DOTTO MAGARI USO KWA USO NA CHIEF GODLOVE WEWE SIO MCHAWI NIMEAMINI WANAKUSINGIZIA UNA HELA,TAJIRI
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Kwa maoni au ushauri comment hapo chini bila kusahau ku like na kushare ili kuweza kupata update mbali mbali ndani na nje Ya Tanzania
Tufollow katika ukurasa wetu wa instagram @BONGO TRENDY TV
Na kulike facebook page Bongo trendy online
Asante chief godlove❤❤❤❤🎉🎉
Daaaah brother Dotto bhan.....Eti sawasawa!
Poa sana mzee
Welldone bro, tutafutane, kwa transport nitakufanyia bei nzuri
uyo jamaa lengo lake lilikuwa ni kama ivo kutafta umaarufu..afanye ishu zake ye mwenyew anatafta hela,,,mwanzo mlimuona mpigaji skuiz mnamuita wenyewe...mshajaa mfumoni😊
Huyo anataka kuanzisha style ya Mwamposa lazima utumie pesa kupata pesa .Waliokosa maarifa watakoma
Hapo nimeamini doto mwizi unamshabikia mtu hata viloba 30 hakuna unasema njooni Biafra tukisema wamama waje 200 Kila mtu mpe kilo tano angalia hiyo gari ya magumashi unamchele kiasi gani
pia hesabu ya 5kg ni sawa na kutoa kwa watu 1000
Kanunuliwa ili avute wateja njaa imewakaa wao kazi yao kupiga debe tu
Fanyeni na nyinyi mnapenda kuzarau sana angekua muhindi au moo ungeona watu wanavyo uana
Wapi nyie Kuna jambo na chats ilooo lakifre
What is behind this? But I swear if this will affect the people these guys will be responsible to ALLAH. For me I think there is something behind ewe mungu muumba mbingu na ardhi tusaidie
Hii ni chambo huyu anataka wateja kama Mwamposa kuwaaminisha ni kwanza toa ili upate
Mcheleeee wa kifreemason vya bure watalipia
Wakipatikana watu kama hawa ishirini tu tungepiga hatua ya kimaendeleo vijana
Hiyo ni chambo italipwa hiyo na hao hao watakaopewa cheusi chekundu hiyo
yule mwandshi aliemfanya T.I.D avimbe na msemo wa who this guy...hatimae nimemuona kavaa shart ya maua kashka maiki
Naomba nitumie namba ya chifu ranvu
Cheef ana bay
Matapeli
Doto magar😅😅😅😅
wameingia kwene mfumo
Kuna mpira unaitwa angaisha bwege sijui bwege nani hapo
Geopolitics ,ignorance and interest of some Tanzanian who don't carewhat might be happen to future generations is now operating. Hello 👋 don't mind it is my vision
kaka hata serikali aimalizi changamoto
Ditto jamn anavyo cheza cheza
Dis unavyodis mwamba anazd kutoboa aisee
Wewe doto wewe boya unataka adui toa code
Huyu jamaaa ni muburundi wa mchongooooo mbona anaongea kama mgosiiiiii msukuma
Pesa gn una ww pesa za mchongo hizo
Huo ni mtaji wa kuwavutia wateja huyo mjanja mjanja Mwamposa mpya
Hayo mapete vidoleni ya nini sasa 😂
Umeyaonaje
@@kakaaignas3675 kwa macho
Doto naku unfollow
Angalia mlivo panga vimguko vyenu kweli mshamba haelewi