BARNAMIJI GEREZANI | Mboya Ndindi ameachiliwa kutoka gerezani
HTML-код
- Опубликовано: 9 окт 2024
- Tulipomuangazia mapema mwaka huu akihudumu kifungo gerezani, Mboya Ndindi alikutana na nduguze kwa mara kwanza tangu alipohukumiwa kifungo cha maisha kwa mauaji ya babake kimakosa na kuhudumu hata kwa miaka 18. Lakini sasa ameachiliwa kwa msamaha na kurejea nyumbani kumempa fursa ya kuanza upya maisha yake na kujenga uhusiano na nduguze waliomlaumu kwa miaka mingi. #BarnamijiGerezani
you're a bless lulu hassan i cried while watching him "Barnamiji ya gereza" but why did you stop it ???we need watching that rather than corruption😭😭 in our country....open a page for him if he need support kuanza maisha,,,,,much love lulu 💕💕💕💕
I'm praying for the makueni guy who was falsely accused of defiling his daughter to be set free too.
Mash Jimm I hope and pray they realise wambua.
That one even deserves compensation even if nothing can equal that time wasted
I pray soo too
Our prayers have been answered
@@Beingme2024 good to hear ❤
God remember Wambua pia naye sikumoja aachiliwe
you are a good 'witch' . let me remind you this . wambua has just been freed
I'm just in tears 😭😭😭😭 but God's time is the best
Furaha kwake. Asanti lulu kwa kuangazia kesi yake
Aky lulu napenda kazi yko sana plz citizen tv mrudishe hii kipindi
Mwenyezi mungu amfungulie wambua naye apate msamahaa in shaa Allah
Ameachiliwa jana he has started his new chapter in life
Alishapata
Alhamdulillah God is good all the time muhimu ni Subra namuombea kila la kheir
God blesse you lulu Kwa Kazi njema unayoifanya,,,
We need this cover-ups back
God i pray daily for Wambua to be set free🙏🙏🙏
Sisi zote tuliubwa na mungu lakini shetani uleta hasara😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😕😕😕😕😭😕
God can use anything to remove you from fire.... lulu God has use you as a weapon to save this man
mungu amkumbuke Julia's wambua the accused father thank you so much lulu hassan God bless you.
Masha Allah Mungu atakulipa Lulu mungu mkubwa jamani😢
Hii kazi ni nzuri sana,,,may GOD bless you Lulu ,,,I really admire your work and citizen tv in general as you help the people in getting a second chance
God bless you lulu and your colleagues. .. the poor people are rotting in jail and the rich is out commiting crimes. ..
Good work Lulu Hassan.Lakini endelea na barrnamiji ya gerezani juu kuna watu wanakuitaji
Atakuwa amelia jamani ee Mungu akulinde usirudie tena nimefurahi Sana kuona upo nyumbani Mungu kasikia kilio chako
God bless you abundantly @lulu hassan
We thank GOD for his life. ...GOD will strengthen him
Julius wambua should also be set free
Yes they should
Maskini wambua hakua na makosa
@@mariamsaid1093 kweli kabisa
In God all is possible
yes.
Thank you God
God answers prayers..God bless you Lulu
kazi nzuri
Beautiful
Wow God is so faithful 👏👏👏👏
Thanks lulu for this program
God bless you lulu
Thanks citizen Lulu a d your team. i would wish to see justice too for the man wambua who was accused of raping her daughter. Your first episode. Hope he gets justice too.
He was released
May ALLAH bless u lulu...
God is good
God bless you
Lulu you are doing a good job
God Bless u Lulu n fam...for Ndindi God has already maked away 4u n u will testify more of God goodness
Good job
Hakuna aliya mkuu kuliko Mungu.....
What about Julius wambua,
Power of the Media!! Mbarikiwe sana 🥂
Why are they forgetting Julius the man who was mistaken ,Julius wambua,
They didn't, he is free as well :)
He was set free
Wow hope watamchulia sawa na wasahau the past
God remember Wambua he was innocent
God is faithful. Thanks to him
Hallelujah
Mr and Mrs lulu Hassan...haki Mko poa
Wow
Lulu Hassan down to earth.
Kazi poa lulu
Lulu Hassan hongera
God Remember Wambua Also Who Was Accused Falsely Of Defilling Her Daughter.
he is home as we talk,nani kama Mungu
You should fix the audio quality. 🔉😊
Pongezi Bi LuluRhashidi kwa kazi zuli unayo fanya ya kusaidia wanyonge wasio sikika katika Jamii, Give credit were it b long's nawapenda nyote hongera mwapendeza pia!
Hageweza kuosha uso juu y furaha
Hii habari niliona jana ya last year nimefurahi yuko huru
mbona wasimuachilie Yule alisingiziwa na mkewe kumnajisi mwanae hata baada ya binti kukiri?
Aki
Waiting to see julius wambua free too
Wambua jaman vip
I cant blame them for not visiting mboya clearly this is so remote they did not know where he was or wat happened to him even money to get there was issue
Lulu barnamiji ilienda wapi? Ilikua njia moja wapo ya kuleta mwanga kwa wafungwa
Story ya julius wambua iliishia wapi?
Faith Kiio warudi kortini judge akasema arudi jela, eti hio kifungu ni sawa.
Si mukumbuke juliaus wambua aki
Lulu na story ya mzee wambua ya raping case woiye? Update us
Mpeni maji anawe uso😲😢
You made my evening.....aiii people think and see big- something hata singeona hihi
Mpe wewe
Naye mbona hakunawa uso hai
janet frigonah huoni ni eyes infection ako nayo?! Aaiiii??!!
He needs eyes treatment.? He has a bad eye infection
Lulu, Mngemwambia aoshe uso.....
Follow up for JULIUS WAMBUA please ....he is innocent
God bless you lulu
Good job
Wow