MADHABAHU INAVYOWEZA KUTOA LAANA AU BARAKA - V

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 11

  • @danymlambo-jongomlel9121
    @danymlambo-jongomlel9121 4 года назад +2

    Kristo aendelee kukupigania

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +2

    Amen mtumishi

  • @grolyjosephat8263
    @grolyjosephat8263 2 года назад +1

    Bwana Yesu akutunze sana mtumishi unatufunua mengi tuliokuwa hatuyajuii

  • @mbokalugano5060
    @mbokalugano5060 5 лет назад +4

    Barikiwa sana mtumishi. .....part 3 na 4 sijaziona

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 Год назад

    wisdom detected

  • @mariazabron9013
    @mariazabron9013 5 лет назад +2

    somo zuri sanaa....be blessed mtumishi

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 5 лет назад +1

    Yaani nimeanza kukusoma leo ni siku ya nne najishangaa kwanini sikukufahamu muda mrefu. Lakini najipa moyo sijachelewa

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 5 лет назад +1

    Yaani mtumishi Mungu akubariki. Umenifungua ufahamu wangu lakini nimekosa sehemu ya tatu(3) na nne(4) nimeperuzi sijaona.

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 5 лет назад +1

    Yaani kuhusu ndoto Mimi ndio kabisa kila mara nipo kijijini tu. Na nipo nchi za nje

  • @danymlambo-jongomlel9121
    @danymlambo-jongomlel9121 4 года назад +1

    MBONA SIONI SEHEMU YA TATU

  • @jacquelinelinja5079
    @jacquelinelinja5079 5 лет назад

    Mtumish Sasa km mzaz mmoja kaokoka mwngine hajampokea Bwana na hapo hapo mmetengana nae na watt mzaz mmoja anamlea Ila na yule mzaz aliekombolewa anatoa sadaka kwnyw madhabahu ya Mungu na mwingine kwnyw madhababhu ya giza Sasa hapo mtt anakuaje? Nahitaj kujua maana mm nimekombolewa Ila baba wa watt wangu anashiriki mambo ya kiganga sasa mm nawatolea sadaka kwa Mungu na yy anaamin Ile mizimu yake na watt ninaish nae na nawapeleka kanisan kanisan tusaidien hapo tufanyaje ???