Tatizo viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kisiasa na kupata umaarufu na si kusolve tatizo. Maana haingii akilini kununua mandege mengi na yapo idle kwa asilimia kubwa.
si kweli, hamnangi mtu hapa, angalia ukweli wa hoja zake na si ushabiki, akikosolewa kwa hoja mtu unayempenda unaona anamnanga...be critical, Hakika we have a long journey to go
yani nilijua msomi mkubwa kama wee ndio uwe mstari mbele kwa kushauri serikali kuweweza mambo makubwa kama ndege kumbe weee ni kuponda na kubeza uwekezaji ili kuwe na ajira kubwa na watu waraisishiwe usafiri sasa weee huna akili kabisa
Nani hana akili @mashauritv? Yule Mzee Alikuwa akiamua ameamua, hataki ushauri wowote, je prof angepata wapi nafasi kushauri madini haya Kwani zile report za CAG huyo unayesema mzalendo amewahi kumwajibisha nani?
Miongoni mwa watu makini kwa nchi yetu ni huyu mzee mungu Ampe maisha malefu
Umenena @danielmgeni
Wataalamu Hawa ni hazina kwa nchi yetu
Profesa tunaitaji watu wawazi kama wewe mungu Akubaliki na kizazi chako,Ao wariokufanyia figisu mungu yupo Anawauguza taaaratibu
Katoa rai mnamsema anataka huruma. Watu wengine wana roho za nyoka.
I have to speak truth always
Hicho ni kichwa sio mchezo, m/mungu kampa akili nyingi, hekma, ustaarabu, kujiamini na ucha mungu, ndio maana hatetereki
Eti kila mtu mwenye akili😂
Minawaomba serikari kuweni na kiasi make mungu Apendi dhuruma
Tatizo viongozi wetu huwa wanafanya maamuzi kisiasa na kupata umaarufu na si kusolve tatizo. Maana haingii akilini kununua mandege mengi na yapo idle kwa asilimia kubwa.
Kweli kabisa
Shujaa alikuwa fisadi
Kweli mzee huna njaa
2025 assad agombee uraus ajitegemee tumuweke madarakani
Katiba inakataa mtu aliyeshika nafasi ya CAG kuajiliwa kwny nafasi ya utumishi wa umma
Nakuunga mkono@fadhilamyovera
Mungu mtu baba Kodi zetu lakini hatutakiwi kujua chochote
Utasikia alikuwa mzalendo kama mtu alikua ataki kukaguliwa dah!
Hahaha! Hata Adolf Hitler alikuwa mzalendo
Ila @user ni mzalendo sana, hoja zako si za kuegemea upande, ushabiki au uchawa, uko critical. Usibadilike
Shujaa alikuwa mwizi😜😜😜😜😜😜
Mzee Assad ni ALAMA nzuri na tamu kwa nchi yake, mzew Assad ni MFANO usiyo na kifani.
Huyu jamaa anadai nchi
Mmh ndo mmeamka sasa!.
.
Wewe kuongea kote ni kumnanga hayati jpm
si kweli, hamnangi mtu hapa, angalia ukweli wa hoja zake na si ushabiki, akikosolewa kwa hoja mtu unayempenda unaona anamnanga...be critical,
Hakika we have a long journey to go
yani nilijua msomi mkubwa kama wee ndio uwe mstari mbele kwa kushauri serikali kuweweza mambo makubwa kama ndege kumbe weee ni kuponda na kubeza uwekezaji ili kuwe na ajira kubwa na watu waraisishiwe usafiri sasa weee huna akili kabisa
We ndio ziro kabisa wa kukurupuka
Duh shule muhimu sana, we unaongea nini ww
Nani hana akili @mashauritv? Yule Mzee Alikuwa akiamua ameamua, hataki ushauri wowote, je prof angepata wapi nafasi kushauri madini haya
Kwani zile report za CAG huyo unayesema mzalendo amewahi kumwajibisha nani?
Unataka huruma ya Mama Samia ili iurudi tena. Pumzika shughulika na mashamba yako. Unnamaama wewe pekee yako unafaa. 60% hawafai jambo la kushangaza.
ach wivu
Mmoja wasiofaa nini ww,uelewa wako ni mdogo, maana km ungekua muelewa usingesema hivyo
Shule muhimu sana......ungeitumia shule nadhani ungemuelewa
Bila shaka wewe ni miongoni mwa hao 60٪
Ana akili sana aisee