Tundu Lissu ameilaumu serikali ya Magufuli

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Tundu Lissu ameilaumu serikali ya Magufuli
    SUBSCRIBE to our RUclips channel for more great videos: www.youtube.com/
    Follow us on Twitter: / ktnnews
    Like us on Facebook: / ktnnewskenya
    For more great content go to www.standardmed... and download our apps:
    std.co.ke/apps/...
    KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.

Комментарии • 124

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 4 года назад +1

    Ustarabu ni mzuri ushenzi ni mbaya. Wewe sio kiongozi bwana . Wewe mbambaishaji na msaka tonge mwenye ujasiri wa kichizi kutoa matusi kwa viongozi halali na serikali kwa ujumla.

  • @gangan8342
    @gangan8342 5 лет назад +4

    Almighty GOD blessed you Much Mh. MP TUNDU LISSU....!!! AMINA!

  • @wardajoseph6909
    @wardajoseph6909 4 года назад

    Lisu hatoisha lawama mpaka atiwe kaburi maana hana kheri kila kitu kwake shari ovyo

  • @erishaathumani5225
    @erishaathumani5225 3 года назад

    Respercter rissu✌🏻

  • @josedecoration7223
    @josedecoration7223 4 года назад

    Amen lissu

  • @yassiniferuzi2867
    @yassiniferuzi2867 4 года назад +2

    Wewe mnioo whakooo

  • @jovinjoseph1247
    @jovinjoseph1247 4 года назад

    Ni yeyee

  • @salumkulindwa4695
    @salumkulindwa4695 4 года назад +2

    Lissu kichaa

  • @jumanneibazu9086
    @jumanneibazu9086 4 года назад +1

    Hivi wewe mkundu lisu kila Kitu nikulalamika kumaninazako

  • @masungwasalumu1278
    @masungwasalumu1278 4 года назад

    Wewe mwanasheria uchwala uchunguzi utafanyikaje wakati dereva wako kakimbia na wewe uko matibabu walikustua kidogo tu hawakutaka kukuua kama wangetaka kukuua wangesubiria ushuke wakushambulie usingefika Nairobi chezea risasi wewe gari lilikusaidia sana

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 4 года назад +1

    Anataka uhuru gani.maana hapo alipo anamkashifu rais anaikashif serikali.anajieleza kila siku.uhuru upi anaitaka ?

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 4 года назад +1

    Lissu hajitambui na kusoma alama za nyakati anaboa domo lefu kila siku linawashwa tu, hapa kazi tu jpm anatosha kundi lako ndilo lililokupiga malisasi serikali ingekumaliza wew domo kaya mdomo wako unatekenywa pia hushauriki mpk umewagawa wanachama wa chama chako.

  • @africanambassadorsathletic3399
    @africanambassadorsathletic3399 4 года назад +1

    Pole sana Lisu. Lakini uache usaliti wa Nchi yako! Vinginevyo katafute Nchi unayotaka kuishi nje na Tanzania. Wasaliti siku zote hawabakigi salama. Labda Marekani itakufaa zaidi ili ukiishi kule utajua Tanzania ni salama zaidi.

  • @felistamaembe4895
    @felistamaembe4895 4 года назад

    Hakuna Matanzania ambaye hamkubali Tundu Antipasi Lissu tatizo watu wengi wanawaogopa watu wasiojulikana ambao wako wengi sana wamezagaa nchi nzima. Baada ya Magufuli kuingia madarakani aliwafukuza Wafanyakazi 15,008 kwa visingizio vya kuwa na vyeti feki. Badae aliwaajiri "WATU WASIOJULIKANA" takribani idadi hiyo hiyo wengi wao wakiwa vijana wa Kabila lake la KISUKUMA kutoka Kanda ya Ziwa. Hivi kati ya Magufuli na Tundu Lissu nani ni rafiki wa karibu na mnaowaita "MABEBERU". Magufuli anaechukua mikopo na misaada kutoka nje au Tundu Lissu aliepigwa risasi akapelekwa Kenya hajijui na Ubelijiji baada ya kupata nafuu. Serekali ya Magufuli ilijipambanua kuzungumzia "USHOGA" mpaka Makonda akazuiliwa kusafiri kuingia nchi kama Marekani. Walipokaribia kukosa misaada toka Marekani wakafunga midomo na kupokea fedha hizo eti za kuwajengea Wasichana shule na nyumba za kulala. Leo hii wanamgeuzia Tundu Lissu kibao wanamwambia arudi kwa MABEBERU ilihali wakijua yeye ni Mzaliwa wa SINGIDA.

  • @JackJack-ch9ew
    @JackJack-ch9ew 4 года назад +1

    Achaga maneno ww usisababishe watu wakakuita kichaa wakati ww unahakili sematu unaziendekeza ww kilasiku lawama haziishi kwa Raisi wetu tena muache

  • @josephluhumbika8418
    @josephluhumbika8418 4 года назад +1

    Nyinyi ktn ni vibaraka wa lisu au mbna mnarusha sana taarifa zake sisi atumtaki huyu jamaaa ana chachu mbya ktka maendeleo yetu

  • @wolterdavid8979
    @wolterdavid8979 4 года назад

    Tazama video hii utajifunza kitu, bonyeza hapa>>>ruclips.net/video/5hHU_-PQiCI/видео.html

  • @mariamnimbo8394
    @mariamnimbo8394 4 года назад +1

    Risasi unaijua au unaifahamu, risasi 16, acha hizo, hizo ni movie zenu, mmeshindwa ktk jina la Yesu.

  • @patricksweya6857
    @patricksweya6857 4 года назад

    Uhuru gani anataka, ni mara ngapi tz majambazi yamepiga risasi watu mbalimbali vituo vya police na askari kuuwawa, wao cio watanzania au ni kwako tu kuwa ni binadam tofauti na wengine?

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 4 года назад

    Covid19 visa vingapi?? MABEBERU wameongeza dau?? Wangapi wamechokolewa pua hadi wanatoka damu na kukimbilia nchi za watu?? Wangapi wako tayari kuumiza wananchi wao kisa pesa za MABEBERU?. HABARI HIZI NDIO TUNAHITAJI KUZISIKIA

  • @joxevictus3720
    @joxevictus3720 4 года назад +10

    Lisu aache ujinga wamepigana risasi wenyewe ndani ya chama chake sisi ndo tunajua kwaiyo afunge domo lake na ashindwe kwenye huo mpango wake wa uhaini uyu ni msaliti wa nchi yetu 😏😏😏😏

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 4 года назад

      Acha hzo ww, yan ww na lisu ww upo juu kiuelewa na kisheria pia? Wenzako tokea jamaa afike saa hz wanagalagala. Mm co chadema ila namsapot kwa kuwa ni mhanga. Ss km kapigwa milisasi yote ile ww hauoni km ule ni muujiza? huo?

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 4 года назад

      acha ukuma wewe

    • @jelikojulias8127
      @jelikojulias8127 4 года назад

      @@bennymochiwa4800 matusi si mazuri

    • @abdulrahimmohamed7066
      @abdulrahimmohamed7066 4 года назад

      we mpumbavu kweli wew

  • @akidapiusmpinge9895
    @akidapiusmpinge9895 4 года назад +4

    Lisu huna nafasi

  • @ramshomytv
    @ramshomytv 4 года назад

    ruclips.net/video/9wC0Fdd2AUY/видео.html
    Bonyeza link hi utazame tamthilia nzuli ya nyuma ya pazia

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 4 года назад +7

    Maana ya upinzan, nikuwa kila kizur kinachofanywa lazima kipingwe , jpm yuko vizur lisu usituchanganye

  • @robertcheruiyot5718
    @robertcheruiyot5718 3 года назад

    Ni kawaida ya wapinzani tu hata tumezoea

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 4 года назад +4

    Wewe lissu kuma tu sasa ndio isha tokeya mdaganye mkewe risasi kumi na sita umepona wewe ni roboti

  • @abigaelimachama7082
    @abigaelimachama7082 4 года назад

    Mbona,unamaneno meng koma weqe

  • @charlesnoafekwalipibayaali2662
    @charlesnoafekwalipibayaali2662 4 года назад +1

    Tanzania Uhuru wa kujieleza upo ndio maana hapo huyu Lisu anautumia pia Uhuru wa kusikiliza pia upo ndio maana namsikiliza Lisu ingawa simpendi ni Mwongo sana. Ila nionavyo mimi Uhuru wa kutukana ndio ambao unao tusumbuwa hatuna

  • @reginajustin2432
    @reginajustin2432 4 года назад

    Mnavotukana ndio suluisho km aliondk c kwaajili ya matibabu achen matusi wapendwa

  • @ruthmsumari5255
    @ruthmsumari5255 4 года назад +2

    Mungu amekuponya

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 4 года назад +4

    Hunaga la kuongea kila siku ni kulalamika tu wewe ni waajabu sana rudi tz ndo upige kelele xako tumekuchoka

    • @jelikojulias8127
      @jelikojulias8127 4 года назад

      Kaludi sema tuone

    • @faustinemavere1450
      @faustinemavere1450 4 года назад

      @@jelikojulias8127 umeona kaongea nini cha maana zaidi ya sera zake magu maguuuu maguuuu risasi 16 risasiiiiii kuna kingine?niambie mwaya labda masikio yangu yameziba

  • @flashbreezytz7472
    @flashbreezytz7472 4 года назад +1

    Huyu so rais snitch wa nchii anatupa matope nchi za watu mnafk

  • @talibsaid8081
    @talibsaid8081 3 года назад

    Na dereva wako je ?

  • @vladiminlenin8883
    @vladiminlenin8883 4 года назад +1

    Mnapenda kutangaza habari za Tanzania je mbona za miguna miguna mko kimya washenzi nyie

  • @maduhumaduh1005
    @maduhumaduh1005 3 года назад

    Naona kerere

  • @mzalendomkeleketwa7917
    @mzalendomkeleketwa7917 4 года назад

    Wapi medical report au risasi hizo 16? Ndio tunasikitika kapigwa risasi lakini kuna chumvi inaongezwa na watu wanasita kuuliza ukweli. Mwanzoni taarifa ya Spika ni risasi 3. Wapi ushahidi wa 16.

  • @ibrahimally7735
    @ibrahimally7735 4 года назад +5

    Hivi haunaga cha kuongea ww kila siku ww na rais wetu halafu upo ulaya mzee miwqn domo kupayuka unakwama wap mzee?

  • @ibrahimally7735
    @ibrahimally7735 4 года назад

    Ndo maana kenya kila kukicha wana ugomv na tanzania hapo ndo naanza kupata picha kumbe hawa jamaaa ni vingungumkut mbona sie vyombo vyetu vya habar havitangaz sana habar zao

  • @kipokendirangu2572
    @kipokendirangu2572 4 года назад +1

    Huyo lissu ni sawa mulivyo na miguna miguna wenu huko kenya.na hao hawafai katika jumuia ya wananchi wa afrika mashariki.

  • @vitolomohd4979
    @vitolomohd4979 4 года назад

    Simpe nyie mnaemuhoji kodizetu apewe mwenda wamu makufuli mnachuliaje. Nyie tumeshawajua mambo yakitokea kwetu mnajifanya mnachongoa mdomo sana haliyakuwa yakwenu yanawashinda mzee magu hamumuwezi.

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 4 года назад

    MTU ALIEKUFA KWA LISASI MUNGU AKAMFUFUA. ..
    UJUE HUYO NDIE MTU WA MUNGU ALIECHAGULIWA HUKO MBINGUNI.
    BWANA YESU ASIFIWE !
    HALELUJAH

  • @editak4353
    @editak4353 4 года назад +2

    Sikweli tunamjua jpm funga mdomolcm

  • @godsonmhema2255
    @godsonmhema2255 4 года назад

    Rise kama mxhele au Raisi ni Jpm hakunaga mwingine

  • @tedlema8105
    @tedlema8105 4 года назад

    Acha dharau wewe,Laura za kupata usihamishie kwa mwandishi

  • @hidayatondogoso8329
    @hidayatondogoso8329 4 года назад

    Pole baba Mungu azd kukupigania km risas 16 hazjakuua bas Mungu bd anakupenda bnafsi naumia xn kuangalia video unazoelezea mkasa wa risasi uliokukuta

  • @zawadimbindi8120
    @zawadimbindi8120 4 года назад

    Kasema mwenyeewe bungeni anapiga kelele wapiga kelele hawawezi kuiongonza tanzania tanzania inahitaji sanpo ya magufuli lisu hizo kiki zakishamba kaa kimyaa usituchanganye

  • @bundukitv1322
    @bundukitv1322 4 года назад

    Tazama simulizi ya TEJA aliyepitia mikasa ya kusisimua.
    ruclips.net/video/B9q1Kx1f7SA/видео.html

  • @hemedmpalupalu4248
    @hemedmpalupalu4248 4 года назад +5

    Hamonaiz

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 4 года назад

    Kweli unaenda Kenya kwa kushambuliwa na mateja Kenya ndo nini kwa Tanzania

  • @reginajustin2432
    @reginajustin2432 4 года назад

    Tunamtak rais mwelewa maana umaskin umetutawal hatuna ela

  • @victorbandio2997
    @victorbandio2997 4 года назад +1

    Baba yetu pumzika kwa amani, mwenyezi mungu akupokee kwenye makazi yake, Amina.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 лет назад +4

    Hii ndio dawa ya wasalit au wanasheria washenz wanaohujum nchi zao

    • @joramkimario2666
      @joramkimario2666 4 года назад +1

      Umeongea kaka.nchi za wenzetu ukiwa kama huyu jamaa ni kukatwa shingo tuu.

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 года назад

    REDIO YENU NI YA KICHOCHEZ. JICHOCHEENI WENYEWE HUKO KENYA

  • @abdullahaji3263
    @abdullahaji3263 4 года назад

    Ndio maisha kukutana na vikwazo vingi

  • @mgayumtandi9849
    @mgayumtandi9849 4 года назад

    ruclips.net/video/M2bMuN5a9pI/видео.html angalia huyu jamaa tundulisu anasaidiwa na watu gan ndio maana anaongea tu atakavyo

  • @hassanjuma1661
    @hassanjuma1661 4 года назад

    Tundulisu maneno ya leo

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 4 года назад

    Mungu anaejua Kila kitu
    Akulipe kadili ya kilichotokea
    Lakini kwa uelewa wangu
    Mdogo Tz hizo mambo
    Za mauaji hatuna

  • @elutheryjburra965
    @elutheryjburra965 5 лет назад +6

    Hotuba nzuri

  • @hassanjomaa2313
    @hassanjomaa2313 4 года назад +4

    Wewe lissu una utafauti na mavi wakati wowote hunuka panya wee

    • @shanelisessoa7175
      @shanelisessoa7175 4 года назад

      Ukiwa mshenzi na mpumbavu utadharau kila jambo na ukiwa maskini wa fikra utaishi kama shetani na kibaraka huenda ikawa muhusuka ni wewe

  • @seadogs4460
    @seadogs4460 4 года назад

    Wacha ujinga wako wewe

  • @man.lule.585
    @man.lule.585 5 лет назад +7

    Keleleee!!! acha Wanaume wafanye kazi broo.

  • @jeromintarimo1204
    @jeromintarimo1204 4 года назад

    G

  • @abuubakarndomondo5928
    @abuubakarndomondo5928 5 лет назад +1

    Musukuma

  • @milhajiabdallah2787
    @milhajiabdallah2787 4 года назад

    Eeee

  • @edukartel9279
    @edukartel9279 4 года назад +1

    Lol huyu mtangazaji n Kiswahili ama ati..pigwa kwa risasi 😂ama mimi ndo sijui Kiswahili 🤔

  • @maryanmmmaryam8070
    @maryanmmmaryam8070 4 года назад

    Shoga huu sjui analudilin

  • @eliaslukumay1661
    @eliaslukumay1661 4 года назад

    Endelea2 kutoa laawama

  • @kadugudamgandinilp2575
    @kadugudamgandinilp2575 4 года назад

    🏠🏠🏠🏠🏠

  • @Purity493
    @Purity493 6 лет назад +4

    Wow glory be to God

  • @gwrmondinomafifa5516
    @gwrmondinomafifa5516 4 года назад

    Dulivan boy

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 4 года назад +2

    Aibu kubwa. Mwenyezi Mungu Mkubwa ( Allah the Great)

  • @cosmasmpwage449
    @cosmasmpwage449 4 года назад +2

    Mhaini huyu

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад +3

    Safari ijayo hawatakosea shabaha!!!

  • @hamisimasemo6863
    @hamisimasemo6863 4 года назад

    Hbr y Usk ndg wangazaji wa shop TV Mimi ni hamisi masemo ktk handeni tanga Tanzania nawatakia afya njema wa Ayo TV.

  • @sevenday77tz28
    @sevenday77tz28 4 года назад

    Hiki ndicho chama halali Tanzania 🇹🇿

  • @paulsimsokwe2480
    @paulsimsokwe2480 4 года назад

    Anataka Uhuru upi wa kujieleza

  • @saidmamadou8155
    @saidmamadou8155 5 лет назад +1

    Unyama ukatili hauwi kwa wale wenye kuufanya, bali hata kwa wale ambao wanaona sawa kutokea, kwa sababu Mungu anatunda kwa sisi wenyewe, inapofika hatua mtu anapogwa risasi zaidi ya kumi kisha watu wakaona poa, basi hiyo jamii au taifa halifai kuwepo

    • @boscobamwenda7170
      @boscobamwenda7170 4 года назад

      Pole mkuu kakaLissu.ucjal Mungu ni mwem

    • @mabulaoneamosy1281
      @mabulaoneamosy1281 4 года назад

      Kijana andaa mashika wewe ni mwanasheria angalia kaupenyo Mahakama za kimataifa

  • @fransicsamson106
    @fransicsamson106 5 лет назад

    Hata Mimi nalaumu saaaana.huu utawala lisu tunakungoja uje wewendie rais utakae lifanya taifa kua lamatajili. Hatutaki rais wawanyonge.tunatska rais wawenye fulaha.

  • @lalidamassage892
    @lalidamassage892 5 лет назад +1

    Mungu amulinde