DR. FRANK AFICHUA SIRI ya KUMUOA STELA - "NILIAMBIWA NIMTAFUTE MTOTO, MAMBO YANGU YATAFUNGUKA"..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • DR. FRANK AFICHUA SIRI ya KUMUOA STELA - "NILIAMBIWA NIMTAFUTE MTOTO, MAMBO YANGU YATAFUNGUKA"..
    Mwimbaji wa injili nchini Tanzania, Dokta Frank Richard, kwa mara ya kwanza mezungumza sababu hasa za kumuoa mwimbaji wa injili mwenziye, Bi Stela, baada ya kumtelekeza akiwa na mtoto mdogo kwa Zaidi ya miaka 20. Ndoa yao ilitikisa hivi karibuni baada ya kuamua kufanyia sherehe ya ndoa yao katika mbuga za wanyama. Wanandoa hawa wamefunguka mambo mengi wakati wakizungumza na Mtumishi wa Mungu, Lilian Mwasha katika kipindi cha Hard Talk, FUATILIA….
    Kama uliikosa PART ONE; CLICK HERE: • STELA AFUNGUKA ISSUE Y...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 141

  • @lydiakanah4478
    @lydiakanah4478 2 года назад +15

    Mungu aliye mpa Stella mme na mimi atanipa kwa jina la Yesu

  • @anitamhina1780
    @anitamhina1780 Год назад +3

    Bwana Yesu!
    Ahsante kwa kusikia Hii testimony! Kweli Mungu hakuna Mungu kama Wewe!

  • @mkabilidorah8100
    @mkabilidorah8100 2 года назад +6

    Stella, you're wonderful woman of God, encouraging testimonies.
    Mungu azidi kuwatumia !

  • @angelailunga7582
    @angelailunga7582 Год назад +2

    Mungu yupo anasikia anajibu na anatenda

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 2 года назад +4

    very interesting and teaching story .
    Thanks for you all presentation.

  • @abdulmauya4874
    @abdulmauya4874 2 года назад +2

    Hongera sana Dada Stella kwa uwazi na ukweri kwa ndoa yenu thabit hadi kumzaa FRANK.

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 2 года назад +3

    Dr Frank tafadhali sana usimuumize tena dada etu Stella

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 2 года назад +11

    Hapo ndipotunaposema Mungu alisema ndio hakuna atakeye sema hapana.nasubili wakati wangu ufike

  • @devothakalanda9740
    @devothakalanda9740 2 года назад +7

    NIMEUONA UNYENYEKEVU WENU.MUNGU LAZIMA AWAINUE.
    SITAZIKWA MPAKA KUSUDI LA MUNGU LITIMIE KWANGU.

  • @Ann-Strong
    @Ann-Strong 2 года назад +7

    IPO siku pia mm nitaolewa TU.

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646 2 года назад +7

    Ki ukweli nimeguswa Sana na ushuhuda wa dada Stella na imani hata mm Mungu atanifuta machozi na mm harusi yangu inakuja kwa jina la Yesu

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 года назад +10

    Nice testimony ,dada ana nyota ya mbinguni, da Liliane una tisha,nakupenda sana ❤🙏🏾

  • @Kibaadvocate
    @Kibaadvocate 2 года назад +27

    Eti MUNGU hana miujizaaaa weeeeee chunga kauli yako,,, MUNGU anatenda ndugu zangu

  • @vickyjames2267
    @vickyjames2267 Год назад +1

    Kupitia shuda wa Stella MUNGU ukawape wote wenye ueitaji wamume kwa jina la YESU

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 2 года назад +5

    Stella mnyenyekevu saaana na Mungu wetu huwanyanyua wanyenyekevu nimekupenda

  • @fatmaismail7683
    @fatmaismail7683 2 года назад +8

    mungu nimwema sana naamini hata Mimi sikumoja nitampata mwenzangu ambaye anamwamini mungu nibariki bwana

  • @maalady4631
    @maalady4631 Год назад +2

    Mungu aliempa stella mume pia mimi atanipa IJN

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 2 года назад

    Amen

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo 2 года назад

    Waiting for the hot news...

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 года назад +3

    Kwani waganga hawatabiri poleni sana wanadamu

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu 2 года назад

      Nikweli hata wale wachungaji wenyewe ni waganga tu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 2 года назад

      Hapo sasa, huko matembele ya 2 alitairiwa tu, yeye akaamini ndio Mungu kasema,

    • @Desireyakubu
      @Desireyakubu 2 года назад

      @@judyngowi391 hatari

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 2 года назад +4

    Atanibariki sana tu MUNGU ❤️❤️ni mwema sana.haleluyaa vyote ni mali yake atanipatia vyote .🌺🏵️🙏

  • @rehemaedson5732
    @rehemaedson5732 2 года назад +6

    Hongera sana da Stella nakumbuka tukiimba pamoja the Joy bring 's mikocheni na Joel kipindi ni mdogo so Mungu akubariki na nimefurahi kwa kuwa Bado unadumu katika wokovu

  • @Kidotii
    @Kidotii 2 года назад +7

    Jamani Yesu Yupo!

  • @yaelijoseph8742
    @yaelijoseph8742 2 года назад +3

    Ameeeeeen 🙏 sitazikwa mpaka nimtimiza maono Yangu

  • @irenenyauhule6017
    @irenenyauhule6017 2 года назад +1

    hakika mungu mkubwa

  • @abigailbateyunga8187
    @abigailbateyunga8187 Год назад +2

    Nakupenda Lilian Mwasha, Frank na Stella, barikiwa. Waf. 1:6. Amina.❤️💯🍾🔥✔️👏👏👏🇹🇿

  • @similarstories2549
    @similarstories2549 Год назад +1

    Someone apotee ajienjoy then when he's finally useless arudi😏😏😏😏

  • @devothafesto9853
    @devothafesto9853 2 года назад +2

    Mwanadamu hawezi kuziba ridhiki ya MTU zaidi ataichelewesha tu Mungu ndiye mpangaji

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Год назад

    Kwa stori ya huyu kaka kuna kitu amekiona kwa stela kuliko upendo kwa sababu alimchezea akamuacha akatafuta mwengine hata hakujua kama kuna mtoto wake kwa stela sasa mungu akampa mtihani kwa kumdhalilisha huyu stela akakataliwa kule alikopenda na mambo yalikwenda hovyo ndipo akarudi kwa stela kwa kunyoosha maisha nimeshaona wanaume aina hii wengi walotesa wanawake baadae mungu akawarudisha Kwa njia zake

  • @jackielyatuu3589
    @jackielyatuu3589 2 года назад +6

    That's GOD i know bana!!...

  • @elizabeththairu5625
    @elizabeththairu5625 Год назад +3

    Watching from Kenya your testimony has really blessed me that Couple has helped my life and will wait on God for establishment in my life I won't look back .l hv seen God assignment in my life will wait upon him. Amen

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 Год назад +1

    Mimi na 36yrs nilikua nimekata tamaa Ila nasubiri wakati wa mungu

    • @nellygamuya8487
      @nellygamuya8487 Год назад

      Michache sana hiyo!! Wakat WA Mungu ni wakati sahihi.

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 2 года назад +3

    Ni kweli au! Wasije wakawa wanatudanganya kama wale akina flani.

  • @janethmustapha5727
    @janethmustapha5727 2 года назад +6

    Kwa hii historia yao imenibariki,Mungu akutunze dada Lilian

  • @salomeisack3171
    @salomeisack3171 Год назад +2

    Nimebarikiwa sana mungu wetu yuhahai naanatenda kwa wakati

  • @tantinebettynduwimana380
    @tantinebettynduwimana380 Год назад

    Mungu anatenda kila wakati

  • @treasureforashes3497
    @treasureforashes3497 2 года назад +2

    The way Stella blushes,Huyu Mungu jamani ni mkuu,anastahili sifa,Kuna mambo tu yeye Mungu ndiye muweza,

  • @genovevakato3409
    @genovevakato3409 2 года назад +1

    kweli kabisa huu muujiza ni kiboko. nimeguswa Sana na shuhuda ya Stella. imeniongezea imani. jina la Bwana Yesu lipewe sifa.

  • @Zoe-ow5vf
    @Zoe-ow5vf Год назад +1

    Daaaah huu ushuhuda, najisikia kulia .Mungu ni mwema anajibu watu wake kwa jinsi ya kushangaza.utukufu kwa Mungu baba yetu.

  • @leahlupala459
    @leahlupala459 2 года назад +4

    Asante dada Liliani Mwasha kwa kazi nzuri💕

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 2 года назад +4

    Mungu wetu tunakusifu na kukutukuza kwa matendo yako makuu katika maisha yetu.

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 2 года назад +2

    KUNA KITU NIMEJIFUNZA PIA HAPA KWA DOCTA HUYU BABA HANA FURAHA PIA MUANGALIE NI TU MTAONA KUNA KITU BADO ANAONA HAKIJAKAA SAWA KWAKE ,

  • @njuka3515
    @njuka3515 2 года назад +2

    Mwandishi uko vizuri sana kunywa soda kwa Mangi nakuja kulipa

  • @imanifrancis8381
    @imanifrancis8381 Год назад

    Amina

  • @The7101987
    @The7101987 2 года назад +3

    Mama Joel, tumeishi sana wote Ubungo Msewe pale.
    Nilifurahi sana nilipoona harusi yako, Mungu aendelee kuwabariki

    • @njuka3515
      @njuka3515 2 года назад +1

      Nikahisi isije ikawa kama ya Aizii na yule mama wa miaka 49

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Год назад +1

    Mama anahekima sana

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 2 года назад +1

    Mumtumikie Mungu bila kikomo wapendwa

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 2 года назад +2

    Mwasha mekap imekupendeza sana

  • @chileshebwilya8967
    @chileshebwilya8967 2 года назад +9

    Lillian is very straightforward.. " you're very handsome.."🤗🤗

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144 Год назад

    Mmmmmmh......huyu mama ni mkubwa,but nawapongeza sana Tena sana maisha Yao yadumu milele,

  • @janethmakanza2620
    @janethmakanza2620 2 года назад +1

    MUNGU ANATENDA AMETENDA MENGI KATIKA MAISHA YANGU NA ANAENDELEA KUTENDA NA KUNIBARIKI... AMINA

  • @eddyjunior2881
    @eddyjunior2881 2 года назад +1

    Dada Lilian naomba namba ya Dada Stelah please

  • @neemamassawe8091
    @neemamassawe8091 2 года назад +3

    Da Lilian thanks kwa part 2

  • @inongee1141
    @inongee1141 2 года назад +2

    SIFA NA UTUKUFU NI WA MUNGU BABA WAMBINGUNI🙏🙏❤❤🙏🙏

  • @nelliebwanga5428
    @nelliebwanga5428 2 года назад +1

    Asante Sana dada Stela usimwache Yesu

  • @witnessjohn2600
    @witnessjohn2600 Год назад

    People they fail to go straight...
    Mwanaume he is so handsome compared to a women..ndo maana wanawahoji

  • @kulwalucas8742
    @kulwalucas8742 2 года назад +1

    Mungu wetu anatenda miujiza

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +1

    Dah aisee kweli Mungu yupo jmn mbarikiwe sana🙏🙏

    • @marthakimia4075
      @marthakimia4075 2 года назад

      Who is Stella? Where does she come from?

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 2 года назад +3

    Amina imeongeza Imani

  • @carolgitonga1371
    @carolgitonga1371 Год назад

    Some questions are not worthy asking, And if you complement a husband do the same to his wife...how can u compliment that stella ako low key???!!..hio ni madharau chini ya maji😭😭

  • @beatricecherdiel9299
    @beatricecherdiel9299 Год назад

    Hakika Mungu wewe ni mkuu sana. Hakuna kama wewe

  • @marymathew6529
    @marymathew6529 Год назад

    Stella nikimuona nabarikiwa sana,kwa sababu achilia mbali dharau watu waliokua wanampa wakat anaanza kuimba yeye ana imani kubwa na anajiamini sana na zaidi sana ana akili kubwa sana,namkubali mno na matamasha yake mengi nimehudhuria,dada Mungu aendelee kukutumia uzid kuinua wengine.

  • @esthermakaka2709
    @esthermakaka2709 2 года назад +1

    Amen nawapenda sana MR and MRS Frank

  • @mejamavivi3077
    @mejamavivi3077 Год назад

    Dr frenk na stela mungu awabariki

  • @susyanusu9389
    @susyanusu9389 Год назад +1

    Itap the blessings katika jina la yesu.

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 года назад

    Nimefurahia part 2 maana nilitaka nijue kuhusu part ya ndoa after 28years.huu ushuhuda ni kwa ajili ya wote ambao imani ni haba!hardtalk ilianza hapo kwa uko na Stella sababu vitu vita funguka? That was bold Lillian!

  • @janejimmy1231
    @janejimmy1231 2 года назад +1

    Duuu.....mungu ni wa ajabu Sana aiseee😢😢😢ukuu wa mungu ni mkubwa🙌🙌🙌🙌

  • @kulwacharles2314
    @kulwacharles2314 2 года назад +3

    Mungu wetu ni mkuu sana🙏 hongera sana dada Lilian Mwasha

  • @patriciamundekesye2096
    @patriciamundekesye2096 Год назад

    Amina! Hakuna lisilowezekana kwa Mungu

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 2 года назад +3

    MUNGU WETU NI MUNGU WA NEEMA🙏🏾IMANI YETU NI KWAMBA MUNGU WETU ANAISHI.I’m so touched with their story na nimejifunza kuwa Imani ni kitu cha USHINDI🙏🏾

  • @emmyjohn3970
    @emmyjohn3970 Год назад

    Mungu akutunze madam.Stella

  • @zaqiamhando6522
    @zaqiamhando6522 2 года назад +1

    Nyie God's love is real❤❤❤

  • @lucylusekelo8716
    @lucylusekelo8716 Год назад

    Shuhuda nzr Sana, mungu awatunze

  • @stellamoraa1621
    @stellamoraa1621 Год назад

    Wonderful couple.I love you abundantly and God bless you.

  • @gracejackson6947
    @gracejackson6947 2 года назад

    Mungu ni mkuu sana ushuhuda umenigusa,nitatembea nao

  • @stamelistameli8461
    @stamelistameli8461 2 года назад

    Amiiina

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125
    @hanihaadamuhanifaadamu4125 2 года назад +1

    Mashhalla

  • @Happydaisy1
    @Happydaisy1 2 года назад +2

    Namkumbuka Sana uyu mama kipindi anakuja kanisan bcic kwa askofu gamanywa
    Kiukwel nmeinuliwa na ushuhuda wake nmeinuliwa nafsi
    Hakika Mungu Yuko hai na ni halisi
    🙌

  • @vickyshayo7880
    @vickyshayo7880 2 года назад

    Jamani Lily Mungu akubariki sana kwa kumcha Mungu

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 2 года назад

    Ila Lili hizo kucha kataaa

  • @mankacharles4559
    @mankacharles4559 Год назад

    Nawatakia mema

  • @lailajeremia1259
    @lailajeremia1259 2 года назад

    Mungu awabaliki sana

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 Год назад

    God bless you BROTHER SUGUYE the geneous rocky of god

  • @zamdakimaro8040
    @zamdakimaro8040 2 года назад

    LILIAN ANAEJUA SANA KUHOJI

  • @similarstories2549
    @similarstories2549 Год назад

    Huyu atapotea tu tena ....

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 2 года назад +3

    Ulimkataa ni kiwete sai umemsikia katusua na sikiwete tena ndio umerudi

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 года назад +2

    Imenibariki sana hii harusi nilioona nilifurahi sana na ushuhuda unatia moyo sana

  • @King-px7xu
    @King-px7xu 2 года назад

    Amen

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 года назад

    Amen.

  • @priscasaid4600
    @priscasaid4600 2 года назад +3

    Jamani sijaelewa. Kwamba huyu kaka mke wake ndio huyo Stella?

    • @deboramakala3044
      @deboramakala3044 2 года назад +1

      Kwa nini sasa unashangaa,kwa Yesu kuna raha.Kama hivyo

    • @jazeerajuma5014
      @jazeerajuma5014 2 года назад +1

      Yes dear

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 2 года назад +2

      Ulitaka amuoe nani? Mungu ana maajabu yake

    • @fatmazullu4933
      @fatmazullu4933 2 года назад +1

      @@jazeerajuma5014 ameelewa ila hataki kuamini dear🤣🤣🤣

    • @annamulungu2876
      @annamulungu2876 2 года назад +1

      Utaelewa tu.
      Subiri.
      Mungu ukisikia ndo huyo Sasa!

  • @alicekadzo340
    @alicekadzo340 2 года назад

    Amen

  • @Valentinomichael367
    @Valentinomichael367 2 года назад

    Ameeen

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 2 года назад +2

    Dokta wewe.unaonekana.mkorofi

    • @mankacharles4559
      @mankacharles4559 Год назад +1

      Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo tafakari kati ya docta na ww nani mkorofi

  • @kknlghfblblanakere5946
    @kknlghfblblanakere5946 2 года назад

    Amen

  • @jacksonsilvery5963
    @jacksonsilvery5963 2 года назад +1

    injili tosha.

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 2 года назад

    Dada mungu aibariki hiyo ndoa Amina

  • @tumainimmari9577
    @tumainimmari9577 Год назад

    Gingers sana stela kwa ushindi

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 2 года назад

    Mhhh.kweli nimeamini leo mapenzi ni upofu.

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi7320 2 года назад

    Amen

    • @agnesyjoseph3906
      @agnesyjoseph3906 Год назад

      Njia za Mungu hazichunguziki na hatazami Kama wanadamu, aweza tumia njia yeyote kuwakutanisha