Prof. Assad: Unanunua ndege ya nini kama hairuki?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 44

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Год назад +7

    Miongoni mwa watu makini kwa nchi yetu ni huyu mzee mungu Ampe maisha malefu

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 3 года назад +11

    Wataalamu Hawa ni hazina kwa nchi yetu

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 21 день назад

    Profesa tunaitaji watu wawazi kama wewe mungu Akubaliki na kizazi chako,Ao wariokufanyia figisu mungu yupo Anawauguza taaaratibu

  • @mgeningogomeloathuman7230
    @mgeningogomeloathuman7230 2 года назад +5

    Katoa rai mnamsema anataka huruma. Watu wengine wana roho za nyoka.

  • @eliusandrew3762
    @eliusandrew3762 3 года назад +2

    I have to speak truth always

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 Год назад +4

    Hicho ni kichwa sio mchezo, m/mungu kampa akili nyingi, hekma, ustaarabu, kujiamini na ucha mungu, ndio maana hatetereki

  • @ObAH
    @ObAH День назад

    Eti kila mtu mwenye akili😂

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 21 день назад

    Minawaomba serikari kuweni na kiasi make mungu Apendi dhuruma

  • @ahz6907
    @ahz6907 2 года назад +3

    Tatizo viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kisiasa na kupata umaarufu na si kusolve tatizo. Maana haingii akilini kununua mandege mengi na yapo idle kwa asilimia kubwa.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 3 года назад +3

    Shujaa alikuwa fisadi

  • @hamisiizadini3938
    @hamisiizadini3938 2 года назад

    Kweli mzee huna njaa

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 2 года назад +5

    2025 assad agombee uraus ajitegemee tumuweke madarakani

    • @musasabuu2808
      @musasabuu2808 9 месяцев назад +1

      Katiba inakataa mtu aliyeshika nafasi ya CAG kuajiliwa kwny nafasi ya utumishi wa umma

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 месяца назад

      Nakuunga mkono@fadhilamyovera

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 5 месяцев назад

    Mungu mtu baba Kodi zetu lakini hatutakiwi kujua chochote

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 5 месяцев назад +2

    Utasikia alikuwa mzalendo kama mtu alikua ataki kukaguliwa dah!

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  5 месяцев назад +1

      Hahaha! Hata Adolf Hitler alikuwa mzalendo

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 месяца назад

      Ila @user ni mzalendo sana, hoja zako si za kuegemea upande, ushabiki au uchawa, uko critical. Usibadilike

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 3 года назад +1

    Shujaa alikuwa mwizi😜😜😜😜😜😜

  • @plujorilugano9489
    @plujorilugano9489 2 года назад +4

    Mzee Assad ni ALAMA nzuri na tamu kwa nchi yake, mzew Assad ni MFANO usiyo na kifani.

  • @MasumbukoAlexander
    @MasumbukoAlexander 4 месяца назад

    Huyu jamaa anadai nchi

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 3 года назад

    Mmh ndo mmeamka sasa!.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 3 года назад

    .

  • @Worldunite
    @Worldunite Год назад

    Wewe kuongea kote ni kumnanga hayati jpm

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 месяца назад +1

      si kweli, hamnangi mtu hapa, angalia ukweli wa hoja zake na si ushabiki, akikosolewa kwa hoja mtu unayempenda unaona anamnanga...be critical,
      Hakika we have a long journey to go

  • @mashauritv4033
    @mashauritv4033 Год назад

    yani nilijua msomi mkubwa kama wee ndio uwe mstari mbele kwa kushauri serikali kuweweza mambo makubwa kama ndege kumbe weee ni kuponda na kubeza uwekezaji ili kuwe na ajira kubwa na watu waraisishiwe usafiri sasa weee huna akili kabisa

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Год назад +1

      We ndio ziro kabisa wa kukurupuka

    • @NdelleMwanyama
      @NdelleMwanyama Год назад +1

      Duh shule muhimu sana, we unaongea nini ww

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 4 месяца назад

      Nani hana akili @mashauritv? Yule Mzee Alikuwa akiamua ameamua, hataki ushauri wowote, je prof angepata wapi nafasi kushauri madini haya
      Kwani zile report za CAG huyo unayesema mzalendo amewahi kumwajibisha nani?

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 3 года назад

    Unataka huruma ya Mama Samia ili iurudi tena. Pumzika shughulika na mashamba yako. Unnamaama wewe pekee yako unafaa. 60% hawafai jambo la kushangaza.

    • @shaibuhamadi5435
      @shaibuhamadi5435 3 года назад +1

      ach wivu

    • @ahmedsultan8561
      @ahmedsultan8561 2 года назад +3

      Mmoja wasiofaa nini ww,uelewa wako ni mdogo, maana km ungekua muelewa usingesema hivyo

    • @omaryjuma5546
      @omaryjuma5546 2 года назад +3

      Shule muhimu sana......ungeitumia shule nadhani ungemuelewa

    • @ahz6907
      @ahz6907 2 года назад +3

      Bila shaka wewe ni miongoni mwa hao 60٪

    • @neemamhando5287
      @neemamhando5287 2 года назад +1

      Ana akili sana aisee