MAMBA WA AJABU: KAONEKANA BAHARINI KIGAMBONI "KAPIGWA RISASI 3 HAJAFA, TUMEONA DAMU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 393

  • @esperancakombat7797
    @esperancakombat7797 4 года назад +6

    Dah....bas imekuwa hata Australia wapo.....embu gonga like aliona wabongo wengi wanaishi Australia hapa

  • @Evo_Tv1
    @Evo_Tv1 4 года назад +26

    Hongera Sana Millard Ayo
    1: kufikisha viewer's billion 1
    2: kufikisha subscribers millions 3
    Viva Ayo Viva

    • @mchopsmagott1754
      @mchopsmagott1754 4 года назад +1

      Video ipi ya Millard iliyofikisha viewer's bil 1?..naomba unifahamishe kuhusu hilo

    • @Evo_Tv1
      @Evo_Tv1 4 года назад +1

      @@mchopsmagott1754 tunaposema viewers tunamaanisha total number of viewers, ambapo saa hii bilion plus,
      Na ni Chanel namba moja ya Media tz na East Africa kufikisha subscriber million 3 plus
      Viva Ayo Viva

    • @yeyothegreat8277
      @yeyothegreat8277 4 года назад

      Viewers bil 1 wapi am not hating I love millard ayo lkn badooo

    • @annamwakibinga3190
      @annamwakibinga3190 4 года назад

      Hongera Ayo

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 4 года назад +44

    Scientific name: Crocodylus porosus
    Saltwater Crocodile.
    Common in India east coast
    Lifespan: 70yrs

  • @wilfredkuyonza675
    @wilfredkuyonza675 4 года назад +16

    Upuuzi kwanini wawaue inamaana askari wa wanyama pori hawana dawa za kuwazimisha kisha wapakiliwe wapelekwe sehemu husika kuwaua ni ukiukaji wa haki za wanyama serikali ilione hili

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 4 года назад +26

    Mamba kaonekana kizazi cha smartphone lakini hakuna picha hata 1. 😆

    • @phineruge3480
      @phineruge3480 4 года назад +3

      Mi mwenyewe imenishangaza kdg au ni kwa7bu hiyo sehem ni ya wavuvi hawana Smartphone🙈🙈🙈

    • @agathathobias8690
      @agathathobias8690 4 года назад +4

      huyo mamba angeonekana Arusha wahuni wangepiga naye picha

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 4 года назад +2

      @@agathathobias8690 😀😀😀😀kabisaaa

    • @saumuhassan6365
      @saumuhassan6365 4 года назад +2

      Kwakweli 😂😂😂

    • @itshaluastyle
      @itshaluastyle 4 года назад +1

      Na mie ndio Nawaza hadi nahisi hasira sim zipo wapi😬😬

  • @ZuwenaRamadhani-eu2gb
    @ZuwenaRamadhani-eu2gb Год назад

    Mungu awatangulie ktk kazi zenu kikubwa Dua

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 4 года назад +3

    Baharini Kuna Mito pia
    Au Hamjui hapo Kigamboni
    Kuna Mito Mingi sana Imepita ndani ya bahari

  • @zawadsaid3642
    @zawadsaid3642 4 года назад

    Hatari cn

  • @rayfaakim1920
    @rayfaakim1920 4 года назад +5

    Huyo konkii konkii konkii masta mamba oil chafu kamata hao wadudu 😂😂👌👌

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA

  • @jacksonmalolage9476
    @jacksonmalolage9476 4 года назад +4

    Mamba nae kaingia mkenge kipind hiki😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 4 года назад +12

    WEWE UMEAKIA WAPI ! MAMBA BAHARINI TENA DUUUUH.

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 4 года назад +1

      Wapo wanaoweza kukaa kwenye maji ya chumvi, wengi sana Australia na ufuko wa India.

    • @jumabakari4422
      @jumabakari4422 4 года назад

      Mamba wa maji chumvi wapo

  • @joetz2019
    @joetz2019 4 года назад +19

    Wangemkagua vizuri
    Sio msanii wa KONDE GANG kweli?
    😂😂😂😂

  • @mariabora1358
    @mariabora1358 4 года назад

    Hmm duh her nusu shar kuliko shar kamili

  • @alisele5299
    @alisele5299 4 года назад +5

    Mamba Wapo kitambo tu Baharini millard ayo tv ndioilikuwa bado duniani

  • @othmanchuma6613
    @othmanchuma6613 4 года назад

    Big up mwanangu mikacholi ndamba nice broo good job.

  • @haroubselemani5578
    @haroubselemani5578 4 года назад

    Siyo mamba wa ajabu,,sema ajabu ya mamba kuonekana baharini

  • @qassimayoub3954
    @qassimayoub3954 4 года назад +3

    Mamba yupo kweli m nipo vijibweni

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 4 года назад +3

    Katokea mtongani huyooo😂😂😂

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu5087 4 года назад +15

    😂😂😂Sio Konki master huyo jamani? Maana siku hizi adimu ,ndo kaja kiuhalisia wake kujikikilisha

  • @t1910j
    @t1910j 4 года назад +29

    Wanaitwa salt water crocodiles. Wapo sana Australia na nchi zingine.

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA

    • @tafadhalisubscribe3714
      @tafadhalisubscribe3714 4 года назад

      @@smgfamilygroup2414 Wajenzi Wa Aina Mbili👣 ruclips.net/video/nReeolZ2f70/видео.html

    • @aisha-ro5fr
      @aisha-ro5fr 4 года назад

      😂😂unatupeleka makosaaa

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 4 года назад +1

      @ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 6 месяцев назад

    Mamba hapo niwengi sana wanatokea mto mzinga

  • @matthewjohn5108
    @matthewjohn5108 4 года назад +4

    Huyo kiongozi mbona muongo risasi itapalua mamba kwel 😀😀😀 labda iwe risasi ya mpira sio AK 47 😄😄

    • @wemaroy1535
      @wemaroy1535 4 года назад +1

      Haki nmecheka iyoo Ak 47 polini Kama huku zfate nini c serikar ingelingaaa

  • @mudigames5479
    @mudigames5479 4 года назад +4

    Duh! Kumbe risasi zinadunda kwa mamba 😃 suti ya ngozi ya mamba on trend😂

  • @babawema7630
    @babawema7630 4 года назад +8

    Siendi tena Baharini 🤔

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda8907 4 года назад +1

    Jamaa CD inascrach balaaaaaa 🏄

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    Mmmmh janani,mamba baharini,mbona mauzauza..au ndo mabadiliko tabia nchi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @subiramohd1895
    @subiramohd1895 4 года назад +8

    Haa na zanzibar alionekana mbio nyingi hakupatikana sijui kama hakufika huko ndo huyo mtihani

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 4 года назад +3

    Isije kuwa kenge uyo 😂😂😂

  • @asmasalum3517
    @asmasalum3517 4 года назад +1

    mamba kweli yupo jamani ninaishi hapahapa darajani kigamboni

  • @jenifamligo5199
    @jenifamligo5199 4 года назад

    Nomaaaa

  • @marynyerere919
    @marynyerere919 4 года назад +3

    Mamba anauwawa ukimpiga na silaha chini sehemu ya tumbo maana ndio kuna ngozi laini.

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 4 года назад +5

    Tumalize kwanza uchaguzi alafu turudi atueleze kafikaje fikaje hapo

  • @othmanchuma6613
    @othmanchuma6613 4 года назад

    Goods all of ayo tv.com

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 4 года назад +3

    Mi nashauli wasiwauwe, Kwanini wasiwatege au kuwapiga Misumari ya Usingizi kisha wawapeleke sehem husika!!?

  • @geofreysaidmboto1529
    @geofreysaidmboto1529 4 года назад

    Du huyo kweli ni wa ajabu

  • @khalidyndi
    @khalidyndi 4 года назад +3

    Dudu baya kapigwa risasi hajafaa ita kuwa kapiga konyagi

  • @gboymrgreen6618
    @gboymrgreen6618 4 года назад +1

    Mamba wetu kutoka 🇧🇮 anaitwa gistave😭😭😭😭😭

  • @frankbernard3354
    @frankbernard3354 4 года назад +2

    Daaaah halafu hiyo sehemu nilikuaga napenda Sana kwenda kupunga upepo jioni nikitoka kazini namshukuru Mungu kaninusuru na nilkua napenda Sana kwenda kukaa na demu wangu sehemu hiyohiyo hapa nilipo mwili unasisimka kumbe angetufanya msosi siku yeyote ile..😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 года назад +33

    Hivi kwann wanataka kumuua !!?? Kwanini wasimpige risasi ya kulala wampeleke kwenye hifadhi.......badae utaskia wananchi wanagawana nyama ,

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 года назад +3

    Twenzetu kigamboni😁😁

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 4 года назад +5

    Kamata wote Pelekeni Dar zoo kigamboni tuje kuwashangaa! Stop killing them! Idara ya wanyama pori mmepooza sana! Hatuoni makeke yenu kutetea wanyama!

  • @fimbomichael2231
    @fimbomichael2231 4 года назад +23

    Pale mto mzinga(msikitini)pamezibwa na utengenezaji wa mwendokasi,one day niliona pale watu wengi wakishuhudia tukio la mamba nahis n huyo huyo wa mto mzinga

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏..

    • @mubarakamuba376
      @mubarakamuba376 4 года назад +1

      Yaaa n uko ndipo alipotokea,

    • @muhmozah9060
      @muhmozah9060 4 года назад +1

      Eeh na mm hy sk nliona watu wamejazana inawezekana akawa n yeye

    • @sophiaoholo578
      @sophiaoholo578 4 года назад

      Hatari

    • @fimbomichael2231
      @fimbomichael2231 4 года назад

      @@sophiaoholo578 umeona eee

  • @jacksonmalolage9476
    @jacksonmalolage9476 4 года назад +1

    Uyo so mamba ni kka ake na kenge😁😁😁😁😂

  • @paschalcharles4109
    @paschalcharles4109 4 года назад

    Ndio huyo mamba ulietuwekea hpo kwel milla😂😂😂😂

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 года назад +6

    Wanyama nao wanajua kulipiza visasi...mkiwaua hao watakuja ukoo wao mzima kushambulia kigamboni ....,,

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣du 🤔 🤔

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Bongostarsearch-jj8nj
    @Bongostarsearch-jj8nj 4 года назад +3

    Jamani nipeni like namimi sina hata moja

    • @GAMER-wb6so
      @GAMER-wb6so 4 года назад

      😀😀😀😀

    • @juliusonesmomfumya8709
      @juliusonesmomfumya8709 4 года назад +1

      Kwel kuna watu duniani inabd ucheke,watu wanajadili inshu za mamba we unaomba like duh

  • @suleimanali5677
    @suleimanali5677 4 года назад +1

    Mamba yupi kwani dudu baya au

  • @msodokithesantz1655
    @msodokithesantz1655 4 года назад +2

    Hata huku Zanzibar maneo ya nungwi alionekana mamba baharini

  • @salehejongo2799
    @salehejongo2799 4 года назад

    Kweli kabisa Mbagala wanajenga barabara na kule mbagala kilungule pia wanajenga barabara kweli kabisa mwananchi..

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 4 года назад +2

    Au anaudugu na dudubaya huyo😁😁😁😁

  • @shahibuhussein7351
    @shahibuhussein7351 4 года назад

    tanzania yy kila kitu kwenu huwaga ajab ulimwengu mzima unajua mamba anauwezo wakuingia mtoni na baharini kadhalika mumekosa kazi yakufamya

    • @nuruabdallah9031
      @nuruabdallah9031 4 года назад

      Ndio mjue Tanzania ni nchi pekee iliyo na Aman kuliko zote .....atujazoe pulukushani

    • @erastom5277
      @erastom5277 4 года назад

      @@nuruabdallah9031 safiii kbx😁😁

  • @sniperboy7098
    @sniperboy7098 4 года назад +2

    Hatari sanaaa

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 4 года назад +2

    Duuuh aisee wamkamate wampeleke mtoni

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 3 года назад

    Yani wanashangaa mamba kuwepo baharini?🤣🤣🤣

  • @josephojwang4387
    @josephojwang4387 4 года назад +12

    Shunguli imengia mdudu

  • @issaally8817
    @issaally8817 4 года назад +1

    toka nizaliwe ndio nasikia leo mamba kuishi baharini ila kiukweli siwezi kupinga hilo kuna mwaka nilienda huko kiukweli nafsi yangu iliingia hofu sana kuogelea nilihisi kuwepo kitu kama hicho kutokana na mazingira ya pale anaweza kweli mamba kuishi hiyo sehemu kumetulia sana na kuna mikoko mingi siwezi kulipinga hilo

    • @allycube7903
      @allycube7903 4 года назад

      Mamba wako weng ingia utube utaona andika salt crocodiles

  • @shabanimkuruma4607
    @shabanimkuruma4607 4 года назад

    Mnaingia kwenye mikoko kumsaka mamba😄😄😄😄😄kazi kwenu

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 4 года назад +15

    Dudubaya ataweza kumtoa huyo wajina wake

  • @rosekadanga3940
    @rosekadanga3940 4 года назад

    Hamna mamba

    • @lelekilele2
      @lelekilele2 4 года назад

      Huna akili au huna macho ni kimojawapo hapo

  • @salimkiembaemba8840
    @salimkiembaemba8840 4 года назад +2

    Kama hao mamba hawatopatikana basi dudu baya akamatwe🤣

  • @allyshaban9850
    @allyshaban9850 4 года назад

    Yan mm toka nazaliwa sija wahi sikia mamba kaonekana kwenye maji chumvi

  • @kilamegroup2968
    @kilamegroup2968 4 года назад

    Mamba wapo mzinga

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 4 года назад +5

    Aaaaaaah!,kumbu kuna mto pembeni basi nikawaida msikuze mambo

  • @fridakomba4133
    @fridakomba4133 4 года назад

    Hata huku mtoni mtongani kwenye mkondo wa bahari huwa anaonekana Sana mamba

  • @tundahatibu6738
    @tundahatibu6738 4 года назад +6

    Uyo amepelekw n maji yenyekas kwenye mikondo y mito

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 4 года назад

    Subhannallah, Mamba toka lini akaishi baharini😳😳

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 4 года назад

      Saumu Hassan wapo sana mamba wanaoishi baharini japo kwa pande za huko sifahamu, mamba wanaoishi baharini wanapatikana australia hata mimi mwanzo wa kuona documentary ndiyo nikaanza kuamini,asilimia kubwa africa tumezoea mamba wanaishi mtoni tu

  • @jacksonprince9672
    @jacksonprince9672 4 года назад

    Upuuz Kama huu najione kwa Mara ya kwanza Tanzania mamba baharin basi kesho tutambiwa pweza wa mto Ruvu

  • @jacksonamos2008
    @jacksonamos2008 4 года назад +9

    Mabaharia si wapo si mzamie kumsaka Haha ha

  • @bigmzazee2961
    @bigmzazee2961 4 года назад

    Baharini mamba😸

  • @abdulyabubakar6247
    @abdulyabubakar6247 4 года назад

    Jamani msimpige risasi dudu baya

  • @aminasalum1954
    @aminasalum1954 4 года назад

    Akitokea hapo mtangazaji utakimbia wew mpk uvunjike miguu

  • @yohnafanuel6489
    @yohnafanuel6489 4 года назад +1

    Juzi alikuwa hamornize chuga Leo Dudu baya kaonekana dar

    • @kweka14l35
      @kweka14l35 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @middleplatnumz3629
    @middleplatnumz3629 4 года назад

    Dudu baya kama Dudubaya is wanted

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 4 года назад +1

    Mtihani

  • @iffahbahet1499
    @iffahbahet1499 4 года назад +13

    Dudu baya anatafutwa

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 4 года назад

    Jamani mamba maji chunvi sijawahi sikia ndio leo nasikia huwa wanakaa ziwani maji baridi

  • @heptamuscleburn524
    @heptamuscleburn524 4 года назад

    Kumpiga risasi sio busara .. akamatwe apelekwe kwa mamba wenzake.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +1

    Uwii nn tena hichi😙😣

  • @rahmakishiwa1528
    @rahmakishiwa1528 4 года назад

    jin hilo tangu lin mamba akakaa baharin

  • @samwelnjironjiro2317
    @samwelnjironjiro2317 4 года назад +1

    Auwawe

  • @benardmwakilasa3969
    @benardmwakilasa3969 4 года назад +4

    Mbona ununio wameonekana mara kibao ..mnashangaaje maji chumvi

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏

  • @mikarospius8084
    @mikarospius8084 4 года назад

    Mamba aishi bahalini anaishi mtoni ayo ni mauzauza

  • @abuubakari1225
    @abuubakari1225 4 года назад

    Watotowasingiebaharini

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 5 месяцев назад

    Kama kuna mamba wawili ama watatu basi jueni kuwa hao mamba wameshazaliana. Hao si mamba wa maji baridi, kuna mamba wa maji chumvi acheni ushamba!

  • @ernestkomba4561
    @ernestkomba4561 4 года назад +10

    Killing the crocodile is a poor decisions.
    They could transfer him to the rivers in the reserve somewhere.
    Naona huruma sana.

    • @zaym7769
      @zaym7769 4 года назад +3

      Wa kumpeleka huko kwenye mto ni nani sasa? Wewe unafanya utani na mamba? 😀😀😀

    • @marynyerere919
      @marynyerere919 4 года назад +1

      Ernest Komba I agree with you.

    • @adilmohamed1784
      @adilmohamed1784 4 года назад +4

      Kill the killer before the killer kills you that's the only decision.

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 4 года назад

      We have lots of them but if you spare them they won't spare you

    • @barakabahati4315
      @barakabahati4315 4 года назад

      We jamaa umekulia mjini ,ungekua wa huku bush kyela usingesema hvoo, mamba hafai

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 4 года назад +18

    Nikenge aliyechangamka huyo

  • @ivanyjunior1471
    @ivanyjunior1471 4 года назад

    Kama umemsikia jamaa kama mkandara nipe like

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 7 месяцев назад

    Hiyo ilikuwa kivutio kikubwa sana

  • @abrahamdismas1580
    @abrahamdismas1580 4 года назад

    Dah! Jeba yupooo???

  • @samasob8233
    @samasob8233 4 года назад

    Saltwater crocodiles wapo!! Si imani za kishirikina, mwandishi, google bana, dah, Saadani national park upande wa bahari kuna mamba, mto pangani na baharini pale mamba. Risasi kama walitumia bunduki kawaida tu, huwezi kumuua

  • @wantangosaimon5295
    @wantangosaimon5295 4 года назад

    Mamba baharini duh hao watakuwa wa mtoni na kama mto mzinga bac watakuwa wamesafiri kutoka mbali sana

  • @babanjuru8738
    @babanjuru8738 4 года назад

    Jamaa mbona kiswahili ajui daaa Mtafute mtanzania jamaa atakuwa mburundi uyo

  • @zulekhaally3524
    @zulekhaally3524 4 года назад +3

    🤣🤣🤣😂😂Uyo atakuwa kenge tu

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏

    • @nuruabdallah9031
      @nuruabdallah9031 4 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣

    • @hadijalukas5959
      @hadijalukas5959 4 года назад

      @@smgfamilygroup2414 🤣🤣🤣🤣 jamani fanicha na mamba wapi na wapi

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 4 года назад

    Mamba hakai baharini acha uwongo

  • @frankafrica3973
    @frankafrica3973 4 года назад +2

    Mwezi ulio pita Huku mzinga Mbagara kuna Watu Waliona Mamba Pale Msikitini Binafsi Niliwabishia Sana Lkn kumbe Nikweli Daaah Kule kijichi Kote Siogi Tena

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA

  • @MikiGermany210
    @MikiGermany210 4 года назад

    Tunashindwa kumkamata mamba mpaka tunampiga risasi, serikali mnaua Mali asili

  • @zakyahya4645
    @zakyahya4645 4 года назад

    Siendi tena kwa iyo bahari

  • @muheza19
    @muheza19 4 года назад +1

    Hata Australia wako wanaitwa salty crocodile.

  • @johnpaulbugingo7387
    @johnpaulbugingo7387 4 года назад +4

    mh risasi na mamba 🤔🤨 inampalua hio haija ingia kwenye akilin

    • @smgfamilygroup2414
      @smgfamilygroup2414 4 года назад

      ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 4 года назад +2

    mamba kazama chumvini😎😂😂😂