RC MSTAAFU MWANAJESHI AUTAKA UBUNGE, AFUATA BARAKA ZA MAMA YAKE ''MWANANGU BADO UNAHAMU NA KAZI'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июл 2020

Комментарии • 69

  • @mahamudmhawi2731
    @mahamudmhawi2731 3 года назад +7

    Hii nzuri kukumbuka kwa mama baraka toshaaa mnooooo hongera mzee

  • @giriadbirusha7006
    @giriadbirusha7006 3 года назад +3

    Nakupenda sana mkuu wangu mstaafu wa mkoa Kigoma. Ninakuombea sana kwa Mungu upite kwa kishindo jimboni kwako. Natamani na ninapenda sana kuendelea kukuona ukijenga nchi hata kama umestaafu. Mungu akufungulie njia na awe na wewe daima, Amen. Asante Millard Ayo kwa updates za huyu ndugu. 🤝

  • @KigomaTV.
    @KigomaTV. 2 года назад

    Nakumiss mzee wangu Maganga😭😭 nakumbuka hii video nimefanya Mimi Asante kwa kuniamini kwa Kila kitu toka kigoma Hadi mvomero bado unaishi moyoni mwangu kusema ukweli.

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 3 года назад +3

    bibiangu mzuri Mungu akubariki sana.Nakupenda wazee na watoto hasa wanaoishi kwa mazingira mangumu!! Mungu niwezeshe siku moja nifanye jambo kubwa kwao!! Naomba maombi yenu Wapendwa siku moja nirudi kutoa shukrani hapa 13-07-2020

  • @sophiaalex7792
    @sophiaalex7792 3 года назад

    Pole sana bibi mungu akutie nguvu nimekuona kunke
    Umehuzunika sana bibi mshukuru mungu kwakila jambo

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 3 года назад +2

    Milad ayo tuko pamoja nawewe kwa kaziyako safi

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 3 года назад +1

    Namiye nakuombea mungu ushinde kwa kishindo aaamiiinaaa

  • @yusufumajinge59
    @yusufumajinge59 3 года назад +5

    Mzazi makini sana huyu aisee kizazi hiki tusikiache kipotee.

  • @patriciamaganga3891
    @patriciamaganga3891 3 года назад

    Mungu akupe pumziko la amani Amina

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 3 года назад +7

    Huyu mama anaongea kwa akili sana

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 3 года назад +2

    Hongera saana bibi kwa Maisha yako...

  • @texastexas2545
    @texastexas2545 3 года назад +9

    We nimzee wang lkn nakufatilia sa na uko vzr' nautashnda kwa kishindo na Bibi yetu Mola ambalik

  • @alandoanthony8730
    @alandoanthony8730 3 года назад +1

    Hii ndio maana halisi ys mtoto kwa hakui,65 yrs lakin kwa mama ni mtoto tu anapewa shule ya Mungu wa Yakobo

  • @masrergaudens3967
    @masrergaudens3967 3 года назад +1

    Nakushauri upumzike maana kule Bungeni utasikia usingizi mzito.

  • @markolazaro2561
    @markolazaro2561 3 года назад

    Daaaaaah maneno ya huyu bibi mazito saana.Bwana ampe hatua sana

  • @loishockmeitamei8344
    @loishockmeitamei8344 3 года назад +4

    Endelea Mkuu, bado una hazina ya kutumika kwa Watanzania

  • @stvenkiwili6630
    @stvenkiwili6630 3 года назад +3

    Kumbe ukisitaafu unataka kazi nyingine

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 3 года назад

    Sawa Mkuu unastahili tena sana All the best

  • @idawakisambivi7747
    @idawakisambivi7747 3 года назад +7

    Hiyo ndio shida ya kuingiza wanajeshi kwenye siasa, lazima atatamni zaidi

    • @jeanmubemba1204
      @jeanmubemba1204 3 года назад +3

      haman wanajeshi hawana tamaa ni mtu anajiona anafaa anagombea sio mbaya ,afande maganga ana uzoefu mkubwa

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 3 года назад +2

      Brother , wazungu wanasema you are stricking personalities ...

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 3 года назад +3

      Mwanajeshi ni mtanzania,tusiwe na akili za leo...kesho kutwa tutaja jisuta.Hoja je anastahili.

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 3 года назад +2

    Bado sukuma ndani

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 3 года назад

    Mm yupo vizuri na mungu

  • @piusjuma7384
    @piusjuma7384 3 года назад

    Mzee ninakubali Sana hata marehemu baba yangu Paschal mpondi aliyekuwa askar jeshi katika kambi ya navy kigambon,kigoma pamja na mirambo barracks aliwai kunizungumzia kuhusiana na utendaji wako wa kazi na utu wako

  • @mothernatureanditsbeauty5603
    @mothernatureanditsbeauty5603 3 года назад

    Huyu mzee alikuwa candidate mwenzangu Jimbo la Mvomero. 😁🤣

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 3 года назад

    Kuna Jamaa, sehemu moja hivi limeandika vitu naona vinatokea sasa

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 3 года назад +3

    Aaa,kumbe mchongo,!!!!!!!!!

  • @charlesmwambisya2397
    @charlesmwambisya2397 3 года назад +1

    Ongera sana

  • @allyarussinga803
    @allyarussinga803 3 года назад +2

    Mzee ni vizur upumzike umeshatumikia sana taifa inatosha

  • @xerxespersian1384
    @xerxespersian1384 3 года назад

    NAMKUBALI SANA MZEE HUYU
    HUYU MZEE NI MIONGONI
    MWA WATU WENYE NGUVUU

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 3 года назад

    Mama nimekuelewa sana umeingea mambo mazri sana sana.

  • @HASASON
    @HASASON 3 года назад +2

    Huyu anafaa Kigoma aliipaisha

  • @swaleheamri2303
    @swaleheamri2303 3 года назад

    Dawa.

  • @najathakajumulo8429
    @najathakajumulo8429 3 года назад

    Jamani mbona nafsi zenu haziridhiki mpumzikeni na wenzenu wale.

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn5162 3 года назад +2

    Ila maza wa uyu RC ni mbabe

  • @athumanikaroyo5999
    @athumanikaroyo5999 3 года назад +1

    Machozi yamenitoka kiongozi kua mmyenyekevu kwa mama yake na mama ni mama

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese6128 3 года назад

    Mpaka octoba tutaona maigizo mengi. nijuavyo wanasiasa wapo location

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 3 года назад

    Mkuu ndoto hua Haifi labda kwanaoishi bila kujua mungu aliwaleta kwaajili gani hapa duniania. Nikikuangalia wewe na kaka yangu wa sabini na moja . Mnafanana tuuu

  • @barakafidelisfidelis7451
    @barakafidelisfidelis7451 3 года назад

    Ukovizuli Mzee kunavitu najifunza kwako

  • @rckkajuna2144
    @rckkajuna2144 3 года назад

    Saw

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 3 года назад

    Duh kuaga kote kumbe tamaa mbele haya subiri magufuli atakavyoamuka.

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 3 года назад

    Ukuu wa mkoa hakuridhika? Mimi sijui Kama anaweza kushinda Ila Mwanry sawa

  • @asharamadhani4641
    @asharamadhani4641 3 года назад

    Ahaa

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary6689 3 года назад +1

    saf mama

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 3 года назад

    Pesa zote hizo kwa mamako unashindwa kuboresha makazi

  • @nyambirotrueinformation7500
    @nyambirotrueinformation7500 3 года назад +8

    Pumzukeni wazeee muwaachie vijana nao wafanye kazi kujenga taifa unataka ustaafu na miaka 80 kweli nakushauri upumzike tulia hio pension yako kula Na Mama yako sio uigawe utakuja kujuta utagawa pension na mwisho wa siku ubunge hupati unabaki kupoangaza macho tulia Mzee wangu nakupenda Sana ndo Mana nakupa ushauri huu

    • @mtanzaniahalisimungunimwem673
      @mtanzaniahalisimungunimwem673 3 года назад

      Ushauri mzr. Maana vijana wapo. Akikosa ubunge ujue presha na sukari vitamnyemelea kwa Kasi. Umri huo sio wa kuchezea. Ni atulie atoe ushauri kwa vijana

    • @shadrackmpama2947
      @shadrackmpama2947 3 года назад

      Acha fikila za kitoto huyu bado kijana Jimbo hili linamfaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 3 года назад

    Jaman pumziken twna

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 3 года назад

    Dar

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 3 года назад

    Mbona nyumba yako hatuioni"au hujajenga kijijini?

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 3 года назад +2

    Aaaa,kumbe mzee anataka kutengeneza nchi yani akisitafu aache watu imara wasio penda utani.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 года назад

    Baraka za bibi

  • @ashrafumohammedi5078
    @ashrafumohammedi5078 3 года назад +2

    Nakushauri uuwachie vijana nao wafanye Mambo Yao pia ,nadhani huko bungeni hutofanya chochote zaidi ya kuupiga usingizi Kama mzee wasira.

  • @miketzee806
    @miketzee806 3 года назад +1

    Wazee wetu mnaostaafu jaribuni muelewe nini maana ya kustaafu, Ina maana umri umekwenda unahitaji kupumzisha mwili na akili, Ushauri ni bora upumzike, nguvu ulizonazo bora ulime, utunze wajukuu furahia maisha uliyotesekea, Bungeni utaenda kusinzia tu mkuu wetu

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 3 года назад +2

    Bado agrey mwanri.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 года назад

    .

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад +2

    Kama akishinda ubunge, basi anaweza kuwa waziri wa ulinzi na jkt

    • @giriadbirusha7006
      @giriadbirusha7006 3 года назад +1

      Kabisa ndg.

    • @kanuthmwegella9311
      @kanuthmwegella9311 3 года назад

      Hongera xn mkuu pambana kuijenga nchi na kijij chetu unatuhamasisha vijana tunaojaribu kufuata nyayo zako umeni inspire sana

  • @yaledihoza2068
    @yaledihoza2068 3 года назад

    Kunke hapo