NILIJUA MTOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Wenye magari jamani sio kila anaetaka kuvuka barabara ni mtoto mdogo.. Kuweni makini watu wapo na bebe zao...

Комментарии • 464

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 11 месяцев назад +192

    Mm wa mwisho maana kila mtu wa kwanza utadhan mnalipwa😂😂😂

  • @dianerditto
    @dianerditto 11 месяцев назад +13

    Hatimae joti kakutana na wafupi yeye ndio mrefu basi hapo😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @marcowawaghufa8197
    @marcowawaghufa8197 11 месяцев назад +51

    najiweza kiuchumi, kiserikali na kichawi😂😂😂

  • @RichardvShengoto
    @RichardvShengoto Месяц назад +1

    Mimi wa kwanza ndo nini acheni ushamba mnalipwa au kila mtu mimi wa kwanza duh😅😅😅

  • @blackpanther4825
    @blackpanther4825 10 месяцев назад +1

    Nishai kama harakati za Pimbi kitambo gazeti la Sani. Harakati hazifanikiwi siku zote 😂😂😂

  • @zainabthomas6960
    @zainabthomas6960 10 месяцев назад +4

    Jot umezingua unapigwaje na watu wafupi😂😂

  • @salim4919
    @salim4919 10 месяцев назад +5

    Furaha ya mtu mfupi ni kumuona mfupi kuliko Yeye 😂😂😂

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 10 месяцев назад +1

    Mimi sitaki like mana kila mtu nipeni like zangu kama mme wapa bando

  • @JanethAlexander-o3j
    @JanethAlexander-o3j 4 месяца назад

    Ila joti kwahy anajiona mrefu yeye😂😂😂😂

  • @PhilipoCasmiry
    @PhilipoCasmiry 11 месяцев назад +1

    😂😂 asee Nishai bhana

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 11 месяцев назад +1

    Najiweza kiuchumi, kiserikali na kiuchawi😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 11 месяцев назад +1

    😅😅😅😅😅 et naniweze kiuchumi kiserikali kichawi

  • @Platnumz11
    @Platnumz11 11 месяцев назад +1

    Kumbe brother 😅😅😅

  • @GraceZawadi-b6c
    @GraceZawadi-b6c 11 месяцев назад

    Ufupi sio ugonjwa😅😅😅😅😅

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 11 месяцев назад +1

    Eti Mwanafunzi 😂😂😂

  • @AzizaSeif-u3e
    @AzizaSeif-u3e 11 месяцев назад +1

    Joti mhuni😅😅😅😅😅

  • @tambwefatma2
    @tambwefatma2 11 месяцев назад

    🤩🤩mbna kama kakomaa

  • @jumasaid2895
    @jumasaid2895 11 месяцев назад +1

    Kina ndugu zake selemani haoo

  • @andrewpasianus5589
    @andrewpasianus5589 11 месяцев назад

    Jamaa anaishiaga kwenye kipigo tu

  • @mjukuuwamkwawaOG
    @mjukuuwamkwawaOG 8 месяцев назад

    Nyama nyingi

  • @boihsanga2618
    @boihsanga2618 11 месяцев назад +1

    Wa kwanza

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 11 месяцев назад

    Balaaa bluuuuu

  • @abdallaali5467
    @abdallaali5467 11 месяцев назад

    Kwa hawa hawanipigi hata wawe 10 labda wnivamie kwa gafla waniangushe bila kuwaona😅

  • @darlingjackson6057
    @darlingjackson6057 11 месяцев назад +1

    Wa 50 Leo nipeni like zngu

  • @DanielRukas
    @DanielRukas 11 месяцев назад

    Leo mm wa 2023

  • @neemamangushi8187
    @neemamangushi8187 11 месяцев назад +1

    Nomaaa

  • @GresBruno
    @GresBruno 10 месяцев назад +1

    M
    wakwaza

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 11 месяцев назад

    Kumbe familia😂😂

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 10 месяцев назад

    aah kumbe familia😂😂

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 11 месяцев назад

    Hahahahahahaha bavu zangu mie

  • @jacklinejohn222
    @jacklinejohn222 10 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂daaah

  • @elizabethvicent3584
    @elizabethvicent3584 11 месяцев назад

    Kumbe familia 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ChaziBg-vv4ow
    @ChaziBg-vv4ow 11 месяцев назад

    Kama una mkubali jot tia like

  • @tzatza255
    @tzatza255 10 месяцев назад

    Eti kumbe familia 😂

  • @JamilaAyoub-i9i
    @JamilaAyoub-i9i 11 месяцев назад

    Mhhhh❤😂🎉😢😮😅

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 11 месяцев назад

    Kumbe Familia.

  • @makop6978
    @makop6978 11 месяцев назад +1

    meenda mana naanza kuiangalia ina views 0 namaliza kuangalia naona views 334

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 10 месяцев назад

    Nisahi niuzie iyo gari

  • @slaussteven
    @slaussteven 11 месяцев назад

    Hili gari la joti😂

  • @michaelmnzava3798
    @michaelmnzava3798 11 месяцев назад

    Mm wa 174 leo.nipeni likes zangu

  • @georgenshashi1308
    @georgenshashi1308 11 месяцев назад +1

    Jotinhooo😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 9 месяцев назад

    ✌️👍👊.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 11 месяцев назад +33

    Wenye magari wengi sana wanazo dharau kwa watu wasiowafahamu

  • @AfsaMohamed-o4i
    @AfsaMohamed-o4i 11 месяцев назад +25

    Wa kwanzaaa likes zenu jmn😢

    • @jacobmwalituke8981
      @jacobmwalituke8981 11 месяцев назад +2

      Utaolewa kupenda penda like mamae

    • @hikupskikons8914
      @hikupskikons8914 11 месяцев назад +1

      ​@@jacobmwalituke8981😊😊😊😊😂😂😂

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 11 месяцев назад +43

    Joti ni mfupi kakutana na wafupi haris wanaukoo wake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @musakaphu4581
    @musakaphu4581 11 месяцев назад +19

    Najiweza saana kiuchumi,kiserekali na kiuchawi pia 😂😂

  • @Boaz22
    @Boaz22 11 месяцев назад +22

    Wakwanza hapa,gonga like kama unamkubali joti 😂

  • @barakaelkaaya40
    @barakaelkaaya40 11 месяцев назад +9

    Mbona Hana chupa ya maziwa??😂😂❤❤❤love sanaa joti

  • @zeynaaly1948
    @zeynaaly1948 11 месяцев назад +10

    🤣🤣 Mr. Mtombagile Kitwango chukua zawadi zako🍇🍇🍍🌶

  • @beniardajuna2580
    @beniardajuna2580 11 месяцев назад +5

    Yaan huyu jamaa ana bahati kuitwa mwanafunzi mmetishaaa fanya nao nyingi zitaendaaaaa saaana

  • @babusharo
    @babusharo 10 месяцев назад +2

    mambo vp😢😮😮

  • @starjay3052
    @starjay3052 11 месяцев назад +3

    anasoma kijijini mjini mbona kama kakomaa 😁😁🤣🤣

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 11 месяцев назад +1

    Mhubiri 12:1
    Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.

    • @Makala360
      @Makala360 11 месяцев назад

      Katombwe huko ww nn kuma ww mwenzako anachekesha hajamaanisha matako ww

    • @michaelramadhan9466
      @michaelramadhan9466 11 месяцев назад

      @@Makala360 kwani Mimi nimemtaja jina..? Ukiona mpaka unatukana ujue Kuna shida namna umelelewa kwenu

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 10 месяцев назад +2

    Dah eti mbona kakomaa hivi anasoma la ngapi😊😅😂😂

  • @gama_liely
    @gama_liely 10 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂😂daah

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 10 месяцев назад +3

    Najiweza kiuchumi kiserikali na kiuchawi ...Joti Fala sana

  • @kelvinetoo
    @kelvinetoo 11 месяцев назад +3

    naombeni msubscribe zenu. nawakubali sana wadau.

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 11 месяцев назад +1

    Wa kwanza jot peke yake alietunga hiis story nyie wengine hamjaitwa hd mjitambukishe wa kwanza n kuomba like mm simpi mtu like yangu zaid y jot peke yako mnakera sana

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 11 месяцев назад +1

    We nae mtu labda aliangalia vibaya, akaona mtoto ila Hawa ndugu KILa kitu anaona ume mzarau, nifunzo lkn

  • @nancembaga43
    @nancembaga43 10 месяцев назад +6

    Raha ya joti hana dharau unaigiza na kila mtu na ndomana nyota yako haipoi❤

  • @bboynickyy
    @bboynickyy 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂 uyo mwamba amekomaaa 😂😂😂 mpaka makalio 😂😂😂

  • @benOfficial36
    @benOfficial36 11 месяцев назад +17

    Mtoto😂😂
    Ila joti bhana,,
    Mm sigombanii namba moja wala wa mwisho😂😂
    Kikubwa nimeona🎉🎉

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 11 месяцев назад +7

    😂😂😂 joti kakutana na kina sele sasa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 11 месяцев назад +4

    Joti 🤣🤣 leo kakutan na rafik zake pamoj n Gari wote wamefanan

  • @HassanMohamed-vs4re
    @HassanMohamed-vs4re 11 месяцев назад +3

    Naomba like zenu wa kwanza mimi

  • @AKO_FURNITURE
    @AKO_FURNITURE 10 месяцев назад +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌

  • @Elijahkha
    @Elijahkha 11 месяцев назад +2

    Mwaka huuu joti utakula hela ya view's kibao

  • @wadhifatv8827
    @wadhifatv8827 11 месяцев назад +13

    😂😂😂😂😂nikecheka asubuhi hii leo nitapata pesa naona mbavu zote zimefunguka

  • @evanssichalwe1716
    @evanssichalwe1716 11 месяцев назад +2

    Sema mpiga picha kapata tabu sana akizumu hawapati inapidi awapige kwa mbali😅😅😅😅

  • @kibombi
    @kibombi 11 месяцев назад +1

    Nishai mtombangile kitwango mikazo miguno

  • @amanchuphichuphi4725
    @amanchuphichuphi4725 11 месяцев назад +2

    M pia wa kwanza

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 11 месяцев назад +33

    Jotiii never disappoint Bro 😂😂😂😂

  • @kanikisomanda578
    @kanikisomanda578 11 месяцев назад +2

    😅😅 mm nakukubali sana mwamba joti ww kiboko Chao, mm na chamq langu tuko pa1 naww

  • @philiposilayo9580
    @philiposilayo9580 11 месяцев назад +2

    upewe mauwa yako joti tena meusi maana ndo yakipekee maana mekundu kila mtu anayo

  • @muddytv1513
    @muddytv1513 11 месяцев назад +1

    Wa kwanza na mliotangulia naombeni ushuru

  • @salvinhosn3916
    @salvinhosn3916 11 месяцев назад +9

    ...kiuchumi, kiserikali na kiuchawi....he pulled out the Platinumz banter....😂

  • @adandida5727
    @adandida5727 10 месяцев назад +2

    Kumbe we braza 😂😂 sijakuanngalia vizuri

  • @sozishija7978
    @sozishija7978 10 месяцев назад +1

    😂😂😂

  • @shanishani-qv3bc
    @shanishani-qv3bc 11 месяцев назад +1

    Mbona dar wamekuwa wengi jamani zamani tulikuwa tunawaona kwa harusi mabele wakicheza mziki🤣🤣🤣

  • @athumanabdullah1526
    @athumanabdullah1526 11 месяцев назад +1

    Like zenu maana mm wa mwisho kila ck

  • @kitomarijames3507
    @kitomarijames3507 11 месяцев назад +1

    Mimi wa Kwanza ila Bado sijaangalia weka like nipate chai nitarudi baadae

  • @erickmidomsodock8716
    @erickmidomsodock8716 11 месяцев назад +14

    From Japan and I love you YANGA bingwa 😃

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 11 месяцев назад +1

      Kesho tunawajaza mashine😅😅

  • @paskomilesjohn5892
    @paskomilesjohn5892 11 месяцев назад +2

    Daah anafanana na millad Ayo

  • @godfreykarata3710
    @godfreykarata3710 11 месяцев назад +1

    Kila mtu wakwanza wamwisho nani mwalipwa sh ngap

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 10 месяцев назад +10

    😂😂😂 Never disappoint jotiiii😂😂😂😂😅

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 11 месяцев назад +6

    Nimeanza kucheka kablaa jotii jotii jotii❤❤❤

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 11 месяцев назад +1

    Et najiweza ad kiuchawi

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 11 месяцев назад +1

    Seleman

  • @uwaniabu2238
    @uwaniabu2238 11 месяцев назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 jamaniii pwahahahahahaa

  • @KisofaOg-wv8ex
    @KisofaOg-wv8ex 11 месяцев назад +1

    ruclips.net/video/W4R4iALZISI/видео.htmlsi=uety183gExwOW_WG😂😂 kapigwa uyu

  • @rodgersmwagu239
    @rodgersmwagu239 11 месяцев назад +6

    Hahaha 😂😂 unyama mwingi joti

  • @Influvesselstz
    @Influvesselstz 11 месяцев назад +8

    Nasubiri wale wanaocoment.. "Joti never disappoint" 😂

    • @Yangaone-h8j
      @Yangaone-h8j 11 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣🤣nawewe mfukunyuku daaa!

    • @mathiasshayo6348
      @mathiasshayo6348 11 месяцев назад +3

      Mi nasubiri wale wanaosema "siku yangu ndo imeisha hivyo sina stress"

  • @rahimally3898
    @rahimally3898 11 месяцев назад +1

    Kumbe familiaaaa

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 11 месяцев назад +1

    Mrisho.

  • @MashaKeis
    @MashaKeis 10 месяцев назад +1

    😂😂😂anasoma kijijini au mjini mbon km kakomaa joti fala sanaaa

  • @shafiikhamis2336
    @shafiikhamis2336 11 месяцев назад +5

    Wallah nimeanz kucheka hata hii scene sjaimaliz😂😅
    Naach pending kwanz
    Ila nina ombi tu... hawa characters tungekua tunaletew majina yao mmoja mmoja...utambulisho wao utatufanya kujua wasanii wapya..mana wengin atuwajui

  • @davidnchoji
    @davidnchoji 11 месяцев назад +4

    Daah asee noma sana Joti we ni mwehu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZANZIMEDIA
    @ZANZIMEDIA 11 месяцев назад +1

    Jmni naombeni like hata 70 kwa joti

  • @eshasuleiman6094
    @eshasuleiman6094 11 месяцев назад +1

    Ila wewe mwenyewe joti sio mrefu

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 10 месяцев назад +1

    Joti kaya timba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂