Tundu Lissu ameilaumu serikali ya Magufuli
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Tundu Lissu ameilaumu serikali ya Magufuli
SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
Follow us on Twitter: / ktnnews
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
std.co.ke/apps/...
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Ustarabu ni mzuri ushenzi ni mbaya. Wewe sio kiongozi bwana . Wewe mbambaishaji na msaka tonge mwenye ujasiri wa kichizi kutoa matusi kwa viongozi halali na serikali kwa ujumla.
Almighty GOD blessed you Much Mh. MP TUNDU LISSU....!!! AMINA!
Lisu hatoisha lawama mpaka atiwe kaburi maana hana kheri kila kitu kwake shari ovyo
Respercter rissu✌🏻
Amen lissu
Wewe mnioo whakooo
😀😀😀😀
Ni yeyee
Lissu kichaa
Unaumwa ww
Hivi wewe mkundu lisu kila Kitu nikulalamika kumaninazako
Acha matusi ww
Wewe mwanasheria uchwala uchunguzi utafanyikaje wakati dereva wako kakimbia na wewe uko matibabu walikustua kidogo tu hawakutaka kukuua kama wangetaka kukuua wangesubiria ushuke wakushambulie usingefika Nairobi chezea risasi wewe gari lilikusaidia sana
Anataka uhuru gani.maana hapo alipo anamkashifu rais anaikashif serikali.anajieleza kila siku.uhuru upi anaitaka ?
Lissu hajitambui na kusoma alama za nyakati anaboa domo lefu kila siku linawashwa tu, hapa kazi tu jpm anatosha kundi lako ndilo lililokupiga malisasi serikali ingekumaliza wew domo kaya mdomo wako unatekenywa pia hushauriki mpk umewagawa wanachama wa chama chako.
Pole sana Lisu. Lakini uache usaliti wa Nchi yako! Vinginevyo katafute Nchi unayotaka kuishi nje na Tanzania. Wasaliti siku zote hawabakigi salama. Labda Marekani itakufaa zaidi ili ukiishi kule utajua Tanzania ni salama zaidi.
Hakuna Matanzania ambaye hamkubali Tundu Antipasi Lissu tatizo watu wengi wanawaogopa watu wasiojulikana ambao wako wengi sana wamezagaa nchi nzima. Baada ya Magufuli kuingia madarakani aliwafukuza Wafanyakazi 15,008 kwa visingizio vya kuwa na vyeti feki. Badae aliwaajiri "WATU WASIOJULIKANA" takribani idadi hiyo hiyo wengi wao wakiwa vijana wa Kabila lake la KISUKUMA kutoka Kanda ya Ziwa. Hivi kati ya Magufuli na Tundu Lissu nani ni rafiki wa karibu na mnaowaita "MABEBERU". Magufuli anaechukua mikopo na misaada kutoka nje au Tundu Lissu aliepigwa risasi akapelekwa Kenya hajijui na Ubelijiji baada ya kupata nafuu. Serekali ya Magufuli ilijipambanua kuzungumzia "USHOGA" mpaka Makonda akazuiliwa kusafiri kuingia nchi kama Marekani. Walipokaribia kukosa misaada toka Marekani wakafunga midomo na kupokea fedha hizo eti za kuwajengea Wasichana shule na nyumba za kulala. Leo hii wanamgeuzia Tundu Lissu kibao wanamwambia arudi kwa MABEBERU ilihali wakijua yeye ni Mzaliwa wa SINGIDA.
Achaga maneno ww usisababishe watu wakakuita kichaa wakati ww unahakili sematu unaziendekeza ww kilasiku lawama haziishi kwa Raisi wetu tena muache
Nyinyi ktn ni vibaraka wa lisu au mbna mnarusha sana taarifa zake sisi atumtaki huyu jamaaa ana chachu mbya ktka maendeleo yetu
Tazama video hii utajifunza kitu, bonyeza hapa>>>ruclips.net/video/5hHU_-PQiCI/видео.html
Risasi unaijua au unaifahamu, risasi 16, acha hizo, hizo ni movie zenu, mmeshindwa ktk jina la Yesu.
Ndio imeshatokea
Uhuru gani anataka, ni mara ngapi tz majambazi yamepiga risasi watu mbalimbali vituo vya police na askari kuuwawa, wao cio watanzania au ni kwako tu kuwa ni binadam tofauti na wengine?
Covid19 visa vingapi?? MABEBERU wameongeza dau?? Wangapi wamechokolewa pua hadi wanatoka damu na kukimbilia nchi za watu?? Wangapi wako tayari kuumiza wananchi wao kisa pesa za MABEBERU?. HABARI HIZI NDIO TUNAHITAJI KUZISIKIA
Lisu aache ujinga wamepigana risasi wenyewe ndani ya chama chake sisi ndo tunajua kwaiyo afunge domo lake na ashindwe kwenye huo mpango wake wa uhaini uyu ni msaliti wa nchi yetu 😏😏😏😏
Acha hzo ww, yan ww na lisu ww upo juu kiuelewa na kisheria pia? Wenzako tokea jamaa afike saa hz wanagalagala. Mm co chadema ila namsapot kwa kuwa ni mhanga. Ss km kapigwa milisasi yote ile ww hauoni km ule ni muujiza? huo?
acha ukuma wewe
@@bennymochiwa4800 matusi si mazuri
we mpumbavu kweli wew
Lisu huna nafasi
🙏🏻🙏🏻
ruclips.net/video/9wC0Fdd2AUY/видео.html
Bonyeza link hi utazame tamthilia nzuli ya nyuma ya pazia
Maana ya upinzan, nikuwa kila kizur kinachofanywa lazima kipingwe , jpm yuko vizur lisu usituchanganye
Ni kawaida ya wapinzani tu hata tumezoea
Wewe lissu kuma tu sasa ndio isha tokeya mdaganye mkewe risasi kumi na sita umepona wewe ni roboti
Kuwa mstaarab kidogo
Mbona,unamaneno meng koma weqe
Tanzania Uhuru wa kujieleza upo ndio maana hapo huyu Lisu anautumia pia Uhuru wa kusikiliza pia upo ndio maana namsikiliza Lisu ingawa simpendi ni Mwongo sana. Ila nionavyo mimi Uhuru wa kutukana ndio ambao unao tusumbuwa hatuna
Mnavotukana ndio suluisho km aliondk c kwaajili ya matibabu achen matusi wapendwa
Mungu amekuponya
Hunaga la kuongea kila siku ni kulalamika tu wewe ni waajabu sana rudi tz ndo upige kelele xako tumekuchoka
Kaludi sema tuone
@@jelikojulias8127 umeona kaongea nini cha maana zaidi ya sera zake magu maguuuu maguuuu risasi 16 risasiiiiii kuna kingine?niambie mwaya labda masikio yangu yameziba
Huyu so rais snitch wa nchii anatupa matope nchi za watu mnafk
Na dereva wako je ?
Mnapenda kutangaza habari za Tanzania je mbona za miguna miguna mko kimya washenzi nyie
Naona kerere
Wapi medical report au risasi hizo 16? Ndio tunasikitika kapigwa risasi lakini kuna chumvi inaongezwa na watu wanasita kuuliza ukweli. Mwanzoni taarifa ya Spika ni risasi 3. Wapi ushahidi wa 16.
Hivi haunaga cha kuongea ww kila siku ww na rais wetu halafu upo ulaya mzee miwqn domo kupayuka unakwama wap mzee?
Ndo maana kenya kila kukicha wana ugomv na tanzania hapo ndo naanza kupata picha kumbe hawa jamaaa ni vingungumkut mbona sie vyombo vyetu vya habar havitangaz sana habar zao
Huyo lissu ni sawa mulivyo na miguna miguna wenu huko kenya.na hao hawafai katika jumuia ya wananchi wa afrika mashariki.
Simpe nyie mnaemuhoji kodizetu apewe mwenda wamu makufuli mnachuliaje. Nyie tumeshawajua mambo yakitokea kwetu mnajifanya mnachongoa mdomo sana haliyakuwa yakwenu yanawashinda mzee magu hamumuwezi.
MTU ALIEKUFA KWA LISASI MUNGU AKAMFUFUA. ..
UJUE HUYO NDIE MTU WA MUNGU ALIECHAGULIWA HUKO MBINGUNI.
BWANA YESU ASIFIWE !
HALELUJAH
Sikweli tunamjua jpm funga mdomolcm
Rise kama mxhele au Raisi ni Jpm hakunaga mwingine
Acha dharau wewe,Laura za kupata usihamishie kwa mwandishi
Pole baba Mungu azd kukupigania km risas 16 hazjakuua bas Mungu bd anakupenda bnafsi naumia xn kuangalia video unazoelezea mkasa wa risasi uliokukuta
Kasema mwenyeewe bungeni anapiga kelele wapiga kelele hawawezi kuiongonza tanzania tanzania inahitaji sanpo ya magufuli lisu hizo kiki zakishamba kaa kimyaa usituchanganye
Tazama simulizi ya TEJA aliyepitia mikasa ya kusisimua.
ruclips.net/video/B9q1Kx1f7SA/видео.html
Hamonaiz
Kweli unaenda Kenya kwa kushambuliwa na mateja Kenya ndo nini kwa Tanzania
Tunamtak rais mwelewa maana umaskin umetutawal hatuna ela
Baba yetu pumzika kwa amani, mwenyezi mungu akupokee kwenye makazi yake, Amina.
Hii ndio dawa ya wasalit au wanasheria washenz wanaohujum nchi zao
Umeongea kaka.nchi za wenzetu ukiwa kama huyu jamaa ni kukatwa shingo tuu.
REDIO YENU NI YA KICHOCHEZ. JICHOCHEENI WENYEWE HUKO KENYA
Ndio maisha kukutana na vikwazo vingi
ruclips.net/video/M2bMuN5a9pI/видео.html angalia huyu jamaa tundulisu anasaidiwa na watu gan ndio maana anaongea tu atakavyo
Tundulisu maneno ya leo
Mungu anaejua Kila kitu
Akulipe kadili ya kilichotokea
Lakini kwa uelewa wangu
Mdogo Tz hizo mambo
Za mauaji hatuna
Pamoja ndng
Hotuba nzuri
Wewe lissu una utafauti na mavi wakati wowote hunuka panya wee
Ukiwa mshenzi na mpumbavu utadharau kila jambo na ukiwa maskini wa fikra utaishi kama shetani na kibaraka huenda ikawa muhusuka ni wewe
Wacha ujinga wako wewe
Keleleee!!! acha Wanaume wafanye kazi broo.
Hatari.kazi ya mauji !? laana Na iwe juu ya uzao wao .YAO NI MANENO YA BIBLIA.
Acha ukuma mbwa ww
G
Musukuma
Eeee
Lol huyu mtangazaji n Kiswahili ama ati..pigwa kwa risasi 😂ama mimi ndo sijui Kiswahili 🤔
Kuma we
hata wewe n kuma..🖕shoga!
Shoga huu sjui analudilin
Endelea2 kutoa laawama
🏠🏠🏠🏠🏠
Wow glory be to God
pole saa
Dulivan boy
Duli van boy
Aibu kubwa. Mwenyezi Mungu Mkubwa ( Allah the Great)
Ngono
Mhaini huyu
Safari ijayo hawatakosea shabaha!!!
Ipo siku yatawakuta nanyie
@@jacksondaud4957 hata wewe yatakukuta
Ukiwa mamluki hakuna cha kusema pooo.
Hbr y Usk ndg wangazaji wa shop TV Mimi ni hamisi masemo ktk handeni tanga Tanzania nawatakia afya njema wa Ayo TV.
Hiki ndicho chama halali Tanzania 🇹🇿
Anataka Uhuru upi wa kujieleza
Unyama ukatili hauwi kwa wale wenye kuufanya, bali hata kwa wale ambao wanaona sawa kutokea, kwa sababu Mungu anatunda kwa sisi wenyewe, inapofika hatua mtu anapogwa risasi zaidi ya kumi kisha watu wakaona poa, basi hiyo jamii au taifa halifai kuwepo
Pole mkuu kakaLissu.ucjal Mungu ni mwem
Kijana andaa mashika wewe ni mwanasheria angalia kaupenyo Mahakama za kimataifa
Hata Mimi nalaumu saaaana.huu utawala lisu tunakungoja uje wewendie rais utakae lifanya taifa kua lamatajili. Hatutaki rais wawanyonge.tunatska rais wawenye fulaha.
We umezeeka vibay
Mungu amulinde