| BARNAMIJI YA GEREZANI | Tom Mboya aliyefungwa maisha kwa kuua baba anataka maridhiano na familia
HTML-код
- Опубликовано: 10 окт 2024
- Kuwa mbali na familia yako daima ni mtihani, lakini mtihani mkubwa ni kutenganishwa nao milele ingawaje nyote mpo hai. Hii ndio hali halisi ya tom mboya aliyealiyefungwa kwenye gereza la kamiti tangu mwaka 2001 bila hodi wala jambo kutoka kwa ndugu, jamaa au rafiki kufuatia hukumu ya kumuua babake mzazi. Mboya ni ushuhuda wa kutosha wa ‘majuto ni mjukuu huja kinyume’ licha ya yeye kuweka matumaini yake hai. Miaka 18 baadaye kurunzi ya barnamiji Gerezani ilimmulika katika kiu chetu cha kutafuta maridhiano na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa
Citizen TV is Kenya's leading television station commanding an audience reach of over 60% and in its over 12 years of existence as a pioneer brand for the Royal Media Services (RMS), it has set footprints across the country leaving no region uncovered.
This is your ideal channel for the latest and breaking news, top stories, politics, business, sports, lifestyle and entertainment from Kenya and around the world.
Follow us:
citizentv.co.ke
/ citizentvkenya
/ citizentvkenya
plus.google.co...
/ citizentvkenya
How many are watching this after hearing the man was released n joined his family? Nipe likes ukipita. So touching
When share the link?
Alitolewa
Wapi
Thanks alot lulu hassan be blessed.....he is my uncle am happy aliachiliwa and he is doing great
Thanks
Poleni sana family. I'm happy for you all kua ameachiliwa.
Good job citizen.Lulu may Allah bless you🙏
Lulu God bless u
Thank you Lulu Hassan, your citizen TV crew, and the prisons department for making this show happen.
My two cents:
a)Its best to walk away when you are angry. 60 seconds of anger can cause lasting pain to oneself and people around you.
b)Poverty is real. The money being stolen in Kenya can uplift the lives of so many people. Many places in Eastern have no tarmac roads, clean water etc. Leaders and the government should try to uplift its citizens.
i love the sister soo humble and love his brother dearly at least now they know where their brother is
God bless this family.
😭😭😭😭so painful...poleni Sana I broke into tear when she said naeza kumnunulia ka maziwa na mkate.... treasure your brothers and sisters Aki woyeeee
Blood is thinker than water
I broke down to this statement
Deep 😢😢😢
😭😭😭😭
Dah kwakweli machoz yamenitoka aseee
That part naeza kumnunulua kamkate made me shed a tear..😢😢
😭😭😭😭
Asante lulu hii patanisho umeaza iko vizuri endelea ivo ,pole kwa wadhiliwa
This is a man who deserved another chance. He is resentful and sorry for what he did, true rehabilitation.
How does someone dislike such a great content? Lets give credits where they deserve.....i really felt for that man. He did it unwillingly, but Gods purpose for that will be revealed to him one day.
Daa shukran nakuomba uwende manyani kuna Kkngu afungwa maisha waeza tukamuuona Ahmad mwalim
I guess Kkngu unamaanisha 'kakangu'.
Lulu Hassan this is a noble work! God bless you.
Lulu,God bless you dear sister,we won’t forget your tireless work that you are doing!
Jared its really Good job well done reconciliation is a decision
Nampenda Lulu na nyumba yake. Bwanake pia nathani ni journalist as well.
l believe God'll deliver my husband too! oh Lord
Nawashurukuru radio citizen kwa kufutilia kezi za watu nakuwasaidia mkononi mwa kifungo wanatumikia,mungu awabariki jameni lulu hasan
Ile time Tom amepatana na dadake hivi, immediately tears dreamed my big eyes. Indeed lulu, Mahalo popote tutakapo patana, ndizi kwangu. Thanks for work done.
lulu and husein the only legit journalist left...bravo LULU
True loving family, one blood will always forgive, great example, thank you Lulu
Nathhani family walihisi, kwenda kumtembelea na hawana uwezo wa kumtoa, itawathuru zaidi.
Poleni sana that hata mama aliaga bila kumuona mwanae.
But, Mungu ni Mkubwa.
Most of my sisters and brothers have not seen me for 6 years,a
....but we call and atleast we feel the togetherness....blood is thick.....Thank you Lulu
May Mungu awasaidie muonane hivi karibuni sana. Na awasaidie msiwe mnapoteana sana.
Nimelia sana damu kweli nzito
😭😭😭 So sad i hope they'll set you free God bless you Lulu
ALLAH will reward you abundantly for the good job u are doing,not all anchors can do this , ALLAH BLESS U WIT UR FAMILY
Kazi zuri Lulu 👏👏👏.So painful mtu mamake akiwa alikukufa na yuko jera na huna habari😭😭😭
Loving family, forgiveness ni kitu cha maana kwa iii dunia .
Forgiveness is one of the greatest thing.....lulu Hassan and your team...may Allah bless you.....Good job
Thx Lulu for your good work. Uniting a family after 18 years is not a joke.
Its so sad wallahy.. a time reaches when u cant see ur siblings 😭 Allah asitujaalie yaaraby yasitukute katika familia zetu wala vizazi vyetu. Ameen.
Ameen
@@zahramurangara2508
Morning
Nami, nasi ya family yetu pia, atusaidie tukutane. Na tue na uezo wa kukutana na kupendana. Watu wetu ni Zawadi Kubwa kutoka kwa Mwenyezi Muumba wetu. Tufurahiane, tupendane, tuonane na tuwe na la kila kheri na baraka. Amen.
Lulu me my dad yuko alive but I never see him the last 22 and I’m willing to see him good job lulu
nyasu66 RB very hard wallahi my prayer is with you in shaa Allah
Thanks sana this year I will come to Kenya 🇰🇪 and I Hope 🤞 I will see him
@@raelk66 mbona hujaweza kumuona?
Andika na kiswahili ueleweke. English ni ngumu kwako
Sam Grand thanks dear I was texting when walking 🚶♀️ then I send it before I read but poa thanks to tell me
Lulu you doing a good job and may the good Lord bless you.Its so painful for the family of Tom Mboya but My God give them peace of mind that surpass all human understanding
⌚👀👂true
Angers is real madness to everyone who has born normall congratulations lulu I really tears when I see the love of these women we are not jailed but our sisters even can't come to greet us in village and we are not in prison
Started so good but at the end so bad he dint know if her mum is alive...May his parents rest in peaceful heart ...Thank you so much lulu and part of citizen tv for letting those family back together again.
Haki I felt for him haki
Sure. God bless Lulu's work... bt when asked who he would like to see most... why didnt he ask for his mum? just wondering out loud.. b
Very touching, thank you kanze for uniting mboya n sister
Hadi nmejipata nalia 😢😢😢😢😢 A sister good I have ever seen May God intervene
Same here.... So Emotional
What a sad story, painful indeed😭😭😭God have mercy on us
Thank you Lulu..kwa kuipa familia hii Nuru na msamaha baina yao
That why I love lulu umefanya kazi mzuri may alah bless you
Dah nimelia sana Mungu amsamehe na awapumzishe kwa Amani wazazi wake
May God give you strength Mr mboya. Remember prison life when my dad was ones imprisoned. Shedding tears was a must when I visited him
jamani huruma Tele 😢lulu Hassan kazi nzuri unayo ifanya God bless
My eyes is full of tears
@@janejanet3640 pole
It’s soo emotional 😭
Ooh God make you be back to your family
Loulou Allah akuzidishie kwa patanisho yako kwa watu wenye upweke
If you admit to a lawyer that you did it the lawyer is supposed to inform the court and request you be charged with man slaughter which carries 1 to 15 yrs imprisonment but not life imprisonment
C kenya kakaangu
Edwin Gitangu that is true even under the international humanitarian law
That's true but not in Kenya
Lulu mungu akubariki na kazi zuri na roho yako ya uruma
True bcz he killed without intent
Pole sana ndugu,lulu hongera kwa kazi njema ,mbarikiwa.
Lulu woodwork God bless you.. I love you
Lulu you doing an incredible work. May Allah bless you
Pole sana Mboya Mungu akupe Subra,Uliua bila Kukusudia Hasira ni mbaya.
Wewe nawe upo kila mahali
@@alfanm.8221 🤣🤣🤣🤣🤣 Kama chaja ya Kobe.
Very sad mungu atawaokoa
Lulu keep that spirit,,may Allah protect you and guide you always.
Pole! Ndugu yangu, Mungu ata hurumia.
Bigup CITIZEN I salute u lulu kazi safi jazakAllah kher from saudi Arabia
God Bless You Lulu.. how you find such stories to show us that there are people with more difficulties in this world.. in more bad situations than us.
Waaaah mtu akifungwa huwa mawazo hayeshi nmelia sana pole mboya iko sku yatakwisha
Nime umia jameni pole sana mboya.
Good work @ lulu for reuniting this souls
Thank you lulu na tunamuombea siku monja atakua na freedom tena
Good Job Lulu..... This is the best
Ama kweli hasira hasara na majuto mjukuu.
Namkubali sana Mr. Mboya kwa kuwa anakiri na kujutiajutia yaliyojiri takriban miongo miwili.
Kazi zuri lulu GOD Bless u more
Thanks Lulu Hassan and RMS
thanks mama... forgiveness is the key
Hongera lulu
Its soo emotional. Lulu God bless you this good job.
Kazi nzuri Lulu... Kongole kwa mema yote haya!
definitely Lulu you’re doing a wonderful job, we appreciate you.
Good job Lulu, stay blessed
Good work and God bless you lulu
Good job lulu may Allah bless you
Have cried a river. God please let this man be favoured. It was not his wish
Be blessed Lulu Hassan $ the team
Citizen big up for bringing hope, Lulu Hassan nakuvulia kofia Mami endelea na kazi nzuri
Kazi nzuri..ubunifu tosha
Lulu Hassan... bless you
lulu very humble you have nice hands
Samidoh
God bless you Lulu
I really cried non stop watching this.there is nothing can be done for him to come out?
Iam in tears...great job lulu
One must not take freedom for granted, before you do anything think abt the re-percusions that will follow u
God job Lulu,may God bless you..
Great stuff Lulu hassan, giving hope to the 😔 hopeless
Thank you lulu for helping the helpness victims.
Ni kazi nzuri mnafanya citizen dah ila damu ni nzito kwakweli nimetokwa chozi aliposema sister naweza chukua mkate na maziwa
Kazi nzuri Lulu..
Maskini inauma Sana kwa kweli pole Bro yatakwisha mungu atakusaidia
Wow very emotional I hope a miracle happens and he is granted the presidential pardon
Great job ever,,,this deserve an award
Thanks LuLu. We are learning too
Good job; Lulu! Barikiwa.
Pongezi lulu kwa kazi nzuri
Very touching
Content nzuri mno kutoka Kenya ..Hapa Tz content nyingi ni za Udaku Tu..
Kazi nzuri mnayo ifanya
Good job Lulu...I would just suggest that you allow them to speak in the language they feel most comfortable...
Yeah coz like wao wamama walikuwa na story but kiswahili somehow inawashda
Yeah, clearly speaking Swahili was a struggle, we'd have appreciated subtitles
Possibly after the show they did...
Wewe unataka sie wengine tusielewe akiongea kijaruo sio😀😀😀😀
Then those who don’t get their native language?how will they get what’s being Said?its not only the natives viewing!
Bravo habibi lulu mabrook mungu akuzidishia kazi yako 🙏🙏🙏🙏
Oooh! Mungu urumia huyo ndugu.
Yani nawapenda Sana nyinyi
Mwenye kuuwa hukumu yake nikuuliwa kwahivyo yeye niashukuru sikuzake zikifika na yy atakufa tuu na kwa mungu adabu yakuuwa nafsi bado yamungojea ila akitubia kikukweli m,mungu anaweza akamsamehe sababu ni mwingi wa kusamehe
Thought I was strong enough but for sure am not coz this has made me shed tears 😠
Pia😭😭
This Man is a brave man
I felt crying after watching
Lulu mungu abaliki kazi ya mikono yako....
Lulu u r doing a gud Job . God bless u.