| BARNAMIJI YA GEREZANI | Tom Mboya aliyefungwa maisha kwa kuua baba anataka maridhiano na familia

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 окт 2024
  • Kuwa mbali na familia yako daima ni mtihani, lakini mtihani mkubwa ni kutenganishwa nao milele ingawaje nyote mpo hai. Hii ndio hali halisi ya tom mboya aliyealiyefungwa kwenye gereza la kamiti tangu mwaka 2001 bila hodi wala jambo kutoka kwa ndugu, jamaa au rafiki kufuatia hukumu ya kumuua babake mzazi. Mboya ni ushuhuda wa kutosha wa ‘majuto ni mjukuu huja kinyume’ licha ya yeye kuweka matumaini yake hai. Miaka 18 baadaye kurunzi ya barnamiji Gerezani ilimmulika katika kiu chetu cha kutafuta maridhiano na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa
    Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
    This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
    Follow us:
    citizentv.co.ke
    / citizentvkenya
    / citizentvkenya
    plus.google.co...
    / citizentvkenya

Комментарии • 427

  • @patrickwachira8136
    @patrickwachira8136 5 лет назад +84

    How many are watching this after hearing the man was released n joined his family? Nipe likes ukipita. So touching

  • @rexdemueshy4219
    @rexdemueshy4219 3 года назад +5

    Thanks alot lulu hassan be blessed.....he is my uncle am happy aliachiliwa and he is doing great

  • @sherrykeya7370
    @sherrykeya7370 5 лет назад +55

    Good job citizen.Lulu may Allah bless you🙏

  • @osbornkwena9182
    @osbornkwena9182 5 лет назад +22

    Thank you Lulu Hassan, your citizen TV crew, and the prisons department for making this show happen.
    My two cents:
    a)Its best to walk away when you are angry. 60 seconds of anger can cause lasting pain to oneself and people around you.
    b)Poverty is real. The money being stolen in Kenya can uplift the lives of so many people. Many places in Eastern have no tarmac roads, clean water etc. Leaders and the government should try to uplift its citizens.

  • @wanjikundegwa2788
    @wanjikundegwa2788 5 лет назад +27

    i love the sister soo humble and love his brother dearly at least now they know where their brother is
    God bless this family.

  • @alikiba9960
    @alikiba9960 5 лет назад +37

    😭😭😭😭so painful...poleni Sana I broke into tear when she said naeza kumnunulia ka maziwa na mkate.... treasure your brothers and sisters Aki woyeeee

  • @johnmichael9609
    @johnmichael9609 5 лет назад +11

    That part naeza kumnunulua kamkate made me shed a tear..😢😢

  • @سالمالسعدي-ز9ج
    @سالمالسعدي-ز9ج 5 лет назад +16

    Asante lulu hii patanisho umeaza iko vizuri endelea ivo ,pole kwa wadhiliwa

  • @kabete1099
    @kabete1099 4 года назад +5

    This is a man who deserved another chance. He is resentful and sorry for what he did, true rehabilitation.

  • @royryan5703
    @royryan5703 5 лет назад +9

    How does someone dislike such a great content? Lets give credits where they deserve.....i really felt for that man. He did it unwillingly, but Gods purpose for that will be revealed to him one day.

  • @sodamohammed5135
    @sodamohammed5135 5 лет назад +2

    Daa shukran nakuomba uwende manyani kuna Kkngu afungwa maisha waeza tukamuuona Ahmad mwalim

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      I guess Kkngu unamaanisha 'kakangu'.

  • @hazazihazazi4204
    @hazazihazazi4204 5 лет назад +12

    Lulu Hassan this is a noble work! God bless you.

  • @jaredkiplagatletting4705
    @jaredkiplagatletting4705 5 лет назад +23

    Lulu,God bless you dear sister,we won’t forget your tireless work that you are doing!

    • @wilsonmbochi1142
      @wilsonmbochi1142 5 лет назад

      Jared its really Good job well done reconciliation is a decision

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Nampenda Lulu na nyumba yake. Bwanake pia nathani ni journalist as well.

  • @margaretamoit4097
    @margaretamoit4097 5 лет назад +12

    l believe God'll deliver my husband too! oh Lord

  • @erickouma8489
    @erickouma8489 2 года назад

    Nawashurukuru radio citizen kwa kufutilia kezi za watu nakuwasaidia mkononi mwa kifungo wanatumikia,mungu awabariki jameni lulu hasan

  • @jeremysenior3846
    @jeremysenior3846 4 года назад +1

    Ile time Tom amepatana na dadake hivi, immediately tears dreamed my big eyes. Indeed lulu, Mahalo popote tutakapo patana, ndizi kwangu. Thanks for work done.

  • @wambuasam8450
    @wambuasam8450 5 лет назад +7

    lulu and husein the only legit journalist left...bravo LULU

  • @BoblexMwangi
    @BoblexMwangi 5 лет назад +7

    True loving family, one blood will always forgive, great example, thank you Lulu

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Nathhani family walihisi, kwenda kumtembelea na hawana uwezo wa kumtoa, itawathuru zaidi.
      Poleni sana that hata mama aliaga bila kumuona mwanae.
      But, Mungu ni Mkubwa.

  • @agahawah8087
    @agahawah8087 5 лет назад +7

    Most of my sisters and brothers have not seen me for 6 years,a
    ....but we call and atleast we feel the togetherness....blood is thick.....Thank you Lulu

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      May Mungu awasaidie muonane hivi karibuni sana. Na awasaidie msiwe mnapoteana sana.

  • @halimanasihu1200
    @halimanasihu1200 4 года назад +4

    Nimelia sana damu kweli nzito

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 5 лет назад +14

    😭😭😭 So sad i hope they'll set you free God bless you Lulu

  • @tamaraemmah6553
    @tamaraemmah6553 5 лет назад +6

    ALLAH will reward you abundantly for the good job u are doing,not all anchors can do this , ALLAH BLESS U WIT UR FAMILY

  • @estheralbrechtsen8999
    @estheralbrechtsen8999 5 лет назад +12

    Kazi zuri Lulu 👏👏👏.So painful mtu mamake akiwa alikukufa na yuko jera na huna habari😭😭😭

  • @bundinicholas9773
    @bundinicholas9773 5 лет назад +46

    Loving family, forgiveness ni kitu cha maana kwa iii dunia .

  • @shamimsaid9708
    @shamimsaid9708 5 лет назад +3

    Forgiveness is one of the greatest thing.....lulu Hassan and your team...may Allah bless you.....Good job

  • @mwaniamanyenze4335
    @mwaniamanyenze4335 4 года назад +1

    Thx Lulu for your good work. Uniting a family after 18 years is not a joke.

  • @goldensparrow1507
    @goldensparrow1507 5 лет назад +13

    Its so sad wallahy.. a time reaches when u cant see ur siblings 😭 Allah asitujaalie yaaraby yasitukute katika familia zetu wala vizazi vyetu. Ameen.

    • @zahramurangara2508
      @zahramurangara2508 3 года назад

      Ameen

    • @janemaina6097
      @janemaina6097 2 года назад

      @@zahramurangara2508
      Morning

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar Месяц назад

      Nami, nasi ya family yetu pia, atusaidie tukutane. Na tue na uezo wa kukutana na kupendana. Watu wetu ni Zawadi Kubwa kutoka kwa Mwenyezi Muumba wetu. Tufurahiane, tupendane, tuonane na tuwe na la kila kheri na baraka. Amen.

  • @raelk66
    @raelk66 5 лет назад +27

    Lulu me my dad yuko alive but I never see him the last 22 and I’m willing to see him good job lulu

    • @abdirizackadanali3190
      @abdirizackadanali3190 5 лет назад +1

      nyasu66 RB very hard wallahi my prayer is with you in shaa Allah

    • @raelk66
      @raelk66 5 лет назад +1

      Thanks sana this year I will come to Kenya 🇰🇪 and I Hope 🤞 I will see him

    • @mystyjakanyango4079
      @mystyjakanyango4079 5 лет назад

      @@raelk66 mbona hujaweza kumuona?

    • @samgrand5523
      @samgrand5523 5 лет назад

      Andika na kiswahili ueleweke. English ni ngumu kwako

    • @raelk66
      @raelk66 5 лет назад

      Sam Grand thanks dear I was texting when walking 🚶‍♀️ then I send it before I read but poa thanks to tell me

  • @claricemoipoi6342
    @claricemoipoi6342 5 лет назад +9

    Lulu you doing a good job and may the good Lord bless you.Its so painful for the family of Tom Mboya but My God give them peace of mind that surpass all human understanding

  • @peternjuguna6056
    @peternjuguna6056 2 года назад +2

    Angers is real madness to everyone who has born normall congratulations lulu I really tears when I see the love of these women we are not jailed but our sisters even can't come to greet us in village and we are not in prison

  • @evederrick8924
    @evederrick8924 5 лет назад +11

    Started so good but at the end so bad he dint know if her mum is alive...May his parents rest in peaceful heart ...Thank you so much lulu and part of citizen tv for letting those family back together again.

    • @carolinemalia8189
      @carolinemalia8189 5 лет назад

      Haki I felt for him haki

    • @joycekamau2858
      @joycekamau2858 5 лет назад

      Sure. God bless Lulu's work... bt when asked who he would like to see most... why didnt he ask for his mum? just wondering out loud.. b

  • @CharlyGee0254
    @CharlyGee0254 2 года назад +1

    Very touching, thank you kanze for uniting mboya n sister

  • @roseirungo1950
    @roseirungo1950 5 лет назад +3

    Hadi nmejipata nalia 😢😢😢😢😢 A sister good I have ever seen May God intervene

    • @LILFELLY
      @LILFELLY 5 лет назад

      Same here.... So Emotional

  • @cruizk8183
    @cruizk8183 5 лет назад +10

    What a sad story, painful indeed😭😭😭God have mercy on us

  • @twenty2264
    @twenty2264 4 года назад

    Thank you Lulu..kwa kuipa familia hii Nuru na msamaha baina yao

  • @omarabdulahi3661
    @omarabdulahi3661 4 года назад +1

    That why I love lulu umefanya kazi mzuri may alah bless you

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 4 года назад

    Dah nimelia sana Mungu amsamehe na awapumzishe kwa Amani wazazi wake

  • @elizabethkeya828
    @elizabethkeya828 5 лет назад +6

    May God give you strength Mr mboya. Remember prison life when my dad was ones imprisoned. Shedding tears was a must when I visited him

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 5 лет назад +7

    jamani huruma Tele 😢lulu Hassan kazi nzuri unayo ifanya God bless

  • @princesskay1573
    @princesskay1573 5 лет назад +3

    It’s soo emotional 😭
    Ooh God make you be back to your family

  • @abdulazizshaaban5794
    @abdulazizshaaban5794 5 лет назад +1

    Loulou Allah akuzidishie kwa patanisho yako kwa watu wenye upweke

  • @gitanguedward9360
    @gitanguedward9360 5 лет назад +32

    If you admit to a lawyer that you did it the lawyer is supposed to inform the court and request you be charged with man slaughter which carries 1 to 15 yrs imprisonment but not life imprisonment

    • @wacmber2131
      @wacmber2131 5 лет назад +3

      C kenya kakaangu

    • @irenegeorge1125
      @irenegeorge1125 5 лет назад +2

      Edwin Gitangu that is true even under the international humanitarian law

    • @samuel-du6ck
      @samuel-du6ck 5 лет назад +4

      That's true but not in Kenya

    • @eunicenzilani4844
      @eunicenzilani4844 5 лет назад

      Lulu mungu akubariki na kazi zuri na roho yako ya uruma

    • @issachege5606
      @issachege5606 4 года назад

      True bcz he killed without intent

  • @haipaabdu3991
    @haipaabdu3991 5 лет назад +5

    Pole sana ndugu,lulu hongera kwa kazi njema ,mbarikiwa.

  • @RoseMary-fe2pu
    @RoseMary-fe2pu 5 лет назад +6

    Lulu woodwork God bless you.. I love you

  • @peninahmuriuki2916
    @peninahmuriuki2916 5 лет назад +2

    Lulu you doing an incredible work. May Allah bless you

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 5 лет назад +4

    Pole sana Mboya Mungu akupe Subra,Uliua bila Kukusudia Hasira ni mbaya.

  • @edulinks8112
    @edulinks8112 5 лет назад +2

    Lulu keep that spirit,,may Allah protect you and guide you always.

  • @maggiechepkorir7565
    @maggiechepkorir7565 4 года назад

    Pole! Ndugu yangu, Mungu ata hurumia.

  • @hawaabubakar2619
    @hawaabubakar2619 5 лет назад

    Bigup CITIZEN I salute u lulu kazi safi jazakAllah kher from saudi Arabia

  • @goldensparrow1507
    @goldensparrow1507 5 лет назад +1

    God Bless You Lulu.. how you find such stories to show us that there are people with more difficulties in this world.. in more bad situations than us.

  • @nnbb8402
    @nnbb8402 5 лет назад +1

    Waaaah mtu akifungwa huwa mawazo hayeshi nmelia sana pole mboya iko sku yatakwisha

  • @rachelmikey8363
    @rachelmikey8363 4 года назад +1

    Nime umia jameni pole sana mboya.

  • @thetrendafrica6395
    @thetrendafrica6395 5 лет назад +2

    Good work @ lulu for reuniting this souls

  • @maryannmwauravlogs9970
    @maryannmwauravlogs9970 5 лет назад +1

    Thank you lulu na tunamuombea siku monja atakua na freedom tena

  • @JosphatMaithyaTV
    @JosphatMaithyaTV 5 лет назад +2

    Good Job Lulu..... This is the best

  • @benardmwashi6289
    @benardmwashi6289 5 лет назад

    Ama kweli hasira hasara na majuto mjukuu.
    Namkubali sana Mr. Mboya kwa kuwa anakiri na kujutiajutia yaliyojiri takriban miongo miwili.

  • @Babaphanicemwenyewe278
    @Babaphanicemwenyewe278 2 года назад

    Kazi zuri lulu GOD Bless u more

  • @herineakinyi7918
    @herineakinyi7918 Год назад

    Thanks Lulu Hassan and RMS

  • @CHOSENGENERATIONHUB
    @CHOSENGENERATIONHUB 2 года назад

    thanks mama... forgiveness is the key

  • @marymmbone8459
    @marymmbone8459 4 года назад +1

    Hongera lulu

  • @fredinashee6878
    @fredinashee6878 5 лет назад +2

    Its soo emotional. Lulu God bless you this good job.

  • @piusnzioki5542
    @piusnzioki5542 5 лет назад +1

    Kazi nzuri Lulu... Kongole kwa mema yote haya!

  • @omwengaomwenga9743
    @omwengaomwenga9743 5 лет назад

    definitely Lulu you’re doing a wonderful job, we appreciate you.

  • @gabsmwanix
    @gabsmwanix 5 лет назад +2

    Good job Lulu, stay blessed

  • @mercymeme2641
    @mercymeme2641 11 месяцев назад

    Good work and God bless you lulu

  • @jebiwotspari9403
    @jebiwotspari9403 5 лет назад +3

    Good job lulu may Allah bless you

  • @kemuntowilliams8370
    @kemuntowilliams8370 5 лет назад

    Have cried a river. God please let this man be favoured. It was not his wish

  • @reginaaminga18
    @reginaaminga18 2 года назад

    Be blessed Lulu Hassan $ the team

  • @forgivepraisebetogod8196
    @forgivepraisebetogod8196 4 года назад +1

    Citizen big up for bringing hope, Lulu Hassan nakuvulia kofia Mami endelea na kazi nzuri

  • @dastonamichaels1854
    @dastonamichaels1854 5 лет назад +4

    Kazi nzuri..ubunifu tosha

  • @that_bloke_kiri
    @that_bloke_kiri 2 года назад

    Lulu Hassan... bless you

  • @michamicha6021
    @michamicha6021 5 лет назад +1

    lulu very humble you have nice hands

  • @janejanet3640
    @janejanet3640 5 лет назад +3

    God bless you Lulu

  • @ConquerorPrincessPet
    @ConquerorPrincessPet 4 года назад

    I really cried non stop watching this.there is nothing can be done for him to come out?

  • @simonkelum9270
    @simonkelum9270 5 лет назад

    Iam in tears...great job lulu

  • @issachege5606
    @issachege5606 4 года назад +3

    One must not take freedom for granted, before you do anything think abt the re-percusions that will follow u

  • @shaletmzee9748
    @shaletmzee9748 4 года назад

    God job Lulu,may God bless you..

  • @kanyifrank4066
    @kanyifrank4066 2 года назад

    Great stuff Lulu hassan, giving hope to the 😔 hopeless

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 4 года назад

    Thank you lulu for helping the helpness victims.

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 5 лет назад

    Ni kazi nzuri mnafanya citizen dah ila damu ni nzito kwakweli nimetokwa chozi aliposema sister naweza chukua mkate na maziwa

  • @victorsenior16
    @victorsenior16 5 лет назад +1

    Kazi nzuri Lulu..

  • @bijumakassim3697
    @bijumakassim3697 5 лет назад

    Maskini inauma Sana kwa kweli pole Bro yatakwisha mungu atakusaidia

  • @Millie-rm2wj
    @Millie-rm2wj 2 года назад

    Wow very emotional I hope a miracle happens and he is granted the presidential pardon

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 5 лет назад +1

    Great job ever,,,this deserve an award

  • @Mr.George.N
    @Mr.George.N 5 лет назад

    Thanks LuLu. We are learning too

  • @maureenakidiva9170
    @maureenakidiva9170 5 лет назад +2

    Good job; Lulu! Barikiwa.

  • @willymkr8621
    @willymkr8621 3 года назад

    Pongezi lulu kwa kazi nzuri

  • @graciouswamalwa2261
    @graciouswamalwa2261 4 года назад

    Very touching

  • @lordrextz3686
    @lordrextz3686 3 года назад +1

    Content nzuri mno kutoka Kenya ..Hapa Tz content nyingi ni za Udaku Tu..

  • @akilikarama3331
    @akilikarama3331 3 года назад

    Kazi nzuri mnayo ifanya

  • @FootballMatters836
    @FootballMatters836 5 лет назад +16

    Good job Lulu...I would just suggest that you allow them to speak in the language they feel most comfortable...

    • @carolinemalia8189
      @carolinemalia8189 5 лет назад +4

      Yeah coz like wao wamama walikuwa na story but kiswahili somehow inawashda

    • @angiewahu7522
      @angiewahu7522 5 лет назад +2

      Yeah, clearly speaking Swahili was a struggle, we'd have appreciated subtitles

    • @ozi_omi_2547
      @ozi_omi_2547 5 лет назад

      Possibly after the show they did...

    • @amodreamer6904
      @amodreamer6904 5 лет назад

      Wewe unataka sie wengine tusielewe akiongea kijaruo sio😀😀😀😀

    • @gardapuko5869
      @gardapuko5869 5 лет назад

      Then those who don’t get their native language?how will they get what’s being Said?its not only the natives viewing!

  • @zawadimwikali9466
    @zawadimwikali9466 5 лет назад

    Bravo habibi lulu mabrook mungu akuzidishia kazi yako 🙏🙏🙏🙏

  • @maggiechepkorir7565
    @maggiechepkorir7565 4 года назад +1

    Oooh! Mungu urumia huyo ndugu.

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 5 лет назад

    Yani nawapenda Sana nyinyi

  • @gonasaidjuma2700
    @gonasaidjuma2700 3 года назад

    Mwenye kuuwa hukumu yake nikuuliwa kwahivyo yeye niashukuru sikuzake zikifika na yy atakufa tuu na kwa mungu adabu yakuuwa nafsi bado yamungojea ila akitubia kikukweli m,mungu anaweza akamsamehe sababu ni mwingi wa kusamehe

  • @yvonnemwendemwende4933
    @yvonnemwendemwende4933 5 лет назад +5

    Thought I was strong enough but for sure am not coz this has made me shed tears 😠

  • @newtonoluoch5074
    @newtonoluoch5074 4 года назад

    This Man is a brave man

  • @evanskipchumba8592
    @evanskipchumba8592 5 лет назад +1

    I felt crying after watching

  • @Emmy.965
    @Emmy.965 5 лет назад

    Lulu mungu abaliki kazi ya mikono yako....

  • @hylinek.getanda8303
    @hylinek.getanda8303 5 лет назад

    Lulu u r doing a gud Job . God bless u.