051 5 лет назад +1

    Mashaallah.

  • @m-barukhamad2734
    @m-barukhamad2734 5 лет назад +2

    Allah(sw)akusimamie ktk kutekeleza majukumu yako

  • @severinmmassy7627
    @severinmmassy7627 5 лет назад +1

    Duu mzee unaona mbali sanaa

  • @hashimumtamike3607
    @hashimumtamike3607 5 лет назад

    Uyu mzee alikua wapi siku zote jamani. Hongela sana mueshimiwa magu kwa kumchagua kiongozi mwenye upeo kama uyu pro, Asady Mungu akusimamie baba

    • @Munyama675
      @Munyama675 5 лет назад +1

      Aliteuliwa na KIKWETE NOV 2014 na wala sio MAGUFULI na wala hawezi KUMTUMBUA hadi 2021 pale atakapofikisha miaka 60

  • @omaryregga5315
    @omaryregga5315 5 лет назад +6

    ukwer unauma hongera mkaguz

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga6132 5 лет назад +2

    Hiyo ndiyo maana ya usomi, facts.

  • @sss3s867
    @sss3s867 5 лет назад +15

    Huyo ni prf - Assad-. Kwetu tafsiri ya Assad ni (SIMBA)

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 5 лет назад +3

    Nakuunga mkono sana mkaguzi clg hongera sana tena sana nimekufaham

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 3 года назад

    👍

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 3 года назад

    heshma ako haitakufa daima

  • @hamisisilimu1245
    @hamisisilimu1245 5 лет назад +13

    Usieleze kila kitu bb hii nchi ya Wapumbavu

  • @kaizarkichenge3275
    @kaizarkichenge3275 5 лет назад +3

    Ukweli siraha tosha

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 5 лет назад +8

    mzeeee akili mingi sanaaaaaaa wew

  • @mrmathias5823
    @mrmathias5823 4 года назад +1

    few explaination heavy weight message.

  • @imanimfuruki9040
    @imanimfuruki9040 4 года назад

    Well said prof

  • @almatrashid1812
    @almatrashid1812 5 лет назад +4

    Nikiwa mkubwa nataka kuwa CAG

  • @madulustudio6794
    @madulustudio6794 5 лет назад

    Namukubali sana huyu mzee

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 4 года назад

    Ni nchi pekee duniani isyopenda watu welevu. Wanaojua mambo. Dunia nzima!

  • @monicamwanjisi693
    @monicamwanjisi693 5 лет назад

    Uko sahihi sana

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 4 года назад +6

    Mazungumzo haya yamemgusa Magufuli pabaya na ndio akajua siku itafika November 4 2019 ATAMTENGUA PRO ASSAD KAMA CAG NA KUWEKA KIBARAKA ATAKAE MSIKIZA ATAKAVYO MUELEKEZA !!!

  • @brunomeshaki3401
    @brunomeshaki3401 4 года назад

    Mfanyakazi mzuli niyule anaye kumbukwa apoacha kazi nakukumbuka sana mzee wangu

  • @revocatusmanyama8621
    @revocatusmanyama8621 5 лет назад

    Fact

  • @kokombwana5865
    @kokombwana5865 5 лет назад

    He is very strong person

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 5 лет назад +2

    Hivi nimewahi kusikia watu wanasema Lipumbafu aliyepewa kikundi cha Cuf ni nani?????

  • @lightnesssomi6961
    @lightnesssomi6961 5 лет назад +6

    Auwezi mlinganisha huyu mtu na jobu ndungai ata sikumoja

  • @danielurassa2762
    @danielurassa2762 5 лет назад +2

    Wakiambiwa wawaachie nchi werevu kama hawa hawataki

  • @sebastianjoseph8579
    @sebastianjoseph8579 4 года назад +1

    Comments zenu ndugu zangu zimenifanya nijue watz tunakua kifkra sasa na ni kwe prof Assad ni msomi wa kuigwa

  • @bakarikikwaruto6248
    @bakarikikwaruto6248 5 лет назад +3

    kweli kabisa ndiyo maana kila kiongozi anajifanya anamaamuzi makubwa kuliko taasisi anayoiaimamaia

  • @sk-wj9or
    @sk-wj9or 5 лет назад +1

    Massage send!

  • @boyseleman658
    @boyseleman658 5 лет назад

    We mzee unakili sana kama baba yangu

  • @giftyjohn3852
    @giftyjohn3852 4 года назад

    Mzee yuko na maalifa sana

  • @lydiathadeous6644
    @lydiathadeous6644 5 лет назад +3

    THE CAG PRO ASSAD 🙌🏾

  • @innocentkimata7274
    @innocentkimata7274 5 лет назад +4

    Tanzania tuna Strong personalities kuliko strong institutions ndo kina ndugai hao wanajifanya wana nguvu kuliko taasisi yenyewe mfano bunge

  • @victormneney8236
    @victormneney8236 4 года назад +1

    Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania

    • @siskasulu2913
      @siskasulu2913 4 года назад

      Unadhani mafisi wanaweza kukubali agombee??

  • @williamkitengai3608
    @williamkitengai3608 5 лет назад

    Kweli kabisa

  • @abaskisongo5439
    @abaskisongo5439 4 года назад

    Assad ni kiongozi wa viongozi! Prof

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 4 года назад

    Assad nakukubali

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 5 лет назад

    Jembe

  • @joelmakeci
    @joelmakeci 5 лет назад

    Nimeelewa

  • @alikirobo141
    @alikirobo141 5 лет назад +1

    haswaaa umenena kweli

  • @drimazonechoice9822
    @drimazonechoice9822 5 лет назад +1

    Ulipo teuliwa maneno meengi yalisemwa kukudhihak na kusem kiatu ulicho pewa ni kikubwa si size yako wengine wakaenda mbali kua umegeuza ofisi yako ni msikiti udin haukuwaaacha leo hao hao wanakuona ww ni almas basi sawa sie ndo wa Tanzania sijui kam Gwajima anakumbuka alichosem kuhusu huyu CAG wa Tz

  • @zakaboy1305
    @zakaboy1305 5 лет назад +3

    msomi ni msomi tuu

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall5029 5 лет назад +1

    Hawa ndio watu wa kupewa uongizi wa nchi sio wale wapiga pushap busara zake tu zinajipambanua

  • @lucasmanyama2892
    @lucasmanyama2892 4 года назад

    Pro Assad elimu yako uliyo ipata darasani hakika unai practice katika mawaidha yenye busara Sana. much respect to you

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 5 лет назад

    Ur proof for sure

  • @rugijofrey3685
    @rugijofrey3685 5 лет назад

    Tunu ya taifa

  • @iddyally3342
    @iddyally3342 4 года назад

    Kweli kabisa prof mana kila raisi anakuja na Sera zake ikisha miaka yke anaondoka lkn taasis znaendelea na majukumu yke kla sku

  • @khaityzahoro6094
    @khaityzahoro6094 4 года назад

    Tupetupe mavitu mzee baba

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 2 года назад

    Ebwana watanzania tunao ma prof akiwa na huyu mzee muim tumtumie kwenye kuifanya inji yetu kuwa matajiri nauchumi mzuri yafaa awe Raid after mama Samoa,

  • @emmanuelmwanshuli142
    @emmanuelmwanshuli142 5 лет назад +1

    Huyu jamaa nikichwa hatali

  • @hanifasalim1821
    @hanifasalim1821 4 года назад

    Professor anajulikana jamani Watanzania cw na aliyesoma piya anajulikana hajifichi mwenye elimu na tapeli anajulikana Lipumbavu tukisema si professor mlikuwa mnatuona waongo jeeee mmeona au mmemuona professor na mtu mwenye elimu na upeo

  • @jumangwele4248
    @jumangwele4248 5 лет назад

    Hakika hii ni azina y taifa

  • @fedelischengula7891
    @fedelischengula7891 5 лет назад +2

    nikweli kabisa na mm nakuunga mkono

  • @khamisfeysal1122
    @khamisfeysal1122 4 года назад

    Bwana mussa j Asaad anajuwa vzri kuitumia elimu yake maana unaweza kuwa na helimu ukawa mpumbavu tulio saudia Arabia tujuwane hapa +966537824849imo only

  • @gilbrtmaganga5471
    @gilbrtmaganga5471 5 лет назад

    Kweli huyu msomi anaejitambuwa asiye kuwa Na tamaa

  • @lawrencebundala5769
    @lawrencebundala5769 4 года назад

    Anafaa kuwa prezda

  • @georgemlonda4174
    @georgemlonda4174 5 лет назад +5

    uyu BAbA anafaa kuwa rais Yani ni smart tolking czani atawatoto wake wakifanya makosa anaweza kuwaambia atawapga ad Mama zao watapantwa na uchungu wa matumbo ya uzazi kikubwa din imemfanya kuish ktk utimlifu na kuwa mwaminfu namuomba tu rais wetu na baba yetu rais wa wanyonge mtetez wa wanyonge awasuruhishe AWA Kama alivyo tatua tatzo la kikokotoa na korosho

    • @aliseifkarim1705
      @aliseifkarim1705 5 лет назад

      Hata wewe broo uslimu maana hp duniani kila kitu kipo ktk Qur'an

  • @tezuratezura8452
    @tezuratezura8452 5 лет назад +3

    Kiukweli waislam tuko juu kiuongozi kubalinituu kwan hata jakaya na alowateua siomchezo

    • @magzeeee
      @magzeeee 5 лет назад

      Ni aibu sanaaaa ulichosema..dini inaingiaje kwenye swala la utaifa?!..you should be ashamed of yourself

    • @picdotstudio4785
      @picdotstudio4785 5 лет назад

      We jamaa bwana karne ya leo bado tu unaleta mambo ya udini...acha kuleta matabaka

    • @evarestjoseph8755
      @evarestjoseph8755 4 года назад

      Acha udini sema maneno yenye busara uislamu unakagua hesabu vip wewe

    • @brunomeshaki3401
      @brunomeshaki3401 4 года назад

      Mfanyakazi mzuli niyule anaekumbukwa asa akitoka nakukumbuka sana mzee wangu

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 5 лет назад

    Strong institutions are composed with strong human resources.
    You have to know that mr Prof.
    Taasisi sio nyumba , kompyuta au meza ni watu ...hivyo kuwa na taasisi imara inategemea kuwa na watu imara. Ndugu professor ujue hilo pia

    • @hamisikabwe3980
      @hamisikabwe3980 5 лет назад

      Sasa hapo umekumbusha nini na yeye kaongea nini,sikiliza tena vzr kama hukumuelewa CAG.

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 5 лет назад

      Hahaha hata nyie Pugu Secondary mnamkosoa!!!!!! Makubwa..

  • @101_Didas
    @101_Didas 5 лет назад

    kwa nn huyu asiwe raisi? kwan shingap

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 4 года назад

    huyu mzee anaitendea haki elimu yake.

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 4 года назад

    Nyie mnaosema awe rais mnamvunjia sana heshima siasa mchezo mchafu sana si mnamwona yule profesa mwenzake yule mchumi namna alivyo kigeugeu kama vile hakusoma nawaomba sana mstake asad na yeye aingie kwenye siasa aanze kudhalilisha taluuma yake heshima aliyonayo inamtosha

  • @manfredymahinya9511
    @manfredymahinya9511 5 лет назад

    Unamuoji mtu mwenye akili

  • @barakamfugale1049
    @barakamfugale1049 4 года назад +2

    Doo cyo cjui prf lipuuuu
    Huyu ni professor kichwa na cyo mkia.

  • @Linkmycommunity
    @Linkmycommunity 5 лет назад

    After magufuli ,,,,, hapa ni juma asad na majaliwa

  • @stanleymavurastanleymavura9295
    @stanleymavurastanleymavura9295 5 лет назад +2

    Ndio maana wanaukubeza maana wewe unajua kuliko wao

  • @samirsalum5186
    @samirsalum5186 4 года назад

    kumrudisha mpenzi siku 3:peteyabahati:0658535229

  • @helenamapunda5848
    @helenamapunda5848 5 лет назад +2

    Umeutendea haki uprofesa wako

  • @erickkinisa592
    @erickkinisa592 4 года назад

    Yani ukimsikiliza uyu msomi Kama na wewe syo msomi kidogo uelewi kitu

  • @harakatihuru0277
    @harakatihuru0277 4 года назад

    Strong institutions gani isio na strong leadership's foolishness Prof tatizo mirija imekatwa na sio strong institutions acha kudanganya mazwazwa ofisi yako Ni chafu

    • @maulidmnukwa3171
      @maulidmnukwa3171 4 года назад

      Hebu zingatia maelezo tuna viongozi wazuri wenye ushawishi bt tatizo ni kiwa wakiondoka matokeo yake watakaofuata wanakuwa wakawaida mno na matokeo yake wanasababisha mambo yanalala lkn strong institution ndio bora maana ni system so inaweza kumshep alie strong na aliye week. Tumia akili kama mtu aliyekaa darasani

    • @saidmatola8015
      @saidmatola8015 4 года назад

      Viongozi wanabadilika lakini system aibadiliki wewe ndezi, shida umezoea vya ubweto. Ndio maana wayumbishwa kama mnazi kwenye upepo.
      Asaaad hoyeeeee.......

    • @emanuelmashenene8980
      @emanuelmashenene8980 4 года назад

      Alichomaanisha kila mamlaka husika ifanye kazi yake na ndio maana katolea mfano kwa trump amekua akifanya maamuz ya ajabu katika nchi yake lkn kutokana na taasis na mifumo likiwemo bunge vina mkatalia hvyo mambo yanaendelea kuwa sawa

  • @onesmometili3594
    @onesmometili3594 5 лет назад

    Taasisi zilikuwa wezi, kuongozi asipokuwa strong hawezi kuzidhibiti. Mfano awamu iliyopita.

    • @ramadhanimussa882
      @ramadhanimussa882 5 лет назад

      Kaka upo Sawa ila nadhani Prof Hasadi Amesimamia ktk Kuzijengea Uimara Taasisi Zetu Kwanza Kabla Hatujapata Wasimamizi Imara na Hajakataa Kuwa Na Wasimamizi Wenye Uimara na Uweledi maana Hao nao ni Muhimu Mno

    • @ramadhanimussa882
      @ramadhanimussa882 5 лет назад +2

      @Twiga Mbunda
      Maoni Mazuri Mno ila wakati ulipokuwa Unaandika Ulijawa Na Hasira Mno Mpaka Ukapoteza Nukta zako Muhimu jitahidi Kudhibiti Hasira Unapokuwa Unataka Kutuelimisha Maana Kila Maoni Yenye Hekima ni Elimu Kwa Wengine na Kumbuka Siku Zote Akili yenye Hasira hua Haina Kitu

    • @sss3s867
      @sss3s867 5 лет назад

      Awamu iliopita ilikuwa personal strong onstution. Na sasa tunataka strong onst..... Badala ya?

    • @ezekielmbise7585
      @ezekielmbise7585 5 лет назад

      CAG hata mbunge likimpinga hakika wananchi tusikubaliane na hayo... wakitaka wabunge wa ccm tuwatose kwenye uchaguzi mkuu... wampambane na msema kweli tuone

    • @obedmwandolela7119
      @obedmwandolela7119 4 года назад

      Hakika wewe ninmsomi Hakuna hapa tanzania

  • @mwampikamelkzedek7817
    @mwampikamelkzedek7817 5 лет назад

    Anafanana na mkapa

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 4 года назад

    Wanaomsifia asad ndio watatakso msifia magu aliondoka madarakani akaja mwingine.nikawaida marehem kusifiwa

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 5 лет назад +24

    Mtu kama huyu ndio anafaa hata nafasi ya Uraisi

  • @iddyally3342
    @iddyally3342 4 года назад

    Kweli kabisa prof mana kila raisi anakuja na Sera zake ikisha miaka yke anaondoka lkn taasis znaendelea na majukumu yke kla sku

  • @khamisfeysal1122
    @khamisfeysal1122 4 года назад

    Bwana mussa j Asaad anajuwa vzri kuitumia elimu yake maana unaweza kuwa na elimu ukawa mpumbavu tulio saudia Arabia tujuwane hapa +966537824849imo only