Tuna viongozi wenye nguvu zaidi kuliko taasisi zetu
HTML-код
- Опубликовано: 22 июл 2018
- Akizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Prof Mussa Juma Assad amesema, kuwa utekelezaji wa malengo ya maendeleo andelevu SDG's nchini Tanzania utategemea uimarishwaji wa taasisi katika taifa kuliko kuwa viongozi wenye nguvu.
Nimesoma kitu hapa tayari .... Best proffesor
Twahir Khalid Ali
One of the best leaders in the world, Prof. Mussa Juma Assad.
Umemaliza baba
Mungu akulinde Prof. Assad
Up salute Mzee masha Allah uko vizuri picha linaanza hufagili mbofumbofu you are konk master!!!
Hongera CAG uko vzr sana
Best and strong speech!! Respect to you Asad!
Kaburu P.W Botha aliwahi kusema kwamba Karunguyeye si sawa na Nungungu hata kama wote wanamishale mwilini. Kwa statement safi kama hiyo yenye mashiko, anaweza asieleweke na baadhi yatu hadi aitwe kwenye mahojiano.!
Mtu kama huyu ndio anafaa hata nafasi ya Uraisi
Prof. Assad nikupongeze sana kwa maneno yako yanayoakisi usomi na hekima ambayo Mungu kakupa, ni kweli Taifa letu halina strong Institution tukubali tusikubali, bali tuna strong Individuals ambao wanapita tu katika nyadhifa na baada ya hapo anakuja kiongozi mwingine naye anakuwa na falsafa yake.
Ubarikiwe , watu smart tunashindwa kuwapata sababu ya siasa za hovyo
Huyu ndie professa pekee kwa tz anapoongea unajua ni profesa, sio wale maprofesa wa uwongo kilna Lipumbumba
Prof kapuya prof kabudi prof lipumba
Watoto wa huyu baba wanaraha sio kifedha lahasha busara na akili nying
Johnson Marick mimi nakaa nao mtaammoja huwezi amini alimuozesha mwanae kwamtu hohehahe yaani achaniishie hapa
Johnson Marick mkuu tatzo uyu anabusara Sana nais hata din anajua
Ni kweli Prof. anachosema na ninamuunga mkono. Lakini nimejaribu kufikiria kwa kina impacts ya strong institutions kipindi cha mzee jakaya sijaona faida zake zaidi ya uwizi ufisadi na nk, Me naona mfumo wa strong personalities ni mzuri zaidi. Tunaheshimiana zaidi. Mawazo yangu tu.
Mshukuru Mungu kwa kila jambo
Ama kweli we msomi huna muda wa kubishana na mjinga, hongera sana na wanampango wakukuweka kando achana nao maana hawataki kukutumia kea manufaa ya taifa.
kama kunamtu hamuelewi pro asadi anahitaji maombi
Nadhani makofi pia
jamani Nchi hii kuna watu wanashule hadi aibu Hongera cag
Huyu mzee anafaa sana kuwa raisi wa nchi
Great
Huyu Jamaa ana Akili na ufahamu Mingi sanaa....
Daaah unaniispire sana
Akili kama zote
Yan hata yy Mwenye yupo vzuri sana
Mashaallah.
Allah(sw)akusimamie ktk kutekeleza majukumu yako
Duu mzee unaona mbali sanaa
Uyu mzee alikua wapi siku zote jamani. Hongela sana mueshimiwa magu kwa kumchagua kiongozi mwenye upeo kama uyu pro, Asady Mungu akusimamie baba
Aliteuliwa na KIKWETE NOV 2014 na wala sio MAGUFULI na wala hawezi KUMTUMBUA hadi 2021 pale atakapofikisha miaka 60
ukwer unauma hongera mkaguz
Hiyo ndiyo maana ya usomi, facts.
Huyo ni prf - Assad-. Kwetu tafsiri ya Assad ni (SIMBA)
Nakuunga mkono sana mkaguzi clg hongera sana tena sana nimekufaham
👍
heshma ako haitakufa daima
Usieleze kila kitu bb hii nchi ya Wapumbavu
Kasoro mm sio mpumbavu.
Kweli kabsa
@@simonmanyelezi628 ha ha ha haaaa
Ukweli siraha tosha
mzeeee akili mingi sanaaaaaaa wew
few explaination heavy weight message.
Well said prof
Nikiwa mkubwa nataka kuwa CAG
Namukubali sana huyu mzee
Ni nchi pekee duniani isyopenda watu welevu. Wanaojua mambo. Dunia nzima!
Uko sahihi sana
Mazungumzo haya yamemgusa Magufuli pabaya na ndio akajua siku itafika November 4 2019 ATAMTENGUA PRO ASSAD KAMA CAG NA KUWEKA KIBARAKA ATAKAE MSIKIZA ATAKAVYO MUELEKEZA !!!
Mfanyakazi mzuli niyule anaye kumbukwa apoacha kazi nakukumbuka sana mzee wangu
Fact
He is very strong person
Hivi nimewahi kusikia watu wanasema Lipumbafu aliyepewa kikundi cha Cuf ni nani?????
Auwezi mlinganisha huyu mtu na jobu ndungai ata sikumoja
Wakiambiwa wawaachie nchi werevu kama hawa hawataki
Comments zenu ndugu zangu zimenifanya nijue watz tunakua kifkra sasa na ni kwe prof Assad ni msomi wa kuigwa
kweli kabisa ndiyo maana kila kiongozi anajifanya anamaamuzi makubwa kuliko taasisi anayoiaimamaia
Massage send!
Nataman niuwe kama wewe
We mzee unakili sana kama baba yangu
Mzee yuko na maalifa sana
THE CAG PRO ASSAD 🙌🏾
Tanzania tuna Strong personalities kuliko strong institutions ndo kina ndugai hao wanajifanya wana nguvu kuliko taasisi yenyewe mfano bunge
Anafaa kuwa Raisi wa Tanzania
Unadhani mafisi wanaweza kukubali agombee??
Kweli kabisa
Assad ni kiongozi wa viongozi! Prof
Assad nakukubali
Jembe
Nimeelewa
haswaaa umenena kweli
Ulipo teuliwa maneno meengi yalisemwa kukudhihak na kusem kiatu ulicho pewa ni kikubwa si size yako wengine wakaenda mbali kua umegeuza ofisi yako ni msikiti udin haukuwaaacha leo hao hao wanakuona ww ni almas basi sawa sie ndo wa Tanzania sijui kam Gwajima anakumbuka alichosem kuhusu huyu CAG wa Tz
msomi ni msomi tuu
Hawa ndio watu wa kupewa uongizi wa nchi sio wale wapiga pushap busara zake tu zinajipambanua
Emmanuel Ayall ò
Pro Assad elimu yako uliyo ipata darasani hakika unai practice katika mawaidha yenye busara Sana. much respect to you
Ur proof for sure
Tunu ya taifa
Kweli kabisa prof mana kila raisi anakuja na Sera zake ikisha miaka yke anaondoka lkn taasis znaendelea na majukumu yke kla sku
Tupetupe mavitu mzee baba
Ebwana watanzania tunao ma prof akiwa na huyu mzee muim tumtumie kwenye kuifanya inji yetu kuwa matajiri nauchumi mzuri yafaa awe Raid after mama Samoa,
Huyu jamaa nikichwa hatali
Professor anajulikana jamani Watanzania cw na aliyesoma piya anajulikana hajifichi mwenye elimu na tapeli anajulikana Lipumbavu tukisema si professor mlikuwa mnatuona waongo jeeee mmeona au mmemuona professor na mtu mwenye elimu na upeo
Hakika hii ni azina y taifa
nikweli kabisa na mm nakuunga mkono
Bwana mussa j Asaad anajuwa vzri kuitumia elimu yake maana unaweza kuwa na helimu ukawa mpumbavu tulio saudia Arabia tujuwane hapa +966537824849imo only
Kweli huyu msomi anaejitambuwa asiye kuwa Na tamaa
Anafaa kuwa prezda
uyu BAbA anafaa kuwa rais Yani ni smart tolking czani atawatoto wake wakifanya makosa anaweza kuwaambia atawapga ad Mama zao watapantwa na uchungu wa matumbo ya uzazi kikubwa din imemfanya kuish ktk utimlifu na kuwa mwaminfu namuomba tu rais wetu na baba yetu rais wa wanyonge mtetez wa wanyonge awasuruhishe AWA Kama alivyo tatua tatzo la kikokotoa na korosho
Hata wewe broo uslimu maana hp duniani kila kitu kipo ktk Qur'an
Kiukweli waislam tuko juu kiuongozi kubalinituu kwan hata jakaya na alowateua siomchezo
Ni aibu sanaaaa ulichosema..dini inaingiaje kwenye swala la utaifa?!..you should be ashamed of yourself
We jamaa bwana karne ya leo bado tu unaleta mambo ya udini...acha kuleta matabaka
Acha udini sema maneno yenye busara uislamu unakagua hesabu vip wewe
Mfanyakazi mzuli niyule anaekumbukwa asa akitoka nakukumbuka sana mzee wangu
Strong institutions are composed with strong human resources.
You have to know that mr Prof.
Taasisi sio nyumba , kompyuta au meza ni watu ...hivyo kuwa na taasisi imara inategemea kuwa na watu imara. Ndugu professor ujue hilo pia
Sasa hapo umekumbusha nini na yeye kaongea nini,sikiliza tena vzr kama hukumuelewa CAG.
Hahaha hata nyie Pugu Secondary mnamkosoa!!!!!! Makubwa..
kwa nn huyu asiwe raisi? kwan shingap
huyu mzee anaitendea haki elimu yake.
Nyie mnaosema awe rais mnamvunjia sana heshima siasa mchezo mchafu sana si mnamwona yule profesa mwenzake yule mchumi namna alivyo kigeugeu kama vile hakusoma nawaomba sana mstake asad na yeye aingie kwenye siasa aanze kudhalilisha taluuma yake heshima aliyonayo inamtosha
Unamuoji mtu mwenye akili
Doo cyo cjui prf lipuuuu
Huyu ni professor kichwa na cyo mkia.
After magufuli ,,,,, hapa ni juma asad na majaliwa
bright genius magufuli hapo hamna hewa kabisa
Ndio maana wanaukubeza maana wewe unajua kuliko wao
kumrudisha mpenzi siku 3:peteyabahati:0658535229
Umeutendea haki uprofesa wako
Yani ukimsikiliza uyu msomi Kama na wewe syo msomi kidogo uelewi kitu
Strong institutions gani isio na strong leadership's foolishness Prof tatizo mirija imekatwa na sio strong institutions acha kudanganya mazwazwa ofisi yako Ni chafu
Hebu zingatia maelezo tuna viongozi wazuri wenye ushawishi bt tatizo ni kiwa wakiondoka matokeo yake watakaofuata wanakuwa wakawaida mno na matokeo yake wanasababisha mambo yanalala lkn strong institution ndio bora maana ni system so inaweza kumshep alie strong na aliye week. Tumia akili kama mtu aliyekaa darasani
Viongozi wanabadilika lakini system aibadiliki wewe ndezi, shida umezoea vya ubweto. Ndio maana wayumbishwa kama mnazi kwenye upepo.
Asaaad hoyeeeee.......
Alichomaanisha kila mamlaka husika ifanye kazi yake na ndio maana katolea mfano kwa trump amekua akifanya maamuz ya ajabu katika nchi yake lkn kutokana na taasis na mifumo likiwemo bunge vina mkatalia hvyo mambo yanaendelea kuwa sawa
Taasisi zilikuwa wezi, kuongozi asipokuwa strong hawezi kuzidhibiti. Mfano awamu iliyopita.
Kaka upo Sawa ila nadhani Prof Hasadi Amesimamia ktk Kuzijengea Uimara Taasisi Zetu Kwanza Kabla Hatujapata Wasimamizi Imara na Hajakataa Kuwa Na Wasimamizi Wenye Uimara na Uweledi maana Hao nao ni Muhimu Mno
@Twiga Mbunda
Maoni Mazuri Mno ila wakati ulipokuwa Unaandika Ulijawa Na Hasira Mno Mpaka Ukapoteza Nukta zako Muhimu jitahidi Kudhibiti Hasira Unapokuwa Unataka Kutuelimisha Maana Kila Maoni Yenye Hekima ni Elimu Kwa Wengine na Kumbuka Siku Zote Akili yenye Hasira hua Haina Kitu
Awamu iliopita ilikuwa personal strong onstution. Na sasa tunataka strong onst..... Badala ya?
CAG hata mbunge likimpinga hakika wananchi tusikubaliane na hayo... wakitaka wabunge wa ccm tuwatose kwenye uchaguzi mkuu... wampambane na msema kweli tuone
Hakika wewe ninmsomi Hakuna hapa tanzania
Anafanana na mkapa
Wanaomsifia asad ndio watatakso msifia magu aliondoka madarakani akaja mwingine.nikawaida marehem kusifiwa
Mtu kama huyu ndio anafaa hata nafasi ya Uraisi
Facy
Huwa wanabadilika
Kweli kabisa prof mana kila raisi anakuja na Sera zake ikisha miaka yke anaondoka lkn taasis znaendelea na majukumu yke kla sku
Bwana mussa j Asaad anajuwa vzri kuitumia elimu yake maana unaweza kuwa na elimu ukawa mpumbavu tulio saudia Arabia tujuwane hapa +966537824849imo only