CHANGAMKIENI FURSA ZA MIKOPO YA MATREKTA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Pass Leasing imewataka Wakulima kuchangamkia fursa ya mikopo ya vifaa vya Kilimo hususani Matrekta, ili kuendana na ulimaji wa kisasa na wenye tija.

Комментарии • 14

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r Месяц назад

    Nawapata sana , lakin mbona cpea au vipul vya iyo powe tella hujaweka waz upatikanaji wake

  • @HamisPaul-j2r
    @HamisPaul-j2r Месяц назад

    Kwan power tella n bei gani

  • @user-sv8kx3wk2x
    @user-sv8kx3wk2x 26 дней назад +1

    Nipo singida tanzania nitaipataje pia ni bei gan pia mashart yakoje

    • @user-sv8kx3wk2x
      @user-sv8kx3wk2x 26 дней назад

      Naomba mnijibu niweze jua maana nahitaj sana

  • @danieltelesphory
    @danieltelesphory 4 месяца назад

    Namba zenu please mbona hamtoi

  • @Amani7160
    @Amani7160 3 месяца назад

    Napataje mkopo wa pawatila 16 hp naomba utatibu

  • @Ahamadh-v1e
    @Ahamadh-v1e 4 месяца назад

    Mbn hamutaji bei zake munataja asilimia tu

  • @JacobErnest-vk7me
    @JacobErnest-vk7me 10 месяцев назад

    Wapi hiii inapatikana

  • @SheyoZumba
    @SheyoZumba 5 дней назад

    Mbeya mpo wapi

  • @henrymwazembe4083
    @henrymwazembe4083 8 месяцев назад

    Niko musoma mara, nahitaji Mkopo wa powertiler

  • @danielmwakatumaakimu1050
    @danielmwakatumaakimu1050 6 месяцев назад

    Naomba mamba ya cimu ya Whatsapp.

  • @simoninmwangatwa5127
    @simoninmwangatwa5127 Год назад

    Kwa keshi na sh ngapi na kwa dar mpo wapi?

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 7 месяцев назад

    Nitaipaja pawatila Mimi Niko tabola

  • @AthumaniMchenje
    @AthumaniMchenje 7 месяцев назад

    Naitwa juma napatikana tabola naitaji pawatina