#DIRA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 303

  • @jerryjanuary4198
    @jerryjanuary4198 Год назад +10

    Well understood Prof.that is international Investment Law

  • @irenealma6523
    @irenealma6523 Год назад +4

    Hongera sana margreth Itala
    Big up chanel 10 Kwa kipindi kizuri
    Tunahitaji vitu lishe kama hivi❤

    • @tukuyufm
      @tukuyufm Год назад +1

      pongezi sana dada

  • @yahyachande3009
    @yahyachande3009 Год назад +6

    Hongera Sana mzee Assadi nakuombea mungu akujaalie Afya njema na umri mreefu mzee wetu mzarendo wa taifa letu la Tanzania nakuombea kwa mola akupe nafasi uje uwe Rais wa nchi yetu

  • @universitylink
    @universitylink Год назад +6

    You have spoken well Prophessor may God Almighty increases your knowledge, health, age and wisdom so we can still benefit from you

  • @Ibnimohd-tr6qc
    @Ibnimohd-tr6qc Год назад

    Amaizing Pr Assad

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Год назад +3

    Asante Profesa....Matatizo ni hii serikali ya CCM ya Mh. Rais Samia imejaa WALA RUSHWA NA MAFISADI.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Год назад

      Dhana hiyo

    • @MwantumNdauga
      @MwantumNdauga Год назад +1

      Tibaijuka anachefua angekaa kimya enzi zake za pesa za nyanya kasahau?Asikilize NONDO za prof mwenzie

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 18 дней назад

      Yeye je? Hao wala rushwa na mafisadi hajawaona? Kwa taarifa yako, Kwa mfumo tulio nao ni kwamba: 1. UKIYAONA MAZURI YASMIN HAKI, MAEBDELEO NAMENGINE KWENYE NCHI NI YA RAIS NI KWAMBA ANAHUSIKA, NA 2. UKIYAONA MABAYA UWIZI, RUSHWA NA UFISADI MWINGINE PIA NI YA RAIS ANAHUSIKA!!! HAWEZI KUKWEPA LAEAMA AU SIFA NJEMA.

  • @joyceitala3303
    @joyceitala3303 Год назад +4

    Hongera professor nimekuelewa .hongera chanel ten kwa kazi nzuri@margreth Itala

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Год назад +3

    We mtangazaji na we Mzee Assad kwenye swala la bandari tatizo ni ubovu wa mkataba

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Год назад

      UMESHINDWA KUMWELEWA...RUDIA TENA KUMSIKILIZA PRF NAAMINI UTAELEWA

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 Год назад +5

    Yaanii Mama Rais wetu kwanini huyu baba asiwe mshauri wako ,kwanza ana hofu na Mungu kama wewe Mama

  • @feiz3180
    @feiz3180 Год назад

    Asante Prof. Assad. Tatizo Tanzania umelitaja vizuri sana. Dhana na fikra potofu zinatuumiza.

  • @mohammedamour4930
    @mohammedamour4930 Год назад +1

    Assad umeongea point tupu FUNDI WA BAISKELI HUWEZI KUMPA AFUNGE ENGINE YA GARI

  • @mkude
    @mkude Год назад +2

    Simba akinguruma pori nzima linatulia,ubarikiwe sanaaa professor

    • @robinsonrespicius2713
      @robinsonrespicius2713 Год назад

      SIMBA WA TERANGA AU SIMBA GANI , MNAJITEKENYA NA KUCHEKA WENYEWE HAIUZWI WALA KUKODISHWA BANDAR YETU NIMEKAA PALE

  • @cpabonnychris6315
    @cpabonnychris6315 Год назад +8

    Well Said Professor!!

    • @knight6757
      @knight6757 Год назад

      Very well said may AL-MIGHTY GOD BLESS YOU ALWAYS AMEEN! 🤲

  • @swafiirbulbul819
    @swafiirbulbul819 Год назад +2

    My Prof. Mussa Juma Asad ❤

  • @ghalibunassornassor7249
    @ghalibunassornassor7249 Год назад +1

    Mashallah mola akupe maisha marefu na afya tele

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 Год назад +5

    Prof. uko sawa na umeeleweka. Hili jambo linapotoshwa na baadhi ya watu kwa sababu wameamua kuchagua upande fulani. Kuna watu tena wengine wasomi wanapotosha kwa makusudi. Kwanza wana dhana potofu kuwa kuna rushwa ndani ya hili jambo. Hawana ushahidi. Pili wanaangalia mifano michache ya migogoro kati ya DPWORLD na host countries na kuitumia kama kigezo cha kuogopesha watanzania. Kwanini wasiangalie sehemu ambazo DPWorld amewekeza na hakuna mgogoro. Nilifanikiwa kuona a similar IGA kwenye Google nikaona jinsi walivyoeleza kuhusu ukomo, kwamba utatokana ukomo wa HGA.

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Год назад +1

    Safi Sana professor Asad kwa Kweli Imenifanya nimkubali sana Mama Samia na Niichukie Chadema na kina lissu kwa Upotoshaji Piga kazi Mama Samia

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 Год назад +1

    Channel TEN!!!
    HONGERENI KWA KAZI NZURI.
    Asanteni Sana!.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Год назад +2

    Alhajj Prof Mussa Juma Assaad❤

  • @PhilipPhanuel
    @PhilipPhanuel 14 дней назад

    Hiyo ni mashine sana. Hata chuo kikuu UDSM alikuwa ni mtu very committed na makini

  • @hamzamwaya463
    @hamzamwaya463 Год назад +6

    Safi sana kwa elimu pana, waliobahatika kuwa na ubongo salama tumekuelwa

  • @irenealma6523
    @irenealma6523 Год назад +1

    Well done 👍✅

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Год назад +1

    Huyu jamaa inatakiwa ndiyo awe waziri wa fedha
    Hello Samia muondoe huyo mwigulu umuweke Prof. Assad awe waziri wa fedha atataka sana na nchi yetu itaendelea na watu wake watapata faida na hali ya uchumi itakuwa nzuri kwa kila mtanzania

  • @omarilugendo8663
    @omarilugendo8663 Год назад

    Mambo ambayo hatuna
    1. Mifumo na tekinolijia
    2. Watendaji hasa level ya Kati na Juu
    3. Mitaji ya uwekezaji
    Nadhani haya sote tunakubaliana lakini nadhani ni muhimu pia kujiwekea roadmap ni lini hasa tutakuwa navyo hivyo vyote na sustainability yake hata kama muwekezaji atakuja lazima Kuwe na skill set na knowledge transfer ili tujiwekee uwezo huo walionao wenzetu. Ni muhimu Index 3 zikafanyiwa tafiti na kuwekewa Mwelekeo:
    1. Proffessional development Index
    2. Competence Index
    3. Leadership Index
    Hizi ziwepo katika maeneo nyeti ya Nchi.

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl Год назад +6

    Hapa Huyu Prof anakosea sana. Anamung'unya Maneno kuhusu mkataba. Ina maana watu kama Prof Issa Shvuji anatoa mawazo yake akijikita ktk dhana mbaya!! Na hao wataalamu wa uwekezaji wako wapi wakati moradi mibovu ya madini, gesi na mafuta ikisainiwa na kupitishwa!!

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 Год назад

      Na wewe ni kati ya wale wasio na ujuuzi ktk " Investment Law"

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 Год назад

      Unahitaji kuwa na degree ili kumfahamu professor ikiwa ni kilaza basi pole

    • @drimaz2692
      @drimaz2692 Год назад

      angalia elim yako kwanza umechagua upande tulia huko

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 Год назад

    Asante professor nimejifunza mengi kwenye hichi kipindi

  • @NubiClement-hq6ol
    @NubiClement-hq6ol Год назад

    Waswahili wanasema kusoma sio mwisho wa ujinga elimu ni bahari

  • @saidmtenda1628
    @saidmtenda1628 Год назад

    Magufuli fired him because of this best analysis of economic principles

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Год назад +5

    shivji ni mtaalam wa sheria sasa si mchumi unatoa je?ufafanuzi juu ya jambo la kisheria?

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад

      NTANGASAJI HAPO NDO ALIBORONGA LOL

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Год назад +4

    Watu kama asadi hatakiwi serikalini maana ni mkweli mnoo atawumbua waongo alituambia bunge la ovyo hatukumuelewa.

  • @rosematabula8537
    @rosematabula8537 Год назад

    Aisee Hongera sana Profesa,binafsi nimekuelewa sana kiongozi.

  • @husseinibrahim2929
    @husseinibrahim2929 Год назад

    Huyu ndiye mwalimu wa uchumi si tanzania tuu bali Africa nzima anajua kuelimisha kwa lugha nyepesi kila mwananchi wa kawaida akafahamu.

  • @V24hrs
    @V24hrs Год назад

    HUNA BAYA Mkuu. Mungu akuweke mia IshaAllah

  • @azizabdallah585
    @azizabdallah585 Год назад +2

    ASANTE PROFESA ASSAD....LAKINI...LAKINI....WATANZANIA HAWAPINGI UWEKEZAJI....WANAPINGA MKATABA WENYEWE.

    • @africaonechannel1289
      @africaonechannel1289 Год назад

      Hivi alichosema Prof. Assad hamjaelewa au MULISHANOGEWA NA MJADALA WA BANDARI ktk Mitandao!??
      *HAYA Bandari Imeuzwa MJADALA UENDELEE😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад

      hapo kajikanyaga

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 Год назад

    WAZANZIBAR WANATAKA WATOTOSHE MALI ZA TANGANYIKA WAPEREKE DUBSI NA ZANZBAR

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Год назад

    Ireland the best country in the world

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p Год назад

    Mfahamishe lissu na mbowe lissu mwanasheria wa kesi za kuku mahakani walewapotoshaji

  • @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
    @PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp Год назад +2

    Serikali hamsikilizi maoni ya wananchi Bali mnasababisha udini hai wadini wapo Tanzania Wala hawanufaiki nakile mlicho kilenga nyie ila udini usio na maana ss niwatanzania tupambane kwajili ya tanzania

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Год назад +3

    Assad kwenye swala la bandari wewe unatoa mchango wako kiushabiki unaushabiki wa kumshabikia Samia

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Год назад

      Wewe nikichaaa hujui chochote mtu akisema ukweli Ati mshabiki!!!! Acheni ujinga mwachien mama afanye jukumu lake lakuongoza nchii...

    • @JRN2612
      @JRN2612 Год назад

      ​@@abuushakiraddausiy8666ni kweli, huyu ni kichaa kabisa😅

  • @kanoa645
    @kanoa645 Год назад

    Prof uko sahihi sana. Mtangazaji pia uko vizuri sana.

  • @angelusmhelela8142
    @angelusmhelela8142 Год назад +1

    Very good pro

  • @gulatonemasiga2827
    @gulatonemasiga2827 Год назад +4

    Umeeleweka profesa

  • @abeljames4043
    @abeljames4043 Год назад +1

    Acha ubabaishaji we mama mbona haujamuuliza kwanini hakuna kiasi Cha malipo Kwa mwaka tz inapata kiasi Gani?

  • @angelusmhelela8142
    @angelusmhelela8142 Год назад +1

    Gombea urasi profesa

  • @pendosamwel1682
    @pendosamwel1682 Год назад +1

    Mjadala huu ni kama nimzuri. But what it seems is not what it is. Uchumi na usalama wa nchi ni vitu viwili tofauti.

    • @popekatalango9409
      @popekatalango9409 Год назад +1

      usalama upi ndugu mbona walomaliza mkataba TICTS walikuwa ni wawekezaji ? lini huo usalama ulikosekana? jamani tuache kushikiwa akili zetu kwa upotoshaji

    • @mohammedsalim3315
      @mohammedsalim3315 Год назад

      Huu mjadala ni mzuri ,tatizo baadhi ya watu wamekaririshwa ujinga.

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Год назад +1

    Japo umepindisha lakini Kuna seemu umeongea ukweri,kimsingi mkataba unautata

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Год назад

    Kichwa

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 Год назад +7

    NAMWOMBA MAMA AMCHUKUE AWE MSHAULI WAKE KATIKA MAMBO YA UCHUMI,. HUYU BABA ANAVITU VYA KUISAIDIA TANZANIA YETU

    • @NassorTwahiru-kf8fo
      @NassorTwahiru-kf8fo Год назад

      Nchi hii watu wenye akili km hawa hawahitajik mzee wanahitajika vilaza kwa sbb wanajijua ni vilaza hivyo inabidi wawe machawa ili kulinda ajira zao ila mtu mwenye akili km huyu ana misimamo ss nchi hii watu hawa hawawataki

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 Год назад +3

    wataalamu wakati hata unaye mtetea anashangaa utaalamu wao ,kazi ni kuiba tu

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 Год назад +3

    Haiwezekani mkataba usiwe na ukomo, usipotoshe. Mwekezaji lazima pia afanye tathimini kabla ya kuwekeza hivyo ukomo ni lazima

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад +3

      HANA LOLOTE WATU TUNAONGELES NKATABA YEYE ANAONGELEA UWEKESAJI ;NDO WASO WETU HAO

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Год назад

      Wewe unataka ukomo uwe miaka mingapi

    • @saidimpako5186
      @saidimpako5186 Год назад

      Unataka ukomo wa miaka mingapi

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад

      @@saidimpako5186 mikataba huwa INA SPECIFIED TIME LIMIT.MNAJADILIANA,WEWE MWENYE MALI UNAMUWEKEA MDA ANAYETAKA KUPANGISHA,INAWEZA IKAWA MWAKA 1,5,20,30nk.Huo MDA UKIISHA,mnakaa TENA mezani,kama hapendi au HAPENDI KUINGIA MIKATABA mwingine,mnamalizana.Kama nyote mnataka kuendelea,mnaandikisha MKATABA MPYA.Mfano MZURI NI ukipangisha au ukipanga nyumba.mkataba wowote LAZIMA UWE NA KIKOMO.

  • @istambulahmed6664
    @istambulahmed6664 Год назад

    Tunashukuru sana profesa kwa kutuzidua sisi tunaowasikiliza wasiofahamu ukweli wa mambo, tunashukuru sana tena sana, hakuna ugonjwa mbaya kama asiyejua kudai anajua na kuwapoteza watu, kama kina lisu na wengineo.... tunaomba ufanye mikutano mikubwa ili uuzindza umma uliojeruhiwa na wapotoshaji.

  • @user-th7kr4hl8h
    @user-th7kr4hl8h Год назад

    Safisana

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 Год назад +2

    Uyu anafaa kuwa waziri wa fedha

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Год назад

    Pale Magwiji wanapopingana tumuogope Mungu tusitazame nyazfa !

  • @gasparkamiliusbutama6487
    @gasparkamiliusbutama6487 Год назад

    Kuna shida kubwa pro. Shivji, prof. Anna Tibaijuka na prof. Asad nani yupo sahihi

  • @williamkavavila608
    @williamkavavila608 Год назад +3

    Mmh! tunazidi kupigwa na kitu kizito....watz tuamke!

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Год назад

      Elimu yako ni ndogo sana ili uamke nenda shule
      Kama hujaelewa hapa hutokaa ukaelewa mpk usome..
      darasa la nne uliekimbia shule huwezi elewa mambo ya vyuo vikuu ya uwekezaji

  • @robinsonrespicius2713
    @robinsonrespicius2713 Год назад

    WAJINGA NDIO WALIWAO HATA AJE MWAMPOSA KUUPAMBA HUU MKATABA HAUPAMBIKI KWANINI MNAJITEMBEZA SANA HAMJUI KIZURI CHAJIUZA NA KIBAYA CHAJITEMBEZA POLE TUMESHASANUKA

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +4

    CHADEMA HOYE KWA KUPOTOSHA WANANCHI NA MAWAKILI UCHWARA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿LISU&MBOWE HAWANA HOJA NA HAWAJUI MAMBO YA UWEKEZAJI 🥵🥵🥵🥵🥵🥵

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Год назад

      mashoga na mashehe machoko yanayoabudu warabu nendeni mkafilwe dpworld machoko.

    • @magufulitv
      @magufulitv Год назад

      your vision

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Год назад

      @@emmapaul1766 WEWE NJAA INAKUSUMBUA MGALATIA UCHWARA NENDA KALIE KANISANI 🥵🥵🥵🥵🥵🥵

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Год назад

      MAASKOFU uchwara na ze comed chadema oyeee

    • @africaonechannel1289
      @africaonechannel1289 Год назад

      ​@@emmapaul1766hivi hizi Shule za KIKATOLIKI Ndivo zinavofundisha kijana kama Wewe KUTOA MANENO YA HOVYIO NA YA Kibaguzi hivi!?
      NINA HAKIKA HAKUNA SHULE YA SERIKALI INAYOTOA MUHITIMU WA HIVI.

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Год назад +1

    Safi sana profesa Assad

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Год назад +2

    pro tunaongelea nkataba SIO UWEKESAJI;HAKUNA ANAEPINGA UWEKESAJI LOL TUKIONGELEA NKATABA TUNAONGELEA SHERIA NA WEWE HAPO HUJUI LOLOTE ;NTANGASAJI NA WEWE SHIDA;WATU TUNAONGELEA NKATABA HAPO NDO UNGENUULISA

    • @mkude
      @mkude Год назад

      Tatizo mnasimiliza upande mmoja kuna watu suala hili wanalitumia kama njia ya siasa tu,utakuja kuona mikataba ya uendeshaji,yatakuwepo vipengele vyote vinavyopotoshwa na wanasiasa na wanaopinga hapo ndo watakapokuja kudhalilika

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад

      @@mkude KILA KITU HUWA WASI KWENYE NKATABA;HAKUNA ETI KESHO UTAKUA TOFAUTI DP WAKIANSA; WHAT U SEE IS WAT U WILL GET;DP NI HULKA YAO HIYO;KWANINI WANA KESI NYINGI DUNIANI?KWASABABU WAKISHAANSA BRO HUWANBII KITU;DJIBUTI WALITAKA KUPANUA TU BANDARI YAO DP WAKAKATAA;DJIBUIT WAKAUNJA NKATABA;DP WaNA KESI ISHIRINI NA KITU NA SOTE SINAFANAna BRO;TATISO BONGO HATUPENDI KUTAFITI NA KUJUA[na nkataba na djibout ulikua wa thirty yrs] wetu hauonyeshi years;ushauso wewe huu nkataba????hatupingi uwekesaji nooo

  • @mashaka-mu9vx
    @mashaka-mu9vx 2 месяца назад

    Pro huyu anafaakua raisi

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 Год назад +3

    Kweli proffessor lakin ungejikita kwenye mkataba unasemaje,

  • @user-ce5zf4oz6l
    @user-ce5zf4oz6l Год назад

    Ukisikia wapotoshaji ndio hawa,ameshindwa kulisaidia taifa kwaelimu naweledi wake anaanza kutetea wezi,tunakua nawasomi wabinafsi,wasio nahuruma nwatu wachini,hii nchi kweli imejaa majangiri.

    • @KassimSalumu-fk6yk
      @KassimSalumu-fk6yk Год назад

      Jinga wewe

    • @user-fc8sv8un5d
      @user-fc8sv8un5d Год назад

      Awakosoe wezi kama vile magu alivyokosoa kanisa kuhusu makontena bandarini kua waliibia nchi,na ndio maana maaskofu wanahaha

  • @lazaromshamu3521
    @lazaromshamu3521 Год назад +1

    Well said profesa akili mingi Sana

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j Год назад

    Allah akuzidishie umri wenye afya njema

  • @majaliwabwitonde7749
    @majaliwabwitonde7749 Год назад

    Huyu njaa tu

  • @robertmasatu8423
    @robertmasatu8423 Год назад +1

    Moja ya wasomi ninaowapenda sana hapa Tanzania

  • @drdd774
    @drdd774 Год назад +6

    jamani, hivi hawa mawakili wote hawajui sheria? Kama mkataba hakuna kasoro kwa nini kunataka kufanyika mabadiliko ya sheria ya maliasili za Taifa?, mwenye akili lazima apige kelele kuhusu mkataba.

    • @africaonechannel1289
      @africaonechannel1289 Год назад

      TULIKUA TUNANUNUA NDEGE KWA PESA Cash, Enzi za MAGU na Kelele zilikua hivihivi; HATA HAIELEWEKI WATU WA Tz munataka Nini!?

    • @MwantumNdauga
      @MwantumNdauga Год назад

      Allah akulipe nuru ya kiislam ndoa hiyo,wenye kutubeza waendelee

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +1

      Tujiulize kwa nini hii Intaview inafanyika karibu na Hukumu ya kesi ya Bandari huko Mbeya?.Je siku zote kwa nini asiongee haya ipo sababu

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 Год назад +17

    Professor stated a weak and bias argument in favor of Samia on DP gate. His interview is clearly meant to downplay the magnitude of DP gate. Unfortunately there are no more fools left.

    • @popekatalango9409
      @popekatalango9409 Год назад +1

      chuki ikizidi hupunguza maarifa,nyinyi mlishaamua kuwa upande fulani kwa chuki zenu,hivyo yoyote anaekuja kuzungumza kinyume na upande wenu hamuelewi kwa makusudi na chuki zenu, wapo wengi sana wamezungumzia hili swala kwa mapana yake bila kuficha chochote lkn bahati mbaya nyinyi mlioamua upande wenu huwa hamtaki kumsikiliza mtu hadi mwisho wake bali mnaishia njiani na kisha mnatoka na maazimio yenu,hebu wapeni room yenye usawa na muwasilize kiundani hadi mwisho kwa nia ya kujua ukweli na kuwasikiliza kwa moyo na sio masikio

    • @drimaz2692
      @drimaz2692 Год назад +1

      yale yale...dr.wa meno kutibu macho sikiliza kuelewa na kujibu hoja acha chuki binafsi

    • @popekatalango9409
      @popekatalango9409 Год назад +1

      @@drimaz2692 mwenye chuki ni nani kama sio nyinyi?

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Год назад +1

    HUYU JAMAA NAMKUBALI SANA ILA KWA MKATABA WA BANDARI NAJUA KWANN AMEWAKUBALI DP WORLD 🤔🤔🤔DON'T TRUST ANYONE.. ishinayo hoyo

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Год назад +1

    Assad unayumba kwa hili la Bandari.. Mkataba upo wazi na magwiji wa sheria wameshapendekeza Cha kufanyika ila CCM na TV yao wanapotosha ..

    • @JRN2612
      @JRN2612 Год назад

      Wewe na Tundu Lissu mnajua zaidi ya kumzidi Prof. Asad? 😅😅😅😅

  • @hamadichande2205
    @hamadichande2205 Год назад

    Nimekuelewa sana prof

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Год назад

    #NONSENSE

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Год назад +1

    Kama tunao wanashelia mbona tunakuwa na mikataba yenye utata na matatizo lukuki,acha kumungunya maneno

  • @KhamisHajji-gm4ns
    @KhamisHajji-gm4ns Год назад

    MAMA MPE TENA SHAVU PRF ASSAD AISAIDIE NCHI TUPATE KUFAIDIKA BY KHAMIS WAWESHA CHAKE CHAKE PEMBA ZANZIBAR

  • @angelusmhelela8142
    @angelusmhelela8142 Год назад

    Naomba ugombee

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Год назад

    Huyu mzee ni kichwa kweli anaeleweka siyo hao wakili wa serikali wanapindisha sheria hawajui km tunawashangaa na kuwaona ni wa ajabu kusimamia haki kwao ni ngumu haelewi kuna vichwa vyenye uelewa wa hali juu tanzania

  • @sitamgeta7565
    @sitamgeta7565 Год назад +2

    Huyu jamaa anaongea nini? Tunanunua mandege makubwa kabisa madreamliner tunajenga SGR tunajenga bwawa la kufua umeme ndiyo tushindwe vimitambo vya bandarini hapo tukaendesha wenyewe? Tutajitegemea lini. Kama sisi hatuwezi watoto wetu wataweza.

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Год назад

      Sio lazima ufanye kila kitu wewe dunia kwa sasa imeungana...NI muhimu kujifunza kwa wengine...

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Год назад

      ​@@karimkassam571 Hawezi kukuelewa kaka 😂

    • @karimmunis8302
      @karimmunis8302 Год назад +1

      Anaongea ujinga tu kila kitu ahtuwezi eti credi moja ni 40 bilon , kha hiyo hela nchi kama Tanzania tunaoshindwa kuwa nayo kweli au ni uvivu tu

  • @hamisiramadhani3538
    @hamisiramadhani3538 Год назад

    Kweli wewe ni prof kweli

  • @mariammasunga8410
    @mariammasunga8410 Год назад +1

    Maneno mazuri sana

  • @user-id7ws5hl5p
    @user-id7ws5hl5p Год назад

    Lisu na mbowe ni wabaguzi na yule lema yeye anawabagua waislam

  • @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD
    @K-STARGLOBALTRADERSCOLTD Год назад +1

    Background music is unnecessary

  • @kianda973
    @kianda973 Год назад

    Wasomi wetu mnatuchanganya sana ...ASSAD, SHIVJI, BUTIKU, TLS nk. Kuna mahali aidha hamsemi ukweli! Hakuna mahali mnakutana katikati....kuna clear differences...why???

    • @christinenyagiro6662
      @christinenyagiro6662 Год назад

      Asante kwa kutupa uzoefu wako lakini mimi mtanzania DP WORLD sisi wanainchi hata kama hatuna elimu kama yako lakini tunazo akili ya Mungu aliyo tupa DP WORLD hatubali kabisa na pamoja na elimu yetu ndogo. Sasa kwanini watu wanaiba, wanaiba kwani hata hiko watawala huko juu wanaiba sasa kama mzazi unaiba watoto wanafahamu watoto wataiba na wataona ni kitu cha kawaida

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 Год назад

    Chuma hicho professor assad😂😂Assad

  • @chrismwanjalika9892
    @chrismwanjalika9892 Год назад

    NATAMANI WALE WOTE WANAOPINGA WAKUTANISHWE NA PROF HAPA HALAFU AONGEZEKE SHIVJI. naamini nitajifunza otherwise nateseka bure.

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 Год назад

    WEWE MZANZBAR TU DUBAI KWENU C KWA WATANGANYIKA

  • @tegemeosezero9565
    @tegemeosezero9565 Год назад +1

    Harafu tuachieni Taifa letu sisi kama wananchi hatutaki kwani hii nchi niyenu tu bhanae tukatae wote uwekezaji wa bandari zetu wawekeze pengine

  • @sumatanjunior231
    @sumatanjunior231 Год назад +1

    Aliposema tu kwamba ni makubaliano kati ya nchi na nchi nikaelewa kumbe hata yeye hajaelewa. Dubai siyo nchi. Ni jimbo na hilo ndilo lilipo mahakamani kwa sababu Dubai kama jimbo la UAE haiwezi kuingia mkataba na nchi.

    • @mkude
      @mkude Год назад

      Nyinyi watu mmepotoshwa sanaaa,Dubai ni nchi Ina passport yake inautawala wake inamfalme wake,zile ni nchi zimeungana wakaita umoja wa falme za kiarabu kuna mambo wamekubaliana ya umoja na kunamambo wamekubaliana kila mmojawao ayashughulikie kivyake,kama suala la biashara kila mmoja Yuko huru kufanya mambo yake

    • @sumatanjunior231
      @sumatanjunior231 Год назад

      @@mkude brother huu ni mwaka 2023. Unaweza kwenda mwenyewe tu mtandaoni kuangalia kama Dubai ni nchi au la. Yaani hata hili ni la kubisha? Dubai siyo nchi. Nchi inaiwa United Arab Emirates. Na kila emirate ina mtawala wake.

    • @sumatanjunior231
      @sumatanjunior231 Год назад

      @@mkude muungano wa zile emirate zimefanya kuwa na nchi moja. Muungano wao siyo kama wa UK au Tanzania. Ni muungano similar to USA. Emirates ni majimbo, siyo nchi kama Ireland, England, Scotland kule UK au Zanzibar na Tanganyika.

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@sumatanjunior231 broo kwanza tafsiri ya Emirates ni country,land, territory.zile ni Emirates zilizokuwa na utawala wake zimeungana,ila bado kila eneo lake linamtawala wake nimekwambia wameungana imekuwa nchi Moja,lakini kunamasuala wameacha wafanye kila utawala wake.

    • @mkude
      @mkude Год назад

      @@sumatanjunior231 Government of Dubai has over 58 governmental departments responsible for security, economic policy, education, transportations, immigration,, tafsiri yake serikali ya Dubai,inawajibika Kwa ulinzi,biashara,elimu,usafiri,uhamiaji,na mengineo,raia wake wanapaspirt Yao na abudhabi na hao wengine wanapaspirt zao,wanautawala wao,wameungana lakini kuna baadhi ya mambo kama inavyoeleza kila utawala wake wanajitegemea kiufupi inaserikali yake Yani mtawala wake.

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Год назад

    Assad iko akili hii kitu kitumieni.Amenyooka kama rula.

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Год назад +1

    SASA PROFESOR MKATABA HAUSEMI JOINT VENTURES?YAANI ZOTE NI ZAKE DPW
    SIJAKUELEW

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Год назад +1

      NAOANA NA YEYE HAJAUSONA;UNAJUA HUYU NI NTU WA HESABU SIO NTU WA KUSONA;HAJUI LOLOTE YAKIJA YA KISHERIA

  • @nestor384
    @nestor384 Год назад

    Hii ni Prof rubbish nyingine!..
    Dr Nshala ni daktari wa mikataba ya uwekezaji ya kimataifa, amesema no to the contract..
    Huyu mzee kama una akili ndogo utadhani anaongea sense kumbe ni mlamba asali kama walamba asali wengine.
    Nchi yetu inapita katika upumbavu mkubwa sana.

  • @karimkassam571
    @karimkassam571 Год назад

    Kuna meli zinabeba kontena el 10. ....tundulisu hii alikuwa haijui

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 Год назад

    Ulivyoongea kuhusu uwekezaji babandari na ulivyochambua wakosoaji kwa mtu mwenye akili awezi kuelewa umepuyanga sijui nistress yakazi cjui unataka mama akupe kanafasi

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад

    HIVI SEREKALI HAIONI UMUHIMU WA KUMJUMUISHA PROFESA ASAD KTK SEREKALI,MAANA WATU KAMA HAWA NI WACHACHE MNO!!

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Год назад

    Prof.Musa Assad umenena vema. Mlundikano wa kodi unapelekea kiwango cha 0-100 ambacho sio rafiki,wala hakitainua uchumi wa nchi wala wa mtu mmoja mmoja bali unafilisi,watu wanashindwa kulipa hivyo hata serikali inakosa kodi uchumi unaanguka!

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Год назад

    Akili Nyingi sana Mzee wetu'Huwezikuwa Dr wa Mifugo ukafanya Surgery ya ubongo

  • @zenj1986
    @zenj1986 Год назад

    Nashauri huo mziki unaleta changamoto kwa msikilizaji. Bora tusikie sauti za wazungumzaji tu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Год назад

    Huyu mzeee ili mfahamiane uwe na angalau bachelor degree vinginevo anakuacha

  • @innocentlethisia416
    @innocentlethisia416 Год назад +4

    issue ni ukomo,tutapata nn kwenye uwekezaji huo wa bandari professor umenitia wasiwasi juu yako ww si professor wa sheria wataalam wa sheria wanasema mkataba una shida sasa ww ni mwanasheria au mchumi?

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Год назад +3

      Nashangaa yeye ni mtaalamu wa uchumi at the same time anasema waliotoa hoja sio wataalamu wa Mikataba ya Kimataifa ya uwekezaji. Yeye amejipambanua kama mkweli wakati haongei bayana matatizo yaliyopo kwenye huo Mkataba. Hakuna aliyepinga uwekezaji ila M
      kataba ndio shida, ila hafafanui vifungu vyenye ukakasi bali anazunguka Mbuyu sijui kumfurahisha nani?.

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад +1

      @@leokamil6284 Watu sijui wanajua prof anajua kila kitu

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Год назад

    Hawataki waje hao kwa sababu watakosa kuiba wamesha zoweya wizi wa makontena kushusha mizigo trnst ndio maana hawatakiwi waje wawekezaji