ANGALIA MR RIGHT ALIVYOWAPA WAKATI MGUMU WAREMBO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 авг 2023
  • Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp.com/D8xC5Myxrkh...
    ►SUBSCRIBE / @stbongotv
    ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
    SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
    TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
    FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
    MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
    KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
    THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
    MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 505

  • @lydi791
    @lydi791 11 месяцев назад +49

    Toka nitizam iki kipindi uyu ndiye mwanaume anae staili kuyitwa Mwamba💯🔊✋❤❤❤❤❤❤❤

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 11 месяцев назад

      Hakika

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 11 месяцев назад

      Yaani ❤❤❤❤❤nimempenda na kumkubali sanaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @MrRighty-br8rp
      @MrRighty-br8rp 4 месяца назад

      @@salomevenance9555waaaooo❤❤asnt sana nakupenda pia nipo apa

  • @user-et2vc8kp8x
    @user-et2vc8kp8x 11 месяцев назад +90

    Nimependa hiyo ,mwanaume anajiamin na kazi yake apewe maua yake 💐

  • @leonlennon
    @leonlennon 11 месяцев назад +10

    Nakukubali mwamba unaongea point kk from USA 🇺🇸 naipenda iyo kk

  • @zajiluibrahim3409
    @zajiluibrahim3409 11 месяцев назад +29

    Huyu bro nmemuelewa Sana huyu ndo kijana na mwanaume wa kujenga maisha achana na huyo mchora kucha

  • @bigirimanaseth311
    @bigirimanaseth311 11 месяцев назад +15

    safi sana bro wanawake wanajichanganya sana anataka mwanaume mihela nahana lolote

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 11 месяцев назад +56

    Safi sana mwamba hakika huu ni uwakilishi bora wanaume 🙏

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 11 месяцев назад +13

    Hii nimeipendaa hiii MR RIGHT❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @latifa9477
    @latifa9477 11 месяцев назад +6

    Mmepatikana leo,ukipenda mwanaume penda jinsi alivyo,watu walilia stara ya ndoa wewe walilia hela utabaki ivo 😂😂😂😂,,,congrt🎉🎉🎉broo nimependa confidence yako mwanaume ni kijiamini

  • @MayerMarion254
    @MayerMarion254 10 месяцев назад +20

    Yaani huyu jamaa amenifurahisha sanaa 😂😂 nimempenda bure ❤️

  • @user-sv5pq6hi8e
    @user-sv5pq6hi8e 11 месяцев назад +9

    Huyu ndo mwanaume ssa 😘😘😘 mauwa yako pokea

  • @suzanafromomani2973
    @suzanafromomani2973 11 месяцев назад +7

    Asante sana hawa wana tafuta madanga pumbavu sana

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 11 месяцев назад +5

    Ooh my God i love this guys hes straught and he has goid questions zimewaingia wana dada sikioni ope wameskia,leo kiliwatambaaaa peupeeeee,from kenya but currently in Saudi Arabia

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 11 месяцев назад +4

    Mwanaume Bora Kwa njia zipi ,Safi Kaka nimekupenda bure wahoooo

  • @lilianemeena768
    @lilianemeena768 11 месяцев назад +84

    Sasa huyu jamaa kanifurahisha sana ningekuwa nanamba yake leo haki muamala ungesoma kajua kuwakomesha wao wadada wanatafta madanga maana wanatafta mwanaume ambae nikama wa kustarehe nae mana najua ukimpenda mtu hata kama anaingiza buku kwa cku kama ni wandoto yako upo tayari kumshaur namna ya kuitumia 500 na 500 kutunza ili mfike malengo sasa hao wanataka mtu aliejipata tayari huku wao bado hawajajipata 😏

  • @cosimasedward
    @cosimasedward 6 месяцев назад +1

    Hivyo ndivyo anavyotakiwa mwanaume big up Mzee baba umetueshimisha vijana wapambanaji

  • @RachelJulius-fh9nl
    @RachelJulius-fh9nl 11 месяцев назад +19

    Nimempenda huyu kaka Yuko poa sana wadada wanachagua sana huyo kakomeshwa

  • @esperancenathali
    @esperancenathali 11 месяцев назад +198

    Mwamba huyu hapa toka nihanze kuhangalia hichi kipindi leo nimemuona mwanaume mwenye misimamo na bingwa wa hawa wauni 😂😂😂 upewe mauwa yako kaka 😂😂😂 well done penzi sio pesa mpate maskini mwenzako and pesa mkazitafute wenyewe

  • @sarahmtambo7515
    @sarahmtambo7515 11 месяцев назад +11

    kaka shikamoo nipo tunduma songwe kweli wewe ni sindano imeingia🙏❤️😊

  • @user-od2ko8fy4e
    @user-od2ko8fy4e 11 месяцев назад +4

    Haki nimempenda bure Mr right 😘😘😘

  • @HawaHussein-ur6cj
    @HawaHussein-ur6cj 11 месяцев назад +20

    Nilitamani kujua mwisho wa mwamba huyu daah safi sana

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty 11 месяцев назад +16

    Huyu kaka yuko vzr sana kujibu kaka nimekupenda bure kunywa soda apo kwa mangi ntalipa

    • @juliuceliuc9578
      @juliuceliuc9578 11 месяцев назад

      Mwamba alikuwa anapiga kwenye mshono tu na hakosei

  • @focuspaschal5330
    @focuspaschal5330 11 месяцев назад +6

    Jamaa anajua sana kuflooo

  • @andrewthuita
    @andrewthuita 3 месяца назад

    Kivumbi kweli,huyu jamaa ni shupavu na mkakamavu sana hongera bro,kwa kutuwakilisha.

  • @NasraChris-yi2td
    @NasraChris-yi2td 11 месяцев назад +3

    Nilitamani nione mpaka mwisho amejua kunikosha mwamba uyo❤❤❤

  • @agnesmartine2712
    @agnesmartine2712 11 месяцев назад +1

    Safi sana kaka umemuweza wanajionaga wajanja sana hawa wadada waivo

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 11 месяцев назад

    Bro. Bravo umejibu vizuri sana hongera sana bro

  • @peragiamwanuke6703
    @peragiamwanuke6703 11 месяцев назад +7

    Safi sana mwamba, umemueleza vizuri sana huyo dada.

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 11 месяцев назад +3

    Jamani mwisho ilikuwaje❤️

  • @user-vi3ck1cw3h
    @user-vi3ck1cw3h 3 месяца назад +1

    Mr right wa leo kiboko 😂👏👏👏👏👏👏 salute kwako 🫡🫡🫡

  • @shaiduomary
    @shaiduomary 11 месяцев назад

    Well done bro safi kabisa ss ndo wanaume inabidi tuwe

  • @iambaizo
    @iambaizo 11 месяцев назад +3

    Nataka mwanaume wangu aingize kiasi flan wakt we mwenyewe huna kaz ya maana kua. Mfamasia sio kazi tofautisha kati ya elimu na ujuzi ulionao na kazi uliyonayo unawezakua mfamasia ila jobless😂

  • @yussufhassan5179
    @yussufhassan5179 11 месяцев назад +6

    Ila baadhi ya wanawake hakili hawana kukimbilia kuzungumza kabla ya kufikiri ndio inawa coast😩

  • @user-ti3bm3ib9u
    @user-ti3bm3ib9u 11 месяцев назад +2

    nimeipenda sasa huyu kaka yuko vizuri

  • @user-wr7vz1bw5b
    @user-wr7vz1bw5b 11 месяцев назад +6

    hii imeenda kabisa

  • @AntonyMM-tx3yj
    @AntonyMM-tx3yj 2 месяца назад

    Jamani wekeni video nzima huu mwamba kaondoka na nani # kiboko yao hongera kaka100% gara b upo kakangu

  • @elkashaushi2788
    @elkashaushi2788 11 месяцев назад

    So nice.. nimekupenda bure

  • @itNeza
    @itNeza 6 месяцев назад +1

    Mwamba huyu apa. 😂😂😂👑💯

  • @KingGeoffreyMoviesReview
    @KingGeoffreyMoviesReview 11 месяцев назад +4

    Mwanzo sikuizingatia ila jamaa ni smart sana watu Wana demand vitu ambavyo kuvifanya kwa ajili Yao tu wameshindwa

  • @zuhurahamisi8687
    @zuhurahamisi8687 11 месяцев назад +2

    Safi saaaana wajifunze na wengine❤

  • @elizabethsamson4923
    @elizabethsamson4923 11 месяцев назад

    Awaresome i appreciate for sure

  • @khalidmawele2687
    @khalidmawele2687 11 месяцев назад +13

    Hapo wanawake wote hawana sifa ya kuolewa na hawajui maana halisi ya ndoa na nini kinachowapeleka kwenye ndoa... Mitazamo ya wanawake wote waliokuwepo hapo ni ya tamaa ya vipato vya wanaume na sio mapenzi .... Ni gold diggers tu hao...hapana mke hapo ,,

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 11 месяцев назад

      Wanaangalia sura pia, kwahiyo km haingizi pesa hakuoi, hawajui mtu anaeza akawa hangizi mkaoana na akaana kumake money mpk watu wakakushangaa

  • @k-frexxmpenzi
    @k-frexxmpenzi 11 месяцев назад +1

    Big up my brother

  • @user-jd9rc8zr5f
    @user-jd9rc8zr5f 10 месяцев назад

    jamn wew mkaka nimekupend buleeeeeh jamn honger san ❤

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 11 месяцев назад

    Huyu mwamba namvuia kofia kabisa well answered 👏 👍 👌
    Wasichana wanajibamba eti wazuri kumbe wafuga kucha tu

  • @user-lk7jh5ky6s
    @user-lk7jh5ky6s 6 месяцев назад

    Mauwa kwako brother 💐💐🌺

  • @user-hz3fb2tb8x
    @user-hz3fb2tb8x 9 месяцев назад

    Big up brother 🤜

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 7 месяцев назад

    Daaaah huyo dada amepatikana, kaka yupo vizuri si kwa muonekano tu ata kwa majibu yake, wadada tujifunze ukiamua kwenda huko uwe umejiandaa kiufahamu pia si kimuonekano tu

  • @priscillarrobert4594
    @priscillarrobert4594 11 месяцев назад +1

    Safi sana bro

  • @nghomanohosea9251
    @nghomanohosea9251 10 месяцев назад +1

    Safi Sana , Kwanza kanaoneka kasumbufu Sana kana tamaa,

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 11 месяцев назад

    Subuhanallah... Kujiuza huko hakunke sahihi hapo wala mume mwema hapo. Nimtihanitu Allah atunusuru na watotowetu inalillahi wainailahi rajuin

  • @MishiOpa
    @MishiOpa 11 месяцев назад +1

    Saf sana kuwa namsimamo uhouho baba ❤❤

  • @mirajihamissi9726
    @mirajihamissi9726 11 месяцев назад

    Safi sana imetisha mwamba bigapu🤗🤗🤗🤗🙏

  • @AnordsilvesterGalahenga
    @AnordsilvesterGalahenga 2 месяца назад

    Nimepend broo

  • @mrwadata34
    @mrwadata34 9 месяцев назад

    Brow Noma sana

  • @user-iv6ux5gf7j
    @user-iv6ux5gf7j 7 месяцев назад

    Waooooooo napenda mwanaume wa silias ata mamb ake ni silias congratulations

  • @diannempawenimana9396
    @diannempawenimana9396 10 месяцев назад +1

    Safi sana kaka 🎉🎉

  • @aminayunis7545
    @aminayunis7545 5 месяцев назад

    Very intelligent man keep up

  • @user-oi8sx9fw3w
    @user-oi8sx9fw3w 9 месяцев назад +1

    Mwamba nakupa 5 Safi Sana katika Jamhuri ya masela umeiwakilisha vyema.

  • @user-io9jp2ti3n
    @user-io9jp2ti3n 11 месяцев назад

    Hakika kaka nimekupenda bule 👌

  • @Sayuni289
    @Sayuni289 11 месяцев назад +2

    Mwamba umetisha Sana upewe maua yako mwamba km mwamba

  • @SurprisedBirdBath-qh2nn
    @SurprisedBirdBath-qh2nn 2 месяца назад

    Safi bro umemjibu kabisa wanaringa xna

  • @user-hi6tf7dk5w
    @user-hi6tf7dk5w 11 месяцев назад +1

    Yan huyu jamaa ajengewe sanam lke posta wanawake wenzangu mbadilike khaaa

  • @cosmecelesioomar
    @cosmecelesioomar 11 месяцев назад +1

    We ni mwanaume kabisa❤

  • @monicahchemtaingeywa8882
    @monicahchemtaingeywa8882 11 месяцев назад +1

    Bravooo kaka

  • @dormethajackson1823
    @dormethajackson1823 11 месяцев назад +1

    Mnatubania dah simuweke full video

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf 10 месяцев назад

    Safi sana kaka majibu mazurii sana

  • @JohnMpongwe-sr7qx
    @JohnMpongwe-sr7qx 9 месяцев назад

    Bro heshimaa sanaa

  • @AnnerErneo-vc9yz
    @AnnerErneo-vc9yz 11 месяцев назад +1

    Kaka nimekupendaaaaaaa

  • @user-gp5go8dr2m
    @user-gp5go8dr2m 11 месяцев назад +2

    Asee huyu kaka nimempenda bureee

  • @ramsootz
    @ramsootz 10 месяцев назад

    Uyu kauwa Nampa big up

  • @user-yf4oq5uu5u
    @user-yf4oq5uu5u 10 месяцев назад

    Big up😂😂 bro🎉🎉

  • @zakati7393
    @zakati7393 7 месяцев назад

    Chukua mauwa yako mr right nimependa unavyojiamin na kazi yako ❤️♥️❤️🤎🤎♥️💖💕💕🌹💖💕♥️❤️❤️💖💕🌹😂😂

  • @JackMartin-002
    @JackMartin-002 5 месяцев назад

    Nzury sana mr

  • @hillarytindi8883
    @hillarytindi8883 11 месяцев назад +1

    Tough indeed yaani anategemea mpaka watu waumwe ndio apate kuingiza malipo .....😂😂😂😂😂

  • @DayanaNelson-gv6cv
    @DayanaNelson-gv6cv 5 месяцев назад

    Nimeipenda hiiii 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mr

  • @racheldavid6431
    @racheldavid6431 11 месяцев назад +5

    Mr right kagwaduka 😂😂😂

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 11 месяцев назад +1

      😆😆😆😆

  • @user-lv3se8dc2f
    @user-lv3se8dc2f 4 месяца назад

    Mwendelez

  • @ashurakhamis5787
    @ashurakhamis5787 11 месяцев назад

    Kaka upo vizuri gd

  • @user-ep7pd4rv8f
    @user-ep7pd4rv8f 4 месяца назад

    ❤❤❤ yuk wapi uy kaka

  • @tareqnahad-gd5mb
    @tareqnahad-gd5mb 10 месяцев назад

    umetuwakilisha vyema sana gentleman hakika unguja na tanga najivunia kuwa asili ya wazaz wangu

  • @FAUSTAMBAGA
    @FAUSTAMBAGA 10 месяцев назад

    asante studio

  • @sadamasoud6636
    @sadamasoud6636 11 месяцев назад

    Saf broo

  • @FransMlelwa-fv2sw
    @FransMlelwa-fv2sw 5 месяцев назад

    Yes! Huyu ni mwamba ,pesa tukatafute wote,wanawake waache mitelemko

  • @user-ol8iw8nm7n
    @user-ol8iw8nm7n 11 месяцев назад

    Nimeipenda hy

  • @rqiyaabdallah840
    @rqiyaabdallah840 11 месяцев назад +4

    Duu nimekupenda bure kaka maana Awa mabinti anajishaua sana

  • @kendrickoffset981
    @kendrickoffset981 11 месяцев назад

    Safi sana kaka

  • @KikaMussa-ks2or
    @KikaMussa-ks2or 9 месяцев назад

    Safi sana✌️

  • @DianaMlongwa-oq5vt
    @DianaMlongwa-oq5vt 9 месяцев назад

    Safi sana Mr right,

  • @azizanzumbi9637
    @azizanzumbi9637 11 месяцев назад +1

    Safi sana mwambaa

  • @jobungure7195
    @jobungure7195 21 день назад

    Iliishaje hii

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 11 месяцев назад

    Daaah! Mwamba uyooooo sanaaaa

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 11 месяцев назад +1

    Nimepenta mwanaume yupo straight hana kona ukizingua ni za uso he's matured 😂😂😂

  • @yasssiniswaffy-oc4hc
    @yasssiniswaffy-oc4hc 11 месяцев назад

    Big up mr right

  • @gerrardbabho
    @gerrardbabho 11 месяцев назад

    Kali

  • @naomybenedict1787
    @naomybenedict1787 11 месяцев назад

    Safi sana limeumbuka mashauzi kibao

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 6 месяцев назад

    Uyu mwamba nilimpenda sanaaa yaani aliongea ukweli na kama kawaida ukweli waumaaaa.....aliwafunga vinywa waschana wana haja na pesa ya mwanaume....naomba mumu alike tena lulu pls aje tumuome tena

  • @kennjuguna3555
    @kennjuguna3555 10 месяцев назад +2

    I always feel like everyone who goes to this show to look for the right person belongs to the streets....Hii ni show ya kukulana tu after all this Nonsense....How can a well mannered, financially, physically,mentally and spiritually stable Woman/man would go to the show ati kutafuta mpenzi...Soo after umechaguliwa then uende upate is opposite of what you thought you will still come back to the show again after umetumiwa na yule wa kwanza..😮😮😮😮

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 месяцев назад

    Ukirudi kwenye maandiko MWANAUME BORA NA MKE BORA ANAELEZWA KULE ukija hapo kurumbana MWANAUME unataka jua MWANAMKE anaingiza bei gani basi hapo Kuna Bora MWANAUME na siyo MWANAUME Bora

  • @user-wq4jm6dq1u
    @user-wq4jm6dq1u 9 месяцев назад

    Safi sana uko vzr

  • @stevenbonoskapugi8001
    @stevenbonoskapugi8001 11 месяцев назад +1

    😂😂😂 safiii