Hakika hii hutba ipo vzri imetukukaa hswa. Hutuba za Marais wngi naskilza kupitia ww ila hii sijaipatia mfano wke. Pia kka na ww upo vzri sna mashallah
Hutuba nzuri masha Allah waislam ni wataki sasa tusikamane wote tuwe kitu kimoja hizi hitirafu tulizonazo tuziweke pembeni wote tushikamane kwaajili laa ila hailallah
Hii hutba ni kali hatari yaani imenisisimua ewe Muumba mbingu na ardhi ipe nguvu Iran ipe nguvu tanzania tupe uhusiano mzuri Kati ya tanzania na Irani 🤲🤲🤲Amin amin
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kaka awadhi rashidi maashaallaah uko vizuri napenda sana jinsi unavyo tafsiri lugha mbali mbali yaani kama mzungumzaji amehutubia kwa lugha ya kiswahili
Aiseee! inaumiza saana pale haki inapodhulumiwa kiongozi kaonesha ni jinsi gani anaumia kuona viongozi wanaopigania haki za ardhi za watu kuuliwa k wa kisingizio cha magaidi
Huu ni muda muafaka kwa waislaamu kuungana na kuacha Tofauti Zao ili kuikomboa Palestina, kwani waislaamu woote Duniani ni ndg,, njia yetu imani yetu ni Moja na Mola wetu ni Moja kwa maana hii Lazima tukiwa waumini wa Dini Moja Lazima Tuungane ili kuikomboa Palestina na sehem zingne zinazokaliwa kwa mabavu na madhalimuu !!!!!😢😢😢😢
Sadam Hussain naye alikuwa anasema hayo hayo ati tutayashinda haya makafiri hakika mwenyezi Mungu yuko upande wetu alafu mwisho wa siku akaangamia yeye.
Ameongea vyema sana . Si lazima awepo Mtu mweusi hapo Iran si Bara la Africa, na sio usa ni Binadamu kama Binadamu wengine ila nimejifunza irani ina umoja Mno
Kweli wewe ni mtumwaa wa kifikra kitu gani alichoumbiwa mweupe or mweusi binaadam wote ni sawa kama utakuwa na familia au watoto ndio utajuwa kwanini tupigania haki itendeke na kuwee na amani hakuna anaependa vita nazani wewe bado unaamini islamic na dini ya warabu lakini kumbuka wa islam wana kitabu je wewe unakitabu gani hakuna kitabu kinacho itwa bibilia na kama kipo mtume gani aloshushiwa bibilia? Hao wa yahudi hata kumuamini Jesus hawamuamini nawala hawafati mafundisho yake wanaifata taurati na vile vile pia hawakifati na wayahudi wa ssa ni wazungu sio wale waliongelewa kwenye vitabu
My take aways 1. Siku ambayo Saudia, Yemen, UAE, Jodan, Lebanon wakiamua kuungana na Iran kwa sauti moja, basi US atarudi nyuma maili mia na hapo ndipo Israel itakacha kushambulia wapalestina na watakubali uhuru kamili wa Taifa la Palestine... 2. Taifa la Iran ndio Taifa Imara zaidi Kijeshi, Kiintelejensia na Kiuchumi mashariki ya kati 3. Ayatollah Ali Khamenei anafaa kua kiongozi wa Waislam duniani kote 4. Shia ni dhehebu la waislam wasomi, wenye akili sana na uchumi mkubwa, na sivyo kama inavyoaminishwa kua ni washenzi
Subiri israeli amalize kupiga hamas na hezbola vita itaingiya irane kama.iran ana nguvu aingiye mara moja vitani na israeli atajuwa nguvu ya israeli siyo leho ama jana israeli anapigana na ichi za kyarabu ushindi ningambo ya israeli thu?
Kaeni apo na upumbavu wenu eti mungu mtakuja muishe na uyo mjinga wenu eti anaitwa allah kajificha anaogopa mabomu pumbavu nyote makafili wakubwa ngoja muuwawe mpaka muishe kenge nyie
Wewe kafiri unaye shabikia makafiri na mashoga wenzio wenye kumwaga damu za watu wasikuwa na hatia, mnaogopa kufa sana , utadhani mliumbiwa hii dunia kukaa milele! Ama waislamu kufa katika kuipigania haki ni utukufu na heshima kwetu mbele za Mungu mlezi, hivyo tunaitafuta daraja hiyo tukufu. Lakini unatakiwa kufahamu wewe kafiri, kwamba kuuliwa viongozi wetu hawa ndiko kunakoipa nguvu njia yetu, na isingekuwa hivyo hata huyo uliyemuita shetani kwa ujinga wako usingemuona hapo alipo fika maana washauliwa viongozi wengi kabla yake. Dhuluma haiwezi kudumu.
Israel itawamaliza siku zako zinahesabika wewe, wewe ndio umeingiza hawa watu wote kwa shida kuwafundisha kuchukia watu damu Yao iko kwenye mikono yako,mtajua Mungu wa Israel ni mkubwa,,tena mbona huyo allah hajawapigania hiyo vita amewaacha mkafa 😅
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Awadh Rashidi mtangazaji bora ktk maishayangu nduguyangu unasauti inayovutia ktk maskio yamsikilizaji dah Allah akufanyie wepesi inshaallah ktk maisha yako
Amin thuma Amin kwetu sote insha Allah
MASHAALLAH HOTUBA INASISIMUA ARUSHA REDIO MOLA MTUKUFU AWABARIKI
Hutuba iliyo jaa khekima na Imani kwa wenye hofu ya Mungu. Mashaallah.
Husbunallah Wane'mali wakil 🤲🇵🇸🍉
Maashallah Allah yupo pamoja na nasisi wooote tunaomizwa na dhurma inayoendelea mashariki yakati Allah atafanya wepesi inshaallah
Swadakta ndugu Bakari. AAAMIN.
Hakika hii hutba ipo vzri imetukukaa hswa. Hutuba za Marais wngi naskilza kupitia ww ila hii sijaipatia mfano wke. Pia kka na ww upo vzri sna mashallah
Ahsante sanaaa
Daaah! Hotuba kaliiii na yenye kwitia moyo penye kukata tamaa ebwana wee daah mungu awabariki sana
MA SHA ALLAH… mtangazaji upo vizuri saaana. ALLAH akuzidishie na akupe umri mrefu.🤲🌹
Amin
Hutuba nzuri masha Allah waislam ni wataki sasa tusikamane wote tuwe kitu kimoja hizi hitirafu tulizonazo tuziweke pembeni wote tushikamane kwaajili laa ila hailallah
Kwa hili lazima tuungane ,tofauti zikae pembeni ,maana lengo la adui kuubomoa uislamu
Mashaallah 😭😭kaka Awadhi Allah akuifadhi inshaallah 🎉🎉
Amin kwetu sote
Mpo vzr mashaallah Arusha fm
Arusha Redio mpo viziri Alla akufanyieni wepesi❤❤❤❤❤
Amin
Ayatolar Khamenee Mungu Ampee Maisha marefu
Allah Huma amini
@@MohammadNickodem 👏
MashaAllah
Hotuba iliyonyooka kabisaa ❤❤❤
Kweli mtu wa mungu huyu❤
Mashaallah, Allahu Akbar.
huyu ndio kiongozi kwelikweli ,uongonzi wa kiislam
Alhamdulillah Yaraab tujaliye tuwe miongoni mwawajawema Amiin yaraab tupe sbra sabiti
Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar 😭 😭😭😭😭😭😭😭
Hii hutba ni kali hatari yaani imenisisimua ewe Muumba mbingu na ardhi ipe nguvu Iran ipe nguvu tanzania tupe uhusiano mzuri Kati ya tanzania na Irani 🤲🤲🤲Amin amin
Mbwa nyie
@@AlexGwiha mbwa wewe unabweka naona
Hatumtaki apambene na hali yake ,
@@AlexGwihaKafiri hua hana akili
Mikafir ishazoea kuambiwa ifungendowa za jinsia moja apo mikafir akili zako zilipo akili zao kama za wanyama@@AlexGwiha
Mashallah uislamu utasimama tu kwauwezo wa mungu
AAMIN IN SHAALLAH MUNGU AWAFANYIE WEPESI MWENYE NGUVU NI ALLAH NA MWENYE MAAMUZI NIYEYE ALLAH NIMIMI MAAMUMA
Arusha one radio mnafanya kazi nzuri sana Mungu awalipe sawa na juhudi zenu aaamin yaarabil aalamin
Amin
Hutba yenye mashiko na hekma🇹🇿🇹🇿
Mashaallah kiongozi
Mashallah Allahu 3🎉🎉🎉
WALLAH mwenye Akili hawezi kukwepa maneno yaliyojaa hekima na busara kama haya.
Arusha Radio mpo vizuri sana, Ndg yeti Awadhi jitokeze hadharani ,chapa mwendo huko mbele utatangaza kwenye vyombo vikubwa vya habari duniani.
Ahsante sana
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Allaah akujaalie mwisho mwema kaka awadhi rashid nakupenda unavyo tafsir
Amin kwako pia
Mimi ni sunni.lakini utuba hii imebeba ujumbe kamili wakutumwa vitabu na mitume wa mungu
👏👏👏👏👏
Maashallah!
Shukran Kaka Awadhi kwa umahiri wako wa utangazaji, Allah akubariki na akuzidishie. Tukopamoja mpaka Allah atakapo tufikisha.
Amin
Nimeipenda sana hii hutuba
Amiin-amiin-amin
Awadh Rashid... Allah akuweke kwa Mapenz yakee
Amin
Kaka awadhi rashidi maashaallaah uko vizuri napenda sana jinsi unavyo tafsiri lugha mbali mbali yaani kama mzungumzaji amehutubia kwa lugha ya kiswahili
Shukran mkuu
Daaaaah maneno mazito mpaka moyo wangu hauwezi kuyabeba
Mashalla mungu awape nguvu wote wanaodgulimiwa
"adui wetu NI mmoja akianza kwangu kesho anakuja kwako na vita ni tofauti kulingana na nchi dah
Swadakta ndugu Mohammed Ali. Huo ndo uhalisia.
❤❤❤❤❤❤❤
Asante
Tunakuamini kiongozi wetu koumeney
Mashaallah
Insha allah kaka mtangazaji ❤❤❤❤
shukulani sana kaka awazi mungu akuhifazi nakupe malipo yaziada duniani na akhela pia
Amin kwetu sote
Hongera sana
🎉🎉🎉 kazi nzuri kaka
Pamoja sana
Kaongea vzr sana
Safi sana
Mzee khaminey
@@MatumlaMatumla ata kula chuma tuu
@@OnesmoEphrataHakuna atakae baki ktk duniahii makafiri huwa mnaogopa sana kufa kwakua mnajua mnakwenda wapi
Ewe Allah tunakuomba umlinde Mkuu huyu wa Iran Ayatullah Khamenei. Aaamin
allahaqbar
MaashaAllah
Mashallah
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hameney mashaalh🎉🎉🎉🎉
Hutuba inamazingatio kwa watu wenye akili
ALLAHUMA AMEN 🙏
Hutuba ya mwaka ❤❤❤
Allahu akbar😭😭😭
Uislamu ndo mfumo sahihi ndyomaana watu waovu mashoga wanajua uislamu ukitawala hawatapata nafasi ya kufanya maaswi yao
Lini umma wetu wakisuni tutakuwa na viongozi mfano wa Hawa wakishia
Sisi tubaki kuhusudiana yule motoni huyu peponi msikiti ule ni watu wa maulid huku ndio wetu kukoseana heshima
Ashura one redio numb1
Pamoja mkuu
Mwamba huyo anaongea
Aiseee! inaumiza saana pale haki inapodhulumiwa kiongozi kaonesha ni jinsi gani anaumia kuona viongozi wanaopigania haki za ardhi za watu kuuliwa k wa kisingizio cha magaidi
Allahu akibar ✊✊
😥😥😰😥😥😢
Huu ni muda muafaka kwa waislaamu kuungana na kuacha Tofauti Zao ili kuikomboa Palestina, kwani waislaamu woote Duniani ni ndg,, njia yetu imani yetu ni Moja na Mola wetu ni Moja kwa maana hii Lazima tukiwa waumini wa Dini Moja Lazima Tuungane ili kuikomboa Palestina na sehem zingne zinazokaliwa kwa mabavu na madhalimuu !!!!!😢😢😢😢
Wako na confidence ona imam anazungumz na kuskizwa
Uwez pigana na taifa teule israel mnajidanganya
Watu weusi awapo iran
😂😂😂😂 mna kitu apo unashidwa kuwalinda watu wako napigwa kama ngoma 😂😂😂
Chuki tupu
Tatizo wanaoripoti Vita wanatoka takwimu za waraabu tu Ila za izraili hawatoi kwa uwazi lkin naamini kwamba nao wankufa wengi
Watu weusi awapo iran?
Sadam Hussain naye alikuwa anasema hayo hayo ati tutayashinda haya makafiri hakika mwenyezi Mungu yuko upande wetu alafu mwisho wa siku akaangamia yeye.
Unaama Gani kwamba WEWE unajua utakufa lini?
Bora sadamu amekufa anapigania nchi yake,,sasa hatujui wewe utakufa ukiwa na hali gani
Hajaangamia Sadam tulia we kafiri
Hakikaa ,tuumeghafirika. Sana ndio maana tunaonewa sana
Huwezi ona mtu mweusi hapo ila sasa zipo ng'ombe kwakujipendekeza
Ayo mane yetu wote.kwa ubinada dunia inatakiwa iwe na amani.japo inakuuma ww mwisrael.
@@jumamussantuiche Mimi ni Mwafrika sio mwiisrael naamini katika Uafrika na siamini hawa wageni walotutawala
Ameongea vyema sana . Si lazima awepo Mtu mweusi hapo Iran si Bara la Africa, na sio usa ni Binadamu kama Binadamu wengine ila nimejifunza irani ina umoja Mno
Ukipata mda Sach andika khutuba ya mwisho ya mtume sikilizia ilikua fupi
Kweli wewe ni mtumwaa wa kifikra kitu gani alichoumbiwa mweupe or mweusi binaadam wote ni sawa kama utakuwa na familia au watoto ndio utajuwa kwanini tupigania haki itendeke na kuwee na amani hakuna anaependa vita nazani wewe bado unaamini islamic na dini ya warabu lakini kumbuka wa islam wana kitabu je wewe unakitabu gani hakuna kitabu kinacho itwa bibilia na kama kipo mtume gani aloshushiwa bibilia? Hao wa yahudi hata kumuamini Jesus hawamuamini nawala hawafati mafundisho yake wanaifata taurati na vile vile pia hawakifati na wayahudi wa ssa ni wazungu sio wale waliongelewa kwenye vitabu
Msaudia amenyamaza .... Hao wasuudi walimpinga mtu mpaka sahii wamekubali kukaliwa
My take aways
1. Siku ambayo Saudia, Yemen, UAE, Jodan, Lebanon wakiamua kuungana na Iran kwa sauti moja, basi US atarudi nyuma maili mia na hapo ndipo Israel itakacha kushambulia wapalestina na watakubali uhuru kamili wa Taifa la Palestine...
2. Taifa la Iran ndio Taifa Imara zaidi Kijeshi, Kiintelejensia na Kiuchumi mashariki ya kati
3. Ayatollah Ali Khamenei anafaa kua kiongozi wa Waislam duniani kote
4. Shia ni dhehebu la waislam wasomi, wenye akili sana na uchumi mkubwa, na sivyo kama inavyoaminishwa kua ni washenzi
Israel itabaki Israel hata mfanyeje wale watu wamebarikiwa hebu fikiria niwachache lakini wamejaliwa akili maarifa na wanaisumbua Dunia sembuse ilani
Ii kesi wakirsto haiwahusu
Mkiristo anaishabikia israel
Wakati wenyewe wanamjua
Yesu kama mtoto haramu fatilia historia uje ubishane
Sisi masunni tumebaki kuhusudiana Kuraddiana kukuseana heshima...
Subiri israeli amalize kupiga hamas na hezbola vita itaingiya irane kama.iran ana nguvu aingiye mara moja vitani na israeli atajuwa nguvu ya israeli siyo leho ama jana israeli anapigana na ichi za kyarabu ushindi ningambo ya israeli thu?
Chanzo cha yoote ni wewe mwenyewe ayatollah kuwafadhi majambazi ili watekuteze taifa teule. Huwez shindana na Mungu
MUDA MCHACHE UJAO HAYO MADEVU YATANYOLEWA NA MOSSAD,IRAN NDIE SHETANI ALIEBAKI TUTAWAPIGA NA IRANI TUTAPAFUGIA NGURUWE,PUMBAVU
Sema nyie wakristo amjielew uyo unaemuona mjanja anamjua yesu kama mtoto wa haramu
kwenini huyo mzee anawatuma magadi kusambulia islaeli wakipigwa unaansa kuse wayaudi wakorofi wakati mwanzirishi ni wewe kaa uturie uwaongoze watu kwa hekima na upendo sio unakua mchochesi
Kaeni apo na upumbavu wenu eti mungu mtakuja muishe na uyo mjinga wenu eti anaitwa allah kajificha anaogopa mabomu pumbavu nyote makafili wakubwa ngoja muuwawe mpaka muishe kenge nyie
SUBIRI KISASI CHA ISRAEL ,MTAJINYEA,B-2- BOMBER.NDEGE HATARI DUNIANI ZITAKUFIKIA HAPO KITANDANI,MWISHO WA SHETANI UMEFIKA
Shia wanatukana maswaiba wa mtume,shia r wakristo ni wenzetu,waajemi
HUYU MZEE NDIE SHETANI AMBAE MOSSAD WANAMUWINDA,SIKUSINYINGI ATAKWENDA KABURINI,MUNGU WA WAPI ? HUYU NI SHETANI
Wewe kafiri unaye shabikia makafiri na mashoga wenzio wenye kumwaga damu za watu wasikuwa na hatia, mnaogopa kufa sana , utadhani mliumbiwa hii dunia kukaa milele! Ama waislamu kufa katika kuipigania haki ni utukufu na heshima kwetu mbele za Mungu mlezi, hivyo tunaitafuta daraja hiyo tukufu.
Lakini unatakiwa kufahamu wewe kafiri, kwamba kuuliwa viongozi wetu hawa ndiko kunakoipa nguvu njia yetu, na isingekuwa hivyo hata huyo uliyemuita shetani kwa ujinga wako usingemuona hapo alipo fika maana washauliwa viongozi wengi kabla yake. Dhuluma haiwezi kudumu.
Naupenda uislamu
Hebu angalia ili uone ukweli
Israel ameua watoto wachanga lakini Iran kapiga Kambi za jeshi tu ingawa alikua anaweza kuipiga Israel
Israel itawamaliza siku zako zinahesabika wewe, wewe ndio umeingiza hawa watu wote kwa shida kuwafundisha kuchukia watu damu Yao iko kwenye mikono yako,mtajua Mungu wa Israel ni mkubwa,,tena mbona huyo allah hajawapigania hiyo vita amewaacha mkafa 😅
Awadh Rashid upo wapi siku zote hizo?
Nipo mkuu tunawapikia vitu vizuri
Mwamba anaemtegemea mola pekee kasimama imara mkombozi wa wanyongee
❤❤❤❤
Mashaallah
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Utakua Una firwa Sio bure
Njoo kwenye uislamu
❤❤❤