KWA KISWAHILI HOTUBA YA AYATOLLAH ALI KHAMENEI- "ISRAEL KUUWA VIONGOZI SI KITU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 окт 2024

Комментарии • 158

  • @bakarisahede9532
    @bakarisahede9532 3 дня назад +17

    Awadh Rashidi mtangazaji bora ktk maishayangu nduguyangu unasauti inayovutia ktk maskio yamsikilizaji dah Allah akufanyie wepesi inshaallah ktk maisha yako

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um Час назад +1

    MASHAALLAH HOTUBA INASISIMUA ARUSHA REDIO MOLA MTUKUFU AWABARIKI

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 3 дня назад +7

    Hutuba iliyo jaa khekima na Imani kwa wenye hofu ya Mungu. Mashaallah.

  • @HusnaMtitiko-yt4ru
    @HusnaMtitiko-yt4ru 3 дня назад +8

    Husbunallah Wane'mali wakil 🤲🇵🇸🍉

  • @bakarisahede9532
    @bakarisahede9532 3 дня назад +10

    Maashallah Allah yupo pamoja na nasisi wooote tunaomizwa na dhurma inayoendelea mashariki yakati Allah atafanya wepesi inshaallah

  • @NasriSeif-j4m
    @NasriSeif-j4m 3 дня назад +7

    Hakika hii hutba ipo vzri imetukukaa hswa. Hutuba za Marais wngi naskilza kupitia ww ila hii sijaipatia mfano wke. Pia kka na ww upo vzri sna mashallah

  • @AmosMarwa-b9q
    @AmosMarwa-b9q 3 дня назад +6

    Daaah! Hotuba kaliiii na yenye kwitia moyo penye kukata tamaa ebwana wee daah mungu awabariki sana

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 4 часа назад +3

    MA SHA ALLAH… mtangazaji upo vizuri saaana. ALLAH akuzidishie na akupe umri mrefu.🤲🌹

  • @azizmiraji2610
    @azizmiraji2610 2 часа назад +1

    Hutuba nzuri masha Allah waislam ni wataki sasa tusikamane wote tuwe kitu kimoja hizi hitirafu tulizonazo tuziweke pembeni wote tushikamane kwaajili laa ila hailallah

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 3 дня назад +13

    Kwa hili lazima tuungane ,tofauti zikae pembeni ,maana lengo la adui kuubomoa uislamu

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 3 дня назад +7

    Mashaallah 😭😭kaka Awadhi Allah akuifadhi inshaallah 🎉🎉

  • @KingsMoha-l9w
    @KingsMoha-l9w 3 дня назад +7

    Mpo vzr mashaallah Arusha fm

  • @rehemahamza-l5u
    @rehemahamza-l5u 3 дня назад +13

    Arusha Redio mpo viziri Alla akufanyieni wepesi❤❤❤❤❤

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 дня назад +7

    Ayatolar Khamenee Mungu Ampee Maisha marefu

  • @rehemahamza-l5u
    @rehemahamza-l5u 3 дня назад +8

    MashaAllah

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 3 дня назад +8

    Hotuba iliyonyooka kabisaa ❤❤❤

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 3 дня назад +5

    Kweli mtu wa mungu huyu❤

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 3 дня назад +7

    Mashaallah, Allahu Akbar.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 3 дня назад +10

    huyu ndio kiongozi kwelikweli ,uongonzi wa kiislam

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 23 минуты назад

    Alhamdulillah Yaraab tujaliye tuwe miongoni mwawajawema Amiin yaraab tupe sbra sabiti

  • @ramadhanjuma610
    @ramadhanjuma610 3 дня назад +4

    Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar 😭 😭😭😭😭😭😭😭

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 3 дня назад +12

    Hii hutba ni kali hatari yaani imenisisimua ewe Muumba mbingu na ardhi ipe nguvu Iran ipe nguvu tanzania tupe uhusiano mzuri Kati ya tanzania na Irani 🤲🤲🤲Amin amin

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha 3 дня назад +1

      Mbwa nyie

    • @AllykhamisAlly-nq5jk
      @AllykhamisAlly-nq5jk 3 дня назад +1

      ​@@AlexGwiha mbwa wewe unabweka naona

    • @rogasianshayo3740
      @rogasianshayo3740 3 дня назад +1

      Hatumtaki apambene na hali yake ,

    • @bakarisahede9532
      @bakarisahede9532 3 дня назад

      ​@@AlexGwihaKafiri hua hana akili

    • @DohaQatar-w4t
      @DohaQatar-w4t 3 дня назад

      Mikafir ishazoea kuambiwa ifungendowa za jinsia moja apo mikafir akili zako zilipo akili zao kama za wanyama​@@AlexGwiha

  • @MwinyiJuma-n4i
    @MwinyiJuma-n4i 11 часов назад +1

    Mashallah uislamu utasimama tu kwauwezo wa mungu

  • @Iddi-c2u
    @Iddi-c2u 12 часов назад +1

    AAMIN IN SHAALLAH MUNGU AWAFANYIE WEPESI MWENYE NGUVU NI ALLAH NA MWENYE MAAMUZI NIYEYE ALLAH NIMIMI MAAMUMA

  • @bakarisahede9532
    @bakarisahede9532 3 дня назад +4

    Arusha one radio mnafanya kazi nzuri sana Mungu awalipe sawa na juhudi zenu aaamin yaarabil aalamin

  • @HamadJuma-kj5td
    @HamadJuma-kj5td 3 дня назад +7

    Hutba yenye mashiko na hekma🇹🇿🇹🇿

  • @jayputini2731
    @jayputini2731 3 дня назад +6

    Mashaallah kiongozi

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 3 дня назад +5

    Mashallah Allahu 3🎉🎉🎉

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Час назад +1

    WALLAH mwenye Akili hawezi kukwepa maneno yaliyojaa hekima na busara kama haya.

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 3 дня назад +3

    Arusha Radio mpo vizuri sana, Ndg yeti Awadhi jitokeze hadharani ,chapa mwendo huko mbele utatangaza kwenye vyombo vikubwa vya habari duniani.

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Час назад

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 дня назад +2

    Allaah akujaalie mwisho mwema kaka awadhi rashid nakupenda unavyo tafsir

  • @VyumvyeohoreIssa
    @VyumvyeohoreIssa 3 дня назад +4

    Mimi ni sunni.lakini utuba hii imebeba ujumbe kamili wakutumwa vitabu na mitume wa mungu

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 3 дня назад +6

    👏👏👏👏👏

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 дня назад +1

    Maashallah!
    Shukran Kaka Awadhi kwa umahiri wako wa utangazaji, Allah akubariki na akuzidishie. Tukopamoja mpaka Allah atakapo tufikisha.

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 3 дня назад +4

    Nimeipenda sana hii hutuba

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 дня назад +4

    Amiin-amiin-amin

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 2 дня назад +2

    Awadh Rashid... Allah akuweke kwa Mapenz yakee

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 дня назад +1

    Kaka awadhi rashidi maashaallaah uko vizuri napenda sana jinsi unavyo tafsiri lugha mbali mbali yaani kama mzungumzaji amehutubia kwa lugha ya kiswahili

  • @SelemaniIssah-p2g
    @SelemaniIssah-p2g 12 часов назад +2

    Daaaaah maneno mazito mpaka moyo wangu hauwezi kuyabeba

  • @hassanmohd5070
    @hassanmohd5070 2 дня назад +1

    Mashalla mungu awape nguvu wote wanaodgulimiwa

  • @MohammedAli-ud8so
    @MohammedAli-ud8so 3 дня назад +5

    "adui wetu NI mmoja akianza kwangu kesho anakuja kwako na vita ni tofauti kulingana na nchi dah

  • @huseinsaidy3871
    @huseinsaidy3871 3 дня назад +2

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @ShekhanSaid
    @ShekhanSaid 3 дня назад +5

    Asante

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su 3 дня назад +4

    Tunakuamini kiongozi wetu koumeney

  • @nassorabdallahomar8526
    @nassorabdallahomar8526 2 дня назад +1

    Mashaallah

  • @ShabaniMbwana-fz3rm
    @ShabaniMbwana-fz3rm Час назад

    Insha allah kaka mtangazaji ❤❤❤❤

  • @hizzasheshe3209
    @hizzasheshe3209 3 дня назад +1

    shukulani sana kaka awazi mungu akuhifazi nakupe malipo yaziada duniani na akhela pia

  • @abubakarnyerere5263
    @abubakarnyerere5263 3 дня назад +4

    Hongera sana

  • @SarhaSaid
    @SarhaSaid 3 дня назад +3

    🎉🎉🎉 kazi nzuri kaka

  • @rizgramsen
    @rizgramsen 3 дня назад +3

    Kaongea vzr sana

  • @salimchum8572
    @salimchum8572 3 дня назад +4

    Safi sana

  • @MatumlaMatumla
    @MatumlaMatumla 3 дня назад +9

    Mzee khaminey

    • @OnesmoEphrata
      @OnesmoEphrata 3 дня назад

      @@MatumlaMatumla ata kula chuma tuu

    • @bakarisahede9532
      @bakarisahede9532 3 дня назад +1

      ​@@OnesmoEphrataHakuna atakae baki ktk duniahii makafiri huwa mnaogopa sana kufa kwakua mnajua mnakwenda wapi

  • @meekman1805
    @meekman1805 2 дня назад +2

    Ewe Allah tunakuomba umlinde Mkuu huyu wa Iran Ayatullah Khamenei. Aaamin

  • @madahaayoub107
    @madahaayoub107 3 дня назад +3

    allahaqbar

  • @huseinsaidy3871
    @huseinsaidy3871 3 дня назад +1

    MaashaAllah

  • @wastarangayonga8562
    @wastarangayonga8562 2 часа назад

    Mashallah

  • @doktamathew
    @doktamathew 3 дня назад +3

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @asiaswalehe
    @asiaswalehe 2 дня назад +1

    Hameney mashaalh🎉🎉🎉🎉

  • @ahmedmakame1687
    @ahmedmakame1687 3 дня назад +4

    Hutuba inamazingatio kwa watu wenye akili

  • @marckmasassi7466
    @marckmasassi7466 2 дня назад +1

    ALLAHUMA AMEN 🙏

  • @suhadsalim5528
    @suhadsalim5528 2 дня назад +1

    Hutuba ya mwaka ❤❤❤

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 29 минут назад

    Allahu akbar😭😭😭

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 3 дня назад +3

    Uislamu ndo mfumo sahihi ndyomaana watu waovu mashoga wanajua uislamu ukitawala hawatapata nafasi ya kufanya maaswi yao

  • @VyumvyeohoreIssa
    @VyumvyeohoreIssa 3 дня назад +3

    Lini umma wetu wakisuni tutakuwa na viongozi mfano wa Hawa wakishia

    • @muktarkassim6647
      @muktarkassim6647 10 часов назад

      Sisi tubaki kuhusudiana yule motoni huyu peponi msikiti ule ni watu wa maulid huku ndio wetu kukoseana heshima

  • @MatumlaMatumla
    @MatumlaMatumla 3 дня назад +3

    Ashura one redio numb1

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 3 дня назад +4

    Mwamba huyo anaongea

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 3 дня назад +1

    Aiseee! inaumiza saana pale haki inapodhulumiwa kiongozi kaonesha ni jinsi gani anaumia kuona viongozi wanaopigania haki za ardhi za watu kuuliwa k wa kisingizio cha magaidi

  • @ShabaniNuru-o1y
    @ShabaniNuru-o1y 3 дня назад +3

    Allahu akibar ✊✊

  • @erickrakitic9113
    @erickrakitic9113 День назад

    😥😥😰😥😥😢

  • @Shabaniomari-f9l
    @Shabaniomari-f9l 11 минут назад

    Huu ni muda muafaka kwa waislaamu kuungana na kuacha Tofauti Zao ili kuikomboa Palestina, kwani waislaamu woote Duniani ni ndg,, njia yetu imani yetu ni Moja na Mola wetu ni Moja kwa maana hii Lazima tukiwa waumini wa Dini Moja Lazima Tuungane ili kuikomboa Palestina na sehem zingne zinazokaliwa kwa mabavu na madhalimuu !!!!!😢😢😢😢

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 10 часов назад

    Wako na confidence ona imam anazungumz na kuskizwa

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 14 часов назад +1

    Uwez pigana na taifa teule israel mnajidanganya

  • @MatumlaMatumla
    @MatumlaMatumla 3 дня назад +1

    Watu weusi awapo iran

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 3 дня назад +3

    😂😂😂😂 mna kitu apo unashidwa kuwalinda watu wako napigwa kama ngoma 😂😂😂

    • @MusaJosephi
      @MusaJosephi 8 часов назад

      Chuki tupu

    • @MkasiAli-v6w
      @MkasiAli-v6w 3 часа назад

      Tatizo wanaoripoti Vita wanatoka takwimu za waraabu tu Ila za izraili hawatoi kwa uwazi lkin naamini kwamba nao wankufa wengi

  • @MatumlaMatumla
    @MatumlaMatumla 3 дня назад +1

    Watu weusi awapo iran?

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 3 дня назад +1

    Sadam Hussain naye alikuwa anasema hayo hayo ati tutayashinda haya makafiri hakika mwenyezi Mungu yuko upande wetu alafu mwisho wa siku akaangamia yeye.

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 2 дня назад

      Unaama Gani kwamba WEWE unajua utakufa lini?

    • @SelemaniIssah-p2g
      @SelemaniIssah-p2g 12 часов назад

      Bora sadamu amekufa anapigania nchi yake,,sasa hatujui wewe utakufa ukiwa na hali gani

    • @mustafaibrahim5200
      @mustafaibrahim5200 Час назад

      Hajaangamia Sadam tulia we kafiri

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 2 часа назад

    Hakikaa ,tuumeghafirika. Sana ndio maana tunaonewa sana

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 3 дня назад +4

    Huwezi ona mtu mweusi hapo ila sasa zipo ng'ombe kwakujipendekeza

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 3 дня назад +4

      Ayo mane yetu wote.kwa ubinada dunia inatakiwa iwe na amani.japo inakuuma ww mwisrael.

    • @joshuajofrey9832
      @joshuajofrey9832 3 дня назад

      @@jumamussantuiche Mimi ni Mwafrika sio mwiisrael naamini katika Uafrika na siamini hawa wageni walotutawala

    • @eliasndomba7937
      @eliasndomba7937 3 дня назад +4

      Ameongea vyema sana . Si lazima awepo Mtu mweusi hapo Iran si Bara la Africa, na sio usa ni Binadamu kama Binadamu wengine ila nimejifunza irani ina umoja Mno

    • @nickbrown8350
      @nickbrown8350 3 дня назад +2

      Ukipata mda Sach andika khutuba ya mwisho ya mtume sikilizia ilikua fupi

    • @AbudullaSulieman-ez7dl
      @AbudullaSulieman-ez7dl 3 дня назад +2

      Kweli wewe ni mtumwaa wa kifikra kitu gani alichoumbiwa mweupe or mweusi binaadam wote ni sawa kama utakuwa na familia au watoto ndio utajuwa kwanini tupigania haki itendeke na kuwee na amani hakuna anaependa vita nazani wewe bado unaamini islamic na dini ya warabu lakini kumbuka wa islam wana kitabu je wewe unakitabu gani hakuna kitabu kinacho itwa bibilia na kama kipo mtume gani aloshushiwa bibilia? Hao wa yahudi hata kumuamini Jesus hawamuamini nawala hawafati mafundisho yake wanaifata taurati na vile vile pia hawakifati na wayahudi wa ssa ni wazungu sio wale waliongelewa kwenye vitabu

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 10 часов назад

    Msaudia amenyamaza .... Hao wasuudi walimpinga mtu mpaka sahii wamekubali kukaliwa

  • @omarykitenge8283
    @omarykitenge8283 День назад

    My take aways
    1. Siku ambayo Saudia, Yemen, UAE, Jodan, Lebanon wakiamua kuungana na Iran kwa sauti moja, basi US atarudi nyuma maili mia na hapo ndipo Israel itakacha kushambulia wapalestina na watakubali uhuru kamili wa Taifa la Palestine...
    2. Taifa la Iran ndio Taifa Imara zaidi Kijeshi, Kiintelejensia na Kiuchumi mashariki ya kati
    3. Ayatollah Ali Khamenei anafaa kua kiongozi wa Waislam duniani kote
    4. Shia ni dhehebu la waislam wasomi, wenye akili sana na uchumi mkubwa, na sivyo kama inavyoaminishwa kua ni washenzi

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Час назад

    Israel itabaki Israel hata mfanyeje wale watu wamebarikiwa hebu fikiria niwachache lakini wamejaliwa akili maarifa na wanaisumbua Dunia sembuse ilani

  • @IddyMassa
    @IddyMassa 8 часов назад

    Ii kesi wakirsto haiwahusu
    Mkiristo anaishabikia israel
    Wakati wenyewe wanamjua
    Yesu kama mtoto haramu fatilia historia uje ubishane

  • @muktarkassim6647
    @muktarkassim6647 10 часов назад

    Sisi masunni tumebaki kuhusudiana Kuraddiana kukuseana heshima...

  • @IsmailBagayabakwe-bb1pl
    @IsmailBagayabakwe-bb1pl 2 дня назад +1

    Subiri israeli amalize kupiga hamas na hezbola vita itaingiya irane kama.iran ana nguvu aingiye mara moja vitani na israeli atajuwa nguvu ya israeli siyo leho ama jana israeli anapigana na ichi za kyarabu ushindi ningambo ya israeli thu?

  • @didaslunkoto
    @didaslunkoto 3 часа назад

    Chanzo cha yoote ni wewe mwenyewe ayatollah kuwafadhi majambazi ili watekuteze taifa teule. Huwez shindana na Mungu

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 2 дня назад +1

    MUDA MCHACHE UJAO HAYO MADEVU YATANYOLEWA NA MOSSAD,IRAN NDIE SHETANI ALIEBAKI TUTAWAPIGA NA IRANI TUTAPAFUGIA NGURUWE,PUMBAVU

    • @IddyMassa
      @IddyMassa 8 часов назад

      Sema nyie wakristo amjielew uyo unaemuona mjanja anamjua yesu kama mtoto wa haramu

  • @marysanga5310
    @marysanga5310 11 часов назад

    kwenini huyo mzee anawatuma magadi kusambulia islaeli wakipigwa unaansa kuse wayaudi wakorofi wakati mwanzirishi ni wewe kaa uturie uwaongoze watu kwa hekima na upendo sio unakua mchochesi

  • @bellasi349
    @bellasi349 42 минуты назад

    Kaeni apo na upumbavu wenu eti mungu mtakuja muishe na uyo mjinga wenu eti anaitwa allah kajificha anaogopa mabomu pumbavu nyote makafili wakubwa ngoja muuwawe mpaka muishe kenge nyie

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 2 дня назад +1

    SUBIRI KISASI CHA ISRAEL ,MTAJINYEA,B-2- BOMBER.NDEGE HATARI DUNIANI ZITAKUFIKIA HAPO KITANDANI,MWISHO WA SHETANI UMEFIKA

  • @JohnKaliagi
    @JohnKaliagi 2 часа назад

    Shia wanatukana maswaiba wa mtume,shia r wakristo ni wenzetu,waajemi

  • @MOSESIMCHUNGUZI
    @MOSESIMCHUNGUZI 2 дня назад +1

    HUYU MZEE NDIE SHETANI AMBAE MOSSAD WANAMUWINDA,SIKUSINYINGI ATAKWENDA KABURINI,MUNGU WA WAPI ? HUYU NI SHETANI

    • @NganziSalimu
      @NganziSalimu День назад

      Wewe kafiri unaye shabikia makafiri na mashoga wenzio wenye kumwaga damu za watu wasikuwa na hatia, mnaogopa kufa sana , utadhani mliumbiwa hii dunia kukaa milele! Ama waislamu kufa katika kuipigania haki ni utukufu na heshima kwetu mbele za Mungu mlezi, hivyo tunaitafuta daraja hiyo tukufu.
      Lakini unatakiwa kufahamu wewe kafiri, kwamba kuuliwa viongozi wetu hawa ndiko kunakoipa nguvu njia yetu, na isingekuwa hivyo hata huyo uliyemuita shetani kwa ujinga wako usingemuona hapo alipo fika maana washauliwa viongozi wengi kabla yake. Dhuluma haiwezi kudumu.

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 10 часов назад

    Naupenda uislamu
    Hebu angalia ili uone ukweli
    Israel ameua watoto wachanga lakini Iran kapiga Kambi za jeshi tu ingawa alikua anaweza kuipiga Israel

  • @simonkimeu6818
    @simonkimeu6818 2 дня назад +2

    Israel itawamaliza siku zako zinahesabika wewe, wewe ndio umeingiza hawa watu wote kwa shida kuwafundisha kuchukia watu damu Yao iko kwenye mikono yako,mtajua Mungu wa Israel ni mkubwa,,tena mbona huyo allah hajawapigania hiyo vita amewaacha mkafa 😅

  • @yahyadenny4368
    @yahyadenny4368 3 дня назад +2

    Awadh Rashid upo wapi siku zote hizo?

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 9 часов назад +1

    Mwamba anaemtegemea mola pekee kasimama imara mkombozi wa wanyongee

  • @allysalehkhamis73
    @allysalehkhamis73 3 дня назад +3

    ❤❤❤❤

  • @zuberikasonso4104
    @zuberikasonso4104 3 дня назад +3

    Mashaallah

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Час назад

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @HassanLimbwenda
    @HassanLimbwenda 3 дня назад +5

    ❤❤❤