#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 13

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc Месяц назад +1

    Mungu awabariki sana,watumishi nawapenda sana sana Baba zangu pamoja na kaka mussa tuko nanyi

  • @kaimapacha2543
    @kaimapacha2543 Месяц назад

    Tunazidi kubarikiwa na nyinyi mbarikiwe watumishi tunapata chakula cha kiroho 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @user-fd1yj9gn1t
    @user-fd1yj9gn1t Месяц назад

    Martha Togoro tupo pamoja Watumishi wa Mungu

  • @Deus-sl6te
    @Deus-sl6te Месяц назад

    Amee

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol Месяц назад

    Napenda kitabu hicho cha unyakuo

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Месяц назад

    Huyo ndo mungu muumba mbingunainchi israeli nitaifa la mungu wakatae wakubali

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Месяц назад

    Nakipenda sana kipindi hiki. Askofu Gamanywa sauti ipo chini kidogo.

  • @nunsumemwenibungu4521
    @nunsumemwenibungu4521 Месяц назад

    Siku za mwisho.

  • @samwelgetocho6913
    @samwelgetocho6913 Месяц назад

    Amos 8:11. "Angalieni siku zinakuja ambazo nitaleta njaa na kiu asema Bwana. Si njaa ya kukosa chakula wala kiu ya kukosa maji bali njaa na kiu ya kukosa neno la Mungu. Watu watatoka mashariki hadi magharibi, kaskazini hadi kusini wasipate kulisikia...!" Na wakati huo, makanisa yatakua yanafunguliwa, watu wanaingia wanasifu na kuimba!!

  • @pirminmatumizi5464
    @pirminmatumizi5464 Месяц назад

    What's wrong with arch. Bishop's Gamanywa voice. Haisikiki kabisaa.

  • @AzizaSaidBoniface
    @AzizaSaidBoniface 28 дней назад

    Watumishi amkeni vita ya gaza sio ya waislam na wakristo bali ni vita ya jewish dhidi ya maeneo ya wanayoishi waislam na wakristo pia.
    Tusikubali vita hii kuipa mitazamo ya kidini, kinacoendelea islael na palestin ni zaidi ya unyama.

  • @user-fd1yj9gn1t
    @user-fd1yj9gn1t Месяц назад

    Martha Togoro tupo pamoja Watumishi wa Mungu