Namshauri mama samia kujitahidi kuwasaidia wagonjwa maana kwenye vitabu vya dini maandiko yanasema hakika ataeipa uhai nafsi moja hakika ujira wake ni sawa kama amewapa uhai binadamu woote
Siku ambae haitomfaa mtu mali yake wala watoto wake .... Hapa hamna kitu hii ni sawa kama imepotea tuu sidhani.kama kwa mungu ipo ... Ila kwa wagonjwa na mayatima hakika haipotei
Huyu kumbe ni mwana wa samia nishawai kumuona posta siku moja hivi nikajiuliz huy ni mama au kumbe ni mwanae nilimuona kweny wizara ya nishat maeneo ya tanesko posta nikasem mam si ndo huy apa mara sie 😊😅😅😅 na alikua na wsmamiz pia
Sijapenda muimba taarab kupewa hicho kiwango kikubwa cha pesa kuna watu wapo mahututi muhimbili na kesi zao ni kubwa kubwa hawasaidiwi na wanakufa may allah guide our president in right peaple to help and right path
Alhamdulilahi nimefurahi sana mhe Rais kumpa msaada huyo msanii kutokana na hali yake bdo alikuwa anaimba kwa umri wake ni mtihani kukaa kwenye steji kuimba kutafuta tonge kweli jamani mpaka ajekudondoka kwenye steji sisi hatuna uwezo wa kumsaidia lakini roho inauma kumuona mzee wetu anapata shida
Allah atufanyie wepesi na wagonjwa mhe Raisi awaone hospitali kuwasaidia na kila Allah alompa uwezo Inshallah Allah amuwezeshe kutoa sada kwa wagonjwa na tunaomba duwa Allah atuondolee mitihani ya maradhi na walokuwa wanaumwa Allah awaponeshe mhe Rais anatamani atusaidie sote lakini haiwezekani nyumba kwa nyumba but mm hata akisaidiwa mwenzangu nafutahi sanna na shukuru Alhamdulilahi Allah amsimamie Mhe Rais wetu ampe umri mrefu na afya njema Allahuma Amin
Hizo ten million ni zenu kutoka wapi? Kwani yeye halipwi mshahara? Kabla ya kuwa kiongozi hadi leo hafikishi hizo kwenye account yake? Kila mtu anahitaji kusaidia yule anaetaka mwenyewe.
Information is power! Pale tuu alivyohojiwa na zamaradi tv nilijua kitakachofuata
Ubarikiwe sana Rais wetu Mungu akubariki sana sana tu mama yetu Mungu akubariki sana sana mama
Mashaaalah anafanana mama yake, Allah atusitiri, familia zetu,
Hongera sana mama ,Mh wangu RAIS WANGU SAMIA SALUHU Barikiwa sana kwa hiki ulichotoa yaani Nazid kukupenda zaidi
Watungie wimbo hao walosema hutompata Mama Samia..wazibe midomo😃
Mtoto wa Mama Samia Mzuri Mashallah, ❤❤❤
SAANA🥰
Maashaalhu ni mzuri
Namshauri mama samia kujitahidi kuwasaidia wagonjwa maana kwenye vitabu vya dini maandiko yanasema hakika ataeipa uhai nafsi moja hakika ujira wake ni sawa kama amewapa uhai binadamu woote
Mashaallah
Siku ambae haitomfaa mtu mali yake wala watoto wake .... Hapa hamna kitu hii ni sawa kama imepotea tuu sidhani.kama kwa mungu ipo ... Ila kwa wagonjwa na mayatima hakika haipotei
Tuone Kwa Siri na Kwa dhahiri
Sio yeye amtafute ,yatakiwa nyinyi ndio mmtafute na mzidi kumhudumia
Allah akuongoze dadaangu
salahe wa zamaradi mketema bila kurusha yale mahojiano yake wala asingeonekana,hongera sana mahojiano yenu yameleta matokeo
Alihamdulilah
Da!!!
Ila kwa hili apongezwe kijana alieendesha nae kipindi cha zamaradi TV ndie aliemuibua na tatizo lake likafanikiwa hongera zake kaahidi katekeleza
Heading mbovu kabisa kwakweli daaah kwani yy nani mvua isimnyeshee. Mmekosa Heading nyie
YULE BIBI WA ZANZIBARI ANASEMA ENZI YANGU YA UJANA NILIWEKA AKIBA NOW NAKULA BATA MWANAHAWA VIP JAMANI KWELI SANAA SO MCHEZO
Ivi watanzania jamani wanahabari hamjui mnafanya Nini siyo ananyeshewa na mvua huyo au mnatafuta tu sifa msaada hutakiwi kutaja Hadi kiasi dah 😂😂😂😂
Kwaiyo asinyeshewe mvua kisa mtoto wa raisi hiku kitaa mvua ndio tunaogaga tukiwa kazini
Tubu mama
Axinyeeshewe na mvua yy Nan achen usengeee kama Amna vitu vya kupost kalalen wamenyeeshewa manambii sembuse uyo anayeoga na kutoa uchafu mwulin😂😂😂😂😂😂
Huyu kumbe ni mwana wa samia nishawai kumuona posta siku moja hivi nikajiuliz huy ni mama au kumbe ni mwanae nilimuona kweny wizara ya nishat maeneo ya tanesko posta nikasem mam si ndo huy apa mara sie 😊😅😅😅 na alikua na wsmamiz pia
Sijapenda muimba taarab kupewa hicho kiwango kikubwa cha pesa kuna watu wapo mahututi muhimbili na kesi zao ni kubwa kubwa hawasaidiwi na wanakufa may allah guide our president in right peaple to help and right path
ilikuaje tena 🤔
Alhamdulilahi nimefurahi sana mhe Rais kumpa msaada huyo msanii kutokana na hali yake bdo alikuwa anaimba kwa umri wake ni mtihani kukaa kwenye steji kuimba kutafuta tonge kweli jamani mpaka ajekudondoka kwenye steji sisi hatuna uwezo wa kumsaidia lakini roho inauma kumuona mzee wetu anapata shida
Allah atufanyie wepesi na wagonjwa mhe Raisi awaone hospitali kuwasaidia na kila Allah alompa uwezo Inshallah Allah amuwezeshe kutoa sada kwa wagonjwa na tunaomba duwa Allah atuondolee mitihani ya maradhi na walokuwa wanaumwa Allah awaponeshe mhe Rais anatamani atusaidie sote lakini haiwezekani nyumba kwa nyumba but mm hata akisaidiwa mwenzangu nafutahi sanna na shukuru Alhamdulilahi Allah amsimamie Mhe Rais wetu ampe umri mrefu na afya njema Allahuma Amin
Mtoto ana ulinzi?
Kabeba hela 😅😅😅nacheka kama kazuri
Sauti bado IPO vizuri muandalieni tamasha
M zanz mwenzqke wanagap wanaumwa mbona hatoi pesa?; tena pesa zetu hizo
Hapana ndugu acha uongo mbona mama amesaidia watu sana labda haufuatilii 2
Acha makasiriko huyu mama nae kakitumikia sana chama
Wewe unataka amsaidiye nani mbona makasiriko
Hizo ten million ni zenu kutoka wapi?
Kwani yeye halipwi mshahara? Kabla ya kuwa kiongozi hadi leo hafikishi hizo kwenye account yake? Kila mtu anahitaji kusaidia yule anaetaka mwenyewe.
Roho mbaya na uhasidi zimakukaa lol hutoenda mbele kwa roho mbaya
Mmmh kichwa cha habari mtoto wa raisi anyeshewa na mvua kwani mtoto wa raisi hawazi kunyeshewa na mvua nyie wasafi punguzeni uchawa bhana
😂😂😂😂😂 Fact
Wakati kaenda na gari pia amefunikwa mwamvuli
😂😂
Mafala sana hawa
Yaaan 😂😂😂