𝗥𝗔𝗗𝗗𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗘𝗟𝗜𝗠𝗨 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗢𝗞𝗧𝗔 𝗜𝗦𝗟𝗔𝗠 𝗪𝗔 𝗠𝗢𝗠𝗕𝗔𝗦𝗔! 𝗪𝗘𝗡𝗚𝗜𝗡𝗘 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗪𝗔𝗝𝗜𝗕𝗨 𝗡𝗜 𝗩𝗜𝗙𝗔𝗥𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗩𝗬𝗔 معتزل

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 22

  • @IshaqaKhamis
    @IshaqaKhamis 25 дней назад

    Wallah shaykh qaasimu nakupenda Kwa ajili ya Allah Allah akupe umri mrefu wenye manfaa naallah akufishe katika hii njia aliyokuwafikisha Allah kuipita manhaji ssalaf

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379 12 дней назад +1

    Kajibiwa mpaka.sai nafkiri Sheikh Mafuta anaona haya..
    Dr Islam sio class yenu..Chuki muache

  • @kipandeseifu3755
    @kipandeseifu3755 10 дней назад

    Sheikh Qasim inatakiwa utaraajaa Kwasababu umetoa nakiapo kua hawezi kukujibu na amekujibu Kwa Kuandika vitabu

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina6718 8 дней назад

    KWA VILE ULITUMA CLIP KUMCHAFUA DR ISLAMU KUWA NI MUONGO,
    IMEBAINIKA AKIYE SEMA MANENO HAYO NDIYE MUONGO
    ,RUDD UANDIKE
    MUFT WA PONGWE AMZURIA UONGO DR

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад

    7unaku7e9emea sheikh we7u wenie hasad waka7ie mbali

  • @user-dj1os5ib8x
    @user-dj1os5ib8x 10 дней назад

    Jamani mm ni mwanasunna kindaki ndaki lkn kitendo cha kujibu kila sheikh wa kisufi au hizbi lkn Muhammad bachu hamumjibu wallah mm moyo wangu nawahic vibaya au anawazidi elimu hamuwez kumjibu au shida ninini? Naomba mwenye chanel hii hata yeye anijibu hili swali kama anaweza kunijibu. Swali jee kwann masheikh woote wa kisuf na mahizbi mnawajibu lkn huyu kijana ndo sasa anatamba hajibiwi.

    • @sabrizamilalmendhry
      @sabrizamilalmendhry  10 дней назад

      Mbona amejibiwa sana tu na ataendelea kujibiwa ikionekana inafaa na Ustadh Abul Abbas Hasan Waziri Soloka!

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Месяц назад

    Kwani ukidadd2 alipokosea haitoshi? Haya maneno sjui una mashaka na na Uduktuur wake umetoka wapi?

  • @masoudabdallah9878
    @masoudabdallah9878 Месяц назад

    hamna dini apo

  • @mobilespecialschool4216
    @mobilespecialschool4216 Месяц назад

    hayo sio maswali kwa dr. wewe umekaza akili kuelewa sisi tushaelewa inatosha

  • @babatchi9169
    @babatchi9169 Месяц назад

    Kama namuona hizb wa zanziba akiumia kwa ku7o 7ajwa na sheikh ana7amani a7a Kama an9alau a7ajwe kwa ubaia

    • @abrahmanhamad3253
      @abrahmanhamad3253 29 дней назад

      Jifundishe kuandika kwanza halafu ndio uchati kwenye you tube

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Месяц назад

    Wewe kama una Elimu, elimisha watu. Huna ya kuzungumza mpaka umseme Dr.Islam ??!!! Wewe si una una hati miliki ya Salafiya? Elimisha watu waujue Usalafi. Acha mizozo na utoto ushakuwa.

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 27 дней назад

      Kwa hiyo ruddud si katika elimu?

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 27 дней назад

      @@AbuwSuhaylahSalafiy Sijasema hivyo, hata nilichokiandika kiko wazi. Lakini ukiazimia kubadili kwa mafhumu yako. Hiyo ni uamuzi wako. Shukran.

    • @AbuwSuhaylahSalafiy
      @AbuwSuhaylahSalafiy 27 дней назад +1

      @@ahmadmzoa74 Hakipo wazi umeleta madai ambayo unatakiwa uyathibitishe umemtuhumu kwamba ana hati miliki ya salafiyyah, ki vipi si uyathibitishe hayo madai yako sasa?

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 27 дней назад

      @@AbuwSuhaylahSalafiy Bila shaka nna Imani wewe una uelewa katika Dini yetu hii Tukufu ya Kiislamu. Mimi sina tuhuma kwani ni mtu ninae mkubali Abul Fadhwli nina flash iliyosheheni darsa zake (ALLAH A'ZZA WAJALLA Amuongoze na pia Atuongoze sote).Lakini Amekosa:"Al Adalatul I'lmiyya".Anapokosea nnasema amekosea. Na kuona kwamba hakosei hayo yanakuwa mapungufu ya kiaqida. Mwenendo wake kimuala katika Usulubu wa Daawat Salafiya hauko sawa.Baadhi kauli zake zinakhaalif Manhaj Assalafi Asswalih.Sikulazimishi kukubali au kukataa. Huu ndo msimamo wangu. Elimu ndo kitu kinachoweza kumuweka Muumin huru. Shukran.