ANGALIA MR RIGHT ALIVYOWAPA WAKATI MGUMU WAREMBO
HTML-код
- Опубликовано: 11 авг 2023
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU Развлечения
Toka nitizam iki kipindi uyu ndiye mwanaume anae staili kuyitwa Mwamba💯🔊✋❤❤❤❤❤❤❤
Hakika
Yaani ❤❤❤❤❤nimempenda na kumkubali sanaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@salomevenance9555waaaooo❤❤asnt sana nakupenda pia nipo apa
Nimependa hiyo ,mwanaume anajiamin na kazi yake apewe maua yake 💐
Nakukubali mwamba unaongea point kk from USA 🇺🇸 naipenda iyo kk
Huyu bro nmemuelewa Sana huyu ndo kijana na mwanaume wa kujenga maisha achana na huyo mchora kucha
safi sana bro wanawake wanajichanganya sana anataka mwanaume mihela nahana lolote
Safi sana mwamba hakika huu ni uwakilishi bora wanaume 🙏
Hii nimeipendaa hiii MR RIGHT❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmepatikana leo,ukipenda mwanaume penda jinsi alivyo,watu walilia stara ya ndoa wewe walilia hela utabaki ivo 😂😂😂😂,,,congrt🎉🎉🎉broo nimependa confidence yako mwanaume ni kijiamini
Yaani huyu jamaa amenifurahisha sanaa 😂😂 nimempenda bure ❤️
Huyu ndo mwanaume ssa 😘😘😘 mauwa yako pokea
Asante sana hawa wana tafuta madanga pumbavu sana
Ooh my God i love this guys hes straught and he has goid questions zimewaingia wana dada sikioni ope wameskia,leo kiliwatambaaaa peupeeeee,from kenya but currently in Saudi Arabia
Mwanaume Bora Kwa njia zipi ,Safi Kaka nimekupenda bure wahoooo
Sasa huyu jamaa kanifurahisha sana ningekuwa nanamba yake leo haki muamala ungesoma kajua kuwakomesha wao wadada wanatafta madanga maana wanatafta mwanaume ambae nikama wa kustarehe nae mana najua ukimpenda mtu hata kama anaingiza buku kwa cku kama ni wandoto yako upo tayari kumshaur namna ya kuitumia 500 na 500 kutunza ili mfike malengo sasa hao wanataka mtu aliejipata tayari huku wao bado hawajajipata 😏
Good
💐
❤❤❤
Kaka umetuheshimisha 😂😂😂
Hahaha
Hivyo ndivyo anavyotakiwa mwanaume big up Mzee baba umetueshimisha vijana wapambanaji
Nimempenda huyu kaka Yuko poa sana wadada wanachagua sana huyo kakomeshwa
Mwamba huyu hapa toka nihanze kuhangalia hichi kipindi leo nimemuona mwanaume mwenye misimamo na bingwa wa hawa wauni 😂😂😂 upewe mauwa yako kaka 😂😂😂 well done penzi sio pesa mpate maskini mwenzako and pesa mkazitafute wenyewe
Kabisa 😂
Huyujamaa kajua kuninyoshea mtu 🎉🎉
❤❤❤❤
Wengi hapo wanafata mwenye hela
Kbs
kaka shikamoo nipo tunduma songwe kweli wewe ni sindano imeingia🙏❤️😊
Haki nimempenda bure Mr right 😘😘😘
Nilitamani kujua mwisho wa mwamba huyu daah safi sana
Huyu kaka yuko vzr sana kujibu kaka nimekupenda bure kunywa soda apo kwa mangi ntalipa
Mwamba alikuwa anapiga kwenye mshono tu na hakosei
Jamaa anajua sana kuflooo
Kivumbi kweli,huyu jamaa ni shupavu na mkakamavu sana hongera bro,kwa kutuwakilisha.
Nilitamani nione mpaka mwisho amejua kunikosha mwamba uyo❤❤❤
Safi sana kaka umemuweza wanajionaga wajanja sana hawa wadada waivo
Bro. Bravo umejibu vizuri sana hongera sana bro
Safi sana mwamba, umemueleza vizuri sana huyo dada.
Jamani mwisho ilikuwaje❤️
Mr right wa leo kiboko 😂👏👏👏👏👏👏 salute kwako 🫡🫡🫡
Well done bro safi kabisa ss ndo wanaume inabidi tuwe
Nataka mwanaume wangu aingize kiasi flan wakt we mwenyewe huna kaz ya maana kua. Mfamasia sio kazi tofautisha kati ya elimu na ujuzi ulionao na kazi uliyonayo unawezakua mfamasia ila jobless😂
Ila baadhi ya wanawake hakili hawana kukimbilia kuzungumza kabla ya kufikiri ndio inawa coast😩
nimeipenda sasa huyu kaka yuko vizuri
hii imeenda kabisa
Jamani wekeni video nzima huu mwamba kaondoka na nani # kiboko yao hongera kaka100% gara b upo kakangu
So nice.. nimekupenda bure
Mwamba huyu apa. 😂😂😂👑💯
Mwanzo sikuizingatia ila jamaa ni smart sana watu Wana demand vitu ambavyo kuvifanya kwa ajili Yao tu wameshindwa
Safi saaaana wajifunze na wengine❤
Awaresome i appreciate for sure
Hapo wanawake wote hawana sifa ya kuolewa na hawajui maana halisi ya ndoa na nini kinachowapeleka kwenye ndoa... Mitazamo ya wanawake wote waliokuwepo hapo ni ya tamaa ya vipato vya wanaume na sio mapenzi .... Ni gold diggers tu hao...hapana mke hapo ,,
Wanaangalia sura pia, kwahiyo km haingizi pesa hakuoi, hawajui mtu anaeza akawa hangizi mkaoana na akaana kumake money mpk watu wakakushangaa
Big up my brother
jamn wew mkaka nimekupend buleeeeeh jamn honger san ❤
Huyu mwamba namvuia kofia kabisa well answered 👏 👍 👌
Wasichana wanajibamba eti wazuri kumbe wafuga kucha tu
Mauwa kwako brother 💐💐🌺
Big up brother 🤜
Daaaah huyo dada amepatikana, kaka yupo vizuri si kwa muonekano tu ata kwa majibu yake, wadada tujifunze ukiamua kwenda huko uwe umejiandaa kiufahamu pia si kimuonekano tu
Safi sana bro
Safi Sana , Kwanza kanaoneka kasumbufu Sana kana tamaa,
Subuhanallah... Kujiuza huko hakunke sahihi hapo wala mume mwema hapo. Nimtihanitu Allah atunusuru na watotowetu inalillahi wainailahi rajuin
Saf sana kuwa namsimamo uhouho baba ❤❤
Safi sana imetisha mwamba bigapu🤗🤗🤗🤗🙏
Nimepend broo
Brow Noma sana
Waooooooo napenda mwanaume wa silias ata mamb ake ni silias congratulations
Safi sana kaka 🎉🎉
Very intelligent man keep up
Mwamba nakupa 5 Safi Sana katika Jamhuri ya masela umeiwakilisha vyema.
Hakika kaka nimekupenda bule 👌
Mwamba umetisha Sana upewe maua yako mwamba km mwamba
Safi bro umemjibu kabisa wanaringa xna
Yan huyu jamaa ajengewe sanam lke posta wanawake wenzangu mbadilike khaaa
We ni mwanaume kabisa❤
Bravooo kaka
Mnatubania dah simuweke full video
Safi sana kaka majibu mazurii sana
Bro heshimaa sanaa
Kaka nimekupendaaaaaaa
Asee huyu kaka nimempenda bureee
Uyu kauwa Nampa big up
Big up😂😂 bro🎉🎉
Chukua mauwa yako mr right nimependa unavyojiamin na kazi yako ❤️♥️❤️🤎🤎♥️💖💕💕🌹💖💕♥️❤️❤️💖💕🌹😂😂
Nzury sana mr
Tough indeed yaani anategemea mpaka watu waumwe ndio apate kuingiza malipo .....😂😂😂😂😂
Nimeipenda hiiii 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mr
Mr right kagwaduka 😂😂😂
😆😆😆😆
Mwendelez
Kaka upo vizuri gd
❤❤❤ yuk wapi uy kaka
umetuwakilisha vyema sana gentleman hakika unguja na tanga najivunia kuwa asili ya wazaz wangu
asante studio
Saf broo
Yes! Huyu ni mwamba ,pesa tukatafute wote,wanawake waache mitelemko
Nimeipenda hy
Duu nimekupenda bure kaka maana Awa mabinti anajishaua sana
alaf libayaaa ila linalingaaa
@@chimpayachimpaya5644 umeonaee
Safi sana kaka
Safi sana✌️
Safi sana Mr right,
Safi sana mwambaa
Iliishaje hii
Daaah! Mwamba uyooooo sanaaaa
Nimepenta mwanaume yupo straight hana kona ukizingua ni za uso he's matured 😂😂😂
Big up mr right
Kali
Safi sana limeumbuka mashauzi kibao
Uyu mwamba nilimpenda sanaaa yaani aliongea ukweli na kama kawaida ukweli waumaaaa.....aliwafunga vinywa waschana wana haja na pesa ya mwanaume....naomba mumu alike tena lulu pls aje tumuome tena
I always feel like everyone who goes to this show to look for the right person belongs to the streets....Hii ni show ya kukulana tu after all this Nonsense....How can a well mannered, financially, physically,mentally and spiritually stable Woman/man would go to the show ati kutafuta mpenzi...Soo after umechaguliwa then uende upate is opposite of what you thought you will still come back to the show again after umetumiwa na yule wa kwanza..😮😮😮😮
Ukirudi kwenye maandiko MWANAUME BORA NA MKE BORA ANAELEZWA KULE ukija hapo kurumbana MWANAUME unataka jua MWANAMKE anaingiza bei gani basi hapo Kuna Bora MWANAUME na siyo MWANAUME Bora
Safi sana uko vzr
😂😂😂 safiii