Since I was young, I went through a severe psychological condition that affected my life. I love solitude and I love to listen to calm and moving songs, but one day, and this was in the year 2005, I listened to Angela’s hymns. I felt a spiritual comfort, even though I do not understand the Swahili language, and from that time until now I love listening to her hymns. Her death was It was a shock to me because I found a friend who is Congolese and I am Sudanese I don't know her, but I love her and take comfort in her words and her great voice. I thank the Lord because he used Angela to be the reason for my transformation from a psychologically depressed person to a free person. 
🎉mungu aguse moyo wangu nakumbukuka mume wangu mpendwa aliyenipenda Zaid na aliyependa familia yake aliniacha tukiwa na watoto watatu nimepita kwenye wakati mgumu Sana mungu atutie nguvu wajane na wagane na yatima na alaaniwe awaoneao wajane na yatima kuto 22
Thank you for the great testimony Pastor Muliri. Thank you for the great tribute to Angella Ni kweli Angella alikuwa Mtumishi tofauti sana! Que le seigneur te benisse!
Namfurahia Mungu kumtia moyo mtumishi wake Elisha Muliri kipindi chote tangu ampoteze Angela alivyomtia nguvu kumlea mtoto Hadi amekuwa na huduma katika Kristo. Pia, kuhusu Angela Chibalonza her songs zinaendelea kunibariki Miaka mingi tangu aondoke hazichuji moyoni mwangu. Nilimpenda sana ila Mungu ashukuriwe kwa yote maana imetupasa kumshukuru Mungu Kwa kila jambo
Poole sana Mtumishi,,, Kwa hayo,,,,,, sisitulimpenda saa tukiwa hapa Kenya, Mungu alitupea na Mungu altwaa,,,,,, Jina lake lihimidiwe,,, ❤❤❤❤ Mungu na ampumuzishe Kwa Amani tutaonanasiku za mwisho,,,,,,, 💝😭
Ahsante Mungu Kwa zawadi hii Africa Mashariki ya kutupatia Angela kwa muda tuliokuwa naye. Ndipo ukaruhusu aondoke. Tunakushukuru kwa kuwa muda tuliohudumiwa na utumishi wake, tumeguswa na bado tunahubiriwa na sifa zake kwako
Muchungaji nime Jengwa sana kwa Ile ushuhuda Nami Nina mukumbuka marehemu mupaka Léo basi ilikuwa mapenzi ya Mungu baba.alakini wakafa wote na walewavijana?
Watoto pamoja na baba Yao pamoja na ninyi watumishi wa Bwana yaani Kanisa endeleeni kuwainuwa Kwa kuwahimiza watoto kuwainuwa ktk Bwana Yesu christo, na Haina Maana kuwapeleka Kwa kuichunguza kaburi la marahemu Haina Maana.
Habari za Eden tv,ninaitwa mteule Joseph kutoka Tanzania,Ila Niko Kenya ,nimara ya kwaza ,kutazama ,mahojiano na mtumishi muliri ,kuhusiana na kisa Cha kufiwa na mke wake chibalonza,Nina jambo nataka kupata ufahamu ,Mimi nililetewa na mungu picha ya kifo chake chibalonza,ya kua ,kwaza kabisa sikua namjua chibalonza Wala mume wake ,nikumsikia tu kwa vyombo vya Habari,lakini ajabu nikuamba nilipata ,picha nzima ya kifo Cha mke wake ,yakua nilionyeshwa ,hivi ,kaburi alilozikwa marehemu, marehemu analia kwa uchungu mwingi ananilia nimvukue nikama amezikwa akiwa hai ,na kulikua na mfano hivi Kama mrija ukitoka kaburini Hadi upande wa nje wa kaburi ndio alikokua akitumia kwa kuwasiliana namimi ,jambo hili limenisumbua kwa miaka mingi mpaka Leo na limenipa uchungu mwingi moyoni na Tena maswali mengi ambayo sijapata jawabu mpaka leo
Wala usitatizike mengi yalisemwa hata Mimi nlikua na maswali Sana lakini hivi majuzi nabii wa Mungu wa kweli alituarifu kwamba yupo Mbinguni mabaya yalikua yamepangwa kweli lakini Mungu kwa neema yake akampeleka Mbinguni.
@@mariaana9808Habari Mtakatifu wa BWANA ni Nabii gan aliyesema Angela Chibalonza yupo mbinguni ningependa kumfahamu. Ahsante na ntashukuru Kama nitapata mrejesho.
BWANA YESU asifiwe sana niko na ushauri huyo mtoto aspelekwe kwa kaburi ya mamaye kwasababu haina maana tena mtu amekwisha kwenda ata akiona kaburi haisaidii kitu atoshe na kumbukumbu zilizo kwenye picha na video MATHAYO 23: 29
Angela alipokufa, ndugu zangu walinipigia simu wakasema Angela wako amefariki, sasa utafanyaje? Sikuamini, nilitamani isiwe kweli, ila siku zikazidi kwenda mpaka leo.
Since I was young, I went through a severe psychological condition that affected my life. I love solitude and I love to listen to calm and moving songs, but one day, and this was in the year 2005, I listened to Angela’s hymns. I felt a spiritual comfort, even though I do not understand the Swahili language, and from that time until now I love listening to her hymns. Her death was It was a shock to me because I found a friend who is Congolese and I am Sudanese I don't know her, but I love her and take comfort in her words and her great voice. I thank the Lord because he used Angela to be the reason for my transformation from a psychologically depressed person to a free person.

Angela went to heaven straightway wooow continue resting with Angels, tho we miss you dearly and the power in your songs😭😭
🎉mungu aguse moyo wangu nakumbukuka mume wangu mpendwa aliyenipenda Zaid na aliyependa familia yake aliniacha tukiwa na watoto watatu nimepita kwenye wakati mgumu Sana mungu atutie nguvu wajane na wagane na yatima na alaaniwe awaoneao wajane na yatima kuto 22
Asante pastor naomba maombi yako kulingana na ushauri wako
Ghai haki mimi napenda nyimbo zako kumbe wewe ni mme wa anjela God blessed you
Mungu akubariki mtumish wa Mungu .Hakika Yeau ni mzuri .
Thank you for the great testimony Pastor Muliri.
Thank you for the great tribute to Angella
Ni kweli Angella alikuwa Mtumishi tofauti sana!
Que le seigneur te benisse!
Namfurahia Mungu kumtia moyo mtumishi wake Elisha Muliri kipindi chote tangu ampoteze Angela alivyomtia nguvu kumlea mtoto Hadi amekuwa na huduma katika Kristo. Pia, kuhusu Angela Chibalonza her songs zinaendelea kunibariki Miaka mingi tangu aondoke hazichuji moyoni mwangu. Nilimpenda sana ila Mungu ashukuriwe kwa yote maana imetupasa kumshukuru Mungu Kwa kila jambo
Ni kweli Marehemu Angela alikuwa mtumishi tofauti sana. She really inspired.
Asante saana kwa ushuhuda wa mtumishi wa Mungu Mme wa marehemu Angela. Inatuongeza tumaini na kutupatia moyo kwa kumutumikia Mungu bila kuchoka
Poole sana Mtumishi,,, Kwa hayo,,,,,, sisitulimpenda saa tukiwa hapa Kenya, Mungu alitupea na Mungu altwaa,,,,,, Jina lake lihimidiwe,,, ❤❤❤❤ Mungu na ampumuzishe Kwa Amani tutaonanasiku za mwisho,,,,,,, 💝😭
Woyie
Angela was a great minister
May her soul continue resting in the bossom of the Lord
Soo touching may God blessed him for resizing wonder
So impressive ❤.. Nmewatch hii kwa machozi mengi... Mungu n mfariji mwema kabsaa
Nilimpenda Angela tena sana 😢😢niliumia sana kwa maana alikua mentor nikiwa sijawai muona, ithank God for healing you man of God
Ahsante Mungu Kwa zawadi hii Africa Mashariki ya kutupatia Angela kwa muda tuliokuwa naye. Ndipo ukaruhusu aondoke. Tunakushukuru kwa kuwa muda tuliohudumiwa na utumishi wake, tumeguswa na bado tunahubiriwa na sifa zake kwako
Kifo cha Angela kiliniumiza Sana. Nilisikia uchungu jinsi Shetani aliweza kuua mtumishi wa Mungu wa maana kama Angela. Inauma Sana!
You are a living testimony
AMEN NA AMEN
.muchungaji nashukuru kwafaraja zako namimi nimempoteza kipenzi change ambaye nimume wangu mwezi wa Tatu naitaji Masada wamaombi
Mungu azidi kukubari na kukupa moto wa uvumilivu,na Moja mungu, 🤲 mungu abariki hata familia yko
Pole sana ku yalio tokea Baba nabii Mungu ndiye mfariji wako Sikuzote
Aminaa apostle
Be blessed Mtumishi
Mungu aku bariki sana mutumishi , miko ku Congo
Asante. Sana mm nimjane na nilikua nimekata shauri
Usikite shauri, Mungu yupo kwa wote,kuwa na Imani fanya bidii na Mungu atakubariki na akufungulie njia zako za ufanisi katika maisha Yako
Ushuhuda ulio hai, Mungu akubariki sana mchungaji
Be Blesses pastor
Ushuuda mkubwa jamani
aseeh mungu yupo jamani 🤔malaika walimtokea kumfariji..
Wacha Mungu aendelei kukutia nguvu Na be blessed all the day in your life situation
Wambo kimani Mungu akupitishe katika kikombe alichonipitisha utajuwa huwezi mtukana mfiwa dunia mwalimu utajifunza tu sikumoja
So painful Wacha mungu akutie nguvu brother
Mungu akubariki
Nafurahi kusikiya shuhuda hii kuhusu Angela sababu nilimpenda zaidi hata mara kwa mara nilikuwa naimbisha wimbo wake kwayani " Jina la Yesu"
Mungu aendelee kukupa nguvu zaid na zaid
Neema tele mtumishi wa mungu
Amina baba
Touching story 😢
touching story
Ameeeen kamafutisho mema ni kweli tuna potesa naye mupenda una kata tama
Nimebarikiwa sana
Amen
Muchungaji nime Jengwa sana kwa Ile ushuhuda Nami Nina mukumbuka marehemu mupaka Léo basi ilikuwa mapenzi ya Mungu baba.alakini wakafa wote na walewavijana?
Angekuwa hai nahisi ninge barikiwa
Mpaka nimelia pole mtumishi
Pole niwakwetu Bukavu
Amen Amen
Mpaka nikaamua kwenda nchi za nje kutafuta rizik
Watoto pamoja na baba Yao pamoja na ninyi watumishi wa Bwana yaani Kanisa endeleeni kuwainuwa Kwa kuwahimiza watoto kuwainuwa ktk Bwana Yesu christo, na Haina Maana kuwapeleka Kwa kuichunguza kaburi la marahemu Haina Maana.
Painful story
Hikika yesu ni mfariji mwema
Kweli kbs ijapo kua n kitambo lkn bado inatazamwa
May her soul rest in eternal peace
Mungu anamakusudi
Habari za Eden tv,ninaitwa mteule Joseph kutoka Tanzania,Ila Niko Kenya ,nimara ya kwaza ,kutazama ,mahojiano na mtumishi muliri ,kuhusiana na kisa Cha kufiwa na mke wake chibalonza,Nina jambo nataka kupata ufahamu ,Mimi nililetewa na mungu picha ya kifo chake chibalonza,ya kua ,kwaza kabisa sikua namjua chibalonza Wala mume wake ,nikumsikia tu kwa vyombo vya Habari,lakini ajabu nikuamba nilipata ,picha nzima ya kifo Cha mke wake ,yakua nilionyeshwa ,hivi ,kaburi alilozikwa marehemu, marehemu analia kwa uchungu mwingi ananilia nimvukue nikama amezikwa akiwa hai ,na kulikua na mfano hivi Kama mrija ukitoka kaburini Hadi upande wa nje wa kaburi ndio alikokua akitumia kwa kuwasiliana namimi ,jambo hili limenisumbua kwa miaka mingi mpaka Leo na limenipa uchungu mwingi moyoni na Tena maswali mengi ambayo sijapata jawabu mpaka leo
Umuweke katika maombi sana
Wala usitatizike mengi yalisemwa hata Mimi nlikua na maswali Sana lakini hivi majuzi nabii wa Mungu wa kweli alituarifu kwamba yupo Mbinguni mabaya yalikua yamepangwa kweli lakini Mungu kwa neema yake akampeleka Mbinguni.
@@mariaana9808Habari Mtakatifu wa BWANA ni Nabii gan aliyesema Angela Chibalonza yupo mbinguni ningependa kumfahamu. Ahsante na ntashukuru Kama nitapata mrejesho.
@@mariaana9808mtumishi yupi huyo aliwaambia
Are you brothers?
Amen pole baba
Kuna kitu nimejifunza😢 hii safar ilikua imezuilika ni vile alitumia nguvu.....any way tumuachie mungu
Mungu asidi kukupa kufu
Kupotea Kwa funguo kulikuwa na ishara Fulani..mat she rest in peace
Rip Angela
😊
BWANA YESU asifiwe sana niko na ushauri huyo mtoto aspelekwe kwa kaburi ya mamaye kwasababu haina maana tena mtu amekwisha kwenda ata akiona kaburi haisaidii kitu atoshe na kumbukumbu zilizo kwenye picha na video MATHAYO 23: 29
Mbona kaburi la Yesu linalindwa hadi sasa ?
pengine yaweza kuwa hawajui maandiko wala uweza wa MUNGU soma neno mana YESU amefufuka wana linda nini MUNGU awasaidie wapate kuelewa maandiko
Machoz yanenitoka
Amen 🙏🙏🙏
Angela alipokufa, ndugu zangu walinipigia simu wakasema Angela wako amefariki, sasa utafanyaje? Sikuamini, nilitamani isiwe kweli, ila siku zikazidi kwenda mpaka leo.
Pole sana tena muchungaji
Fake pastor,end shiro oakland ukaskie viele ulifanya!
Alikua akilala kanisa moja sitataja baada yako kumpiga na kukosesha amani.
Rest in peace Angela.....
Waah sad
Shungulika na Yako mama
Amen
Ushuuda mkubwa jamani