Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

KUMEKUCHA SHK.WALID ALHAD ATOA NENO MZOZO WA ARAFA AWATAKA WAUMINI WAMSKIZE KWA UMAKINI MKUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июн 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / riyadhtvznz
    FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
    TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
    RUclips: www.youtube.co...

Комментарии • 105

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq Месяц назад

    Asante sana sheikh wangu M.mungu akubari.
    Watukubalie dua zetu.
    Na aturehemeshee marehemu wetu ishaallah

  • @user-tq4bv6gq5d
    @user-tq4bv6gq5d 2 месяца назад +1

    Allah akuongoze

  • @ZuberiAbasi-ee2vr
    @ZuberiAbasi-ee2vr Месяц назад +2

    Mche mola wako kwa wewe unapotosha watu harafu naomba ujibu kaongeze elimu na mungu ni nani / kama tumia neno allah harafu hayo matumbo yenu na uchu wa madaraka arfa siku ya tisa katika mwez wa zur,hija makwata allah aongoze viongoz wake

  • @user-zw4tf5os8b
    @user-zw4tf5os8b Месяц назад

    Nakupnda sheikh waleed kwa ajili ya Allah ila hilo jambo la arafa rudi darsa zaidi ukasome!

  • @vicentpantaleo5837
    @vicentpantaleo5837 2 месяца назад +4

    Mimi apo nashindwa kuelewa kwan makka na uku nisiki Moja au ni tofaut

  • @AhmadYusufu
    @AhmadYusufu Месяц назад

    mashallah dawaa zinaitajika siku wataelewa,shekh usichoke kutoa darsa.

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Месяц назад +1

    NENO SIKU.INA MAANA TUPO NA SIKU MOJA DUNIA NZIMA(YAUM).
    MM SIKOROGEKI KWA SABABU NIPO SIKU NA MWEZI MMOJA NA SAUDIA

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад +2

    SUBHANALLAH! MADAARAKA HAYA NI MTIHANI KWELI! HIVI MIAKA MICHACHE ILIYOPITA WAKATI UNASEMA ARAFA INAENDANA NA KISIMAMO CHA ARAFA ULIKUWA UNA CHANGAMOTO GANI???MUOGOPENI ALLAH NYIE BAKWATA!!

    • @maufoung
      @maufoung 2 месяца назад

      Hakuwa na helimu labda

    • @kisanganyakiswanta1379
      @kisanganyakiswanta1379 2 месяца назад

      Alikua amelewa labda😅

    • @SelemaniSelemani-bw4ps
      @SelemaniSelemani-bw4ps 2 месяца назад

      Tuletee hiyo video aliosema hivyo

    • @user-fb8ng4zu4r
      @user-fb8ng4zu4r 2 месяца назад +1

      Mbona hii clip ni ya muda kabla hata hajawa sheikh WA mkoa

    • @user-ox4fv4cf5l
      @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад

      @@SelemaniSelemani-bw4ps YAANI SHEKH ANAISHI TANZANIA ALAFU ANAKUJA NA HOJA YA CHINA UTADHANI NA YEYE NI MCHINA!

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 2 месяца назад +1

    Maa Shaa ALLAH 🇰🇪💚

  • @HamiduAbdallah-hd8wt
    @HamiduAbdallah-hd8wt Месяц назад

    Shekhe walikid muogope mungu wako kwa fatwah unazozitoa kwa waisilamu wa tanzania hakuna tarehe 2tofauti kati ya saudia na Tanzania ingia kwenye word krock tunajua kinacho waangaisha maslahi ya dunia hakuna Asiye jua kuwa BAKWATA.Aliiasisi Raisi Nyerere huko Iringa mwaka 1968

  • @user-su7eu5yn6q
    @user-su7eu5yn6q 2 месяца назад +3

    Hapo kweli umechanganya mambo kwasabu haziwezi kufanana arafaya kukusanywaloro na arafa ya kisimamo cha mahujaji nakukumbusha arafaya sasa ni ileya kusimama mahujaji sioya kukusanywa roho hataukizunguuka ukatoa mifano ya china hainamaanayoyote

    • @user-zs6qg7ql1i
      @user-zs6qg7ql1i 2 месяца назад

      Ww kwl zuzu ndo uneongea nin apo

    • @suleymanmohd3418
      @suleymanmohd3418 Месяц назад

      Mnatuumiza vichwa kuwaeleza, kaeni chini msome kwanza kabla ya kuhoji au kujibu, unazungumza halafu hueleweki unazungumza nini. Sheikh anatoa mazungumzo ya Siku ya arafa maana yake nini wewe unazungumza mambo unayo yajuwa wewe.
      Unaambiwa funga imeanza kabla ya hijja bado huelewi.
      Kasome kwanza.

  • @HossenAlly-xr6kb
    @HossenAlly-xr6kb 2 месяца назад +1

    Mwenye elmu hawezi kutuma sms kwa kumkosoa mtu katika jambo la hitilafu la wanazuoni

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 Месяц назад

    hahaha.... hapo kwenye mchanganuo ndio umeniacha hoi sheikh. nlikuwa sinampango wa kucheka

  • @matwilainoorfoundation
    @matwilainoorfoundation 2 месяца назад

    Jamani jamani jamani mmmh

  • @adamjutto5849
    @adamjutto5849 2 месяца назад +1

    Wee sheikh walidi weee hapo kwenye takbiiraah😂😂😂😂 aloo jamaa tusome lasivyo tutadanganywa saana na masuufiii😂😂

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallah Месяц назад

    Jibu la kua hakukueko simu wala tv wala radio,hao walikua na udhur na ajabu unae jigamba msomi kama wewe, ukaiponza hii kaida " ما جاز لعذر بطل بزواله.Lenye kuruhusiwa kwa udhuru, ruhusa inabatilika kwa kuondoka udhuru. Imam suyuti katika kitabu chake, Al ashbah wannadhaair

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3sl Месяц назад

    kwan Tanzania na kenya si nichi tafauti kabla palpokua hapana mawasliano kila nchi ilikua inafunga peke yake nn kilchowafanya sasa hv kufunga pamoja kama si mawasliano

    • @HassanAhmedAbdallah
      @HassanAhmedAbdallah Месяц назад

      Na ndio siku Mtume swa alishukishuwa Aya alyawma akmaltu lakum diynamum akiwa katika Kisimamo cha arafa,waambie nahilo. Hadithi ndani ya bukhari na muslím

  • @NammanaMobile
    @NammanaMobile Месяц назад

    Unaweza kuwa sawa na unachokiona... Lakin hoja ya msingi ni kupishana kwa siku mbili tofauti... Ikiwa Mungu aliewaambia wafunge kwa kuuona na wafungue kwa kuuona ni waislam waliopewa quran na kuipokea na ni walimwengu mzima siyo wa location fulan kwann unapoandama mwez dunia popote pele tusiufuate ikiwa wale ni waislam na wameuona mana Mungu aliposema fungeni kwa kuuona hakuweka matabaka ya kusema kwa sehem flan ila wangine wasubiri mpaka wauone au watimize maana yake hii sunna kuna baaz itawakosa I kwa wote wa dunia nzima atashindwa kufungua et mpaka uone...... Sawa tuachane na ayo kama hatutaki kuifanya maka iwe uongozi wa dunia kuandamisha mwez ili tufuate... Mbona kibla tunafuata... Na mbona hijja tunaenda hiji kule

    • @saidilikananowe1446
      @saidilikananowe1446 Месяц назад

      Kwa fikra zako umeona huyu sheikh hakuna anachojua kwa huu msimamo wake ila ww ndio unataka umfundishe sio?

    • @NammanaMobile
      @NammanaMobile Месяц назад

      @@saidilikananowe1446 ww ubongo wako umeganda... Walioambiwa apa ni waislam.. Wote.. Quran haikulenga location... Inaposema yaaayuha nnasu au yaaayuha nlazina amanu ni kwa wote maana yake unapisikia sehem flan umeandama wote sisi ni waislam tunatakiwa tuabalishane

  • @sijartv9554
    @sijartv9554 2 месяца назад +1

    Sheikh walidi hapo umekoea kdg hija na arafa zilikuwepo, kwani muanzilishi ni Ibrahim baba wa mitume na wewe mwenyewe umesema hapo punde kua mambo ya kuchinja na hijja yameanza zama za nabii Ibrahim , na ndiomaana kabla ya mtume Muhammed watu walikua wafanya ibada ya hija ila kufaradhishwa hijja ni zama za mtume Muhammed swallahu alyhi wasallam. Ila arafa imebaki kua ni sunnah

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir 2 месяца назад +2

    Mimi sijaona pia palipoandikwa hivyo IDULHAJJI

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 2 месяца назад +1

    😂😂❤❤

  • @twahamkasi-gn1lo
    @twahamkasi-gn1lo 2 месяца назад +2

    kwa nini mifano ya arafa unatolea china .kwa nini hamtolei tanzania

  • @mohammedabdallahalazri3238
    @mohammedabdallahalazri3238 2 месяца назад +1

    Sasa kama hiyo siku ya arafa ndiyo siku zilizoumbwa roho zote.Jee hizo roho za Wanzibari wa Oman wa Saudia wa Tanganyika ziliumbwa siku tofauti na hii Iddi tunayosali mwezi kumi haihusiani na hijah ya huko Makka?

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 2 месяца назад

      Allah ndo anavojalia wakat awa wamepumzika wengine wanafanya ibada na siku anavohesabu Allah na sisi sizanikama sawa kwa elimu yangu yakusoma qur'an

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3sl Месяц назад

    mstowe mawaidha kwa kujionesha

  • @nassorsarahan8334
    @nassorsarahan8334 Месяц назад

    Suali alipo amrishwa kumchinja yy slikua ana miaka mingapi

  • @majidkhalifa3250
    @majidkhalifa3250 Месяц назад

    kwahiyo shekhe yeye kasoma sana kuliko wenzake wanakopi mh elim nipana

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu8810 2 месяца назад

    Nam shekh: tofauti nini kt ya kufunga taraerhe na tukio la arafaa?

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 2 месяца назад +1

    UPO VIZURI SHEKHE MWEZI NDO UNAFATWA.ANAGALIA ULIPO.WANASIMAMA
    ARAFA WE SOMA DUWA ZAKO KAMA KAWAIDA NA SIKU YAPILI ENDELEA MUHIM ANGALIA MWEZI NA TRH ULIPP

    • @zubedaallymuhammed8465
      @zubedaallymuhammed8465 Месяц назад

      Sheikh walid allah akulipe kheri .na hawa majahili wanaofuata uzushi achana nao sisi twakuombea dua .na allah akulipe kheri

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 2 месяца назад +1

    USISAHAU KUMFAHAMISHA KADHI WA KENYA MASAA YA CHINA YEYE AMETOFAUTIANA NA TANZANIA KUHUSU ARAFA

    • @makenaOG
      @makenaOG 2 месяца назад

      Mashekhe wa huko kenya tayari washamkosoa

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад +3

    ALAFU MBONA NYIE HUWA MNAPENDA KUTOA MFANO WA CHINA AU AUSTRALIA? KWANI TANZANIA AMBAYO MNAISHI INATOFAUTIANA NA SUUDIA MASAA 6??? WEWE TNZANIA UNAPASWA KUZUNGUMZIA MACHWEO YA TANZANIA NA SI CHINA MAANA SISI SIO WACHINA!

    • @shamzone388
      @shamzone388 2 месяца назад

      Wanazungumzia china maana tumeambia ndani ya quraan itafutieni elmu japo china
      Mfano mwengine tu suudia ni arafa uk australia canada na nchi nyengine bado haijafika hiyo siku upo ndugu yangu

    • @user-ox4fv4cf5l
      @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад

      @@shamzone388 Sasa yeye aache kupotosha umma kwa kutetea maslahi yao aizungumzie Tanzania na Suudia kwmba je tuna tofauti ya maasaa 6 kiasi kwaba tuwe na trh mbili tofauti??

    • @aishamuhammad7785
      @aishamuhammad7785 2 месяца назад +1

      ​@@shamzone388hakuna qur'an ilotwambia tafuta elimu mpaka China mnapata dhambi shauri yenu

    • @makenaOG
      @makenaOG 2 месяца назад

      Hivi unajuwa saudia wanaswali alfajir saa tisa kama nusu hivi je tz wanaswali alfajir saa ngapi kwa hiyo hata kama masaa yako sawa ila kwa Saudi jua liko mbele sana

    • @user-km7xi4ev9j
      @user-km7xi4ev9j 2 месяца назад

      ​@@makenaOG kutofautiana masaa na mawio na machweo co hoja.
      Mtume allaah amfikishie rehema na amani ametufahamisha tufunge cku ya arafa.
      Hvy alie mbele au nyuma ya saudia (TUKIO LA ARAFA) ataanza swaumu kwa mujibu wa alfajiri ya mahali alipo lkn siku ni hii hii jumamosi kwa maana hakuna nchi iliozidi masaa 8.
      Kwa sbb huko china saa hii saa kumi na nusu hvy yumo ndani ya siku ya Arafa (JUMAMOSI) na
      huko canada saa hii ni saa kumi na nusu Alfajiri wanakula daku kwa ajili ya swaumu ya arafa ndani ya jumamosi hii hii.
      HVY TOFAUTI YA MASAA, MAWIO NA MACHWEO C O HOJA Y MSINGI
      Kw nn tuwe na siku 1(JUMAMOSI)
      lkn tarehe zitofautiane?
      Tafakari

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b 2 месяца назад +1

    Endelea hivyo hivyo kuwachezea wasiojielewa wavivu wasio soma na wasiofuatilia uislam

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 2 месяца назад

      UMESOMA WAPI ?
      MBONA MASHEKHE WA SAUDIA NDIYO FATUWA YAO HIYO
      MAWAHABI WA TZ HAMWISHI KUJIPENDEZA KWA WASAUDIA WAKATI WASAUDI HAWANA HABARI NA UPOTEVU WENU MAWAHABI
      ALLAH AKUONGOZENI NYINYI PAMOJA NA SISI AMIN

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 Месяц назад

    Hatutaki manrno kujifanya unahua kuongea et kuchanganua
    Ni kinachotakiwa ushahid na wa qur'an na hadith
    Sio mabeno utoe kichwan
    Huyo unae mtaja nurdin humuwez
    Ubishi tu lkn nafsi inakusuta

  • @user-su7eu5yn6q
    @user-su7eu5yn6q 2 месяца назад +11

    Waislamu wote nindugu sasa unapungukiwa Nini ww muislamu watanzania Ambae masaa,siku zinaendasawa namji mtukufuwa maka ambako ndipo inapotekelezwa ibadatukufu ya hija ambayo ndaniyake inapatikana kisimamocha arafa unakossnini ukifuata tareheya mahujaji unakossnini na tangazo la Allah tushikamane kwenyekambamoja sasa ipi mnang,ang,ANIA tarehezenu tuwekeni wazi mnapata faidagani mkitengeneza hitilafu sahemu ambayo ipowazi sana?

    • @checkcheck5191
      @checkcheck5191 2 месяца назад +2

      Kweny vitu vyenye dalili usitumie akili.

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 2 месяца назад +2

      Shida yenu mkishindwa hoja mnatia huruma na kusoma Aya nyengine 😂😂jibun hoja kwenye sunna na hadith uislamu sio WA Tanzania peke yake na Wala wacha Mungu hawako hapa peke yake

    • @makenaOG
      @makenaOG 2 месяца назад

      Changanua utapata jibu sahihi

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 2 месяца назад

      ​@@braqutourssafaris4672saa wakati makka wanaon mwezi kuna nchi huko saa9 usiku awajapata taraweh atania awakupat je dunia nzima twende sawa . Kwasab atasaa za kizungu akuna anaengalia kwa mwenzie anaangalia masaa na dkk zake zitimie cku ibadilike

    • @hassanabazar9411
      @hassanabazar9411 2 месяца назад +3

      Arafa siyo kisimamo arafa ilikuapo kabla ya hijja tusomeni hadithi za mtume

  • @babukhamis1246
    @babukhamis1246 2 месяца назад +1

    Mashehe wetu wamekuwa KAMA wachungaji makanisani

  • @salehthesword
    @salehthesword 2 месяца назад

    Yaani Waislamu msipate tabu ukishamuona Shee anamipete imemjaa ujue hamna kitu.

  • @HassanAhmedAbdallah
    @HassanAhmedAbdallah Месяц назад

    Mbona hutuambii Tanzania watwambia chaina? Alafu hujambiwa swamu ya siku ya arafa, hivyo hata tukitafautiana masaa 10 ikabaki masaa2 tu bado yupo ndani ya siku ya arafa. Haya ww hapo na maka mnatafutiana matlai?

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Месяц назад

    Akaaa!Imchuzi mwekundu!kwrli jmniii huyu ni kituko na sio kichekesho!

  • @tibabilashirki3712
    @tibabilashirki3712 2 месяца назад

    Munatakiwa mumfate mumfikishie Sio kusema humu

  • @AliSalim-yu4mo
    @AliSalim-yu4mo Месяц назад

    Mtume alisema"HIJA NI ARAFA"sasa hizo porojo za nini?au hii hakuipata?hapa sio pahala pa vichekesho ni pa kutoa hoja za kielimu!huyu kweli ni kiongozi wa waislamu?

  • @majidkhalifa3250
    @majidkhalifa3250 Месяц назад

    mbona hakukua na gari enzi ya mtume kama haifayi kuangalia tv

  • @MariamHamad-cd6hy
    @MariamHamad-cd6hy Месяц назад

    Hebu jiulize nafsi yako je Ile siku ambayo watu wote duniani pamoja na ndugu zetu watanzania pia wanaposimama arafa makka sio yaumu arafa ?na hii siku yetu ya kitanzania Tu ndio siku ya arafa?tusiburutweee ndugu zangu na watu wasio na elmu Bali tuwasikilize watu wenye ilmu ahlulilmu.tuitukuze ibada ya hijja tusije tukapinga nguzo ya kiislam.unajifananiza na watu wa marekani na China wakati wewe uko karibu na Makkah umepishana nao Makkah Kwa dakika Kumu na tano tu.waangalieni hao mashehe zenu hao ubwabwa wanatoa mawaiza ya Stori za paukwa pakawa kisha wanakushanya hela hapo halo mbele yenu , ndugu yangu amkaaa!

  • @hldysnlk
    @hldysnlk 2 месяца назад +3

    Matumbo yatawapeleka Mashekhe Pabaya...
    Hayo ni kwa wale mapoyoyo..
    Illa kwa watu wenye akili sawasawa na kuchanganua haqiqa ya dini hamuwezi kuwapoteza kizembe haiwezekani.
    Saudia na Tanzania....swasawa tuu..
    Tuliopita ktk darasa la Geografia...tunawaona mnapiga tiktaka tuu illa mwajua ukweli..

    • @abdulabdulathumani5992
      @abdulabdulathumani5992 2 месяца назад

      Hakukuwai kuwa na hoja suudia na tz bali duniani na ikiwa dunia wakat suydia saa12 kwengin saa9 usiku awajapat taraweh awajatia nia awa watafung sawa na saudia

    • @jumanneomary2997
      @jumanneomary2997 2 месяца назад

      Jiheshimu

    • @SharifuKombo-rb6vk
      @SharifuKombo-rb6vk Месяц назад

      Hy ww ndy umeongoka jmn

  • @faidamuhamed3011
    @faidamuhamed3011 Месяц назад

    Haya maneno ni mazuri na ni matam lkn sasa atupe rejea tupate kusoma zaid

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b 2 месяца назад

    Hana Aya wala hadithi ndo anachanganua hivyo

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem4889 Месяц назад

    Baada ya kuteuliw aumebadili msimamo ?
    We si ulisema tuende sawa na arafa ?
    Wape wafuasi wako hadisi za mitaani uongo ukiwakolea wacheke
    Wakishacheka watakuona ww bonge la shehe
    Kumbe hamna kitu ni ilmu l falaq tu

  • @mozzaliuleiza9288
    @mozzaliuleiza9288 Месяц назад

    Acha kubabaisha waislamu kuna siku inaitwa arafah? Dalili yako ni nn eti hiyo siku yaitwa hivyo muongo sana we shekh Allah anakuona

  • @maufoung
    @maufoung 2 месяца назад

    Duh! Shekh Warid we kiboko😆umeifanya vipi hii?

  • @eddiqota
    @eddiqota Месяц назад +1

    hiyo siku ni moja ama mbili
    sasa kama Allah aliwauliza watu siku 1 ina maana gani mnapotaka kuwepo siku tofauti ?

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 2 месяца назад +2

    PIA HAIINGII AKILINI ETI TANZANIA NA SUUDIA ZINAPISHANA TOFAUTI YA DK.CHACHE ZIPISHANE TAREHE YAANI NA TRH MBILI TOFAUTI!!! NYIE ENDELEENI KUTETEA MASILAHI YENU KWA GIA YA DINI

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 2 месяца назад

      ARAFA NI MWEZI INAO ANDAMA DUNIA NZIMA
      NA SWAUMU YA ARAFA HAIYUSIANI NA HIJJA
      HATA KAMA HIJA HAIPO ARAFA IPO PALE PALE

    • @user-zs6qg7ql1i
      @user-zs6qg7ql1i 2 месяца назад +1

      Tarehe gn na mwezi mbn kifuu tundu ww

  • @TijosHaba-xi8vy
    @TijosHaba-xi8vy 2 месяца назад

    Sija kuelewa

  • @AhmedSeif-il1xx
    @AhmedSeif-il1xx 2 месяца назад +2

    Huna lolote

    • @AllyAlmiskry-yy3xk
      @AllyAlmiskry-yy3xk 2 месяца назад

      Bora wewe mwanawazuoni kama yeye Hana lolote soma kwanza usimkosoe tu

    • @AhmedAhmed-gf1rd
      @AhmedAhmed-gf1rd 2 месяца назад

      Ww unalo tuambie somo yngu

  • @abdulkhaliqmuhammed456
    @abdulkhaliqmuhammed456 2 месяца назад

    Waislam wanachoka kwa mizozo hiyo masheikh kila mwakaaaaaa