@@mchopsmagott1754 tunaposema viewers tunamaanisha total number of viewers, ambapo saa hii bilion plus, Na ni Chanel namba moja ya Media tz na East Africa kufikisha subscriber million 3 plus Viva Ayo Viva
Upuuzi kwanini wawaue inamaana askari wa wanyama pori hawana dawa za kuwazimisha kisha wapakiliwe wapelekwe sehemu husika kuwaua ni ukiukaji wa haki za wanyama serikali ilione hili
Daaaah halafu hiyo sehemu nilikuaga napenda Sana kwenda kupunga upepo jioni nikitoka kazini namshukuru Mungu kaninusuru na nilkua napenda Sana kwenda kukaa na demu wangu sehemu hiyohiyo hapa nilipo mwili unasisimka kumbe angetufanya msosi siku yeyote ile..😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥
Pale mto mzinga(msikitini)pamezibwa na utengenezaji wa mwendokasi,one day niliona pale watu wengi wakishuhudia tukio la mamba nahis n huyo huyo wa mto mzinga
toka nizaliwe ndio nasikia leo mamba kuishi baharini ila kiukweli siwezi kupinga hilo kuna mwaka nilienda huko kiukweli nafsi yangu iliingia hofu sana kuogelea nilihisi kuwepo kitu kama hicho kutokana na mazingira ya pale anaweza kweli mamba kuishi hiyo sehemu kumetulia sana na kuna mikoko mingi siwezi kulipinga hilo
Saumu Hassan wapo sana mamba wanaoishi baharini japo kwa pande za huko sifahamu, mamba wanaoishi baharini wanapatikana australia hata mimi mwanzo wa kuona documentary ndiyo nikaanza kuamini,asilimia kubwa africa tumezoea mamba wanaishi mtoni tu
Saltwater crocodiles wapo!! Si imani za kishirikina, mwandishi, google bana, dah, Saadani national park upande wa bahari kuna mamba, mto pangani na baharini pale mamba. Risasi kama walitumia bunduki kawaida tu, huwezi kumuua
Mwezi ulio pita Huku mzinga Mbagara kuna Watu Waliona Mamba Pale Msikitini Binafsi Niliwabishia Sana Lkn kumbe Nikweli Daaah Kule kijichi Kote Siogi Tena
Dah....bas imekuwa hata Australia wapo.....embu gonga like aliona wabongo wengi wanaishi Australia hapa
Hongera Sana Millard Ayo
1: kufikisha viewer's billion 1
2: kufikisha subscribers millions 3
Viva Ayo Viva
Video ipi ya Millard iliyofikisha viewer's bil 1?..naomba unifahamishe kuhusu hilo
@@mchopsmagott1754 tunaposema viewers tunamaanisha total number of viewers, ambapo saa hii bilion plus,
Na ni Chanel namba moja ya Media tz na East Africa kufikisha subscriber million 3 plus
Viva Ayo Viva
Viewers bil 1 wapi am not hating I love millard ayo lkn badooo
Hongera Ayo
Scientific name: Crocodylus porosus
Saltwater Crocodile.
Common in India east coast
Lifespan: 70yrs
umefafanua vizuri
FAIDA ZA NYÀNYÀ CHUNGU ruclips.net/video/QomYpGki-ko/видео.html KWA WANAUME💥 🐲
Tumbo limeuma ghafla nilipo sikia scientific name ya mamba, CLASSIFICATION
Tumbo limeuma ghafla nilipo sikia scientific name ya mamba, CLASSIFICATION
@Youth Insider wewe 👀. 😂
Upuuzi kwanini wawaue inamaana askari wa wanyama pori hawana dawa za kuwazimisha kisha wapakiliwe wapelekwe sehemu husika kuwaua ni ukiukaji wa haki za wanyama serikali ilione hili
Mamba kaonekana kizazi cha smartphone lakini hakuna picha hata 1. 😆
Mi mwenyewe imenishangaza kdg au ni kwa7bu hiyo sehem ni ya wavuvi hawana Smartphone🙈🙈🙈
huyo mamba angeonekana Arusha wahuni wangepiga naye picha
@@agathathobias8690 😀😀😀😀kabisaaa
Kwakweli 😂😂😂
Na mie ndio Nawaza hadi nahisi hasira sim zipo wapi😬😬
Mungu awatangulie ktk kazi zenu kikubwa Dua
Baharini Kuna Mito pia
Au Hamjui hapo Kigamboni
Kuna Mito Mingi sana Imepita ndani ya bahari
Hatari cn
Huyo konkii konkii konkii masta mamba oil chafu kamata hao wadudu 😂😂👌👌
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA
Mamba nae kaingia mkenge kipind hiki😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
WEWE UMEAKIA WAPI ! MAMBA BAHARINI TENA DUUUUH.
Wapo wanaoweza kukaa kwenye maji ya chumvi, wengi sana Australia na ufuko wa India.
Mamba wa maji chumvi wapo
Wangemkagua vizuri
Sio msanii wa KONDE GANG kweli?
😂😂😂😂
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
😁😁😁😁
@@smgfamilygroup2414Mungu abariki kazi ya mikono yako.
Itakuwa kwakweli 😀😀😀
😂😂😂😂😂😂
Hmm duh her nusu shar kuliko shar kamili
Mamba Wapo kitambo tu Baharini millard ayo tv ndioilikuwa bado duniani
Big up mwanangu mikacholi ndamba nice broo good job.
Siyo mamba wa ajabu,,sema ajabu ya mamba kuonekana baharini
Mamba yupo kweli m nipo vijibweni
Katokea mtongani huyooo😂😂😂
😂😂😂Sio Konki master huyo jamani? Maana siku hizi adimu ,ndo kaja kiuhalisia wake kujikikilisha
Bwege wew😹😹
😂😂😂😂😂😂
Wanaitwa salt water crocodiles. Wapo sana Australia na nchi zingine.
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA
@@smgfamilygroup2414 Wajenzi Wa Aina Mbili👣 ruclips.net/video/nReeolZ2f70/видео.html
😂😂unatupeleka makosaaa
@ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
Mamba hapo niwengi sana wanatokea mto mzinga
Huyo kiongozi mbona muongo risasi itapalua mamba kwel 😀😀😀 labda iwe risasi ya mpira sio AK 47 😄😄
Haki nmecheka iyoo Ak 47 polini Kama huku zfate nini c serikar ingelingaaa
Duh! Kumbe risasi zinadunda kwa mamba 😃 suti ya ngozi ya mamba on trend😂
We mamba na ngozi yake ile kama ukutaafe kiulaisi ww
😁😁
Siendi tena Baharini 🤔
Jamaa CD inascrach balaaaaaa 🏄
Mmmmh janani,mamba baharini,mbona mauzauza..au ndo mabadiliko tabia nchi😂😂😂😂😂😂😂😂
Haa na zanzibar alionekana mbio nyingi hakupatikana sijui kama hakufika huko ndo huyo mtihani
Ni kwli mamba alionekana pale mnemba
😁😁
Isije kuwa kenge uyo 😂😂😂
mamba kweli yupo jamani ninaishi hapahapa darajani kigamboni
Nomaaaa
Mamba anauwawa ukimpiga na silaha chini sehemu ya tumbo maana ndio kuna ngozi laini.
Tumalize kwanza uchaguzi alafu turudi atueleze kafikaje fikaje hapo
Goods all of ayo tv.com
Mi nashauli wasiwauwe, Kwanini wasiwatege au kuwapiga Misumari ya Usingizi kisha wawapeleke sehem husika!!?
Du huyo kweli ni wa ajabu
Dudu baya kapigwa risasi hajafaa ita kuwa kapiga konyagi
Mamba wetu kutoka 🇧🇮 anaitwa gistave😭😭😭😭😭
Mjieni basi🥺
Daaaah halafu hiyo sehemu nilikuaga napenda Sana kwenda kupunga upepo jioni nikitoka kazini namshukuru Mungu kaninusuru na nilkua napenda Sana kwenda kukaa na demu wangu sehemu hiyohiyo hapa nilipo mwili unasisimka kumbe angetufanya msosi siku yeyote ile..😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥😥
🤣🤣🤣🤣
Pole sanaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁
😂
Hivi kwann wanataka kumuua !!?? Kwanini wasimpige risasi ya kulala wampeleke kwenye hifadhi.......badae utaskia wananchi wanagawana nyama ,
Hekima hilo wazo yako.
VIBE TZ 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣
Imenishangaza sana. Hatuna akili za kujiongeza.
Haina iyoo
Twenzetu kigamboni😁😁
Kamata wote Pelekeni Dar zoo kigamboni tuje kuwashangaa! Stop killing them! Idara ya wanyama pori mmepooza sana! Hatuoni makeke yenu kutetea wanyama!
Pale mto mzinga(msikitini)pamezibwa na utengenezaji wa mwendokasi,one day niliona pale watu wengi wakishuhudia tukio la mamba nahis n huyo huyo wa mto mzinga
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏..
Yaaa n uko ndipo alipotokea,
Eeh na mm hy sk nliona watu wamejazana inawezekana akawa n yeye
Hatari
@@sophiaoholo578 umeona eee
Uyo so mamba ni kka ake na kenge😁😁😁😁😂
😄😄😄😄😂
Ndio huyo mamba ulietuwekea hpo kwel milla😂😂😂😂
Wanyama nao wanajua kulipiza visasi...mkiwaua hao watakuja ukoo wao mzima kushambulia kigamboni ....,,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣du 🤔 🤔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani nipeni like namimi sina hata moja
😀😀😀😀
Kwel kuna watu duniani inabd ucheke,watu wanajadili inshu za mamba we unaomba like duh
Mamba yupi kwani dudu baya au
Hata huku Zanzibar maneo ya nungwi alionekana mamba baharini
Kweli kabisa Mbagala wanajenga barabara na kule mbagala kilungule pia wanajenga barabara kweli kabisa mwananchi..
Au anaudugu na dudubaya huyo😁😁😁😁
tanzania yy kila kitu kwenu huwaga ajab ulimwengu mzima unajua mamba anauwezo wakuingia mtoni na baharini kadhalika mumekosa kazi yakufamya
Ndio mjue Tanzania ni nchi pekee iliyo na Aman kuliko zote .....atujazoe pulukushani
@@nuruabdallah9031 safiii kbx😁😁
Hatari sanaaa
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Duuuh aisee wamkamate wampeleke mtoni
Yani wanashangaa mamba kuwepo baharini?🤣🤣🤣
Shunguli imengia mdudu
😂🔥😂
toka nizaliwe ndio nasikia leo mamba kuishi baharini ila kiukweli siwezi kupinga hilo kuna mwaka nilienda huko kiukweli nafsi yangu iliingia hofu sana kuogelea nilihisi kuwepo kitu kama hicho kutokana na mazingira ya pale anaweza kweli mamba kuishi hiyo sehemu kumetulia sana na kuna mikoko mingi siwezi kulipinga hilo
Mamba wako weng ingia utube utaona andika salt crocodiles
Mnaingia kwenye mikoko kumsaka mamba😄😄😄😄😄kazi kwenu
Dudubaya ataweza kumtoa huyo wajina wake
.😹😹
Hahaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hamna mamba
Huna akili au huna macho ni kimojawapo hapo
Kama hao mamba hawatopatikana basi dudu baya akamatwe🤣
Hahahahahahaa
Yan mm toka nazaliwa sija wahi sikia mamba kaonekana kwenye maji chumvi
Mamba wapo mzinga
Aaaaaaah!,kumbu kuna mto pembeni basi nikawaida msikuze mambo
Hata huku mtoni mtongani kwenye mkondo wa bahari huwa anaonekana Sana mamba
Uyo amepelekw n maji yenyekas kwenye mikondo y mito
Subhannallah, Mamba toka lini akaishi baharini😳😳
Saumu Hassan wapo sana mamba wanaoishi baharini japo kwa pande za huko sifahamu, mamba wanaoishi baharini wanapatikana australia hata mimi mwanzo wa kuona documentary ndiyo nikaanza kuamini,asilimia kubwa africa tumezoea mamba wanaishi mtoni tu
Upuuz Kama huu najione kwa Mara ya kwanza Tanzania mamba baharin basi kesho tutambiwa pweza wa mto Ruvu
Mabaharia si wapo si mzamie kumsaka Haha ha
🤣🤣🤣🤣
Mm
Kufa awakujui sawa na makabuli awayaoni 😁😁😁😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Baharini mamba😸
Jamani msimpige risasi dudu baya
Akitokea hapo mtangazaji utakimbia wew mpk uvunjike miguu
Juzi alikuwa hamornize chuga Leo Dudu baya kaonekana dar
🤣🤣🤣🤣🤣
Dudu baya kama Dudubaya is wanted
Mtihani
Dudu baya anatafutwa
😄😄😄
Jamani mamba maji chunvi sijawahi sikia ndio leo nasikia huwa wanakaa ziwani maji baridi
Kumpiga risasi sio busara .. akamatwe apelekwe kwa mamba wenzake.
Uwii nn tena hichi😙😣
Et mamba.......
jin hilo tangu lin mamba akakaa baharin
Auwawe
Mbona ununio wameonekana mara kibao ..mnashangaaje maji chumvi
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Mamba aishi bahalini anaishi mtoni ayo ni mauzauza
Acha ubishi skiliza maelezo
Watotowasingiebaharini
Kama kuna mamba wawili ama watatu basi jueni kuwa hao mamba wameshazaliana. Hao si mamba wa maji baridi, kuna mamba wa maji chumvi acheni ushamba!
Killing the crocodile is a poor decisions.
They could transfer him to the rivers in the reserve somewhere.
Naona huruma sana.
Wa kumpeleka huko kwenye mto ni nani sasa? Wewe unafanya utani na mamba? 😀😀😀
Ernest Komba I agree with you.
Kill the killer before the killer kills you that's the only decision.
We have lots of them but if you spare them they won't spare you
We jamaa umekulia mjini ,ungekua wa huku bush kyela usingesema hvoo, mamba hafai
Nikenge aliyechangamka huyo
😄😄😄
😂😂😂
@ruclips.net/video/zuPzr5WXG5A/видео.html
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hivi kenge anaweza kuishi kwenye maji chumvi?
Kama umemsikia jamaa kama mkandara nipe like
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
Hiyo ilikuwa kivutio kikubwa sana
Dah! Jeba yupooo???
Saltwater crocodiles wapo!! Si imani za kishirikina, mwandishi, google bana, dah, Saadani national park upande wa bahari kuna mamba, mto pangani na baharini pale mamba. Risasi kama walitumia bunduki kawaida tu, huwezi kumuua
Mamba baharini duh hao watakuwa wa mtoni na kama mto mzinga bac watakuwa wamesafiri kutoka mbali sana
Jamaa mbona kiswahili ajui daaa Mtafute mtanzania jamaa atakuwa mburundi uyo
🤣🤣🤣😂😂Uyo atakuwa kenge tu
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
🤣🤣🤣🤣
@@smgfamilygroup2414 🤣🤣🤣🤣 jamani fanicha na mamba wapi na wapi
Mamba hakai baharini acha uwongo
Mwezi ulio pita Huku mzinga Mbagara kuna Watu Waliona Mamba Pale Msikitini Binafsi Niliwabishia Sana Lkn kumbe Nikweli Daaah Kule kijichi Kote Siogi Tena
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA
Tunashindwa kumkamata mamba mpaka tunampiga risasi, serikali mnaua Mali asili
Siendi tena kwa iyo bahari
Hata Australia wako wanaitwa salty crocodile.
mh risasi na mamba 🤔🤨 inampalua hio haija ingia kwenye akilin
ABARI NDUGU SAMAHANI NAOMBA MSADA WA SUBSCRIBE CHANNEL YANGU MIMI NI FUNDI FANICHA 🙏
mamba kazama chumvini😎😂😂😂
😂😂😂 chumvini.