DOTTO MAGARI USO KWA USO NA CHIEF GODLOVE WEWE SIO MCHAWI NIMEAMINI WANAKUSINGIZIA UNA HELA,TAJIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
    Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
    Na kulike facebook page Bongo trendy online

Комментарии • 36

  • @ChantaleNeema-h4x
    @ChantaleNeema-h4x 2 месяца назад

    Asante chief godlove❤❤❤❤🎉🎉

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 2 месяца назад

    Daaaah brother Dotto bhan.....Eti sawasawa!

  • @SaidOmarychapa7haooyangawameon
    @SaidOmarychapa7haooyangawameon 2 месяца назад

    Poa sana mzee

  • @melch3097
    @melch3097 2 месяца назад

    Welldone bro, tutafutane, kwa transport nitakufanyia bei nzuri

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад +2

    uyo jamaa lengo lake lilikuwa ni kama ivo kutafta umaarufu..afanye ishu zake ye mwenyew anatafta hela,,,mwanzo mlimuona mpigaji skuiz mnamuita wenyewe...mshajaa mfumoni😊

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Huyo anataka kuanzisha style ya Mwamposa lazima utumie pesa kupata pesa .Waliokosa maarifa watakoma

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +4

    Hapo nimeamini doto mwizi unamshabikia mtu hata viloba 30 hakuna unasema njooni Biafra tukisema wamama waje 200 Kila mtu mpe kilo tano angalia hiyo gari ya magumashi unamchele kiasi gani

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 месяца назад

      pia hesabu ya 5kg ni sawa na kutoa kwa watu 1000

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Kanunuliwa ili avute wateja njaa imewakaa wao kazi yao kupiga debe tu

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 месяца назад

    Fanyeni na nyinyi mnapenda kuzarau sana angekua muhindi au moo ungeona watu wanavyo uana

  • @MariamHamis-d3n
    @MariamHamis-d3n 2 месяца назад +3

    Wapi nyie Kuna jambo na chats ilooo lakifre

  • @HamiduMtandika-lc2tp
    @HamiduMtandika-lc2tp 2 месяца назад +3

    What is behind this? But I swear if this will affect the people these guys will be responsible to ALLAH. For me I think there is something behind ewe mungu muumba mbingu na ardhi tusaidie

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Hii ni chambo huyu anataka wateja kama Mwamposa kuwaaminisha ni kwanza toa ili upate

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 2 месяца назад +2

    Mcheleeee wa kifreemason vya bure watalipia

  • @AliyussufMakame-js5dp
    @AliyussufMakame-js5dp 2 месяца назад +5

    Wakipatikana watu kama hawa ishirini tu tungepiga hatua ya kimaendeleo vijana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Hiyo ni chambo italipwa hiyo na hao hao watakaopewa cheusi chekundu hiyo

  • @marcksonmleka4908
    @marcksonmleka4908 2 месяца назад

    yule mwandshi aliemfanya T.I.D avimbe na msemo wa who this guy...hatimae nimemuona kavaa shart ya maua kashka maiki

  • @Nurudiniyusufu
    @Nurudiniyusufu 2 месяца назад +1

    Naomba nitumie namba ya chifu ranvu

  • @SaimonEmmanuel-h9t
    @SaimonEmmanuel-h9t 2 месяца назад

    Cheef ana bay

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +2

    Matapeli

  • @FatumaKibona-zs9uq
    @FatumaKibona-zs9uq 2 месяца назад

    Doto magar😅😅😅😅

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 месяца назад +2

    wameingia kwene mfumo

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +1

    Kuna mpira unaitwa angaisha bwege sijui bwege nani hapo

  • @HamiduMtandika-lc2tp
    @HamiduMtandika-lc2tp 2 месяца назад +3

    Geopolitics ,ignorance and interest of some Tanzanian who don't carewhat might be happen to future generations is now operating. Hello 👋 don't mind it is my vision

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 месяца назад

      kaka hata serikali aimalizi changamoto

  • @MichaelPaulo-fb7jv
    @MichaelPaulo-fb7jv 2 месяца назад

    Ditto jamn anavyo cheza cheza

  • @Dominant97
    @Dominant97 2 месяца назад

    Dis unavyodis mwamba anazd kutoboa aisee

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +1

    Wewe doto wewe boya unataka adui toa code

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 2 месяца назад +1

    Huyu jamaaa ni muburundi wa mchongooooo mbona anaongea kama mgosiiiiii msukuma

  • @albertshao4834
    @albertshao4834 2 месяца назад +1

    Pesa gn una ww pesa za mchongo hizo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 2 месяца назад

      Huo ni mtaji wa kuwavutia wateja huyo mjanja mjanja Mwamposa mpya

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 2 месяца назад

    Hayo mapete vidoleni ya nini sasa 😂

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +3

    Doto naku unfollow

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 2 месяца назад +1

    Angalia mlivo panga vimguko vyenu kweli mshamba haelewi