Mume wa Angela Chibalonza aeleza makubwa kupitia Edeni na Mc Eric Mchome.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2022
  • Sikia ushuhuda wa mambo makubwa yaliyo mtokea baada ya kufiwa na aliweza vipi kuvuka atika wakati mgumu alio pitia.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 82

  • @MarlinapetroJouj-nv4fs
    @MarlinapetroJouj-nv4fs 8 месяцев назад +6

    Since I was young, I went through a severe psychological condition that affected my life. I love solitude and I love to listen to calm and moving songs, but one day, and this was in the year 2005, I listened to Angela’s hymns. I felt a spiritual comfort, even though I do not understand the Swahili language, and from that time until now I love listening to her hymns. Her death was It was a shock to me because I found a friend who is Congolese and I am Sudanese I don't know her, but I love her and take comfort in her words and her great voice. I thank the Lord because he used Angela to be the reason for my transformation from a psychologically depressed person to a free person.

  • @akankundamitchelle-kz8sq
    @akankundamitchelle-kz8sq Год назад +8

    Angela went to heaven straightway wooow continue resting with Angels, tho we miss you dearly and the power in your songs😭😭

  • @MiliamPili-em7zh
    @MiliamPili-em7zh Месяц назад +1

    🎉mungu aguse moyo wangu nakumbukuka mume wangu mpendwa aliyenipenda Zaid na aliyependa familia yake aliniacha tukiwa na watoto watatu nimepita kwenye wakati mgumu Sana mungu atutie nguvu wajane na wagane na yatima na alaaniwe awaoneao wajane na yatima kuto 22

  • @agneslalaseriamenpastor.
    @agneslalaseriamenpastor. Год назад +4

    Asante pastor naomba maombi yako kulingana na ushauri wako

  • @lornahmulitani2798
    @lornahmulitani2798 Год назад +3

    Ghai haki mimi napenda nyimbo zako kumbe wewe ni mme wa anjela God blessed you

  • @user-hp5sj2cm4s
    @user-hp5sj2cm4s 10 дней назад

    Mungu akubariki mtumish wa Mungu .Hakika Yeau ni mzuri .

  • @user-qf7wb8iv7h
    @user-qf7wb8iv7h Год назад +9

    Thank you for the great testimony Pastor Muliri.
    Thank you for the great tribute to Angella
    Ni kweli Angella alikuwa Mtumishi tofauti sana!
    Que le seigneur te benisse!

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 8 месяцев назад

    Namfurahia Mungu kumtia moyo mtumishi wake Elisha Muliri kipindi chote tangu ampoteze Angela alivyomtia nguvu kumlea mtoto Hadi amekuwa na huduma katika Kristo. Pia, kuhusu Angela Chibalonza her songs zinaendelea kunibariki Miaka mingi tangu aondoke hazichuji moyoni mwangu. Nilimpenda sana ila Mungu ashukuriwe kwa yote maana imetupasa kumshukuru Mungu Kwa kila jambo

  • @phoebeandati
    @phoebeandati Год назад +2

    Ni kweli Marehemu Angela alikuwa mtumishi tofauti sana. She really inspired.

  • @user-ed3us3rr3v
    @user-ed3us3rr3v 7 месяцев назад

    Asante saana kwa ushuhuda wa mtumishi wa Mungu Mme wa marehemu Angela. Inatuongeza tumaini na kutupatia moyo kwa kumutumikia Mungu bila kuchoka

  • @justusmutuku8303
    @justusmutuku8303 11 месяцев назад

    Poole sana Mtumishi,,, Kwa hayo,,,,,, sisitulimpenda saa tukiwa hapa Kenya, Mungu alitupea na Mungu altwaa,,,,,, Jina lake lihimidiwe,,, ❤❤❤❤ Mungu na ampumuzishe Kwa Amani tutaonanasiku za mwisho,,,,,,, 💝😭

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 7 месяцев назад +1

    Woyie
    Angela was a great minister
    May her soul continue resting in the bossom of the Lord

  • @rosemalavi3172
    @rosemalavi3172 Год назад +2

    Soo touching may God blessed him for resizing wonder

  • @abbyimbukwa3835
    @abbyimbukwa3835 9 месяцев назад

    So impressive ❤.. Nmewatch hii kwa machozi mengi... Mungu n mfariji mwema kabsaa

  • @christinesyombuamusic3726
    @christinesyombuamusic3726 Год назад +1

    Nilimpenda Angela tena sana 😢😢niliumia sana kwa maana alikua mentor nikiwa sijawai muona, ithank God for healing you man of God

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 8 месяцев назад

    Ahsante Mungu Kwa zawadi hii Africa Mashariki ya kutupatia Angela kwa muda tuliokuwa naye. Ndipo ukaruhusu aondoke. Tunakushukuru kwa kuwa muda tuliohudumiwa na utumishi wake, tumeguswa na bado tunahubiriwa na sifa zake kwako

  • @LOGOSNew
    @LOGOSNew 8 месяцев назад +1

    Kifo cha Angela kiliniumiza Sana. Nilisikia uchungu jinsi Shetani aliweza kuua mtumishi wa Mungu wa maana kama Angela. Inauma Sana!

  • @user-ri7oy3ju6e
    @user-ri7oy3ju6e 9 месяцев назад +1

    You are a living testimony

  • @user-pj2kl9fl2z
    @user-pj2kl9fl2z День назад +1

    AMEN NA AMEN

  • @mungabenjamin7195
    @mungabenjamin7195 Год назад +1

    .muchungaji nashukuru kwafaraja zako namimi nimempoteza kipenzi change ambaye nimume wangu mwezi wa Tatu naitaji Masada wamaombi

  • @user-su6fw6id5q
    @user-su6fw6id5q 7 месяцев назад

    Mungu azidi kukubari na kukupa moto wa uvumilivu,na Moja mungu, 🤲 mungu abariki hata familia yko

  • @SongaFataki-iu7gy
    @SongaFataki-iu7gy Год назад

    Pole sana ku yalio tokea Baba nabii Mungu ndiye mfariji wako Sikuzote

  • @user-hp5sj2cm4s
    @user-hp5sj2cm4s 10 дней назад

    Aminaa apostle

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Год назад +2

    Be blessed Mtumishi

  • @estherzeleda
    @estherzeleda Месяц назад

    Mungu aku bariki sana mutumishi , miko ku Congo

  • @agneslalaseriamenpastor.
    @agneslalaseriamenpastor. Год назад +2

    Asante. Sana mm nimjane na nilikua nimekata shauri

    • @duncanmurimi8917
      @duncanmurimi8917 Год назад

      Usikite shauri, Mungu yupo kwa wote,kuwa na Imani fanya bidii na Mungu atakubariki na akufungulie njia zako za ufanisi katika maisha Yako

  • @SirAlex15551
    @SirAlex15551 7 месяцев назад

    Ushuhuda ulio hai, Mungu akubariki sana mchungaji

  • @asinaliandrew1200
    @asinaliandrew1200 Год назад

    Be Blesses pastor

  • @benjaminkakamasha3029
    @benjaminkakamasha3029 Год назад +3

    Ushuuda mkubwa jamani

  • @needtohear994
    @needtohear994 6 месяцев назад +1

    aseeh mungu yupo jamani 🤔malaika walimtokea kumfariji..

  • @user-to5ui3rz8z
    @user-to5ui3rz8z Год назад

    Wacha Mungu aendelei kukutia nguvu Na be blessed all the day in your life situation

  • @elishamuliri2425
    @elishamuliri2425 9 месяцев назад

    Wambo kimani Mungu akupitishe katika kikombe alichonipitisha utajuwa huwezi mtukana mfiwa dunia mwalimu utajifunza tu sikumoja

  • @user-ki2jz3li4p
    @user-ki2jz3li4p 6 месяцев назад

    So painful Wacha mungu akutie nguvu brother

  • @christopherkiswaga9270
    @christopherkiswaga9270 10 месяцев назад

    Mungu akubariki

  • @wengajmceprojed2604
    @wengajmceprojed2604 5 месяцев назад

    Nafurahi kusikiya shuhuda hii kuhusu Angela sababu nilimpenda zaidi hata mara kwa mara nilikuwa naimbisha wimbo wake kwayani " Jina la Yesu"

  • @user-uk9qi7ll7s
    @user-uk9qi7ll7s 3 месяца назад

    Mungu aendelee kukupa nguvu zaid na zaid

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 7 месяцев назад +1

    Neema tele mtumishi wa mungu

  • @TarimoTarimo-pf5lo
    @TarimoTarimo-pf5lo 2 месяца назад

    Amina baba

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 5 месяцев назад

    Touching story 😢

  • @frankmacharia5521
    @frankmacharia5521 Год назад +1

    touching story

  • @roselynestua7095
    @roselynestua7095 Год назад

    Ameeeen kamafutisho mema ni kweli tuna potesa naye mupenda una kata tama

  • @estherzeleda
    @estherzeleda Месяц назад

    Nimebarikiwa sana

  • @suzankamguna
    @suzankamguna Год назад +1

    Amen

  • @user-hv9qi2jc9c
    @user-hv9qi2jc9c 5 месяцев назад

    Muchungaji nime Jengwa sana kwa Ile ushuhuda Nami Nina mukumbuka marehemu mupaka Léo basi ilikuwa mapenzi ya Mungu baba.alakini wakafa wote na walewavijana?

  • @DEBORAMMERA-my7mi
    @DEBORAMMERA-my7mi 11 месяцев назад

    Angekuwa hai nahisi ninge barikiwa

  • @samuelkilami3104
    @samuelkilami3104 Месяц назад

    Mpaka nimelia pole mtumishi

  • @user-gy5rx8do8b
    @user-gy5rx8do8b 7 месяцев назад

    Pole niwakwetu Bukavu

  • @anncocoa1876
    @anncocoa1876 Год назад +1

    Amen Amen

  • @agneslalaseriamenpastor.
    @agneslalaseriamenpastor. Год назад +1

    Mpaka nikaamua kwenda nchi za nje kutafuta rizik

  • @FistonWilly
    @FistonWilly 6 месяцев назад

    Watoto pamoja na baba Yao pamoja na ninyi watumishi wa Bwana yaani Kanisa endeleeni kuwainuwa Kwa kuwahimiza watoto kuwainuwa ktk Bwana Yesu christo, na Haina Maana kuwapeleka Kwa kuichunguza kaburi la marahemu Haina Maana.

  • @akankundamitchelle-kz8sq
    @akankundamitchelle-kz8sq Год назад +3

    Painful story

  • @user-xc8ot8bk2y
    @user-xc8ot8bk2y Год назад +1

    Hikika yesu ni mfariji mwema

  • @benjaminwafula
    @benjaminwafula Месяц назад

    Kweli kbs ijapo kua n kitambo lkn bado inatazamwa

  • @user-cz3sw7ch3x
    @user-cz3sw7ch3x 10 месяцев назад +1

    May her soul rest in eternal peace

  • @WaydaEsau
    @WaydaEsau 7 месяцев назад

    Mungu anamakusudi

  • @josephmepaliki4750
    @josephmepaliki4750 8 месяцев назад +2

    Habari za Eden tv,ninaitwa mteule Joseph kutoka Tanzania,Ila Niko Kenya ,nimara ya kwaza ,kutazama ,mahojiano na mtumishi muliri ,kuhusiana na kisa Cha kufiwa na mke wake chibalonza,Nina jambo nataka kupata ufahamu ,Mimi nililetewa na mungu picha ya kifo chake chibalonza,ya kua ,kwaza kabisa sikua namjua chibalonza Wala mume wake ,nikumsikia tu kwa vyombo vya Habari,lakini ajabu nikuamba nilipata ,picha nzima ya kifo Cha mke wake ,yakua nilionyeshwa ,hivi ,kaburi alilozikwa marehemu, marehemu analia kwa uchungu mwingi ananilia nimvukue nikama amezikwa akiwa hai ,na kulikua na mfano hivi Kama mrija ukitoka kaburini Hadi upande wa nje wa kaburi ndio alikokua akitumia kwa kuwasiliana namimi ,jambo hili limenisumbua kwa miaka mingi mpaka Leo na limenipa uchungu mwingi moyoni na Tena maswali mengi ambayo sijapata jawabu mpaka leo

    • @user-zh8uf3wy2z
      @user-zh8uf3wy2z 8 месяцев назад

      Umuweke katika maombi sana

    • @mariaana9808
      @mariaana9808 5 месяцев назад +1

      Wala usitatizike mengi yalisemwa hata Mimi nlikua na maswali Sana lakini hivi majuzi nabii wa Mungu wa kweli alituarifu kwamba yupo Mbinguni mabaya yalikua yamepangwa kweli lakini Mungu kwa neema yake akampeleka Mbinguni.

    • @yusuphotieno9837
      @yusuphotieno9837 4 месяца назад

      ​@@mariaana9808Habari Mtakatifu wa BWANA ni Nabii gan aliyesema Angela Chibalonza yupo mbinguni ningependa kumfahamu. Ahsante na ntashukuru Kama nitapata mrejesho.

    • @markomolloministry7722
      @markomolloministry7722 3 месяца назад

      ​@@mariaana9808mtumishi yupi huyo aliwaambia

  • @BettyChepkorir-xq5zj
    @BettyChepkorir-xq5zj Год назад +1

    Are you brothers?

  • @mariamdjuma1983
    @mariamdjuma1983 Год назад +2

    Amen pole baba

  • @user-zh8uf3wy2z
    @user-zh8uf3wy2z 8 месяцев назад

    Kuna kitu nimejifunza😢 hii safar ilikua imezuilika ni vile alitumia nguvu.....any way tumuachie mungu

  • @user-vq7zi3qt7t
    @user-vq7zi3qt7t 10 месяцев назад

    Mungu asidi kukupa kufu

  • @patriciandunge9777
    @patriciandunge9777 5 месяцев назад

    Kupotea Kwa funguo kulikuwa na ishara Fulani..mat she rest in peace

  • @daniellaelsie8726
    @daniellaelsie8726 5 месяцев назад

    Rip Angela

  • @gloryshirima9958
    @gloryshirima9958 Год назад +1

    😊

  • @Mussajohn99
    @Mussajohn99 Год назад +9

    BWANA YESU asifiwe sana niko na ushauri huyo mtoto aspelekwe kwa kaburi ya mamaye kwasababu haina maana tena mtu amekwisha kwenda ata akiona kaburi haisaidii kitu atoshe na kumbukumbu zilizo kwenye picha na video MATHAYO 23: 29

    • @wengajmceprojed2604
      @wengajmceprojed2604 5 месяцев назад

      Mbona kaburi la Yesu linalindwa hadi sasa ?

    • @Mussajohn99
      @Mussajohn99 5 месяцев назад

      pengine yaweza kuwa hawajui maandiko wala uweza wa MUNGU soma neno mana YESU amefufuka wana linda nini MUNGU awasaidie wapate kuelewa maandiko

  • @user-od9nu1kn3h
    @user-od9nu1kn3h 7 месяцев назад

    Machoz yanenitoka

  • @user-vy6bx7xe3e
    @user-vy6bx7xe3e 9 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @miriamimani4986
    @miriamimani4986 5 месяцев назад

    Angela alipokufa, ndugu zangu walinipigia simu wakasema Angela wako amefariki, sasa utafanyaje? Sikuamini, nilitamani isiwe kweli, ila siku zikazidi kwenda mpaka leo.

  • @ilovejesus9500
    @ilovejesus9500 5 месяцев назад +1

    Fake pastor,end shiro oakland ukaskie viele ulifanya!

  • @wambokimani682
    @wambokimani682 10 месяцев назад +2

    Alikua akilala kanisa moja sitataja baada yako kumpiga na kukosesha amani.
    Rest in peace Angela.....

  • @apoyaagnes9231
    @apoyaagnes9231 8 месяцев назад

    Amen

  • @benjaminkakamasha3029
    @benjaminkakamasha3029 Год назад

    Ushuuda mkubwa jamani