Leo
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Leo #MariaSpaces: Samia kushambulia uhuru wa kujieleza na habari tumejipangaje?
Tuliona mashambulizi Chaula kuchoma picha na sasa katekwa. Pia magazeti ya Mwananchi yamefungiwa siku 30 kwa kumulikia suala la utekaji
Yote ni kutaka kutunyamazisha! Tumejipangaje?
Daah hilo la kusajiliwa watoto kwaajili ya kuiba kura,inabidi wanasheria wa TLS walifatilie.
Mwananchi kufungiwa jamani
Hata sisi wameanza kutuletea kujaza form ubalozini huku ughaibuni, eti kwa ajili ya hadhi maalum, who told them tunataka hadhi maalum? These people can not be trusted with our details huwezi jua ndio pia zitatumiwa kwenye wizi wa kura. Hell no, not in my name.
Wamejichora wenyewe sasa tunaona cartoon ipo kila mahali duniani.
👉🏼🇹🇿 Tatizo Lingine Kubwa "VYAMA Vya Siasa Vinavyoipinga C.C.M " Vinapigana Vita Vyenyewe Kwa Vyenyewe!, Kwa Hivyo Kupambana Na C.C.M. inakuwa Tatizo! 👉🏼Pia Tatizo La Kuunga Mkono "JUHUDI"Kunaondowa Uaminifu { KUAMINIANA } Kati Ya WanaNchi Na Vyama Vya Siasa."
Chama cha upinzani ni chadema tu,vingine ni mapandikizi ya ccm.
👉🏼🇹🇿 Kumbe TANGANYIKA +& Jina La "BANDIA" TANZANIA 🇹🇿 Bado Hatujapata UHURU 👉🏼09/December/1961 ili Kuwa Ni "U'SOLEMBA Tu, By Nico Zengekala."WaTanganyika Bado TunaTawaliwa ila Tofauti Ni Mkoloni Mweusi!.'
👉🏼Sasaa! TANGANYIKA + & TANZANIA Ni Linii Tufanye MAANDAMANO Kama Ya Sri Lanka Au Bangladesh, ili Tupate Haki!!?Hata KENYA Wametuzidi,Wanalopanga Linafanyika."