Makala: Yafahamu Maisha ya Maalim Seif, milima na mabonde

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #MaalimSeif #InnaLillahWainnaIlayhiRajion

Комментарии • 25

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 3 года назад

    Nadhani wali mdhulum kwa sababu ina onyesha vipi hapa wa Zanzibari wanavyo mlilia subhana Allah Mwenye Enzi Mungu amrehemu amlaze pema peponi amjaalie katika as'habul yamiin ampe kauli thabit yaarab ampe kitabu chake kwa mkono wake wa kulia. Allahumma ameen yaarab. Inna lillahi wa inna ilayhi rajiun

  • @zahrahemed9171
    @zahrahemed9171 3 года назад

    Allah akusamehe makosa yk na ukulaze mahali pema peponi Amin ya rabil alamin

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 3 года назад +1

    Innalillah waina lillah rajiun

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande3958 3 года назад

    رحمه الله

  • @maryamomar8972
    @maryamomar8972 3 года назад

    Inna lilah wainna ilah rajighuna mungu akulaze mahali pema peponi amin amin

  • @yahyashaib5116
    @yahyashaib5116 3 года назад

    Innalilahi waina ilahi Rajiun Allah akupe safari njema tutakukumbuka kwa mengi

  • @aizaksportsfirst6562
    @aizaksportsfirst6562 3 года назад

    Pumzika maalim daima tutakukumbuka

  • @khalidhassan906
    @khalidhassan906 3 года назад

    Unauma cn kwa msiba huu duu Allah atufanyie wepes ktk safari yetu ila kusema ukwl inaumaaaaaa inallahi wainnaillah rajiun

  • @geofreymwaijonga
    @geofreymwaijonga 3 года назад

    😭😭😭 Pumzika kwa amani Maalim Seif Sharif Hamad.

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 3 года назад +1

    Maali chaguzi zote alishinda ila hakupewa tu, na ccm wanajua ilo

  • @nassirabdy4503
    @nassirabdy4503 3 года назад +1

    mutatoa story nyingi za kumuhusu Maalim seif ila ukweli hamutousema

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande3958 3 года назад

    Historic

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 2 года назад

    Umeongea kwa wasio elewa wataamini hivyo lakini kwa wsnaojua ukweli inakera kupitia maelezo kusema uongo

  • @mohamedsheikh6618
    @mohamedsheikh6618 2 года назад

    Ni nani jasiri wa kusema kweli katika wa gombea wote wa ccm walioshindsna na maalim, jee ni kweli hakuwahi kushinda, na kama alishinda hakupewa Leo mnajiskiaje baada ya kumaliza mihula yenu ya ulaji

  • @mussamc641
    @mussamc641 3 года назад

    Hahawah kushindwa ila zulma tuu ..na wataenda kujibu mbele ya Allh ..maana najua . Ss nafsi zitawsokota wenyewe ..maana ndo mungu ashamuhitaji ..

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 года назад

    Huyu ndie mpigania haki wa kweli, katka siasa, pumzika kwa amani

  • @kassimhemed349
    @kassimhemed349 3 года назад

    Saf

  • @MohamedAli-ds8uz
    @MohamedAli-ds8uz 3 года назад

    Ccm hawajawahi mshinda huyo hata sikumoja

  • @mohammednassor3081
    @mohammednassor3081 3 года назад

    Madhalim mutamlipa haki yake

  • @hamidomar7474
    @hamidomar7474 3 года назад

    ALISHINDWA KAKWAMBIYA NAN

  • @bakariahmadi9645
    @bakariahmadi9645 3 года назад

    Walimdhurimu 2 alishinda chaguzi zoote

  • @wazirhussein3751
    @wazirhussein3751 3 года назад

    ...nenda kwa mzee, mzalendo, jasiri, msomi mwanadrosia...sote niwa mng na kwake tutarudi...

    • @jemsichali5437
      @jemsichali5437 3 года назад

      Jama mbona kama alikua anatetemeka au ni kamera.