CHIFU WA KINYAKYUSA WAKE 70, WATOTO 150, ASILI YA WANYAKYUSA NI CAMEROON- MWAKATUMBULA AELEZA.
HTML-код
- Опубликовано: 4 янв 2022
- #BahariaTV #Kabilalawanyakyusa #Chifu Mwakatumbula
...............................................................................................
wanyakyusa songs, wanyakyusa vichekesho, wanyakyusa comedy, wanyakyusa mwingi, wanyakyusa nyimbo, wanyakyusa msibani, wanyakyusa na tabia zao, kabila la wanyakyusa, wanyakyusa wakilia msibani,wanyakyusa mwingi sana,wanyakyusa vituko, vituko vya wanyakyusa,historia ya wanyakyusa,ngoma za wanyakyusa,kwaya ya wanyakyusa,tabia za wanyakyusa
Cheef anajua kujieleza hongera mwakatumbula
Mambo ambayo mnyakyusa anayo tangu kale tofauti na makabila mengine ni ukarimu,usafi ,ushirikiano kama indimya,ulutato,ulutimo,ukulila ifwa nu uluseko(sherehe) hata hivi wanyaky wanazo amri saba za Mungu kati ya amri kumi hata kabla ya kuzaliwa Bwana Yesu ,mfano kuheshimu wazazi,kutoua,kuheshimu mke wa jiarani maana walikuwa wakisafiri kwenda migodini huku mke na Mali zote zimeachwa atunze jirani bila madhara yoyote japo kwasasa upotevu umeingia na nk
ndaga fijo mweee kwa kutujuza nilikuwa sjui na Mimi ni msanii wa uko ila naishi zanzibar ndaga fijo fijo ila pakaja kubusokelo lukwekogo. June ambele Stanton mwakingwe nimefhi Sana Sana
Kweli jamani hawa wa ileje machifu❤
Chief anaijua vema Historia, pongezi sana kwake Chief Barto Mwakatumbula
Good job mmenifundisha history,ndagha fijo
Asante sana Mr Mwakabungu siku nyingine tunaomba wakutajie makabila yenye utani na wanyakyusa
Asante Kwa habar, mung azid kuwapa afya njema mzid kutuhabarisha Zaidii 🔥🔥🔥
Mwanangu uko vzr unakumbukumbu sana ongera
Makala iko vzuri, thanks
Historia nzuri sana chifu umesimulia vizuri
Nashukuru sana kujua asili yangu kama mnyakyusa sikujua kwamba tulitokea Cameron
Historian Iko vizuri
Safi history nzuri mno
napenda sana mabo yahistoria
upo vizuri.sana chief unaongea vizuri sana
Nashauri hayo majengo yatunzwe kihisoria
asante Sana kutuhabarisha historia ya wanyakyusa na machifu wake
Naomba, baraka uje mpata
Kazi nzuri mr.Baraka Mwakabungu
Nice job
Mwaipaja 🙌🏾🙌🏾
Good history ❤❤❤❤
My uncle chief Joel mwakatumbula
Hapo ktkt ulinzi shirikishi ni uchawi mtupu
Ukweli mtupu nimechoka kwa nguvu
Nice bro
Thanks very much
Nimekupata vema
Nafurahi kuifahamu historia ya kabila langu
By the way good story 👏👏👏👏
Hapo umedanganya brother majengo unayoonyesha SI hayo majengo yaliyojengwa Ni ofisi za DC sio ofisi za mkurugenzi unazozionyesha pia tatizo lao hao machief Ni wachawi
Ndagha ghwakukajha
Twebabo ,Mwalafyale
ndipo hapa ne mwakabulufu
Mwee nhobbwike naloli
Mimi ni chief wa 6
Undumiana ujo ikwikasya fijo isyo momumo fijo isyoajobhile maoni yangu serikali isiyapoteze majengo hayo yaboreshwe kama kumbukumbu kwa vizazi vyote ikiwemo na kuienzi lugha ya kinyakyusa,
Tungeomba muende masukulu tupate historia ya chief Mwakibwili pia
Face camera Brother from the beginning
chief anaongea sana
😃😃
Puzzle naona camera imetulia Mbarikiwe sanaaa
Ndaga mwakatumbula kukaja
Tofautisha mughonile na ughonile tafadhali
Mbona ujamhoji aliemkunja chifu kilimkuta nn
Kukaja kumasoko
Puzzle naona camera imetulia Mbarikiwe sanaaa
Wanyakyusa onyee nimeipenda