DR. FRANK AFICHUA SIRI ya KUMUOA STELA - "NILIAMBIWA NIMTAFUTE MTOTO, MAMBO YANGU YATAFUNGUKA"..
HTML-код
- Опубликовано: 2 окт 2024
- DR. FRANK AFICHUA SIRI ya KUMUOA STELA - "NILIAMBIWA NIMTAFUTE MTOTO, MAMBO YANGU YATAFUNGUKA"..
Mwimbaji wa injili nchini Tanzania, Dokta Frank Richard, kwa mara ya kwanza mezungumza sababu hasa za kumuoa mwimbaji wa injili mwenziye, Bi Stela, baada ya kumtelekeza akiwa na mtoto mdogo kwa Zaidi ya miaka 20. Ndoa yao ilitikisa hivi karibuni baada ya kuamua kufanyia sherehe ya ndoa yao katika mbuga za wanyama. Wanandoa hawa wamefunguka mambo mengi wakati wakizungumza na Mtumishi wa Mungu, Lilian Mwasha katika kipindi cha Hard Talk, FUATILIA….
Kama uliikosa PART ONE; CLICK HERE: • STELA AFUNGUKA ISSUE Y...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mungu aliye mpa Stella mme na mimi atanipa kwa jina la Yesu
@@mwimangoi7139 Amen Amen Amen 🙏
Mungu awape kwa jina la Yesu
ameen
Bwana Yesu!
Ahsante kwa kusikia Hii testimony! Kweli Mungu hakuna Mungu kama Wewe!
Stella, you're wonderful woman of God, encouraging testimonies.
Mungu azidi kuwatumia !
Mungu yupo anasikia anajibu na anatenda
very interesting and teaching story .
Thanks for you all presentation.
Hongera sana Dada Stella kwa uwazi na ukweri kwa ndoa yenu thabit hadi kumzaa FRANK.
Dr Frank tafadhali sana usimuumize tena dada etu Stella
Hapo ndipotunaposema Mungu alisema ndio hakuna atakeye sema hapana.nasubili wakati wangu ufike
Amina
Wakati sahihi niwamungu
NIMEUONA UNYENYEKEVU WENU.MUNGU LAZIMA AWAINUE.
SITAZIKWA MPAKA KUSUDI LA MUNGU LITIMIE KWANGU.
IPO siku pia mm nitaolewa TU.
Wajina tuko wengi🙏🙏🙏
Mungu yupo, maombi ni muhimu
Ameen
Ki ukweli nimeguswa Sana na ushuhuda wa dada Stella na imani hata mm Mungu atanifuta machozi na mm harusi yangu inakuja kwa jina la Yesu
Amen
Nice testimony ,dada ana nyota ya mbinguni, da Liliane una tisha,nakupenda sana ❤🙏🏾
Eti MUNGU hana miujizaaaa weeeeee chunga kauli yako,,, MUNGU anatenda ndugu zangu
Kupitia shuda wa Stella MUNGU ukawape wote wenye ueitaji wamume kwa jina la YESU
Stella mnyenyekevu saaana na Mungu wetu huwanyanyua wanyenyekevu nimekupenda
mungu nimwema sana naamini hata Mimi sikumoja nitampata mwenzangu ambaye anamwamini mungu nibariki bwana
Mungu atukumbuke katika hili
InshaAllah kheri Allah ataweka wepesi
Mungu aliempa stella mume pia mimi atanipa IJN
Amen
Waiting for the hot news...
Kwani waganga hawatabiri poleni sana wanadamu
Nikweli hata wale wachungaji wenyewe ni waganga tu
Hapo sasa, huko matembele ya 2 alitairiwa tu, yeye akaamini ndio Mungu kasema,
@@judyngowi391 hatari
Atanibariki sana tu MUNGU ❤️❤️ni mwema sana.haleluyaa vyote ni mali yake atanipatia vyote .🌺🏵️🙏
Hongera sana da Stella nakumbuka tukiimba pamoja the Joy bring 's mikocheni na Joel kipindi ni mdogo so Mungu akubariki na nimefurahi kwa kuwa Bado unadumu katika wokovu
Asante mungu
Jamani Yesu Yupo!
Ameeeeeen 🙏 sitazikwa mpaka nimtimiza maono Yangu
hakika mungu mkubwa
Nakupenda Lilian Mwasha, Frank na Stella, barikiwa. Waf. 1:6. Amina.❤️💯🍾🔥✔️👏👏👏🇹🇿
Someone apotee ajienjoy then when he's finally useless arudi😏😏😏😏
Mwanadamu hawezi kuziba ridhiki ya MTU zaidi ataichelewesha tu Mungu ndiye mpangaji
Kwa stori ya huyu kaka kuna kitu amekiona kwa stela kuliko upendo kwa sababu alimchezea akamuacha akatafuta mwengine hata hakujua kama kuna mtoto wake kwa stela sasa mungu akampa mtihani kwa kumdhalilisha huyu stela akakataliwa kule alikopenda na mambo yalikwenda hovyo ndipo akarudi kwa stela kwa kunyoosha maisha nimeshaona wanaume aina hii wengi walotesa wanawake baadae mungu akawarudisha Kwa njia zake
That's GOD i know bana!!...
Watching from Kenya your testimony has really blessed me that Couple has helped my life and will wait on God for establishment in my life I won't look back .l hv seen God assignment in my life will wait upon him. Amen
Mimi na 36yrs nilikua nimekata tamaa Ila nasubiri wakati wa mungu
Michache sana hiyo!! Wakat WA Mungu ni wakati sahihi.
Ni kweli au! Wasije wakawa wanatudanganya kama wale akina flani.
Kwa hii historia yao imenibariki,Mungu akutunze dada Lilian
Glory to God 🙏🙏
Nimebarikiwa sana mungu wetu yuhahai naanatenda kwa wakati
Mungu anatenda kila wakati
The way Stella blushes,Huyu Mungu jamani ni mkuu,anastahili sifa,Kuna mambo tu yeye Mungu ndiye muweza,
kweli kabisa huu muujiza ni kiboko. nimeguswa Sana na shuhuda ya Stella. imeniongezea imani. jina la Bwana Yesu lipewe sifa.
Daaaah huu ushuhuda, najisikia kulia .Mungu ni mwema anajibu watu wake kwa jinsi ya kushangaza.utukufu kwa Mungu baba yetu.
Asante dada Liliani Mwasha kwa kazi nzuri💕
Mungu wetu tunakusifu na kukutukuza kwa matendo yako makuu katika maisha yetu.
KUNA KITU NIMEJIFUNZA PIA HAPA KWA DOCTA HUYU BABA HANA FURAHA PIA MUANGALIE NI TU MTAONA KUNA KITU BADO ANAONA HAKIJAKAA SAWA KWAKE ,
Kweli kabisa,
Mwandishi uko vizuri sana kunywa soda kwa Mangi nakuja kulipa
Amina
Mama Joel, tumeishi sana wote Ubungo Msewe pale.
Nilifurahi sana nilipoona harusi yako, Mungu aendelee kuwabariki
Nikahisi isije ikawa kama ya Aizii na yule mama wa miaka 49
Mama anahekima sana
Mumtumikie Mungu bila kikomo wapendwa
Mwasha mekap imekupendeza sana
Lillian is very straightforward.. " you're very handsome.."🤗🤗
Handsome Tena?
@@janetatieno2635 😂😂
@@janetatieno2635 hako handsome
Mmmmmmh......huyu mama ni mkubwa,but nawapongeza sana Tena sana maisha Yao yadumu milele,
MUNGU ANATENDA AMETENDA MENGI KATIKA MAISHA YANGU NA ANAENDELEA KUTENDA NA KUNIBARIKI... AMINA
Dada Lilian naomba namba ya Dada Stelah please
Da Lilian thanks kwa part 2
SIFA NA UTUKUFU NI WA MUNGU BABA WAMBINGUNI🙏🙏❤❤🙏🙏
Asante Sana dada Stela usimwache Yesu
People they fail to go straight...
Mwanaume he is so handsome compared to a women..ndo maana wanawahoji
Mungu wetu anatenda miujiza
Dah aisee kweli Mungu yupo jmn mbarikiwe sana🙏🙏
Who is Stella? Where does she come from?
Amina imeongeza Imani
Some questions are not worthy asking, And if you complement a husband do the same to his wife...how can u compliment that stella ako low key???!!..hio ni madharau chini ya maji😭😭
Hakika Mungu wewe ni mkuu sana. Hakuna kama wewe
Stella nikimuona nabarikiwa sana,kwa sababu achilia mbali dharau watu waliokua wanampa wakat anaanza kuimba yeye ana imani kubwa na anajiamini sana na zaidi sana ana akili kubwa sana,namkubali mno na matamasha yake mengi nimehudhuria,dada Mungu aendelee kukutumia uzid kuinua wengine.
Amen nawapenda sana MR and MRS Frank
Dr frenk na stela mungu awabariki
Itap the blessings katika jina la yesu.
Nimefurahia part 2 maana nilitaka nijue kuhusu part ya ndoa after 28years.huu ushuhuda ni kwa ajili ya wote ambao imani ni haba!hardtalk ilianza hapo kwa uko na Stella sababu vitu vita funguka? That was bold Lillian!
Duuu.....mungu ni wa ajabu Sana aiseee😢😢😢ukuu wa mungu ni mkubwa🙌🙌🙌🙌
Sanaaaaa
Mungu wetu ni mkuu sana🙏 hongera sana dada Lilian Mwasha
Amina! Hakuna lisilowezekana kwa Mungu
MUNGU WETU NI MUNGU WA NEEMA🙏🏾IMANI YETU NI KWAMBA MUNGU WETU ANAISHI.I’m so touched with their story na nimejifunza kuwa Imani ni kitu cha USHINDI🙏🏾
Mungu akutunze madam.Stella
Nyie God's love is real❤❤❤
Shuhuda nzr Sana, mungu awatunze
Wonderful couple.I love you abundantly and God bless you.
Mungu ni mkuu sana ushuhuda umenigusa,nitatembea nao
Amiiina
Mashhalla
Namkumbuka Sana uyu mama kipindi anakuja kanisan bcic kwa askofu gamanywa
Kiukwel nmeinuliwa na ushuhuda wake nmeinuliwa nafsi
Hakika Mungu Yuko hai na ni halisi
🙌
Jamani Lily Mungu akubariki sana kwa kumcha Mungu
Ila Lili hizo kucha kataaa
Nawatakia mema
Mungu awabaliki sana
God bless you BROTHER SUGUYE the geneous rocky of god
😂😂🥺😳
LILIAN ANAEJUA SANA KUHOJI
Huyu atapotea tu tena ....
Kwann
Ulimkataa ni kiwete sai umemsikia katusua na sikiwete tena ndio umerudi
Kwakweli
Imenibariki sana hii harusi nilioona nilifurahi sana na ushuhuda unatia moyo sana
Amen
Amen.
Jamani sijaelewa. Kwamba huyu kaka mke wake ndio huyo Stella?
Kwa nini sasa unashangaa,kwa Yesu kuna raha.Kama hivyo
Yes dear
Ulitaka amuoe nani? Mungu ana maajabu yake
@@jazeerajuma5014 ameelewa ila hataki kuamini dear🤣🤣🤣
Utaelewa tu.
Subiri.
Mungu ukisikia ndo huyo Sasa!
Amen
Ameeen
Dokta wewe.unaonekana.mkorofi
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo tafakari kati ya docta na ww nani mkorofi
Amen
injili tosha.
Dada mungu aibariki hiyo ndoa Amina
Gingers sana stela kwa ushindi
Mhhh.kweli nimeamini leo mapenzi ni upofu.
Jamani wewe Mimi kila nikiangalia natabasamu tuuu
@@jazeerajuma5014 hahahaaa
@@simonzakaria4770 acha tuuu
😂😂😂😂
Amen
Njia za Mungu hazichunguziki na hatazami Kama wanadamu, aweza tumia njia yeyote kuwakutanisha